@@herimornchriston6083 Kwasababu ya Jina lake hapo au.‽?! (Mussa Laizer) ..
@Shehasweet-hy6xnАй бұрын
Nilikuwa nakutazama Dr Sule ..vile unavyotetemeka mungu kufananishwa na kiumbe chake alivhokiumba❤
@alaminomary9586Ай бұрын
Dr , unaeleweka sana , maana unajibu kwa facts na reference , fundi sana sheikh Sule Masha Allah
@umdtv274928 күн бұрын
Ukitaka ujue anaeleweka kwa watu ambao hawajui. Mweke sulle na ndacha ndo uwone. Mazinge alikubali kwa ndacha bado dr sulle anajifanya mkaid. Atabatizwa so mda.
@mutombosadiki4809Ай бұрын
Dr Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu, Nimefurahi sana yani
@pilimusa3217Ай бұрын
Shebby unauliza maswali mazuri sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mamanabdoul4397Ай бұрын
Maa shaa Allah .nakupenda kwajiri yaa Allah.abo banao sema yesu.ni mungu waace ivo batabiwona siku ya kiyama.hawasikie nahabataki kusikia
@innocentndikumana892829 күн бұрын
allah anamuongoza mwenye anataka
@Hassan_MengiАй бұрын
Yesu ni BWANA WA MABWANA, MUNGU ALIYEJUU YA MIUNGU YOTE. Uislam wana yesu wao na Allah ni mungu wa kiislam ambaye hatuhusu sisi kabsaaaa.
@adamkamaze9888Ай бұрын
Unamkufuru ALLAH.
@gfvh7282Ай бұрын
Tahira hili yesu ni mtume wa mwenyezi mungu mungu hakuzaa wala kuzaliwa
@SM-dh5njАй бұрын
Isaya 9:6
@michaelkenga91502 күн бұрын
Yesu ni (M)ungu wa (m)iungu tofautisha M ndugu ndio ilete maana kamili ❤ Hawataki lkn ndivyo ilivyo Yesu ni BWANA wa mabwana ili hali Allah ni Bwana tu hakuna aya ndani ya Quran Allah ni Bwana wa mabwana.
Tatizo munayo munataka Mungu abaki vile nyiye waeslamu munakusudia, Mungu wetu ni umoja na anawo uwezo wakuonekana katika mtazamo tofauti naakabaki anajiita Mungu yule yule , Alikua NENO akajiita yeye ni Mungu, Aliuvaa mwili akajita Yesu-Kristo = Emmanuel Mungu kati watu; akaondoka kimwili akarudi tena kwetu ulimwenguni kwa mutazamo wakisicho onekana kwamacho yakibinadamu akajiita Roho mtakatifu = Roho wa Mungu ambeye ni uyu uyu Mungu mzima. Inginekitu munatakiwa kujua, hakuna angaliweza kuukomboa ulimwengu usipokua yeye Mungu mwenyewe kuuvaa mwili akajiita Emmanuel ambaye ni Yesu-Kristo, manaabii wametabiri ujio wake kama Mungu mwenyewe na mwenye utukufu wote wa Mungu, hakungelikua mwengine wakuikomboa dunia pasipo yeye Mungu mwenyewe sabu sote wanadamu tulihesabiwa kuwa wazaifu mbele ya Mungu, njo kwamana ilibidi Mungu kuuvaa mwili na kuitwa Yesu-Kristo ili kila mwenye atamuamini apate kuokolewa na awe nauzima wa milele, Amen ! Sasa siku nyiye waislam mutatambua ya kwamba Mungu anauwezo wakua na mtazamo kavile jinsi yeye mwenyewe alipendelea njo pale hamuta changanyikiwa kwakujipatia idadi ya wa Mungu.
@burhanililumo221527 күн бұрын
Allah akubariki sana Doctor Suleiman na akuweke kwa mafanikio ya jamii yenye maadili amiin
@user-yc1fc7ir3c27 күн бұрын
Kaka soma ufunuo utafunuliwa kisha utawaweka salama waumini wako kwajina la yesu amina👃
@user-cj9nq2pm5y27 күн бұрын
Wewe nd usome
@godisgreat184521 күн бұрын
Jina la yessu sio Jina la mungu nyie wakristo hayo maandiko hamuyaoni mnalazimisha mtu awe mungu mwenyewe anasema ametumwa nyie mnasema sio kweli najiitq mtu mnaamwata mungu
@luqmanhaji7537Ай бұрын
Hakika hapo ukweli upo wazi na uongo upo wazi , dr sule anayekusikiliza ili aelewe anakuelewaa vizuri asiyetaka kukuelewa basi , Allah akulipe khery shekh wetu
@user-tf7sp4qe6tАй бұрын
Jamani Hawa watu mnaowauliza juu ya lmani ya Kikristo(NENO) Hawa wako mwilini na sio wa Rohoni. Ni vigumu Hawa kulielewa neno. Mnatwanga maji kwenye kinu. KuLIFAHAMU NENO MPAKA UFUNULIWE NA YESU MWENYEWE.Luka 24:44-45
@jeiddaryqaissar402927 күн бұрын
Allah akujaliee kheri na baraka sana na akukingi na shari zote za duniaa akupe afya njema tuendelee kuneemeka na elimu yako dr.sule wewe ni mwalim mzuri alhamdullah. Na mungu akujaliee watoto wako wapate elimu kama yako ikiwezekana wakuzidi kabisa zaidi yako aminiiii😊
@ireneemmanuel6708Ай бұрын
Mjiulize swali fupi kwanini jina La Yesu lina nguvu mno,na kuonekana na mamlaka sana,msichokijua Mungu ni roho,ila katika mwili utamuona Yesu ambae roho ile inakaa ndani ya mwili,ndio maana halisi ya kusema mimi na baba tu umoja,Mungu ni mwenye wivu ,msichoekewa Yesu alikuwako tangu agano la kale,ila alijidhihirisha katika mwili ili tukombolewe,fikiria angekuja na utukufu ule wa mbinguni wanadamu wangeogopa na kumkimbia.. YESU NI MUNGU MKUU
@OchoaHomeDecor_Ай бұрын
😅
@animamichael39683 күн бұрын
Wewe mwanafunz wa paulo
@mohdomar6760Ай бұрын
Mashallah....tunashkuru sheikh
@DuliBrillant-mr8er29 күн бұрын
Hakuna kiumbe kusichokua na madhaifu lakin wallah Dr sule ALLAH akupe umri mrefu ili uzid kuwanyoosha hawa mapmbi…dr sule hujawahi kutuangusha❤❤
@martinmligo30224 күн бұрын
Ni kweli kabisa kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na Mungu ni mmoja tuu hakuna mwingine kote duniani na mbinguni,lakini Wakristo tunasema Yesu ni Mungu kwa sababu ya jina lake Yesu kwa maana kutokana na maandiko mengi yanamaanisha kuwa Yesu ni jina lingine la Mungu ambalo Yesu alipewa/alilithishwa na Mungu na ndio maana tunasema Yesu ni Mungu kwa sababu ya jina Yesu,na katika maandiko hakuna mahali Yesu alisema ni jina lake pitia maandiko haya na mengine mengi kuhusu jina la Yesu. Yohana 5 43. Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo. Yohana 10 25. Yesu akawajibu, Naliwaambia, lakini ninyi hamsadiki. Kazi hizi ninazozifanya kwa jina la Baba yangu ndizo zinazonishuhudia. Yohana 17 11. Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. Yohana 17 12. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Yohana 17 6. Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika. 12. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Waebrania 1 4. amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
@uwesusaid5334Ай бұрын
Mungu ni mmoja sio Watatu 🗣
@user-yp7nv3mg4bАй бұрын
Mungu ni mmoja ila qmejifunua katika nafsi tatu na hana majina 99
@obestone1188Ай бұрын
@@user-yp7nv3mg4bmungu ana nafsi?
@obestone1188Ай бұрын
@@user-yp7nv3mg4bKatika Biblia, neno “nafsi” limetafsiriwa kutoka kwa neno la Kiebrania neʹphesh na neno la Kigiriki psy·kheʹ. Katika Kiebrania neno hilo kihalisi linamaanisha “kiumbe kinachopumua,” na katika Kigiriki linamaanisha “kiumbe kilicho hai.” a Kwa hiyo, nafsi ni kiumbe chenyewe, si kitu fulani kilicho ndani ya mtu ambacho huendelea kuishi mwili unapokufa. Hebu ona jinsi Biblia inavyoonyesha kwamba nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu mwenyewe
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
Nafsi tatu hizo ni zipi na nani amesema hayo?@@user-yp7nv3mg4b
@FeisalDoctor-wr8wsАй бұрын
@@user-yp7nv3mg4btoa ushahidi
@prochesernest5439Ай бұрын
Isaya 9:6 Yohana 1: 1 Yohana 5:20 Yohana 20: 28,29 Warumi 9:5 1Timotheo 3: 16 ufunuo 1:7,8 ufunuo 22:13 Mathayo 18:20 filipi 2:5,6,7 usipoona kuwa Yesu ni basi utatimiza andiko wanaona lakini hawaoni ni vipofu wasikia lakini ni viziwi
@user-hr7ep8zt2rАй бұрын
Kweli wewe nimsomi wandiko unashinda wanaojita ma dr sule waongo mtupu
@prochesernest5439Ай бұрын
@@user-hr7ep8zt2rhuyo shekhe majini yamempotosha ndo kazi Yao kuwapotosha watu kama yalivyo mpotosha mtume wao soma quruan 72:1,14
@alexvenas2699Ай бұрын
13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Tito 2:13 14 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema. Tito 2:14
@athumanikhamisi3377Ай бұрын
Maneno ya Paulo hayo
@princembk489928 күн бұрын
Umesema mitume wapo 25,sasa kwa nini kati ya hao mitume wote YESU ndo atengenezewe mazingira? Kwa nini YESU??? Na si hao mitume wengine??? Mnaongea msichokijua na wala hamtajua. Msije mkaongoka Mungu akawaponya
@ephraimkabeya964821 күн бұрын
Ukisikiliza mafundisho Kama haya utahama reli, Shika Sana ulichonacho...hata Shetani aliwazidi Eva na Kisha Adam kwa maneno pale Edeni hadi wakamuasi Mwenyezi Mungu. Jihadharini na Roho ya mpinga Krisho... Adui 👿 hutafuta elimu Kila Kona ili awe fundi Sana wa maneno, ukimpa nafasi aongee utahisi ni zaidi ya mtu yoyote uliewahi kumsikiliza. Mungu atusaidie...😭
@cosmasmwaitete5004Ай бұрын
Tatizo dr Sullę unaiponda bible kwamba si kitabu cha Mungu Leo unatumia kitabu hicho hicho kufundishia unapata shida sana mkuuu jambo usilolijua Achana nalo
@khalidali11304 күн бұрын
Nyie mnaelewa au ndio vuchwa fuvu kwan mwanzon amesemaje icho kitabu anchzngmzia yey n injil n bibilia kitabu kishatiwa mikono n warumi ht aelezw vp huwez kuelewa tumia akil sio ubish ndg yng
@trucillahgesare9501Ай бұрын
Mohamad hana lolote hata na hakupewa kazi lolote kuhusu utume...Quran 46 :9
@ramzanqarim4977Ай бұрын
Bibilia huijui utajuaje quran
@flexstevin2385Ай бұрын
Uislam umenyooka sana,.Yesu ni Mtume na Wala si Mungu.
@georgeslupopo621529 күн бұрын
Unasema mengi ila mwisho wa saa auelewi hata unayo yasema kwa mtu ambaye anajazwa Roho mtakatifu unasikilika kama mtu ambaye anapiga kelele pasipo kuongea kitu. Siyo kila mtu ambaye iko nanehema yakujua ya kwamba Yesu-Kristo ni Mungu njo kwamaana aliambia hata petro siwewe ila ni Mungu kakunulia hayo ili upate ku nitambua. Yesu-Kristo anabaki Mungu wamilele zote ! Ivi nyiye waeslamu nabii gani munajua ambaye alisha wayi kujiita Mungu na akabaki mzima,... Je kama munajua niyeye Kristo atahukumu mwanadamu pia na mu hamed wenu akiwemo sababu gani hamutaki kuelewa kama yeye siyo wakawaida, ukumu ni wa Mungu peke yake nayeye Yesu-Kristo njo atahukumu dunia ivo amuone kama Yesu-Kristo niuyo uyo Mungu Yesu-Kristo mwenyewe amejiita Mungu kati watu, na sababu kubwa ya Yesu-Kristo kusulubushwa ilitokana na yéyé kujiita Mungu nakunyoosha mafarisayo. Yesu-Kristo Kristo jina zote nzuri ni zake yeye ni Nabii mkuu, Yeye ni Mwana wa damu sababu ilipashwa Mungu auvale mwili ili aikombowe dunia akajiita Emmanuel maana yake Mungu kati watu, Akajiita mlango wa mbiguni, Yeye ni Mungu mzima , Yesu-Kristo mwenye alijiita Baba ndani yangu namimi ndani yake kama ulisoma hesabu utafaamu a=b nikusema a ni b na b ni a .
@abdulkisome953829 күн бұрын
Toa andiko yesu kajiita Mungu acha maneno
@kennedyodhiambo80498 күн бұрын
@@abdulkisome9538 Biblia haiwezi kuandikwa vile nyinyi waislamu mnataka
@rogerssimon9517Ай бұрын
Wewe sule unaijua kweli ila unapotosha umma unaye mkataa hapa ndiye akimu na mwisho wa yote.
@jumamohamed3168Ай бұрын
Wacha ujinga jifunze ili ujue ukweli utakusaidia.
@abdulkisome953829 күн бұрын
Pinga Kwa maandiko sio bla bla
@ArafaSuleiman-db9pwАй бұрын
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi mungu wa kweli n mmoja2 wao makafir waache wangaike2 mpaka moton hao wakristo hawaelewi sijui hawa wana nn jameni njooni katika haki ambayo n dini ya uislam
@silviaamos-pl5lk29 күн бұрын
Unajuaje kamatutaenda moyoni afu Sisi siokafiri ushindwe kwa jina la yesu
@silviaamos-pl5lk29 күн бұрын
Jirekebishe hiyo tabia
@jonasmrema855028 күн бұрын
Kabla Yesu hajasema wakujue wewe Mungu wa pekee na wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma, (Yohana 17:3) Kwenye mstari wa 2 yaani (Yohana 17:1,2) Yesu anamuambia Baba Yake unitukuze katika utukufu niliokua nao kando yako kabla ya ulimwengu haukuwako, sasa ujue Yesu ni zaidi ya nabii au zaidi ya mtume
@milanempire460927 күн бұрын
Tatizo la waislamu wanasoma sehemu wanayoona wao inawapa uhakika wa kuikosoa ukristo lakini hawataki kusikiliza ukweli
@allyjuma208812 күн бұрын
Ebu tuambie ukweli ni upi
@josephsabuni795Ай бұрын
Mathayo 11:29 - Chukueni nira yangu, mkajifunze kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika. Huyu Sheikh anadanganya kama alivyodanganya kuna mlango wa Mbingu uko India. Pili Yesu Kutairiwa ni kutokana na tamaduni za Kiyahudi ilikua lazima Yesu aishi tamaduni za kiyahudi, maana Yesu alikuja Duniani kama mwanadamu kweli.
@rogerssimon9517Ай бұрын
Vizuri kaka kutahiliwa lilikuwa agano la mungu mwenyewe na Ibrahim
@josephsabuni795Ай бұрын
@@rogerssimon9517 kweli kabisa, tusikubali kupoteza Imani kisa hawa watu.
@impeccablerito7922Ай бұрын
Kuongezea kwenye mstari uo uliotaja 11.29 Chukueni nira yangu mkajifunze kutoka kwangu. Mimi ni mwema mnyenyekevu katika roho. Kwa maneno hayo tu Yesu anasema yeye ni mwislam. Ndugu neno Unyenyekevu ni kiswahili kwa kiarabu ni Islam. Ivyo yesu yeye ni mwislamu kwa sababu yeye ni mnyenyekevu.
@Onlyforfun1992tubeАй бұрын
😂😂😂 daah mungu anatahiriwa dah nyinyi mnatafuta laaana@@impeccablerito7922
@adnanel-islam3291Ай бұрын
Kwaiyo Mungu katahiriwa na watu wake 😅😅??
@barakalawrence742Ай бұрын
Yesu hafananishwi na mitume wala manabii wowote waliowahi kutokea
@ramadhanimpate-yj3qpАй бұрын
kichwa kigumuu kwei kwli wewee haa
@FeisalDoctor-wr8wsАй бұрын
Nyiny kujifunza hamutaki chuki tu dhidi ya uislam
@nuramwamedy-yg6sdАй бұрын
Mashaaaallah sule tunakuamin kweny din yetu ya uislam daima mbele hiyo mpk pepon
@innocentndikumana892829 күн бұрын
Mashallah uwislam nuru ❤❤
@martoo539Ай бұрын
Huyu ashajibiwa na NDACHA Wakristu huyu asiwashtue kamwe Kuelewa bibilia unataka kuwa na roho mtakatifu
@ElybwayzАй бұрын
Wewe unayo roho Mtakatifu ama una 😅😅😅
@Naw89Ай бұрын
Eti roho mtatifu si useme tu roho mtaka vitu
@josephsabuni795Ай бұрын
@@Naw89 Endeleeni kumsikiliza huyo Sheikh wenu aliowadandanya kwamba kuna mlango wa kwenda mbinguni uko Macca na India. Njia ya kwenda mbinguni ni Kristu pekee hata Quran yenu inalitambua hilo... Shida yenu wengi ni Waislamu wa Eid tu...
@impeccablerito7922Ай бұрын
Braza acha kua mjinga kuelewa biblia ni very easy kwa sababu imeandikwa kwa kiswahili na kiswahili kinaeleweka vzur. BIBLIA iyo iyo unayosoma yesu mwenyewe anakanusha yeye sio mungu, wewe bado unafosi mungu, huo ni msiba😢😢Polee sana ndugu yng mungu akunusuru utumie akili yako kujua ukweli katka iyo iyo biblia unayosoma ukisoma kwa akili zko timamu utajua ukweli kama yesu si mungu.
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Endelea kufuata dini kipofupofu bila kutafakari, endekeza wajuu wanaolenga sadaka yako kwa kukumbaza na kukuambia lazima uwe na roho matakatifju, utachelewa, na kuna siku utang'ata kidole kwa majuto makubwa.
@prochesernest5439Ай бұрын
Mungu WA kwenye biblia ni Baba mungu WA kwenye Quran sio baba mbona sulle anamfananisha Allah Hana mwana kwaiyo hawezi Kuwa Yehova milele na issa sio mwokozi Yesu ni mwokozi yeti Yesu ni mwislamu uongo uliokwenda shule kutoka kwa ibilisi
@khalfanikimanta6663Ай бұрын
Unaaelewa maana ya Uislam laakin au unaendeshwa na mihemko ya chuki na ujinga?
@prochesernest5439Ай бұрын
@@khalfanikimanta6663 naelewa uislamu ni Dini ya majini quruan 72:14 hona hapo uone ulipo wew unayejitamba na Dini yenu
@prochesernest5439Ай бұрын
@@khalfanikimanta6663 hatuna chuki na nyie ndungu WA majini sis tunachukia kuwakubali kwenu mashetani au majini au mapepo wachafu
@muhamadharun943227 күн бұрын
Maskini jaribu kukubali kujifunza uje na hoja iliyonyooka ,
@JosephyMwilaАй бұрын
Yesu ni mungu fungua ,yohana 14:9 kama sivyo fungua yohana 14:6 yesu anasemamimi ndimi njia nakweli nauzima mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi anamaanisha kama huja mkubali yeye kuwa Bwana na mwokozi wako hufiki mbinguni yani wewe utakuwa wa kuzimu kubali kuna maana gani maana ya kumkubali ni kuokoka yani kuwa mkristo ambaye kapata ubatizo wa maji mengi kama alivyo batizwa yeye mwenyewe
@AmurimatabikaClaude-yy9pmАй бұрын
Na yesu akisema mimi ndiye njia ya uzima atakaye nifata ataona uzima wamilele
@SalimuMuya-qb6cxАй бұрын
Uzima wa milele ni upi?
@MukulasiKapelaАй бұрын
Yesu sio mungu
@cyprianchale602Ай бұрын
Qur'an imecopiwa kwa bible hakuna jipya humo janja tyu
@Yusufu940Ай бұрын
Heshima sio janja bali kaongea kulingana na Uwilamu na ww pitia mahadiko kwenye Biblia ndo mwenye akili kufanya sio kupinga kwa comment
@abdulrazack9577Ай бұрын
Tupe maandiko yaliyokopiwa ambayo ni yaleyale na kwenye Quran
@Onlyforfun1992tubeАй бұрын
Quran na bible kipi kitabu Cha kielimu wewe
@Nily-kz3db29 күн бұрын
Allah Akubark Dr Sule MashaAllah,Mafundsho Mazur Anoakl Atafaham
@user-yw2si9xq5s19 күн бұрын
Asante shehe umevunja mzizi wa ubishi kwahio mzee wa upako yuko sawa yesu siyo mungu ubalikiwe kwa uelewa
@alexkakwaya4383Ай бұрын
Swali LA pili, km Uislam ni dini ya kweli, Kwa nini hauna uwezo wa kujitegemea km dini yenyewe, bali inatafuta uhalali wake kutoka kwenye Ukristo kwa madai mbalimbali: oh Mohammed ametabiriwa kwenye biblia, oh biblia imebadilishwa alafu hamuoneshi ambayo haijabadilishwa, oh wakristo wanaabudu Mungu mitatu, na madai mengi ya uongo na kishetani.
@adamkamaze9888Ай бұрын
Kwan ni Uongo kuwa wakristo hawaabudu Mungu watatu?
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Uislamu hautafuti uhalali wake katika Ukristo .. Kwakuwa; 1) YESU kristo hakuacha imani ya UKRISTO ulimwenguni .. (Bali alikuja kuendeleza ya mitume waliopita kabla yake) 2) Wakristo hawaamini Qur’an, kumpeleka kwenye kitu asichokiamini ni kupoteza muda.. ndio maana tunahoji katika kile anachokiamini 3) Ukiamini katika unachokiamini basi usiwe na nidhamu ya uoga wanapokuja wanaotaka kuhoji hicho unachokiamini
@swafiirbulbul819Ай бұрын
USITUZULIE: 1) Muhammad hajatabiriwa kwenye Bibilia, ametabiriwa kwenye INJILI. 2) "....Tazama, Kalamu ya Uongo ya Waandishi imeifanya Torati kuwa Uongo" .. Bibilia yenu ndo inayosema hivyo, sio sisi 3) Mnasema Mungu ni Mmoja katika Nafsi Tatu .. Ndivyo mnavyotuhubiria kila siku (Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu) ... Hivyo, Msilalamike 😄
@zuberimohamed43Ай бұрын
Upeo wako ungetuliza kichwa ungemuelew sule punguza mihemko uislam haukuja na muhammad uislam ulikuwepo tngu enzi za ibrahim na kila nabii alikuja na kitabu na muhammad alikuja kuendeleza walipoishia wengne naye alikuja na Qur an kitabu kilichokamilika kilichobeba vitabu vya manabii wengne yaan ni sawa na mtu aliyenunua cm bila charger na yule aliyekuja na cm na charger earphone zake huyo yupo complete
@yasirhamisi1128Ай бұрын
Akili huna ww
@nickyliz5261Ай бұрын
Kuna wkt nilikuwa na maswali kuhusu Yesu na Mungu ikanibidi niombe na hata kufunga sana ili Mungu ajidhihirishe kwangu na ninamshukuru alijidhihirisha kwangu kupitia maono na hata Mikasa ya maisha yangu to the point that hata malaika aje aniambie Leo hii Yesu si Mungu ama yeye ni binadamu wa kawaida siwezi kumwamini jamani wapendwa majibu yetu hayapo kwa viongozi wa kidini ukitaka kujua ukweli mtafute Mungu kwa bidii atajidhihirisha kwako yeye ni mwaminifu
@saidabdurahman9631Ай бұрын
wew ulitokewa na shetani sio bure 😂😂
@pilimusa3217Ай бұрын
Yohana 17 :3
@Ammy_RainАй бұрын
Sawa tumekuelewa 🤣🤣
@makamenyikombo4220Ай бұрын
Mungu akutokee ww fala weeee...
@nickyliz5261Ай бұрын
@@saidabdurahman9631 hayo ni maoni yako ikiwa Unamwamini sheitani zaidi ya Mungu hainihusu
@milanempire460927 күн бұрын
Kama anasoma biblia kama anavyosema asome yohana 1:1 na yohana 1:14 inajieleza bila kuhitaji kueleweshwa
@kirengaswai490727 күн бұрын
mashallah mungu azidi kukupa Zaidi kipaya chako Kwa kufundisha dini ya mungu Kwa UKWELI na uwazi
@chapchap-oz1ouАй бұрын
Shebby hii topic huwezani nayo huyu bwana atakudangaya na unaitikia tu.... ungemwitia Shehe Omar au Mchawi Hassan kutoka Kigoma ....hawo ndio wanaelewa uislamu na ukristo. Kwanza Yesu ni Mungu...na Yesu na issa bin maryam ni watu wawili tofauti kabisa. Without lies Islam dies!! Yohana 17:3 Yesu anaongea baada ya kufanyika mwili- akawa binadamu, mwana, mtume nk... Kwa hiyo 17:3 inataja Mungu NA YESU uliyemtuma kwa uzima wa milele....mitume ni wengi.....lakini aya inasema Mungu na Yesu. ..... sio Mungu na Ibrahim, Mungu na Musa au Mungu na muhammad.
@filberthenrickАй бұрын
Shebby umekurupuka
@herimornchriston6083Ай бұрын
kwenye biblia Mungu kamwita yesu n mwanae na pia yesu mwenyewe kakubali , na Mungu alimuita Musa nabii, elia alimuita nabii. ila huyu kamuita mwanaungu manake n zaidi ya nabii , ila wewe unasema haiwezekani n sawa ila haiwezekani n kwasababu sio kwamba iko hvy ila n kwasababu Quran yenu imeandikwa hvy kama ingeandika vyengine mngeamini pia.
@SaidFupiАй бұрын
hayo maandiko ya biblia aliyoyatoa mfano yohana 17:4 ni quran
@chapchap-oz1ouАй бұрын
@@SaidFupi yohana 17:4 Baba nime kutukuza hapa duniani kwa kutimiza kazi uliyonipa niifanye. Tangu lini quran ikamwita allah Baba???
@herimornchriston6083Ай бұрын
@@SaidFupi biblia n biblia na Quran n Quran tusichanganye mambo sisi Mungu wetu haoni sababu yakuwadanganya watu hatujasahau nyinyi mmesema yesu hakusurubiwa ila Mungu alimuweka m2 mwengine asurubiwe badala ya yesu!!! Je kwann Mungu awadanganye watu au amtoe yule m2 afe wakati hana hatia !!! Mnasema yesu alimuomba baba au aliwaombea watu kwa baba sawa ss tunasema yesu n Mwana wa Mungu je Allah wakwenye Quran hakumuombea Muhammad ?? Kamwombea kwanani kama yeye ndio Mungu !!! Acha kusema maneno ya biblia n Quran bwana kwasabb sio kweli kunautofauti Mwingi sana !!!!!
@msabilapaul4013Ай бұрын
Sinagogi n mskiti wa wayahud sio mskiti wa waislaam
@user-to1it9hk2zАй бұрын
Hapo Inayo zingatiwa ni Tafsir ya neno Sinagogi...Na tafsr ishataja mskiti ....Sasa ww na usomi wako lete Tafsir nyengne isitaje mskiti
@Putin331Ай бұрын
Mwambie huyo dokta sule aachane na uchawi wa manyota nyota
@saidmbonde535818 күн бұрын
Maashaallah. Barakallahu
@OSEBIUSNYALEАй бұрын
Daaah,ww baharia sulle inamaana hujasoma kwenye bibilia kuwa mungu aliupenda ulimwengu hadi akamleta mwanae dunian kuja kuutangaza ufalme wake?? Huyo mtume wenu kaja kama mpinga uungu wa mungu aliye hai.
@user-do1pq2uu1cАй бұрын
Sasa maneno hayo alisema mungu mwenyewe au yesu? Sikasema yohana sisi waislam hatukubali maneno ya yohane hana uzima wamilele ila angesema yesu mwenyewe tungeamini take care
@Rahima-kv6mnАй бұрын
Uyo Mungu wakati ana mzaa mtoto wake yesu we ulikuwepo au ndo ulikuwa docta enzi izo 😏😏
@Amina-yc1nb27 күн бұрын
@@Rahima-kv6mn mtume alivyotumwa m,mungu wewe ulikuwa angalia vitu vya kutuma kwa comment sio unaropoka tu
@user-hr7ep8zt2rАй бұрын
Weye kama mwalimu wakislamu kusema yesu si mungu haimufanyi kutokuwa mungu kwasababu yéyé alikuwako kablayako nausi sahaukwamba utahukumiwa n'a huyohuyo unayesema simungu
@pilimusa3217Ай бұрын
Yohana 17:3
@salummnguruta4518Ай бұрын
Kweli kazi ipo.Mwenyezi Mungu akufungue macho,masikio na moyo kabla haijawa too late
@mariowatz5814Ай бұрын
😂😂😂😂😅😅
@milanempire460927 күн бұрын
Na ndio maana yesu alikuwa akifundisha kwa mafumbo na ndio maana imeandikwa watasikia lakini hawataelewa Mungu awafumbue macho ya roho ili waweze kuona ukweli
@vincentauxerbius755425 күн бұрын
Hapo nimeeleweshwa vizuri kabisa mungu akubariki shekhe🙏🙏
@SuleimanKahangwa-oj9ehАй бұрын
Yesu nimwanadam kama mimi
@user-zc6og4wt7sАй бұрын
Umepotea
@user-tl8cj8gw6pАй бұрын
@@user-zc6og4wt7s haya amepotea nawewe unasemaje Kwa yesu? Sbb yeye kasema ysu siye Mungu akawa mpotevu kwako haya sema wewe ni Mungu aje !?
@shirrangimedia457019 күн бұрын
Watuwengne bwana yesu alizaliwa bila mapenzi yamtu namtu we we wazaziwako wamejamiana ndio ukapatikana unasemaje unafanana nayesu jaribuni kusoma vitabuvyamungu kuliko kukosoa nawakati hamjui lolote yesu nimungu asilimia 100 nanimwanadamu asilimia 100 soma yohana 14:9_ nakwendelea utajua ukwer maswali unayo yauliza Leo ndio utajua naujue yesu amekuwapo tangu kuumbwa kwadunia nakabra ya Ibrahim
@shirrangimedia457019 күн бұрын
Mungu aliuvaa mwil ili aupeleleze ubinadamu maana toka amemuumba mwanadamu alikua anawaua wakikosea lakini toka katua duniani ndioleo tumepata Uhuru wakumuomba mungu bila kumtumia mtu yoyote maana zamani hakukua nauwezo wakumuomba mungu bila kutuma kwamtu
@user-tl8cj8gw6p19 күн бұрын
@@shirrangimedia4570 hii ni uwongo na umesema nakuamini kitu huna ushahidi nayo wala ukijui pengine2 umefunzwa hivyo na unashikilia Tu Ivo pole Sana lkn chance bado ipo
@Isaac_The_GeniusАй бұрын
Yesu sio Mtume soma Yohana 8 : 58
@hamisndusu3625Ай бұрын
Hiyo yohana ni kauli ya nan mungu au yohana kuwa mjanja bas
@Isaac_The_GeniusАй бұрын
@@hamisndusu3625wewe ni mpumbavu maana Huna hata mda wakusoma
@TheGame-nz7umАй бұрын
Ukitaka kujua ni mtume au sio mtume msikilize yeye...anasema ni kuyatenda yake yeye alienipeleka.
@mohdkhatib223Ай бұрын
Unajua maana ya mtume?
@mtimti3912Ай бұрын
Yohana 21:25 NEN Lakini kuna mambo mengine mengi ambayo Yesu alifanya. Kama yote yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa. Amen.Mt 22:29Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
@sarahabdullatif8556Ай бұрын
Wamejuwa jina la Yesu Lina nguvu wakajiwa itakuwa kishindo wakaliita isa Isa wapi na wapi nayesi mana hata kiarabu Yesu anaitwa Yasuua
@mamamwajei8789Ай бұрын
huyu mwanzo alikua mtumishi ila Kwa Sasa anatupiga Mandingo....tamaa ya pesa imemuingiza kwenye miungu haki vile nawaambia...amrudue MUNGU afanye Toba kabla umauti haujamfika,,maana ataulizwa alichokichunga...
@trucillahgesare9501Ай бұрын
John 17:22 ..Utukufu ule ulionipa....ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja ,23 mimi ndani yako na wewe ndani yangu so the word" US" underline it
@Catherine-mh8swАй бұрын
Wewe ndiyo huna elimu ya dini kabisaaa. Na huelewi hata
@ramzanqarim4977Ай бұрын
Unapotea kwa kuwa hujui maandiko
@swafiirbulbul819Ай бұрын
"Utukufu Ule ulionipa".. 🤔 ... Aliempa Utukufu YESU ni nani..!??? 😃 .. (John 17:22) I have given them the glory that you gave me, that they may be one as we are one. (One in Purpose) Umeelewa Mzungu..!??? 😂
@trucillahgesare9501Ай бұрын
Yesu ako na mamlaka yote mbinguni na duniani ,na yeye ndio atayehukumu ,mohamad hana lolote hata cheo ya security hamna
@mpembaupemban9479Ай бұрын
@@trucillahgesare9501wew bado sana nenda ukasome bibilia ili uijue dini acha kiburi
@michaelbengesi9838Ай бұрын
Dr. Sule shida unawavuruga waislamu wenzio wengine hawaamini Matumizi ya Majini.😮
@impeccablerito7922Ай бұрын
Hakuna matumizi ya majini mzee. Sijajua ww majini unawachukulia je lakin majini na sisi wote ni viumbe tumeumbwa na mungu mmoja. Ila wao wamepewa uwezo wao binafsi na mungu ametukataza kushirikiana nao. Ivyo ukiona mwislam yoyote anayetumia majini uyo ni mwislam jina. Quran ijaacha kitu mzee ata viumbe vyote unavyojua ww ata sisimiz kaongelewa katka quran ivyo majini nao ni viumbe nao wameongelewa. Aimaanishi waislam wanashirikiana na majini iyo dhana potofu ondoa kichwan mwako
@michaelbengesi9838Ай бұрын
@@impeccablerito7922 Ni kweli Majini yameumbwa na Mungu. Unataka nikuwekee link hapa Dr. Sule Akiongelea faida za kuwa na mahusiano na majini, ambapo unaweza kuyatumia kwa mambo mazuri kama kukupa mali, Sule anasema Majini yana hazina kubwa binadamu hatufiki hata robo kwa utajiri walionao majini. na unaweza kuyatumia majini vibaya kufanya mambo maovu kwa wengine. Kwahiyo kichaka anachojificha ni kwamba yeye anatumia majini kwa nia njema
@prochesernest5439Ай бұрын
@@impeccablerito7922Allah sio Mungu wa kweli ni muongo na mtume wake ndomaana wakristo tunawakatalia Allah na mtume wake marehemu Muhammad mpinga kristo
@pilimusa3217Ай бұрын
@@prochesernest5439yohana 17:3
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Natamani niwadundishe Vijana wenzangu wa KIKRISTO wamjue MUNGU ... 😃 .. Nna wasiwasi mpaka leo hawajui wanamuabudu nan
@lukumanyakalisiano4916Ай бұрын
Salam alaikum warrahumatullah wabarrakatuh
@AllySullyАй бұрын
Kweli makafir hata ashuke mungu wa kweli aje na huyo yesu aseme jaman me sio mungu huyu hapa ndio mungu hawato amin abadani.
@yakobomkristo872Ай бұрын
Asante Bwana Yesu Kwa Neema Ya Ukristo Uliyonijalia.
@liliankemuma9475Ай бұрын
Amen
@swafiirbulbul819Ай бұрын
😁🤣 .. Yesu mwenyewe UKRISTO haujui .. Alifundisha watu kumshukuru Mungu, wewe unamshukuru Yesu ... mshukuru MUNGU wa YESU ambae ni Mungu wetu sote
@herimornchriston6083Ай бұрын
@@swafiirbulbul819 sawa ila Mungu wa yesu hajawahi kumuombea m2 yoyote !!! wakwenu kamuombe Mohamad
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
@@swafiirbulbul819😹😂😂😂🤣
@Mwasame_Official1Ай бұрын
Yesu ni mwana wa mungu tena ni mungu mwenye
@HappyKiteboarder-du9thАй бұрын
Wewe kweli chizi
@HafidhKhamis-ph8qgАй бұрын
Wewe wawapi acha kufru kasome maandiko
@ahmedkhamis123Ай бұрын
😂😂😂 umenichekesha sana sasa yesu ni mungu au mtoto wa mungu naona kama umechanganyikiwa
@castorchipalo843 күн бұрын
Pole
@YusphMashaka3 күн бұрын
Mwenye nn mbona hueleweki mala mungu mala mwana wamungu
@IdrissaMakange29 күн бұрын
Dr Sulle Fundi kweli kweli
@albahsans28 күн бұрын
Allah akuhifazi endelea kubainisha usingizi wanao uwita kifo namanisha haki ibaki kuwa haki nasio ubabaishaji
@binthkhamis8042Ай бұрын
Mungu ni moja tu
@paulmushi2428Ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA MTU HATAFIKA KWA MUNGU PASIPO KUPITIA KWAKE
@RamadhanAmir-ql7flАй бұрын
hao wanaosema tulimtelemshia injili ni kina nani hao mbona kama wapo wengi angali mungu ni mmoja,
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Katika Lugha kuna aina mbili za Wingi .. (plural of number & plural of respect) ... Yaani wingi wa idadi & wingi wa heshima Aweza Mmoja akatumia Wingi kwa kuonyesha ukubwa wa Jambo au heshima .. Mambo haya sana yapo kwenye lugha ya Kiingereza, Kiarabu, Kiibrania 'n.k
@muzzoonlinetv7446Ай бұрын
Asante dr
@jesusislord9190Ай бұрын
Mafundisho ya kiislam yamebeba mila ya kizaramo?? Au sio??
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Wacha kukurupuka Soma vitabu vvyote utajua ukweli 😢
@Makevo08Ай бұрын
Uislam=umatumbi + uzaramo
@jesusislord9190Ай бұрын
@@user-gy5en6cy8o sikia unatakiwa kusema uislam umebeba umatumbi?? Mfano uarabuni kabla ya uislam kulikuwa na makanisa na kulikuwa na masinagogi si ndio?? Jiulize je waarabu walitumia kiyahudi kusali?? Kama hawakutumia kiyahudi kwann?? Wewe utumie kiarabu?? Kama Allah ni Mungu wa mataifa yoote kwann?? Mitume woote wa kale walifundisha kwa lugha zao lakini wakalimani walitafsri kwa lugha zingine ili watu wajue wanachosali na kuomba .. leo niaibu kwa waislam Allahuakbar inamaanisha Mungu ni mkubwa wameenda kwa wazungu wamegunduwa wakiwaambia God is bigger hakuna atakae kubali ujinga huo ..wamewaambia God is greatest kitu ambacho ni uongo mkubwa sana ... uislam hautoki kwa Mungu ni mira ya kiarabu tena ya kishetani ya kuabudu majini
@nurdinmfamau3493Ай бұрын
Hivyo Hivyo Ila Niwapi Yesu Ameandikwa Yeye Ni Mungu. Yeroi Yeroi Mbona Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.
@jesusislord9190Ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 Allah akimswalia Muhammad anamswalia kwa Allah gani??
@trucillahgesare9501Ай бұрын
Walio Kuja nyuma kupinga yesu ni wailslam.. If not tupe verse katika Biblia inataja mohamad
@shaameshaame2837Ай бұрын
Mm naondoka lakn tazama yuwaja Roho na atakapokuja Roho huyo atakuja na sheria haki na hukumu. Ndo maana sheria ya kiislam ukiiba inasema ukatwe mkono
@swafiirbulbul819Ай бұрын
UISLAMU gani unampinga YESU ..!??? 🤔 Dini isiyokuwa ya Kikristo ambayo inataja wazi na kuwafundisha waumini wake kuwa YESU ni Masihi (kristo) ni UISLAMU.. vipi tena sisi tuwe wapingaji..!?? Nakùkaribisha Uusome UISLAMU
@user-dk6lz5yu4cАй бұрын
@@shaameshaame2837 Muhamad ndio Roho Mtakatifu ambaye Mwanadamu alioa wake wengi unataka kumfananisha na huyo. Roho Mtakatifu ni nafsi ya tatu ya Mungu. Soma Matendo 1:4,5 Matendo1:8
@tashone788428 күн бұрын
Tunahutaji elimu fanya Mdahalo na Dr Sule au Mazinge tupate faida usitumie sms
@Jahahajkaibdbsjs29 күн бұрын
Hiyo siyo issue; issue ni kutenda mapenzi ya Mungu.
@CostantineMaregesi-jx1vd25 күн бұрын
Lazima ujue nini maana ya njia unazunfumzia dini hata kweli haimo moyoni mwako umebeba sauti za wageni wasio jua kweli watakufuata ila sio wanaoonzwa na Roho Mtakatifu
@mfaumenoti7843Ай бұрын
If Muhammed is a prophet where in the Quran it says God spoke to him not he spoke to God.
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Rasi Simba anatoa Course ya Lugha ya Kiingereza .. 😃🤣😂 ... Gharama zetu ni nafuu Qur’an Chapter 112 .. verse 1-4 Sahih International Say, "He is Allah , [who is] One. 112:2 Allah , the Eternal Refuge. 112:3 He neither begets nor is born 112:4 Nor is there to Him any equivalent.
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
Maashaa Allah mpe ilmu kaka.@@swafiirbulbul819
@rogerssimon9517Ай бұрын
Quran inajieleza yenyewe kwamba yesu ni roho wa mungu na ni neno la mungu acha kupotosha watu sule.
@impeccablerito7922Ай бұрын
😂😂kweli iman upovu yani mnaongea vitu ambavyo aviingii akilini sema ata akili ya darasa la 3 c mnashindwa kuitumia. Umesema Yesu ni roho wa mungu. Ili ni neno WA..Maanake kuna Mungu. Mnaongezea Yesu ni mwana wa Mungu..maanake ni vitu viwili tofauti Hapo hapo tena Yesu ni mungu..😢😢Jaman kishwahili ni lugha nyepes sana aitaji mathematics.😅😅
@superhemed7590Ай бұрын
Hlf kumbe Mungu ana roho! Nilikuwa sijui😮
@sundaystanley5322Ай бұрын
@@impeccablerito7922tatizo lenu kitabu chenu wenyewe kinamuelezea yesu ni nani,ajabu mnakikataa kitabu chenu wenyewe
@mobutu3884Ай бұрын
@@superhemed7590Wewe nawe ndio hujui kitu kwani hata quran sianatambua kuwa Mungu ni roho, acheni kufundishwa na hawa walimu someni wenyewe wanawapoteza 😂
@KhamisOmar-kt4kzАй бұрын
Ww matako huyo yesu ashuke leo anakukataa na atawakaa huyo yesu na mtume wetu Muhamad sijui.mtaenda wapi wajinga nyny
@alijuma8009Ай бұрын
Mashalah
@user-ft4tq4ug4c19 күн бұрын
Saahii kabisa maelekezo Ayo dr. Sulle
@paulmushi2428Ай бұрын
Hakuna Nabii au Mtume aliyewahi kuwa Mwislamu kuanzia Adamu, Nuhu Musa, Ibrahimu, Daud Yesu, Wala Sinagogi siyo msikiti huo wa Waislamu
@ThruthministryАй бұрын
Barikiwaa sana mpendwa kwa kusapoti na kumtangazaa KRISTO katika mwisho wa nyakati
@husseinwaziri227Ай бұрын
Rudi uka some kitabu chako vizuri
@hassanjamaldin632Ай бұрын
Kasome kwanza
@ramadhanlipendelee3496Ай бұрын
Kwa hiyo walikuwa ni Wakristo?, au walikuwa dini gani, tufahamishe.
@ThruthministryАй бұрын
Tusome wapi tuelekezee
@dorcaskarago2876Ай бұрын
Ni kwanini Muhammad alifundisha waislam kuuwa wakristo
@abdulrazack9577Ай бұрын
Lete maandiko yanayosema hivyo
@mobutu3884Ай бұрын
@@abdulrazack9577 Kasome na hii najua hamuwezi fundishwa mnafichwa tu, mnachofundishwa ni chuki tu dhidi ya wakristo Reference; sunan an-Nasa'i 4061 In book reference Kasome hiyo mlishaambiwa mkibadili dini muuliwe It was narrated that Ibn A'bbas Said "The Messenger of Allah (SAW) said: Whoever changes his religion kill him
@mobutu3884Ай бұрын
@@abdulrazack9577 Acha ubishi aya zipo kibao mnafundishwa chuki juu ya wakristo na ndio maana toka mpo madrassa vitoto vidogo vinachukia wakristo, au husomagi quran
@selemanimchana3598Ай бұрын
Wewe nae kama huyajui maandiko sio lazima useme
@mobutu3884Ай бұрын
Waliambiwa hata wakibadili dini pia wauwawe ni msiba
@NasibuMbaruku4 күн бұрын
A/alaykum ustadh na Dr sule mungu akujaalie hivyo hivyo hao wanakuelewa sana ila wankaza fuvu alafu ajabu yao sasa ety wanakushambulia wewe badala ya maneno yani Wakristo bahna
@GodenBMDanielАй бұрын
Yesu Ni Mungu 100%
@jumamohamed3168Ай бұрын
Mungu alizaliwa na akinyonyeshwa ,akala chakula na akaenda chooni .wewe acha ujinga wako huo.
@omarimhd7716Ай бұрын
Kama yesu nimungu alafu mungu ninani
@ramzanqarim4977Ай бұрын
Nenda ukasome tena.tatizo unalishwa uongo kwa bibilia hasomeswi ukwelj
@salumkagame509Ай бұрын
Mungu anakufa?mungu anaomba mungu?mungu anapigwa na viumbe alio waumba? Mungu alienga kumiliya mungu mwengine amuokowe na kifo?alipo kuwa msalabani akamlalamikiya mungu eti.mbone kamuaca? Mungu Hana tabia yakubadiika badiika soma
@kharashbabar7393Ай бұрын
Kwahiyo ww unaesema yesu nimungu....kwahiyo ww unaeijua sura ya Mungu ee?
@mbetenijumanne9576Ай бұрын
Mafunzo ya Dr.Sule yupo vizuri tena yupo wazi kabisa kweli Islam ni dini ya kweli
@whitetigerprincy5882Ай бұрын
Dini inatokea wapi Sasa maanake dini lenyu ni la waarabu kisa Muhammad
@mpembaupemban9479Ай бұрын
@@whitetigerprincy5882Wew unavita na Mohammad ila ukweli upo pale pale uislam ndio dini ya kweli isome bibilia utajua kua wewe unapelekeshwa tu
@user-yp7nv3mg4bАй бұрын
Hamna shehe hapo ni uongo mtupu
@mpembaupemban9479Ай бұрын
@@user-yp7nv3mg4b tumia akili wacha kubururwa kama mbizi
@godwinkileo7702Ай бұрын
Yesu ni mwamba,
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Umekusudia Mwana au ..!? 😃
@daudisephu129220 күн бұрын
Mashaallah
@pammymoraamoraa6702Ай бұрын
Kama Hao mitume 23 walikua waislam walikuwa Wanaongozwa na nani kama wanasema Mohamed alipoanza uislam aliangushia Koran kutoka juu .Jesu saidia hawa wafuguke macho.mohamed alikua anatumia ma jini nahakuna vitendo viamaana alifanya.Yesu Christo alitumia Mungu wetu ambaye alikua ndani yake kwa mwongozo. Na mungu akamwanbia wewe na mimi ni kitu moja nayeyote atakwaminie kupitia wewe amenipata Nandio maana Jina la Jesu lina nguvu kushinda yeyote duniani. Yesu ndio bwana
@jamesgasper6764Ай бұрын
Kwani Muhammad ndio muislam wa kwanza adi useme hao mitume walikua wanaongozwa nanani? Nabii Suleiman mtt wa nabii daud alijenga ekalu apo yerusalem ambalo kwasasa ndio msikitini wa Al aqswa unaogombaniwa na wapalestina na waislael
@mussangombola3026Ай бұрын
Toa ushahidi wapi alipewa Kwa mAjini,mwenzio anatoa Kwa ushahidi Kwa vitabu vyenu
@KabatoniBoraa27 күн бұрын
Mungu anawazawadiya uganga wakuwapatishiya rizki yakula.kisha hamshkuru mnapeleka kanisani kumfananisha na binadam. Badala yakufanyiya kazi iyo nyumani mnabeba kanisani kutaka mpoteze watu.mtajipoteza nyinyi wenyewe muislam hauoni hata umoja..kila muislam kuanziya mimba mpaka mtu mzima wooote tunaelim.
@KabatoniBoraa27 күн бұрын
Sante dr wetu wabane mbavu hawo.hawana elim.
@user-nz1su3fz9vАй бұрын
Ukosefu wa elimu ya yesu utazidi kuwachanganya wailaam hadi kurudi kwake😂😂😂
@RamadhanAmir-ql7flАй бұрын
nawatachanganyikiwa sana, waislamu, mafarisayo na waandishi na wanasheria wa kiyahudi walichanganyikiwa ndo asichanganyikiwe sule,
@AhmadSalim-dm4ukАй бұрын
Haya tuelekeze ww 😅😅
@alfredbomani9098Ай бұрын
Ww ni mkristo au muislamu@@RamadhanAmir-ql7fl
@SalumAlly-tt9rbАй бұрын
Uyo ndio Doctor Sure Anatibu Watu wasio mjua Mungu
@user-yp7nv3mg4bАй бұрын
Hamna kitu kiboko yake pastor ndacha
@fridageorge2809Ай бұрын
Ukristo unatambua vizuri kuwa Mungu ni mmoja na hana mshirika! Kinachowasumbua watu hasa wenzetu waislamu ni utatu mtakatifu (Trinity) au fumbo la Imani!! Mkasome jamani!
@nancyenock5601Ай бұрын
Hawatojua na atutaki wajue wabaki hivyo hvyo na vichwa vyao vya majini
@fridageorge2809Ай бұрын
@@nancyenock5601 🤣🤣🤣
@impeccablerito7922Ай бұрын
Quran..Mungu anasema akupata tabu kuumba mbingu na ardhi pamoja na viumbe vyake, wakristo wanadai yesu ni mungu kwa sababu ya nguvu na uwezo wa maajbu aliopewa yesu na njia ya kuletwa kwa yesu bila baba.Wanasahau mungu alishafanya maajabu ayo kwa Adam ambaye hana baba wala Mama ila yesu anaye mama. Kwa mantikii kwanin msiseme Adam ni mungu kwa sababu ajazaliwa ila yesu kazaliwa. Wakristo mnatakiwa mfungue ubongo wenu mjue kuna mungu na wala yesu sio mungu bali yesu ni nabii..Na waislamu wote atumpingii yesu tunamwamini kama nabii ila sio mungu
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rrАй бұрын
Nonsense
@bbnthia2055Ай бұрын
Nakufungua macho kutoka leo, John 14:6
@eezybugeraha7169Ай бұрын
Kinachomfanya Yesu kua Mungu sio kwa sababu ya kuzaliwa bila baba, wala si mayendo mengi ya miujiza aliyoyafanya noo, Kinachomfanya kua Mungu ni kwa sababu yeye ni Mungu kabla hata ya kabla yenyewe kuwepo.
@impeccablerito7922Ай бұрын
@@eezybugeraha7169 Naomba urudie kusoma tena ulichoandika halaf niambie umeelewa nini
@herimornchriston6083Ай бұрын
sasa nawewefunguka pia yesu s nabii ni mwana wa Mungu!!!! halafu unaanza kwakusema Quran inasema sio biblia inasema hiyo inamaanisha huamini kama yesu n mwana wa Mungu kwasabb Quran imekataa na ingekubali wewe pia ungeamini sindio??
@adamsonmwaisumo6791Ай бұрын
Huyo sio shehe ni mganga na mnajimu
@user-qp5vi9yt6mАй бұрын
Shekh ni mwamposa
@abdulkisome953829 күн бұрын
Pinga Kwa maandiko sio kelele yeye katoa maandiko
@user-cj9nq2pm5y27 күн бұрын
Wewe kafiri unasemaje
@sayidabdillah850520 күн бұрын
Shekh ni ww toa mandatory kwa ushahidi wacha kuamini pia tumia akili mungu ni mmoja tuu huo ndio ukweli ukitaka usitake mungu ni mmoja
@josephmashaury553824 күн бұрын
Mbona hujasoma mstali wa 1 na 5 mimi naona unaimba2
@Leo-xc1nh28 күн бұрын
Mashallah dogita sure ❤❤
@user-du3pd7gb4cАй бұрын
Yesu yu hai mpa saiv anafanya kazi ukimkataa huna Mungu 3:9-19 ,36 Yesu ni Mungu ,alifanyika mwili ili kutukomboa baada ya Adamu kutuingiza dhambin, Yesu alikuja kufuta au kukosoa mapungufu ya Adamu Mathayo 4:1... Ukimwamin Yesu kunakitu unapewa ili umwabudu Mungu katika Roho ma kweli Mwisilsmu huwezi elewa kazi ya Yesu hata maandiko me gine huwezi kuyaelewa mnahitaji msaada waislamu Huna Yesu huna Mungu ,Kumwamin Yedu laxima ubarizwe, msijifariji eti tunamwami,Yesu. Hujabatizwa hujamwamin manabyake umemkataa Yesu Umemkataa Mungu
@nevermind4789Ай бұрын
kwa hiyo Mungu kamshindwa shetani ambae ndio tatizo kaamua kuja mwenyewe kumuokoa mwanadamu? Mungu wa namna gani huyo?Lengo la kumuumba mwanadamu na kumleta duniani ni nini? kazi na lengo la kuumbwa shetani nini ?
@ramzanqarim4977Ай бұрын
Alipewa uhai na nani
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Inabidi mshipa mmoja wa Fahamu ukatike ili uweze kuelewa anachokisema kijana hapo .. 😃
@saphinalutaha9077Ай бұрын
Kabila hàjazaliwa nabii ibrahm na Nuhu walikombolewa na Nan na watu wema wa mtume mussa wakombolewa na dam ya nan
@danimark3300Ай бұрын
@@swafiirbulbul819hizo dini zote za kuletewa ni upumbavu tuu hazina maana kabisaa