🔴

  Рет қаралды 52,059

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 152
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@sefaniaslyvestertv1498
@sefaniaslyvestertv1498 2 ай бұрын
Hawa polisi hawafai mbona jama katekwa na wao hawatoi taarifa yeyote na anawaza kukimbia nchi polisi imekuwa ni genge la majambazi
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 2 ай бұрын
Mwenyezi alisaidie taifa hili jaman
@GoodluckTarimo-u3j
@GoodluckTarimo-u3j 2 ай бұрын
Asante jeshi LA polisi kazi njema mungu awape maarifa mengi
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 2 ай бұрын
Kaka afande Mungu akubariki ,maana maeneo yote wananchi wangetiwa moyo namna hii hata wananchi hawavurugwi kama inavyotokea sehemu nyingine nchini
@noekenny3771
@noekenny3771 2 ай бұрын
Kuna vitu haviko sawa kwenye jeshi letu, Taarifa zina tolewa baada ya wananchi kupiga kelele sana. Something wrong some where.
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 2 ай бұрын
Umeona ndugu yangu, Bila siye kupiga kelele nyundo na wenzake wasingeonyesha sura zao, (2) bila kelele zetu pia afande pia wasingeongea polic wangetuzuga TU, Tunawapenda polic ila na siye watutendee haki pia
@KristonsiaSNkya
@KristonsiaSNkya 2 ай бұрын
Ee Mungu baba naomba mwisho mwema 😢
@fredgonga
@fredgonga 2 ай бұрын
😢 Mbona sijasikia wengine
@charlessentiyongo8484
@charlessentiyongo8484 2 ай бұрын
Hapo sawa, angalau mmeanza kufuatilia mambo ya mauaji kwakweli imekuwa tatizo kubwa sana nchini, hata ninyi pia mjichunguze pia maana duh....!
@jofreykilangila4118
@jofreykilangila4118 2 ай бұрын
Ilibidi wauliwe hapo hapo ili iwe fundisho kwa wengine
@gerkombo6512
@gerkombo6512 2 ай бұрын
Hii statement itazidi kuwaweka kwenye matatizo. Mnapaswa mtoe taarifa zawatu wote waliopotea.
@BituroPaschalKazeri
@BituroPaschalKazeri 2 ай бұрын
wasaidie kwa kuwa mkweli na kuwapa ushirikiano; bila raia kuwajibika kama sehemu ya ulinzi na watu na mali kazi yao imekuwa ngumu sana
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc 2 ай бұрын
Chief God love akamatwe anawahamasisha vijana kufanya unyama 😢
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 ай бұрын
Mpenzi mapenzi enyi binaadam mnaopenda msipo pwendwa 😢😢😢😢
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Ilikua afe huyo mganga kienyeji,
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 ай бұрын
Jmn ndo ubinaadam huu ugaid tuu😢
@mohamedrajabu9055
@mohamedrajabu9055 2 ай бұрын
Kesi km hizi jeshi letu la police alhamduallah yaani fasta tow lkn za ubakaji mpk leo munachunguza
@saidomary6414
@saidomary6414 2 ай бұрын
Kalio
@BonifasiAmosi
@BonifasiAmosi 2 ай бұрын
Yenye ndo munavunja amani
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 2 ай бұрын
Innalillahwainalillah rajiuun jamani jamani huo ni Utajir kweli
@VictorBugobola
@VictorBugobola 2 ай бұрын
Hivi kumbe watu tumekosa Hofu ya Mungu...dah
@allybora4021
@allybora4021 2 ай бұрын
Zama za mwisho unamkata mwenzio kama kitweheo
@ananiasuleimani5916
@ananiasuleimani5916 2 ай бұрын
Kwa nn hawa waganga wakienyeji wasifungiwe kufanya kaz zao za uganga
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 2 ай бұрын
Tunakubali afande lakn msije mkajificha kwenye hicho kichaka wengne wanatekwa kweli kweli na wahusika mnawajua
@ThomasAlute
@ThomasAlute 2 ай бұрын
Wewe mjinga hapo mnataka kutufanya tuamini ujinga wenu hapo sawa hatujakataa na nyie polisi mnaoteka watu kituo Cha polisi chang'ombe vipi mbona hutoi taarifa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Huyo n kua tu laanahtullah,
@mkondomkondo4721
@mkondomkondo4721 2 ай бұрын
Hizo njia mnazotumia mpk kuelezwa viungo vilipotupwa,si mtumie kwa wabakaji kuwaeleza aliewatuma kwa binti wa yombo dovya?acha kutuchora
@nicksonngaamanya1946
@nicksonngaamanya1946 2 ай бұрын
Police mna kula kiapo kulinda Sheria sio ku kuvunja Sheria sasa uyo AFANDE Fatuma kavunja kiapo , je mtamlinda Fatuma KWAKUA ni police mwenzenu au mtatoa fundisho because remember police you're not above the law ndomana mna apa kulinda Sheria mna vaa na bendela ya taifa kiunoni, madam president work on it.
@ProsperReuben-fg6uh
@ProsperReuben-fg6uh 2 ай бұрын
Kama Sheria ikisimamiwa sawasawa hakuna raia atachukua Sheria mkononi
@davidmwandenuka1712
@davidmwandenuka1712 2 ай бұрын
Kwakweli Hali inatisha sana kwenye jamii kwahaya mambo ya kutekana na kuuana
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 ай бұрын
Nyinyi uwaneni tu mkichoka jibakeni
@FatumaMuya-w5h
@FatumaMuya-w5h 2 ай бұрын
Jamani nini tena hii mbona wanauwana sana na wajina umepatwa na nini tena😭😭😭😭😭😭
@joyceraphael2586
@joyceraphael2586 2 ай бұрын
Hawa waganga jmn
@InnocentKiwello
@InnocentKiwello 2 ай бұрын
Ayo matukio daa makubwa bola Yakina nyundo tena
@fadhilidanieli1478
@fadhilidanieli1478 2 ай бұрын
Hapo kwenye tako ungesema sehem yakalio... Daaaaah ila mambo haya yanatisha kwakweli
@AwaziRajab
@AwaziRajab 2 ай бұрын
Ifike Siku Waalifu Wasiwaze Kufanya Ubaya Kama Lushwa Itapigwa Teke Tz Itakua Nchi Ya Mfano
@DavidSemu-gu6wp
@DavidSemu-gu6wp 2 ай бұрын
Naomba Mungu anisaidie nisiamini kuwa ktk nchi yetu yenye sifa ya Amani na utulivu tunaweza kuwa na kikosi maalum cha kupoteza, kutesa na kuua raia wa Tanzania kama alivyo kuwa Iddi Amin na kikosa chake cha State Research Bureau Mungu atunusuru na kutuepushia tusifike huko.
@zahormohammed4476
@zahormohammed4476 2 ай бұрын
Wacha kumsingizia uovu iddi amin Yule alikua mchamungu ila propaganda ndio ametwishwa nazo
@migerajacob581
@migerajacob581 2 ай бұрын
Hizo ni trick za police Kutaka kujisafi ,ili waonekane Hawa husiki na vitendo vya utekaji,,
@JUSTINPiniel
@JUSTINPiniel 2 ай бұрын
kwanini serikali inawaacha waganga wa kienyeji kwanini(why?)
@BonifasiAmosi
@BonifasiAmosi 2 ай бұрын
Mbona walio potea wao hawasemwi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Mungu wq unaweza wahukumu kwauwezowako wauwaji ww yarabi.ufundiswi unajua siri za siri na zahili tunakutegemea ww. Unawajua wanaojiita wasiyojulika. Tunakutegemea ww sisi wanyonge😭😭tunajua malipo yapo huko ahla tupe iimani nasubra yarabi
@farajsogoma9370
@farajsogoma9370 2 ай бұрын
Hivi RPC wa Dar na Wazir wake 😇
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 2 ай бұрын
Uyo Fatuma kigondo akamatwe
@ShamsaFahad-n8v
@ShamsaFahad-n8v 2 ай бұрын
Jamani😭😭😭 mungu tusaidie
@MOSESIMCHUNGUZI
@MOSESIMCHUNGUZI 2 ай бұрын
Wale wa chadema akiwemo Ben sanane yupo wapi?
@MichaelPaulo-k1c
@MichaelPaulo-k1c 2 ай бұрын
Mpaka watu wapi kelele, ndiyo mnatoa taarifa,oky sawa, je watu wengi walitekwa, toeni majibu.
@safiaothman5175
@safiaothman5175 2 ай бұрын
Laana za Mwenyezi Mungu ziwashuie wauaji wote,Aamiin Yaa Rabbal Alaamiin.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 ай бұрын
Matukiyo ya kutisha mno hayo
@demicratia4071
@demicratia4071 2 ай бұрын
Asante sana. Sasa kule uwanha wa TAIFA hakuna nafadi ya kuwaadhibu hao watu HADHARANI.. au ni lazima waende jela??😂
@RahimMallya-fh9zc
@RahimMallya-fh9zc 2 ай бұрын
Yananifikilisha sana mwenzenu
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 2 ай бұрын
Kuna visheri hapa tanzania bisipofanyiwa marekebisho tutamalizana wenyew Kwa wenyew wanyonge Kwa kamba live bila chenga na mganga auliwe Kwa kutolewa kiungo kimoja kimoja huku waganga wote jadi wakiwa wageni rasmi kuona mwezie anavyotolewa kiungo kimoja kimoja ili wajifunze kupitia mwezao
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 2 ай бұрын
Watu wana Imani za kishirikina hadi leo, fanyeni kz acheni ujinga huo jamani Duuuuuue.
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 2 ай бұрын
Laisi.samia.alisema.hakuna.utekaji.ni.drama.polisi.mnakili.utekaji.upo.mimi.nachanganyiwa
@LeahMkwabi
@LeahMkwabi 2 ай бұрын
Mmmh mungu wangu nisaidie vijana wadogo Mnauwa😢mnakata viungo😢 mnachimba shimbo😢 mnazika😢 Muonapo mambo hayo inueni vichwa vyenu changamkeni Yesu Anarudi
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 2 ай бұрын
Kama watumiwa wamesema mganga ndio kawatuma wanyongwe,,,na tunataka na ware wabakaji muwatese mbaka waseme uyo afande nan na aperekwe mahakaman
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Subuhanallah😭😭😭watu wanauwa wala.hawaogopi.jamani. Allah. Ww ndiyemjuzi tustiliwajawako Tz ss ipokwenye mtihani. Watu wamebadilika wanarohombaya. Waiyendekeza Dunia wao pesatu. Allahu Akibarr
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 ай бұрын
Weacha tu andika danguro tv yutb utaona wakenya wanavyo chinjwa watoto kuchukuliwa viungo zipo chaneli nyingi tu walimwengu ndipo walipofikia M/MUNGU tunusuru
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@jumapiliissa4835 nawajua wale. Dangulo,hawa,pasta,Riyaga,koloo,na walichukuliwa na yule sweitwani. Maxwell. N boxko Jonte Jose
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 ай бұрын
@@HanifaOman-oo4pl ok niatali sana aisee
@ototek8037
@ototek8037 2 ай бұрын
24 hadi 34 ni myaka ya tamaa na ujuwaji
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 2 ай бұрын
Siku zamwisho jmn eman imekwisha watu wanatoa huwai wa mtu na kukata kata kama anakata nyama aisee Imani za kishirikina izi utajiri hauji bila ya kufanya Kaz
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 2 ай бұрын
Mungu aturehemu 💔😭😭😭😭
@AbelChisasi
@AbelChisasi 2 ай бұрын
Eti baada ya Mbowe kutuumu jeshi la polisi kuteka watu, Eti Leo ndo wanatoa taarifa ili kuficha uovu wao
@JaziraMustafa-g9p
@JaziraMustafa-g9p 2 ай бұрын
Wewe na hao chadema wenzio kila kitu mnafanya siasa.Nyinyi kwenu matukio no kiki na kugeuza siasa huo ni uprimitive mind na kukosa hoja.
@stevensoso7506
@stevensoso7506 2 ай бұрын
Kwani kupotea watu ni siasa
@edgarmbegu1974
@edgarmbegu1974 2 ай бұрын
​@@JaziraMustafa-g9pwe jamaa mpumbavu kweli. Kwani watu hawatekwi
@OscarKasalile
@OscarKasalile 2 ай бұрын
Afande hongera kwa kuwa mzalendo na kuwa na moyo wa utu, sio hao wanaoona kuwaua watanzania ndio kupata vyeo sio kweli huwezi kumuua binadam ambae wewe huwezi kuumba mtu.
@PeterwnChibala
@PeterwnChibala 2 ай бұрын
Hii nchi nahis itakuwa na maagano na kuzim, haiwezekan mauaji , kutekwa watu na watu wasiojulika halafu hawa wajomba wapo na wanajisifia kuwa wako hodari na wanafanya kazi kwa weledi ,wanabaka ,wanalawiti kama sio mikataba na kuzimu ni nini waambie kuna gongo na bangi mahali ndo weledi utauona
@RizikiMlela
@RizikiMlela 2 ай бұрын
Nahao wanaotekwa na mafande mbonahuwataji
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 ай бұрын
Mola atulinde alafu tunasema nchi ina amani kweli
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Mbona Police wana subiri had wananchi wa kasirike ndo wa act
@bahatadof5543
@bahatadof5543 2 ай бұрын
Ee si Muwe mnatia taarifa kama hizo ili watu wapate amani ya moyo kuhusu ndugu zao
@abdulmajidmageja6562
@abdulmajidmageja6562 2 ай бұрын
Hongera Sana msemaji WA jeshi LA polisi lakini hauja wakemea askari wanae vunja sheria hapo kuwa watachukuliwa hatua kali nn tatzo
@saudaAlly-g7y
@saudaAlly-g7y 2 ай бұрын
Tanzanian inatishaa 😢🙌
@thabit5775
@thabit5775 2 ай бұрын
Afande tunataka tahalifa ya afande au mnalinda kiapo cha afande mmeshindwa kumkamata
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 2 ай бұрын
Mimi emb tu ninyamaze
@omarymgangasenzia5282
@omarymgangasenzia5282 2 ай бұрын
Nyakati za mwisho zimekatibia binadamu tumekuwa wanyama sana Mungu sema nasi
@martinisadru9899
@martinisadru9899 2 ай бұрын
Usiwafananishe binadamu na wanyama,, binadamu ni hatari kukiko wanyama,, baazi ya binadamu ni mashetani wakubwa.
@innocentMallya-v4r
@innocentMallya-v4r 2 ай бұрын
Tunataka jeshi la police kunapootokea tatizo ndan ya jamii litoke na kusungumza ili watu wajue nini kinaendelea lakin jesh lenye dhaman ya kulinda mali na raia ilkitokea shida awasungumzi tunakuwa na wasiwaz kwamba akuna kitu kinchoendelea. Kweli mimi sina iman kabisa na jeshi letu kutokana na baadhi ya police wanaotumia madaraka yao vibaya mimi niombe viongoz wakuu wa jesh police wawe wakali na kusimamia hao police wa chin kwa makin. Madhara ni makubwa sana endapo police watashindwa kujua umuimu wao kwa jamii Police wengi wanafanya kaz zao wakiwa wamelewa hili nalo ni tatizo. Police ni taasisi mmenyoshewa kidole kwa mda mrefu tambuen kwamba dunia imebadilika kuna watu wenye elimu kubwa na wanauwezo mkubwa wa kuoji na kuna police watakwenda jela kutokana na usembe .
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 2 ай бұрын
Futuni leseni zote za waganga wa kienyeji usajili uanze upya baada ya screening kali.
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 ай бұрын
Awa waganga kama aya ndio wanafaa kunyongwa maana ndio chonganishi hakuna mganga wakutaka viungo vyamwanadamu ila niushetani 😢😢😢
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 2 ай бұрын
Afande kakamatwa au bado sijaelewa vizuri apo?
@hashimrashid6380
@hashimrashid6380 2 ай бұрын
Hongereni sana jeshi la police Tanzania ❤ I believe you
@NehemiaZakeo
@NehemiaZakeo 2 ай бұрын
Umeni fulahisha!!
@kipepeo_Kitchen
@kipepeo_Kitchen 2 ай бұрын
Vijana hawataki kufanya kazi, wanataka maisha mazuri na pesa kwa haraka. Hii ni athari kubwa kwa taifa.
@edisonsanga5288
@edisonsanga5288 2 ай бұрын
Shida sana hivi serikali kitu kinacho nidhi kuruhusu waganga wakinyeji magu alikataa watu hawa ndo wanasababisha
@Mboemo
@Mboemo 2 ай бұрын
Nyinyi wenyewe polic ndio wa kwanza kujichukulia sheria mkoni
@SangiwaMsangi-x4x
@SangiwaMsangi-x4x 2 ай бұрын
Shidasioo kuchukuaa hatuaa mkononi tunavo toaa taarifa polisi wana dharauu kama mpakaleoo mtoto wamiaka17 kabakwa mnajizungusha hana habari zinazo eleweka mnatengeneza chuki kwawananchi timizene majukumu yenu
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 2 ай бұрын
Subhha Allah yarab mtihani mkubwa huu yote nikutaka utajiri jamani Allah akbar lkn yote kutokuwa na imani ya Dini
@mkondomkondo4721
@mkondomkondo4721 2 ай бұрын
Kwa DPP failli la uchunguzi la fatma kigondo litarudi lini?
@charlesseba2000
@charlesseba2000 2 ай бұрын
Huo ni uharifu wa kawaida na sio utekaji
@Ashrey82
@Ashrey82 2 ай бұрын
Mungu naomba mwisho mwema 🙏
@Mjeda-q1m
@Mjeda-q1m 2 ай бұрын
Ongeleeni swala la sativa pamoja na wale vijana wa temeke kusudi malalamiko ya mbowe yapate majibu
@saidmabanga388
@saidmabanga388 2 ай бұрын
Kamanda vipii ao walio tajwa na mh mbowe mbona kimy
@Farida-vg5ry
@Farida-vg5ry 2 ай бұрын
Waganga wakienyeji ndio chanzi cha matati hayo yote jeshi la polisi lingetoa tamko juu ya katazo la wa ganga wakienyeji madhala ni mengi sana
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 ай бұрын
Matokeo hayataisha mana hao watu wa matukiya hatuwa zinazochukuliwa kisheriya ni ndogo
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 ай бұрын
Lahaula huyo mganga akamatwe na anyongwe piya
@KhamisAli-r1w
@KhamisAli-r1w 2 ай бұрын
Amani ya tz ni ya aina hii???!!!...roho zipo juu kuwaza usalama watoto na ndugu zetu!!! Ni cheche!!!!..
@karenstephen8738
@karenstephen8738 2 ай бұрын
Rubbish address issues don't scare us, kama watekaji ni tanpol tutajilinda!!!
@IsiahMosl
@IsiahMosl 2 ай бұрын
Hongeren jeshi la polis kwa kaz mnayofanya mungu awatie nguvu siku zote dunia Inamaajabu.
@rosekimaro384
@rosekimaro384 2 ай бұрын
Bdo jeshi la polisi halijawa sawa kwan kuna watu 80 bdo hawajulikan wako wapi tunaka wapatikana kama hawa Asante
@JhonsonCharo
@JhonsonCharo 2 ай бұрын
Mganga mshikeni na vijana wahusika wafikishwe kortini, na haki itendeke
@Rmollelmichael
@Rmollelmichael 2 ай бұрын
Hivi polisi mkivunja Sheria inakuwaje mnabembelezana kwani Sheria ipo chini yenu. Mnauwa raia mnawaumiza na Bado mpo mna tamba mtaani hii Inamaanisha Nini kwa polisi kutumia nguvu kubwa kufikia kuua Watu hivi mtu hana silaa ya moto yupo kwenye maandamano mfano unawezaje kumpiga Risasi kwani ujuzi wa kumkamata raia ni lazima itumike nguvu ya bunduki kwenye nchi yetu ya Amani lakini mkiuwa kimakosa mnaendelea kubebana
@KiringoMtemi
@KiringoMtemi 2 ай бұрын
Jessica la polisi likitaka linaweza Tena sana lakini cha kushangaza wakipotea upinzani hawana uwezo wa kuwapata inasikitisha sana hii inaamanisha wale watu watakua wanajua nini wamewafanya ndio hutosikia kama wamepatikana ni hatari sana
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata 2 ай бұрын
Hongereni sana makamanda Kwa kazi nzuri mtupe na mrejesho wa hao WAHUSIKUA walio Fanya matukio ili tujue wataishia wapi jamani
@barakamanga5502
@barakamanga5502 2 ай бұрын
Uwempole mkuu kazi inaendelea
@gabrielmwikanu1160
@gabrielmwikanu1160 2 ай бұрын
Serikali iwafute waganga wote wa kienyeji, ndo chanzo Cha mauaji haya. Ni waongo na wachonganishi
@RuandaDimoso
@RuandaDimoso 2 ай бұрын
Mpaka watu wandamane muwapige ndio muwekewazi ukweli tena kwa taabuu
@ahmed-shakirmwamba4992
@ahmed-shakirmwamba4992 2 ай бұрын
Nyonga hawa jamaa ambao bado wana amini uchawi na ushirikina kwani ni watu hatari kwa jamii kwa ujumla. Bora kuwa wahi kabla hawaja leta madhara zaidi.
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 2 ай бұрын
Dha tuiombee Amani Tanzania na ulimwengu mzima kwa ujumla
@edooeducator8459
@edooeducator8459 2 ай бұрын
OLE WENU MUWAACHIE
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 4,4 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 4,4 МЛН