ONA SNIPER WA TANZANIA MBELE YA RAISI SAMIA, KIKOSI MAALUM CHA KIJESHI

  Рет қаралды 298,666

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 79
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 5 ай бұрын
Wajedaaaa nawapenda sana hakuna mwanadamu mtiifu na mwenye roho ya huruma kama mwanajeshi mzalendo ktk nchiyake tuwaombee sana ndungu zetu hawa wanakabiliana na adui ila kujali adui anauwezo gani ili tu kuwalinda watu wa taifa dhid ya adui ,kama utajiri kwamwadamu yeyote ni amani kwanza basi hao wanajeshi ndio utajiri wakwanza Tzania tuwaombee sana kilamtu kwaimani yake mungu ni mmoja,kaangalie palestina Ukraine na kwingine
@SimonManyika-t5q
@SimonManyika-t5q 25 күн бұрын
Natamani sana na me niwe kama hao❤❤
@shammhagama2527
@shammhagama2527 5 ай бұрын
Hongereni sana makamanda wetu, kazi yenu ni njema
@FatumaPugapuga
@FatumaPugapuga Ай бұрын
Jaman si atokee mtoto mmoja wa mama mkwe ambaye ni mwanajeshi nimpendee tu❤❤
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 5 ай бұрын
Mm huyu mwanajeshi mtangazaji wa kwanza ongea yake nimeipenda sana jinsi anavyozungumza mazoezi mbalimbali ya utimamu wa mwili
@consolatap
@consolatap 5 ай бұрын
Kazi ninayoipenda kutoka moyoni....sadly sijabahatika.Good work!
@ibrahimubhoke4149
@ibrahimubhoke4149 3 ай бұрын
Kazi nzuri jw
@MsafiriValens
@MsafiriValens 5 ай бұрын
Hayo mazoezi hayana maana waambie waende kule DRC kwenye frontline ndipo tutawaona kama wamekamilika kwani wenzake m23 imewainyesha kilichomkataza mbuzi kuvaa chupi wanaenda ila kurudi wazima ni mwiko
@brightjulius3461
@brightjulius3461 3 ай бұрын
Nimeipenda. Sana
@FredOnyango-vh4mj
@FredOnyango-vh4mj 14 күн бұрын
Verry smatt
@DennisKhamasi
@DennisKhamasi 4 ай бұрын
Tanzania hamtuwezii sisi kenya we are the best 😂
@comedianmbuti3050
@comedianmbuti3050 4 ай бұрын
Hawa wakifika Kenya wanasalimiwa na kikosi maalum Cha gen z kikiogozwa na komando kasamuel😂
@FrancisProsper-b4h
@FrancisProsper-b4h 2 ай бұрын
Bado hujakuwa kiakili umekuwa kimwili tu😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
@charlesmatangule-o7e
@charlesmatangule-o7e 3 ай бұрын
respect kwenu sanaa
@robertkirui2083
@robertkirui2083 3 ай бұрын
Really good
@ThionaBeatus
@ThionaBeatus 2 ай бұрын
Nimependa
@gadyshekahumyo5186
@gadyshekahumyo5186 3 ай бұрын
Nawa penda sana inji yangu jirani
@KelvinMfugale
@KelvinMfugale 2 ай бұрын
Makamanda mmetisha kinoma
@magufulitvkenya6315
@magufulitvkenya6315 4 ай бұрын
Mashaallah.
@MobimbaWiliam
@MobimbaWiliam Ай бұрын
Saw saw
@bs5802
@bs5802 2 күн бұрын
Kuna wamawake?
@fredyaman3486
@fredyaman3486 Ай бұрын
Jux video unaniwezaweza
@SalumuMbondo
@SalumuMbondo 2 ай бұрын
Mechi za Leo
@HaulSidney
@HaulSidney 5 ай бұрын
Hawa majeshi kwanini wasikate hawa mafisadi wa nchi hii
@musal.ngwingawisalamihambo9298
@musal.ngwingawisalamihambo9298 5 ай бұрын
Nalipenda jeshi letu....JWTZ MUNGU AWALINDE NA KUWAPA AFYA NJEMA
@victaboy7273
@victaboy7273 5 ай бұрын
Dunia imekwisha toka huko. Siku hizi inapiganwa vita ya kidigital. Hawatumii binadam tena
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 5 ай бұрын
Uwez kupgn vita bila askal ndomn Kuna jesh la chini, jesh la anga na jesh la maji jesh la chini linaushisha askal Kwa asilimia kubwa
@victaboy7273
@victaboy7273 5 ай бұрын
@@msafirimaulidi5054 bado upo nyuma sana
@nasibuselemani
@nasibuselemani 5 ай бұрын
Acha uongo wewe,huko ukran,na urusi unawafatilia?😂😂😂😂
@NyanzalaKajege
@NyanzalaKajege Ай бұрын
😮
@ElijahOnyanja
@ElijahOnyanja 4 ай бұрын
😮😮😮
@godfreykajungu.257
@godfreykajungu.257 5 ай бұрын
Jeshi letu linaendelea kuwa vizuri.Ila nafikiri ni wakati sasa na ss tumiliki siraha za nyuklia ili nasi tuwe taifa la kuogopwa.
@MoreOmari-sk9mc
@MoreOmari-sk9mc 4 ай бұрын
Ok
@emmanuelmbati4125
@emmanuelmbati4125 4 ай бұрын
Powerful Tanzania military force
@gitaumuigai9447
@gitaumuigai9447 3 ай бұрын
Vita za aina hii zimepitwa na wakati. Tuko enzi ya drone wars. Amkeni majirani
@agnesnjeri2040
@agnesnjeri2040 4 ай бұрын
Nilikua nimeona nikama mti wa nyuku kumbe ni sniper wa TZ🤭
@TelezaRaphael
@TelezaRaphael 4 ай бұрын
Zaburonisingazi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 5 ай бұрын
Maashaallah
@NshutiRobert-hc1cy
@NshutiRobert-hc1cy 5 ай бұрын
Tunawapendadana kutoka rwanda
@UwamariyaDusabe
@UwamariyaDusabe 2 ай бұрын
Hello fatafaka😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😂😂😂😂
@CajerMomade
@CajerMomade 5 ай бұрын
Jwtz imara
@samsonotieno1730
@samsonotieno1730 4 ай бұрын
Tanzania bado mko nyuma aki
@FarajadausoniDaudikalwani
@FarajadausoniDaudikalwani 5 ай бұрын
😢😢😢😢
@UwamariyaDusabe
@UwamariyaDusabe 2 ай бұрын
Hello fstafaka😂😂😂 I will be 😢😢😮😮😢😢😢😢😮😮
@frankbujiku9496
@frankbujiku9496 5 ай бұрын
Muuza madafu yuko wap jaman😂😂😂😂
@dorinemwakalinga6705
@dorinemwakalinga6705 5 ай бұрын
Uckute yupo ila sasaiv wanaficha nyuso zao
@comedianmbuti3050
@comedianmbuti3050 4 ай бұрын
Hawa wakifika Kenya wanasalimiwa na kikosi maalum Cha gen z kikiogozwa na komando kasamuel😂
@FrancisProsper-b4h
@FrancisProsper-b4h 2 ай бұрын
Bado hujakuwa kiakili umekuwa kimwili tu 😂😂😂
@paickpaschal1175
@paickpaschal1175 5 ай бұрын
Dah hawa jamaa,,wanatia morale sana .. mpaka unatamani kujiunga asee
@AlopuJoseph
@AlopuJoseph 3 ай бұрын
A
@dessdess4358
@dessdess4358 5 ай бұрын
sarakasi hizo tu endeni mission ndo mtajua vita si kuinua miti,,,
@mrishosaidi
@mrishosaidi 3 ай бұрын
Hamna kitu nilichoelewa
@Mountainlovers611
@Mountainlovers611 4 ай бұрын
What is going on here?
@Jeremiahlukumay
@Jeremiahlukumay 4 ай бұрын
Wapelani somalia wakaimarishe usalama.
@MaikoRashku
@MaikoRashku 5 ай бұрын
Maigizo kweli kwekie
@hozeeawadi6817
@hozeeawadi6817 5 ай бұрын
Apo US marine watatu wanatibua show nzima🤣
@rommyshabby3959
@rommyshabby3959 5 ай бұрын
Achana na hbr za movie ww, why walishindwa Somalia mwaka mzima
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 5 ай бұрын
@@rommyshabby3959nan alikudanganya hv somalia unaichukuliaje???
@natual7572
@natual7572 5 ай бұрын
Tuwapeleke ukrain kuwapma na rasia tuone nguv ya jesh let
@kakajeff17
@kakajeff17 5 ай бұрын
hamtawahi wasikia tena
@GeraldJohn-z8u
@GeraldJohn-z8u Ай бұрын
😂😂😂
@shd12m55
@shd12m55 5 ай бұрын
Mangazaji wa makomandoo leo kaamua kuvaa mask maana mmezidi kumzoea mala muuza madafu mala oooh😂😂
@dorinemwakalinga6705
@dorinemwakalinga6705 5 ай бұрын
😀😀😀
@MashishangaShema
@MashishangaShema 5 ай бұрын
Mka wachokoze urusi
@gilbertsimon6686
@gilbertsimon6686 4 ай бұрын
Marafiki hao
@stephenomulimi6167
@stephenomulimi6167 5 ай бұрын
Sarakasi tuu
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 5 ай бұрын
Mnapenda sana kututishia na majeshi yenu pindi uchaguzi ukaribiapo!! Yule aliyewaita nyie ni wapumbafu alikosea?
@CajerMomade
@CajerMomade 24 күн бұрын
Sauti kafanana na muuza madafu
@SimonKasato
@SimonKasato 5 ай бұрын
Kongole jeshi letu
@jamesmadaha863
@jamesmadaha863 4 ай бұрын
Ni lughya ya kitaalamu au kiingereza?
@نجد84
@نجد84 6 күн бұрын
Swahili is their first language
@azizmiraji2610
@azizmiraji2610 5 ай бұрын
Alafu uwacheleweshee mishahara yao😂
@VenanceMbala
@VenanceMbala 3 ай бұрын
I
@SuolFat
@SuolFat 5 ай бұрын
Tuombe game na kenya
@DIGNAMAHUA
@DIGNAMAHUA 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@kakajeff17
@kakajeff17 5 ай бұрын
mtashuta nyie Kenya n 🔥🔥🔥🔥
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 5 ай бұрын
Napenda san u sniper Ukraine watanikoma
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
STEVE NA NDARO WALIVO VURUGA NDOA UTACHEKA
16:04
Ndaro Tz
Рет қаралды 1 МЛН
Military might: Kenya Defence Forces showcase their Hardware and Fire power
26:21
ASKARI MZEMBE ALIVYO ANGUKA MBELE YA RAISI, UTACHEKA UFE
8:52
Mbengo Tv
Рет қаралды 540 М.
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН