🔴

  Рет қаралды 6,886

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 29
@kondobungo9488
@kondobungo9488 2 жыл бұрын
Mimi nimemuelewa ndugai hakua na nia mbaya ila watu wameyakuza na kuyachochea na mama nae kakufupuka kuyajibu kwa ukari
@livingstonekabantega
@livingstonekabantega Жыл бұрын
Ndugai umekosea sana na umejiaribia huwezi kuwa mnafiki na kushindwa kusimamia mtazamo wako eti kisa Raisi atakuonaje Kwani Samia ndio wananchi? Yani unaona kumfurahisha Samia ni Bora zaidi kuliko maslai ya watanzania.
@iviejustified8109
@iviejustified8109 2 жыл бұрын
Mimi naona siyo sawa kubishana na boss wako.... Hata iweje .... ila boss ni boss
@livingstonekabantega
@livingstonekabantega Жыл бұрын
Hapana anapaswa atoe mtazamo wake kwa maslai ya wananchi na sio kumfurahisha Raisi alitakiwa asimamie kauli yake kithabiti ndio kiongozi Bora ,ila ndo hivyo analazimishwa awe anakuwa mnafiki .
@luqmaanmohd97
@luqmaanmohd97 2 жыл бұрын
Job ushidwe
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu taifa rangu la TANZANIA ripo mikononi mwako
@mustajany689
@mustajany689 2 жыл бұрын
Kwani miaka ya 80's tulikuwa na vyama ving au hao wabunge walipigwa chini na wana CCM wenzao sjaelewa hapa
@richardesnath9822
@richardesnath9822 2 жыл бұрын
Unaomba msamaha wa nini sasa,wakati uliongea ukweli? Kiongozi asiyeweza kujisimamia hafai
@mandelamandela3150
@mandelamandela3150 2 жыл бұрын
Matokeo ya msamaha wake kajibiwa hovyo sn, nadhani atakuwa amejuta msamaha kwa nn aliomba.
@livingstonekabantega
@livingstonekabantega Жыл бұрын
Mana yake au tafsili ni kwamba anapaswa awe anakuwa mnafiki au ni mtu wa kutoa maoni ya kufurahisha chama na Rais na sio kuongea ukweli kwa maslai ya wananchi
@ramadhanimohamed154
@ramadhanimohamed154 2 жыл бұрын
Yaani huyu ndga kwenye radio hafai kuwa kifaa chochote, hafai kuwa waya, betri, transmeter,volume, twitter,equalizer wala SPEAKER,, mana akiwa SPEAKER radio ikisema ''hivi sasa ni saa mbili kamili yeye SPEAKER atasema, ''hivi sasa ni saa nane kamili Yaani atabadilisha mda tu,. mmmh ude waakoma!!!.
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 2 жыл бұрын
Nakumbuka alisema alienda misili akamuona mke wa yesu, 😅😅😅
@melabichidobi9672
@melabichidobi9672 2 жыл бұрын
Uliongea ukweli msamaha wanini sasa Tena nilipenda sn maana ilikuwa ukweli mtupu.
@bonithamdalangwila4988
@bonithamdalangwila4988 2 жыл бұрын
Picp
@ramadhanimohamed154
@ramadhanimohamed154 2 жыл бұрын
Ukienda chooni usisahau kopo mana ukishamaliza ile shughuli ya Kule utatokaje? Yakubididi utoke mnyoonge mana ulikurupuka kuingia chooni,. haya jisafishe nje tukuone utafanyaje tena na mwana kulitafuta mwana kulipata.
@titogodlove8866
@titogodlove8866 2 жыл бұрын
Mwachie atetee sembe yake mana hali ni ngumu tz watoto wake watakufa njaaa!
@beatricesamwel8161
@beatricesamwel8161 2 жыл бұрын
😀😀😀😀mbavu zangu mie
@yohanamsuya5047
@yohanamsuya5047 2 жыл бұрын
🤭
@fababindawood8363
@fababindawood8363 2 жыл бұрын
Huyuuu mzee leo anaongea kinyonge ha ha ha ha huyuu dawa yake kupigwa na chini ubunge hafai huwezi kumkandia Rais kwa jambo zuri alofanya hapa hakuna rais atakae kaa asikope ht angekaa ndugai pia angekopa tu.
@livingstonekabantega
@livingstonekabantega Жыл бұрын
Hapana kwenye siasa hutakiwi kuwa mnafiki au kusaport kila kitu Cha Rais kusa Uccm Hapana,wote ni viongozi inatakiwa watoe mtazamo tofauti tofauti kwa maslai ya wananchi
@zefamange7281
@zefamange7281 2 жыл бұрын
NDUGAI ACHA UOGA, SIMAMIA MAWAZO YAKO, MBONA ULIKUA SAHIHI?!
@raybirry3816
@raybirry3816 2 жыл бұрын
SAHIHI MBONA HAKUMKOSOA MAGUFULI ALIEKOPA KUTOKA KWA "MABEBERU" KULIKO RAIS YEYOTE TANZANIA?
@mandelamandela3150
@mandelamandela3150 2 жыл бұрын
@@raybirry3816 Aliyoyafanya Magufuri Tanzania hakuna Rais amefanya zaidi ya Nyerere tu, huwezi mlinganisha Magufuri na Rais yoyote wewe zaidi ya Nyerere.
@mandelamandela3150
@mandelamandela3150 2 жыл бұрын
@@raybirry3816 Hakuona kwa kumkosowa Magufuri ndiyo jibu lako !!! Hao waliokopa kidogo Tanzania ilkawa ya kuibiwa, wewe utakuwa Mwizi wa Mali za Umma tu !!
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 2 жыл бұрын
Watz tuache ujinga. Kama kweli Rais anakopa kwa kasi kubwa lazima akemewe. Tunayoweza kuyafanya wenyewe tuyafanye. Tanzania miaka 60 ya uhuru are you kidding me, hatuwezi kufanya mambo yetu kwa kutumiarasilimali zetu??? Na je limbikizo la madeni atamwachia nani ka kila raisi anakopa na kufanya yake. Alitimua mzigo kwa anayeingia. Hili tulitolee macho. Magu alisema yinaweza. Mama ma wewe tupe moyo kwamba tukikaza misuli tunaweza. Spika sioni kosa kwako. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
@cmantz8837
@cmantz8837 2 жыл бұрын
Kiukweli ndugai ulionge ukweli mtupu arafu wewe sio mtu mdogo kwa inchi yetu taifa likihalibika yie ndiyo wa kuangaliwa sasa nashangaa unajitetea nini?
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 32 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 269 #shorts
00:26
🔴#LIVE: Kutoka Dodoma Spika Ndugai akizungumza na waandishi wa habari
23:49