Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho "Mama hatabiriki" || Pambana na kitu kingine sio Ndugai

  Рет қаралды 554,110

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

2 жыл бұрын

Job Ndugai amejiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kubaki kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa. Katika kipindi chake cha Uspika tunakuletea kauli mbalimbali alizowahi kuzitoa ndani na nje ya Bunge hadi alipofikia kumwomba radhi Rais Samia Suluhu Hassan na baadaye kujiuzulu nafasi yake ya Uspika.

Пікірлер: 350
@abelsonmakabala6090
@abelsonmakabala6090 2 жыл бұрын
Appreciate this Man....hata kuiongoza familia kunahitaji msimamo na jeuri....huyu ndo kiongozi tumtakaye....2025 niko upande wako mzee wangu........
@salmawatuta6468
@salmawatuta6468 2 жыл бұрын
Msimamo unaomba radhi?
@robbiejerrson7437
@robbiejerrson7437 11 ай бұрын
Si Kila msimamo ni hekima. Misimamo mingine ni ujinga na upumbavu mtupu. Huyu ndivyo alivyokuwa na nduguye mwendazake!!
@walterbhoke7935
@walterbhoke7935 2 жыл бұрын
Ndugai haya ni maisha tu anaeyaweza.ni mungu tu nilijua utamaliza vibaya na bado hiyo ni trela
@israelifadhili9744
@israelifadhili9744 2 жыл бұрын
Bila msimamo wa namna hiyo, huwezi kusimamia bunge. Bungeni kuna kanuni, ASA kama mbunge hafat kanuni unataka afanyeje. Alifanya vizur sana, kasoro yake ni kumsalit magufuli bandari ya bagamoyo bas. Alaf ninyi mliotengeneza hii, mnapenda kuponda sana wengine wakt ninyi wenyewe ni makaburi yaliojaa kila aina ya uchafu. Jiangalien na ninyi matendo yenu, yeye ametubu na mungu amemsamehe
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 жыл бұрын
Usimtetee Msaliti!
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 жыл бұрын
Huo si misimamo,unazuia mishahara ya watu unasema.huo msimamo?
@mokhimji
@mokhimji 2 жыл бұрын
tumshukuru mungu kamaliza kazi bila kumjeruhi mbunge ata mmoja... ameena..
@gabrielaniseti1537
@gabrielaniseti1537 2 жыл бұрын
TAARIFA IMEEGEMEA UPANDE.MMOJA. SAWA SISI NI WA TAMZANIA MWISHO WA SIKU.AMANI UPENDO NA UMOJA WA KITAIFA UTAWALE
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 жыл бұрын
Na watanzania walivyokuwa na uelewa mdogo wanaacha kujadili deni kubwa sana na mfumuko wa bei wanahangaika na ndugai
@younginspired3899
@younginspired3899 2 жыл бұрын
Mnaanza kumtetea baada ya kujiuzulu, acheni unafki
@thomasmerinyomollel3544
@thomasmerinyomollel3544 2 жыл бұрын
Mungu ni mungu na ni mwenye wifu hawezi kukubali miungu watu ndani ya dunia akiwaacha watambe basi itakua kakosea kumtoa mwanae wa pekee kuchukua ufalme duniani na mbinguni nenda wewe mungu mtu wa ----
@sifamushi1747
@sifamushi1747 2 жыл бұрын
I just love vichapo vyako. Kwa upole na taratibuuu na kiboko kinakupata...
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 2 жыл бұрын
Ata asingejiuzulu angeezuliwa tu kama mzee six ..aliambiwa safari hii tunataka spika m-mama
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 жыл бұрын
Hongera sana Ndugai Unavuna ulichopanda yote mabaya uliyowafanyia wenzio yanakurudia. ✔️
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 Жыл бұрын
✔️✔️
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 2 жыл бұрын
Wewe ndugai utakula jeuri yako na hao wanaoshangiria nyote ni dhaifu na mazuzu kweli yaani wewe babu jeuri kweli sijui hilo juso lako na upara wako utauweka wapi ulifikiria utakaa hapo milele m.mungu anakuhukumu na kiburi chako kitakurudia
@platnumzkawiche1861
@platnumzkawiche1861 2 жыл бұрын
naweza kukupiga marufuku kuongea huku ndani hakuna cha swali wala nyongeza na hunishtaki popote😂😂😂
@azizawadh5973
@azizawadh5973 2 жыл бұрын
Kaoigwa stop yeye
@furahambughi4977
@furahambughi4977 2 жыл бұрын
Sentensi ya mwisho ni tamu sana!
@rasurmasoud5762
@rasurmasoud5762 2 жыл бұрын
Nimemkubali Sana jeneral ulimwengu
@raphamahengo5480
@raphamahengo5480 2 жыл бұрын
Damu ya wengi itawarudia wenyewe twende sasa
@israelifadhili9744
@israelifadhili9744 2 жыл бұрын
Nakubali msimamo wako. Achana na wajinga wasio kuelewa
@rahelimuhehe7068
@rahelimuhehe7068 2 жыл бұрын
Yaani alijiona kama Bunge kama la babaake vile na kusahau kuwa cheo ni dhamana😏
@kimweritz6364
@kimweritz6364 2 жыл бұрын
Urudi kumuomba radhi professor Asad kweli bunge dhaifu
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 2 жыл бұрын
Kiburi cha uzima kimemponza, ndio ajue kuwa Dunia ni ya Mungu sio ya wanadamu. Aliwaona wenzake hawana thamani isipokuwa yeye sasa kafika wapi?
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 жыл бұрын
Sana tu hakuna kitu kibaya km ukijiona Mungu mtu Kiburi chake kimemrudia mwenyewe!
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Na mazuri yake wekeni. Tanzania ifike mahali tuwaheshimu watu kwa mema yao na si kwa kutafuta mabaya tu. Hastahili dhihaka hizi alifanya kwa nafasi yake pia jamani. Huu ndio uhuru wa habari tunaouliliaga?!Muacheni mzee wa watu jamani.
@davegervas4707
@davegervas4707 2 жыл бұрын
weka wewe kama unayajua
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
Yaweke ww hayo mazuri acha kupangia watu cha kuposti
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
@@davegervas4707 fedheha ikupate
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
@@madetetv6576 ww ndio unataka kunipangia cha kupost ndio maana ume reply kwangu. Kumbe hata hujielewi!!Ss unatokwa poovu. Huna hata cha kusema bendera tu wewe .
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
@@davegervas4707 bendera fuata upepo tu wewe
@anordkyelula6266
@anordkyelula6266 2 жыл бұрын
Ilove tanzania ilove my nation
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 жыл бұрын
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika binaadam tumekuwa waungu tunalaani ovyo ovyo
@lucasmogoile7097
@lucasmogoile7097 2 жыл бұрын
Wanna kama Hawa ndo walikiwa wa kuijenga Tanzania unyama unyama🔥
@saramichael1632
@saramichael1632 2 жыл бұрын
Jamaa Kweli Alitenda Apendavyo
@joune8260
@joune8260 2 жыл бұрын
Haya Sasa kinyozi umejinyoa! Ulikuwa unajiona nusu mungu kwa kauli zako za vijembe! Na hiyo Covid ulivyochanjwa mbona bado uliendelea kuugua tu. Nimependa ulivyotoka kwenye hiyo nafasi maana inahitaji mtu mzalendo zaidi na powerful brains!
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 2 жыл бұрын
Hivi bila kuwa na msimamo utaendeshaje kundi ulilonalo acheni kumsema ndugai kauli za watu fulani zilikuwa za ajabu ndugai ni jembe mkatae mkubali aliwaweza sana wenye vimidomo sijaona ubaya wake
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 2 жыл бұрын
Tuliwahi kua na spika moja mbovu sana😂😂😂😂😂😂
@tbsgenterprises.hongera4631
@tbsgenterprises.hongera4631 2 жыл бұрын
Ndugai Lisilowezekana kwa binaadamu kwa Mwenyezimungu litawezekana.leo umeuona mkono wa Mungu usioshindwa na mamlaka yoyote.Unayoyapitia sasa ni matokeo ya kiongozi au kutumia mamlaka uliyonayo pasipo hofu ya Mungu.Spika sio Mungu Spika ni mtumishi wa watu.anapaswa kuwaheshimu ili kulipa heshima mamlaka anayoiongoza.
@saitotimariba2209
@saitotimariba2209 2 жыл бұрын
Kuna mda utafika mtamuona ndugae kuwa alikuwa sahihi nyie endeleeni kupiga midmo
@salehkioza-xo8ti
@salehkioza-xo8ti 7 күн бұрын
Huyu hayuko sawa na wala hastahili hata kuongoza shuĺle ya chekechea kwanza anazarau sana na kibri sana ila mungu mkubwa kuliko chochote kile,mwisho kaangukia puwa
@hassanmkotya4136
@hassanmkotya4136 2 жыл бұрын
Mema yake yakowapi Yarrabi huyo ni mwanadamu kupatia na kukosea ni sehemu ya maisha yake hakika Mungu nipe jicho la tatu linijaze ufahamu binaadamu siyo watu nimeshindwa Sina hamu. Jobu Yustin Ndugai kila la kheri huko uliko.
@josephmwinuka3982
@josephmwinuka3982 2 жыл бұрын
Wema wake ni ubabe na kukandamiza demokrasia
@johnnnko5814
@johnnnko5814 Жыл бұрын
Kweli Mungu wee ni Mungu....kuheshimu mamlaka ni muhimu kwa woteee..
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 жыл бұрын
Pambana na kitu Ingine sio Ndugai. Mmmmmmmmh ulitumia nafasi yako vibaya. Yalitunzwa Sasa wanakuonyeshea, yamekugeuka.
@lucyngoo6309
@lucyngoo6309 2 жыл бұрын
Tena yeye yamemgeuka kwelikweli bila ya yeye kutarajia
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 2 жыл бұрын
We will miss you!!!
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kwenda uko Ndugai huna kauli nzuri kwa watu wazima wenzako sasa utapiga makofi mezani km wenzako dadadekiii zako muliona Samia mwanamke wa mchezo mchezo Mama Samia kenda labour hawaogopi nyote na magenge yenu
@marywakesho4887
@marywakesho4887 2 жыл бұрын
Uongozi hautaki nguvu na majigambo.... Wacha watu wakukubali kwa ubora wa uongozi wako...
@doralupenza3363
@doralupenza3363 2 жыл бұрын
Nampenda Mungu wangu amenipa kitu ninacho mikononi mwangu
@mshumikivaria544
@mshumikivaria544 Жыл бұрын
Amekupa kitu gani?
@januaryjohn4771
@januaryjohn4771 2 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo ccm mmewaibia kura wananchi hamjachaguliwa zaidi ubepari tu,hicho ndio kinachowatafuna
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 жыл бұрын
Dah yan kuna watu vyeo viliwalevya🤣🤣 leo chaliii..cheo dhamana ndugu zangu
@ciarmnyone738
@ciarmnyone738 2 жыл бұрын
Jidanganyee TU........
@luganomwaisumo1938
@luganomwaisumo1938 2 жыл бұрын
Huyu na bashite akili zao sawa
@NancyMatuli-fb5jp
@NancyMatuli-fb5jp Жыл бұрын
Viongozi muwe mnachunga sana ndimi zenu ona sasa ulijifanya Mungu mtu kikowapi sasa ukiziona kauli ulizokuwa unalopo sijui unajionaje na unajisikiaje
@hassanimgongola
@hassanimgongola Жыл бұрын
Inabid tujue tunakosea wap
@kamishina7853
@kamishina7853 2 жыл бұрын
Huu mhimili umejiuzulu lakini una jambo kubwa sana unalificha Ndugai tuambie Watanzania tujue kinachoendelea
@jeromendetaulwa3466
@jeromendetaulwa3466 2 жыл бұрын
Mzuka wa lisu utakumaliza tubu toa ufafanuzi stahiki zake ulimfuta ubunge
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 4 ай бұрын
Aliongeza bunge kwa manufaa ya taifa lakini kujiudhuru kwake si kwa manufaa ya taifa ila alifurahisha nafsi yake, sababu tumepoteza bandari.
@silvangabriel3592
@silvangabriel3592 2 жыл бұрын
Nimeipenda hio ya mirembe apelekwe nayeye mirembe
@nassirmohd6850
@nassirmohd6850 2 жыл бұрын
Daaah, dunia hii
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 жыл бұрын
Kazi kweli kweli wewe Ni mkweli ndiyo maana
@saidal-rawahi4564
@saidal-rawahi4564 2 жыл бұрын
😂 😂 😂 Kapatikana vibaya sana.
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 2 жыл бұрын
RIP Ndugai, utangulie mapumzikoni huko
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mmm kwani Uspika ndo Maisha tu??
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 жыл бұрын
Kwani ivyo ndio kashakufa km hajakufa maneno yanaeeza kumuua akapata maradhi ata mapesa yake akakosa kuyatumia na kuinjoi nayo!
@scholaredwardo6383
@scholaredwardo6383 2 жыл бұрын
Jaman msinichekeshe
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 2 жыл бұрын
KILA BINADAM ANAMAKOSA YAKE ss ndugai kukosea ni ajabu???ipo siku tutamkumbuka maana wabongo hukumbuka shuka pakiwa pamekucha😥
@faumamakwaia5095
@faumamakwaia5095 2 жыл бұрын
Kweli Ana mazuri mengi tu lkn wanaona mabaya tu,hakuna atakayekuwa mkamilifu duniani!
@allannelson1908
@allannelson1908 2 жыл бұрын
Serikali aitakikuambiwa ukweli...tutafika safari ya baba wa taifa
@jamilahabdallah8397
@jamilahabdallah8397 2 жыл бұрын
Kweliiii upo vizuri
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 4 ай бұрын
Ndugai mimi ninakuelewa sana tazo watanzania tumezoa kuombwa ombwa tu atakama tunakosea au tunapokiuka maadili
@innocentlethisia416
@innocentlethisia416 2 жыл бұрын
Ndugui ww ni dhaifu xnaa, alaf kama una matatizo ya sasa unamwandikia mwenyekiti wa ccm ndio aliyekuchagua?mgogooooo
@davidjohn5977
@davidjohn5977 10 ай бұрын
Au kwa sababu ni omba omba,haya kati ya majizi na Ombamba unachagua nini?.Mimi ni Mgogo acheni dharau za Makabira.
@TAMBIMEGELI
@TAMBIMEGELI 2 ай бұрын
Mtu wa maana sana job ndugai
@wallesmdoe9164
@wallesmdoe9164 2 жыл бұрын
Da ndugai uko vzur sana 🪴 2025
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 2 жыл бұрын
Nimegundua huyu ndugai ni mnafiki"hajampenda samia"mbona kipindi cha magufuli ameikubali mikopo?
@nenolako8522
@nenolako8522 2 жыл бұрын
Huwa nikisikiliza dua ya kuliombea Bunge, na baadae kidogo tu nikiangalia jinsi mijadala inavyoendeshwa. Nabaki nikisema moyoni ACHA MUNGU AITWE MUNGU tu.
@davidmwandiga3465
@davidmwandiga3465 11 ай бұрын
Hamkuchaguliwa na wananchi mnaimba kura kwakutumi vyombo vya dola mungu atatoa hukumu ya haki
@erickthom6308
@erickthom6308 2 жыл бұрын
mimi nakuunga mkono kwa kila jambo
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
La proff Assad ndo lilinichukiza kama mtanzania
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 2 жыл бұрын
Muwe na akiba ya maneno tu.jakaya alitukanwa weeee hakumjibu mtu.dugai nae pia ameshatukamwa Sana.lakini yote yatapita
@JackSolomon-oy7kb
@JackSolomon-oy7kb 4 ай бұрын
Jamani uchaguzi uwe wa amani kwani mungu apendi fujo
@kkkbrotherskahixe6818
@kkkbrotherskahixe6818 2 жыл бұрын
Iyo ya profesa Asad...
@neemajackson9876
@neemajackson9876 2 жыл бұрын
Kwan ndugai hajawahi Fanya jema mbona watu wanamsema sana🤔
@caesarmtebe544
@caesarmtebe544 2 жыл бұрын
Mbona wewe hujaweka hayo mema maana yake si na wewe hujaona mema?
@FromenaWilly
@FromenaWilly 21 күн бұрын
Shida ni nchi kuegemea chama kimoja jamani
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 жыл бұрын
Yaani huyu pwagu huyu hata atubu VP hawezi enda peponi kirahisi rahisi,natamani nimtie chupa ya Mirinda huyu,mxhiuuuu..
@clarawilliam9959
@clarawilliam9959 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Yuko sahihi ila, alinikera alipomsaliti Maguful.
@simonsadala2386
@simonsadala2386 Жыл бұрын
Kumbe tabia ya Zitto inajulikana hahahahaha mh speaker ni hatariiiiiii
@aminamnega1778
@aminamnega1778 2 жыл бұрын
Kujiamini ni vizuri
@user-jn4zq3zm5o
@user-jn4zq3zm5o 4 ай бұрын
Nikweli kabisa usidharau usiye mjua
@josephyasata9017
@josephyasata9017 2 жыл бұрын
Naona mnamponda utafikir mnajua Sana kuliko aliokuwa anakaa nao, vi clip vya mkato ndo mnakoment ujinga
@verrynicemushi2563
@verrynicemushi2563 2 жыл бұрын
Kweli bunge la Ndugai ni dhaifu😅
@eliamwasomola578
@eliamwasomola578 2 жыл бұрын
Ni kweli bunge ni dhaifu sana
@MwemaMichael-ge6np
@MwemaMichael-ge6np Жыл бұрын
Dugai ipo siku wanakuona huelewek ipo siku watakwelew me nakukubal sana ndo mana ulijiuzur mapem ulijua
@solomoneglesius9448
@solomoneglesius9448 2 жыл бұрын
Kweli ndege mjanja hunasa kwa tundu bovu😂😂😂 laana ya kumsingizia Yesu na muke yake😆😆😆
@veronicamabinamasuka1755
@veronicamabinamasuka1755 2 жыл бұрын
Uko sawa dugai
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 2 жыл бұрын
Wala huna bays ni vitu vya kawaida kabisaa walianza na magu wakaja na wengine list inaendelea wakimaliza tu tunakinukisha
@rasurmasoud5762
@rasurmasoud5762 2 жыл бұрын
Uliamua kubeba yote ,maana Kuna ulio wabebea ndo maana ukaomba msamaa ukiwa umeyabeba yote
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 11 ай бұрын
We ulisema nchi itauzwa wakakutoa, shimo ulilochimba umefukiwa mwenyewe.ukowapi?.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 11 ай бұрын
Hakuna aliyechaguliwa hata mmoja .Hawa ndiyo aina ya maspika tulionao Tanzania yaani wakanyaga katiba
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
Kwann watu hua mnaonaga mabaya tu? mazuri hayapo au
@boy-pq6ow
@boy-pq6ow 10 ай бұрын
That is good
@ReactorsWatcher
@ReactorsWatcher 2 жыл бұрын
Huyu Jamaa alikua Jeuri Aisee dah, What goes around comes around
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Kumbe ni Uspika tu??Safi saana
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl
@daphiadevencher7338
@daphiadevencher7338 2 жыл бұрын
💞💞🔥🔥🔥🔥
@kamotembaryo2283
@kamotembaryo2283 2 жыл бұрын
Pole ndugai matamanio yagoma kuliongoza taifa
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 10 күн бұрын
Hivi haya anayasikia kweli
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Asamehewe tu ili Mungu na sisi atupe radhi yake ingawa ameshajiuzulu. Tuache kumdhihaki hata sisi tuna madhaifu yetu ili na sisi yakitupata dhihaka isitupate. Tusifurahie mabaya yakimpata mwenzetu. Tuwe na hisani kwa mazuri yake
@ambokilesamson946
@ambokilesamson946 2 жыл бұрын
Tena yawezekana sisi tuna madhaifu mengi kuliko yeye na hatujawahi kuomba radhi binafsi mzee mimi kwangu hajanikosea kama anavyofikilia ule ulikuwa mtazamo wake
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 10 күн бұрын
G z ya tz itakuja maana wako wengi mtaan bila ajira
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t Ай бұрын
Hajakosea ni kweli ni dhaifu
@OscarBethel
@OscarBethel Жыл бұрын
Ndugai alijiona mungu mtu kuwanyanyasa wabunge waupinzani sasa yuko wapi?
@tatianustihahilwa7169
@tatianustihahilwa7169 11 ай бұрын
Kwakwer! Kujikweza kwa namna hii sijawai hona
@alexmachare6495
@alexmachare6495 5 ай бұрын
Hata kama hutaki nchi iuzwe kuna namna ya ku present hoja yako.
@mkombozikivamba8905
@mkombozikivamba8905 2 жыл бұрын
Nice
@froma3732
@froma3732 2 жыл бұрын
Kweli asali tamu
@user-sk7mo9of7t
@user-sk7mo9of7t 5 ай бұрын
Jeuri hailipi😊
@festomartin6170
@festomartin6170 Жыл бұрын
Hakufaa kuwa spika huyu jamaa ni kenge kuliko kenge wenyewe
Ndugai: Kuna siku nchi itapigwa mnada
3:11
Mwananchi Digital
Рет қаралды 473 М.
SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
4:50
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,8 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 13 МЛН
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 119 М.
ZITTO YAMKUTA BUNGENI / WABUNGE WATAKA AADHIBIWE / HUU NI UMALAYA
28:51
Gangana Info Channel
Рет қаралды 104 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 302 М.