Nyie watu wa ajabu sana, chama amewasumbua Simba Kila msimu wakati wa usajili. Mkasema si mkubwa zaidi ya Simba. Ameachwa ooh wasingemuacha. Misimu SITA. Miaka 32 atawapa nini Simba zaidi ya usumbufu?
@jumannekimpundu47892 ай бұрын
Kuna haja kujua taaluma zenu za soka ama la manahitaji kwenda mirembe kufahamu nyie mpo Marengo upi?
@SelemaniLekama3 ай бұрын
Naomba kujua vp kuhusu dube🎉🎉🎉🎉🎉
@NashirJoram3 ай бұрын
Chama ameshawaaga makolo
@JumaSemindu2 ай бұрын
Tusiendekeze kubalanc mtu apewe kutokana na uwezo wake