Asante sana mchungaji kwa mafundisho yako ubalikiwe sana mi naomba unisaidie aina ya mafuta mazuri ya kula ili niweze kutumia.
@leahwainaina439610 ай бұрын
Amen
@leahmose180811 ай бұрын
Aminaa❤❤
@rastarasim5810 Жыл бұрын
Amina
@salomengussa58972 жыл бұрын
Bwana Yesu akuzungushie wigo wa malaika watakatifu na kukulinda mtumishi wa Mungu
@annamilage31232 жыл бұрын
Pr Barikiwa Sana Mungu akupe maisha marefu uzidi kumtangaza yeye aliyeumba mbingu na nchi🤗
@Gesareh-v4d Жыл бұрын
Its 1 yr ago ,now 2023 icome across this,first i read the headline,then the pstr,then infront is abig cross!!!faster to the comments,oh tenk you pstr nt all churçhes teaches prophecy,+254 ilove this,one way to christ ,
@kabalizasekanabomarko6063 Жыл бұрын
worldwide ni kabisa
@kabalizasekanabomarko6063 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa worldwide
@oscarmutuku3772 жыл бұрын
Pastor, masomo yako mazuri Sana.nabarikiwa Sana na masomo yako. Kutoka kenya...
@eunicehorombe23882 жыл бұрын
Amina nabarikiwa
@cosmakomba77722 жыл бұрын
Kwaimani tutashinda mchungaji mungu akulinde mbaga
@raeganomolo5262 Жыл бұрын
Lawrence from Kenya, Amen
@thel-rdiscomingamen54072 жыл бұрын
My wife and I always enjoy the gospel of God and your service. From Aurora Colorado USA
@felistushauff53612 жыл бұрын
Bless you MoG. Napenda sana kukuskiza mchungungaji kwa kuwa wafunua watu macho za kiroho
@gloriamasaka76352 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa na mahubiri huko Ngarenaro, tuliishi mji huo mwaka 1968 nakumbuka pale nilikulia nikiwaona huko
@glorianguve32502 жыл бұрын
Am blessed and transformed
@amnamax86762 жыл бұрын
Amina,barikiwa pastor Mmbaga,much 💕
@angelicagulake33612 жыл бұрын
Namebarikiwa sana Pr na Mungu aendelee kukutumia wakati huu kwa kweli ni mgumu sana Texas
@rosepeter89962 жыл бұрын
AMINA,AMINA,AMINA🙏.kutoka 🇰🇪nimebarikiwa sana na somo hili kabla nilale usiku waleo.mchubgaji mmbaga barikiwa pia.🙏.
@beatricempiga-ex9wz Жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana
@benedictojakobo44252 жыл бұрын
Barikiwa sana nakula neno
@benedictojakobo44252 жыл бұрын
Neno tamu sana hakika we meana wa mbanga ubarikiwe sanaaaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@benedictojakobo44252 жыл бұрын
Hakika we mwana wa mbanga mungu baba alikulete kwa makusudi mahalum kwa jili yetu ubarikiwe sanaa
@isacknguvumali44132 жыл бұрын
Nahitaji kuona nipo katavi
@isacknguvumali44132 жыл бұрын
Mungu akubariki
@messagerkambale58302 жыл бұрын
Nashukuru sana . Ivi Nili tamani ni pate namba ya mchungaji Niko na ma ongezi ya binafsi naye, Ku usu ichili
@davidhakiza832 жыл бұрын
Aksanti sana pastor nabarikiwa sana kupitia wewe ila NAANZA KUOGOPEYA. Unasema marahisi hawo wote una sahau Mzee MAGUFULI. Inawezekana sisi wakongomani njo tunajuwa ubongo wa Mzee MAGUFULI
@sheilamberesia52332 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji,ninafatilia seminar izi nikiwa Kenya na ninabarikiwa sana
@doramalisa20612 жыл бұрын
Barikiwa sana mtu wa Mungu
@khaldn74092 жыл бұрын
Ameni mchungaji kwa neno la Mungu
@cosmakomba77722 жыл бұрын
Kichwa cha mbaga nihatali kuliko ninavo fikilia mimi weeee mchungaji kwa unabii huu barikiwa sana ninaamani na huyu Yesu kristo amina
@uzimawakotvnajamessikanyik97912 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji Bwana YESU AKUBARIKI sana
@danieligrangai27322 жыл бұрын
BWANA YESU AKUBARIKI SANA mchungaji wewe ni moja kati ya watumishi ambao wamenisaidia kukua kiroho na kujifunza mambo mengi sana
@judithjackson60832 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji mbaga naomba kukuhuliza swali kwani kwa wasabato umeama,??? Au wengine atuelewi kwakweli au ndo dini ni bihashara???
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Mathayo 24:14 Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Pole saana.
@hassanmugire14972 жыл бұрын
Alikua anafundisha Baptist
@maryachuti49972 жыл бұрын
Ooho, nimeisikia nikanisa la kibaptisti, barikiwa sana mchungaji.
@robsondalink62062 жыл бұрын
Kanisa lako liko wapi
@shaniachanceline27512 жыл бұрын
Amen🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💗❤️😍💖💗
@uwayolove Жыл бұрын
nimeguswa sana ,neno la MUNGU ni kweli.swali langu ni juu ya neno watu(mtu) au binadamu(mwanadamu) je,utofauti upo wapi?
@definitelykoechy87262 жыл бұрын
Napenda Sana mafundisho yako Mungu hakubariki sana
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Wenye miradi ya kutengeneza magonjwa watakuchukia na kutengeneza figisu
@ephuraziabweye41942 жыл бұрын
Naomba namba ya cm mtumish nahitaji tuombe pamoja
@maryachuti49972 жыл бұрын
Hili nikanisa la wasabato?
@emmanueljengo81032 жыл бұрын
Hapana ni kanixa la kipentecost ambalo linaitwa Baptist
@wilsonlugutu57472 жыл бұрын
Hilo siyo kanisa la wasabato ni la babutsit
@chancekambale34982 жыл бұрын
Kuna uzuri gani kuuza nafsi yako ili uishi maisha machache mazuri hapa duniyani ukifa uende uka lungule jehanamu milele??? Tuone mbali ndugu zangu.
@nasekilemwaisaka78132 жыл бұрын
Nataman kujua location ya kanisa jmn
@briytondickson53102 жыл бұрын
Fika ngarenalo ulizia kanisa la Baptist church utafika
@nasekilemwaisaka78132 жыл бұрын
Thank you
@hapysonrithe38422 жыл бұрын
Amen Nabarikiwa sana na mahubiri yako, hakika roho wa Mungu yuko pamoja nawe Ubarikiwe pr
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@marygoretysenga11192 жыл бұрын
ASANTE MTUMISHI KWA MAFUNZO MAZURI
@davidhakiza832 жыл бұрын
Hata wewe Wanakusikiya
@bahatijames56272 жыл бұрын
Pasta mbaga nashukulu sana kwa somo lakini nauliza kula nyama kwenyewe hakuna shida inayoweza kutokeya
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Kumekucha chakula Cha asili ni kizuri unakuwa vizuri.