Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 244
@AmosiSimbeye-ll8pg13 күн бұрын
Simba nguvu monja❤❤❤❤❤tumwaombee mwachenzajimwetuu tushikama pamoja
@bonifasjuliasАй бұрын
Simba nguvu moja❤❤❤🎉
@AmosiSimbeye-ll8pg13 күн бұрын
Tunafuatilia nipo huku mbeya simba nguvu moja❤
@FurahaMakosi3 күн бұрын
Simba nguvu moya🦁🦁🦁
@FanuelMchalo3 ай бұрын
naomba tufaye usjli saf jamn mana uku mtani atukai ❤❤❤❤
@claudinejoseph1607Ай бұрын
❤❤❤ you 🦁 ubaya ubwela
@OmaryNelson-bh8ijАй бұрын
Safi saana semaji la CAF
@JumaKamasa-kl6pzАй бұрын
Sisi washapk wa simb tunahitaji kombe afirk aje mzimbasi 💪💪💪
@user-vt5ug9uu7y2 ай бұрын
Popote ulipo mwanasimba tujuwane kwenye like kama wewe Simba naunaikimbali timu yako gonga like yako hapaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SirPiere2 ай бұрын
Mkutano huu ukatufurahishe badae wazee I LOVE SIMBA SPORTS
@AnithaShoo2 ай бұрын
Mungu atubariki simba yetu iwe imara ten
@YuvenalOissoАй бұрын
Simba nguvu mojaaa
@ReubenMihambo13 күн бұрын
Simba nguvu moja
@gidionmtende8252Ай бұрын
🦁🦁 nguvu moja& 🔥🔥
@WilsonWilliamsSlaa2 ай бұрын
Jaman mjipange mturudishie Iman mashabiki tumechoja kufedheheshwa
@MagrethWawaWawa3 ай бұрын
Simba nguvu mojaaa❤❤❤
@JenniferJohnmshi2 ай бұрын
Naipenda Simba milele daima❤❤❤❤❤
@maikomatayo2794 Жыл бұрын
simba nguvu moja mungu ibariki chama letu tunaimani na timu yetu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AminaLibisa9 ай бұрын
Simbaaaaa nguvu moja Inshallah mungu ataleta wepesi tutakaa sawa tu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@maryWilson-li4es2 ай бұрын
Mwaka huu hata jezi nitavaaaaa weeeeeh❤
@Stephano7223 ай бұрын
Natoa ombi lawana kanda ya ziwa chonde chonde chama mixson manzok na aziz k haya majina yakivaa uzi wa mnyama afrika watatuheshimu mungu ubaliki mukutano huu amina.
@helenambagale55702 ай бұрын
❤my dhiiiiiimbaaaaa siku zangu za uhai wangu ntaipenda
@DomannMohamed2 ай бұрын
Imani Ni muhimu zaidi kwa Simba yetu
@BarakaMolly-tn5ut2 ай бұрын
mungu wabariki Wana Simba ❤❤❤❤
@GodfreyMuLokozi2 ай бұрын
Pia Namuona Doctor mohamed hamis
@LadslausKonjan2 ай бұрын
Leo mlichofanya Kwa Muda huu safi sana tunafuatilia nipo Hulu Rukwa
@AmzaFadhili3 ай бұрын
Jamn naipenda simba sports club ❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ug5wr7un3g4 ай бұрын
Ahamedi Alli hongela sana kwa uvumilivu eako
@EmmanuelJackson-xn5eo3 ай бұрын
Hongera tunaomba simba mpya
@Danfordfungo-m4y3 ай бұрын
mambo mazuri yameaza mapema najua msimu ujao wanasimba tunaiandaa furaha simba nguvu moja
@martinsokoi3972 ай бұрын
Tuiombee Simba yetu wapinzani wetu watulie kimya.juu ya ubingwa.
@aminaomary55673 ай бұрын
Jamani naipenda simba hata kama sio washindi awamu 4 zote .Mungu yupo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-ug5wr7un3g4 ай бұрын
Hongereni bodi mpya ya Simba mtuletee yaletunayoyatamani ndani ya simba❤
@MusomaAlphonce-mc2dd3 ай бұрын
Mungu ibariki Simba ijayo ili tuwe na amani
@Danfordfungo-m4y3 ай бұрын
nimependa naipenda sana simba nimefurahi sana
@vicentbunzal7342Ай бұрын
Simba ni yetu vijana wooote siyo ale wavaa madera na kaniki
@user-dg4hu5de8z3 ай бұрын
Naipenda sana simba na viongiz wang pia nikianza na rais wa hexma na viongoz wake.
@emmanuelkahangamabula65273 ай бұрын
Simba naipenda lakini viongozi wanatuangusha
@selemanisalum76853 ай бұрын
Mnatuletea habari za zamani
@HabibuBendera-bx4md2 ай бұрын
Habibu pamoja san
@AntonyAlex-wz8ds2 ай бұрын
Hongera boss umetuthamini
@Emanuelmorel-vs4peАй бұрын
Simba oyeye
@RevokatusiKapugi2 ай бұрын
Boss sajiri wakweri
@HamzaShaban-de1qp3 ай бұрын
Iman kajula hatukutaki, turudishieni Barbara Gonzalez
@simeon49623 ай бұрын
Ni Feliciano Barongo.Viongozi jamani kuwa makini kwa usajili maana uku Kenya Nairobi Gikombaa tunasimbuliwa sana na watani. jaman
@EvelinaMsemwa2 ай бұрын
Simba mwaaa❤❤❤❤❤❤
@user-en8ie5cj3d2 ай бұрын
Shida sio jezi shida timu iwe nzuri
@MuharramiGarus2 ай бұрын
i love you simba sc
@IGNASKOMBA3 ай бұрын
SISI NI SIMBA NA SIMBA NI WATU WA 🦁 NGUVU MOJA SANA ✊✊✊
@AntonyAlex-wz8ds2 ай бұрын
Hii ni noma mnyama anapaa simba nguvu moja@@@@
@agricolacandle7937 Жыл бұрын
Thank you so much for broadcasting this event east africa together tunawakilisha
@JovetusMjuniАй бұрын
Jaman uziwetu nimkalisana amakwel ubaya ubwela
@JustineBaltazar-sw5tm3 ай бұрын
Kama Simba viongozi ndio hawa hawa hakuna kitu wanafurahisha watu tu hakuna jipya Mo afanye Mabadiliko
@DonatusNyabenda Жыл бұрын
Safa mnyama Simba nguvu moja
@FABIANIMAGESE3 ай бұрын
Hongera mwenyekiti wet kwa kwa mzur
@shukuruiddi823 ай бұрын
tunahitaji mabadiliko ya kutosha na sio maneno ya kutosha, mashabiki ni wavumilivu mno ila tunaomba mtutendee haki km sisi tunavyombana na maneno ya huku mtaani. tujengeeni timu yetu tunahitaji mataji
@BarakaMolly-tn5ut2 ай бұрын
kweli kabisa
@WilsonWilliamsSlaa2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ naipenda simba
@Aloyceshayo-c5q2 ай бұрын
Simba itakuwa moto sana
@YusuphYohana-ic6fn3 ай бұрын
Kaka Ahmed Ally nikikusikiliza hahahaha napata raha sana Mungu akuweke unakitu ndani yake
@magariabdallah80663 ай бұрын
Kibegi kianze kutlendi sasa😅😅😅
@KuruthumAlly3 ай бұрын
Nakukubali sana msemaji wetu pambana tupo pamoja nawe
@JumaJuma-g5e2 ай бұрын
Bilioni. Mbili. Kwa. Mwaka. Miwili. B. Nme. 4. Mwisho. Wa. Siku. Hammna. Kitu
@MaliganjoMlonga2 ай бұрын
Simba nguvu moja 2:28
@zuhumedia61843 ай бұрын
dah kajula unazinguwa. mfate mtangulizi wako na upate ushauri wake tupate mafanikio zaidi
@ZiziNyemba-t6b2 ай бұрын
Mbona kaymziwanda yupo kimya kuhusu jobe😮
@RevokatusiKapugi2 ай бұрын
Naipenda simbaa
@denisbanenwa65462 ай бұрын
I love you simba
@StantonKaizilege3 ай бұрын
Yani mukao wa vikao nikama vya alusi sijui itafanyika lini alusi tuweke wazi kua mulibolonga sana na musimu ujao bolonga tuu
@zakaria9243 ай бұрын
Jezi bila WACHEZAJI Bora siyo kipaumbele cha kuifanya Simba kuwa Klabu Kubwa Barani Africa!
@RevokatusiKapugi2 ай бұрын
Safisanaa
@Tato-b1i2 ай бұрын
Mimi nipo oman nataka jezi
@ismailabdallah78533 ай бұрын
Ongela ttimu yangu simba nguvu moja
@SuleymanMnkologwe2 ай бұрын
Ilove simba❤❤❤❤
@GodfreyMuLokozi2 ай бұрын
Mwijaku kafurahiii kweli kweli
@user-ug2wi8hx1m3 ай бұрын
Naipenda simba kufa kuzikana
@user-ug5wr7un3g4 ай бұрын
Simba nguvu Moja hongereni
@user-lg7tm9jx2b11 ай бұрын
❤ Simba tunaweza kweli
@stamiliramadhan15563 ай бұрын
Ahmed ally mmoja ni uongozi wote wa simba
@JosephineLadi2 ай бұрын
Mungu abariki timu yetu mabadiliko yawe ya uhakika
@StantonKaizilege3 ай бұрын
Yani mukao wa vikao nikama vya alusi sijui itafanyika lini alusi tuweke wazi kua mulibolonga sana na musimu ujao bolonga tuu 16:35 16:36
@BukuluTheBosscomedy3 ай бұрын
Naipenda sana Simbaaaa
@FotiusPhilido3 ай бұрын
Viongozi tunaomba mfunye usajili kwa utulivu si kwa kushindana na watani ili tuweze kuwa na team bola si bola team, last but not list I ❤ simba for lever and ever
@AminaLibisa9 ай бұрын
Tupo pamoja semajiii 🌹🌹🌹🌹🌹
@MickyPetro2 ай бұрын
Tukiwa wakweli tutafikia malengo, ilove you simba sport club
@HamzaMcheche2 ай бұрын
Simba nguvu moja viongizi fanyeni kweli tumechoka kutukanwa na makolo
@feendry2 ай бұрын
𝙽𝚐𝚞𝚟𝚞 𝚖𝚘𝚓𝚊
@MunsiCosmas-tg2df3 ай бұрын
Mmepiga sana hela kwasasa mnaogea utumbo bado mfanye kwel kwanza mnaanza kuogea kumbe ziro
@user-yh9iu1bq8k3 ай бұрын
Naipenda sana simba nawaomben sana viongoz tuwemakin katikakipindi hiki cha usajili simba nguvumoja❤❤❤❤❤❤
@AndrewErio3 ай бұрын
❤❤❤
@BarakaadreckSimfukwe2 ай бұрын
Tunawaani Sanaa fanyeni maajabu tuondokane na aibu 😂😂😂❤❤
@SaleheKizamile3 ай бұрын
Sajirini wachezaji bora soon mladi mchezaji tunaipenda Simba yetu
@ismailhassan52093 ай бұрын
Shukran Ahmed Waeleze wapenda simba kuwa Simba inapoteleza. kidogo kwenda shirikisho huwa inaenda mpaka robo finally, Sasa niwaambie ndoto yangu> Yanga huenda ikaishia makundi safari hii, msione ajabu Lazima na Yanga ili kufika mbali atayaonja machungu aliyoyapata Simba. Safari hii Simba ibebe kombe la shirikisho.
@JumaJuma-g5e2 ай бұрын
Bundu. Halitakutoka. Maisha
@user-lg7tm9jx2b11 ай бұрын
Kweli tunaimani na simba❤
@EliaTimotheo2 ай бұрын
💸💸💸
@NgudePhaustinlubinza-kg4xx2 ай бұрын
Tunaomba viongoz wa simame imara.
@AlafaAmili3 ай бұрын
Mnazingua maneno meng kuliko vitendo
@user-sl1hp1bh4c Жыл бұрын
atutaki preesha tena mashabiki wa simba 👍
@IbraimuOmary-lx7wc8 ай бұрын
Naipenda simba ila wachezaji wanatabia ya kuridhika uwa wananiboa sana