Bro nakubali sana unawaelimisha wasiojielewa,,, endelea Kaka ipo siku wataelewa tu
@FaharuAdam-zm5ce10 сағат бұрын
Dah kweli unaongea point tu
@evaristgaspa60747 сағат бұрын
Ambokire kama unanamba ya azizikii mpigie umshauri anashuka kiwango porepore sisi mashabiki wayanga tunaona
@flova70227 сағат бұрын
Mme wa mchome
@SimonMabigi9 сағат бұрын
Daaah ukweli mchungu we nichambuz unaenyooka😂
@EbeEbe-j6l7 сағат бұрын
Sema ukitaka umfaidi huyu jamaa we chambua mchele pumba achana nazo sometimes anatema point nzuri sana mfano anavyochambua matatizo ya magement kwenye timu za Kariakoo 😂
@alfredbowa96777 сағат бұрын
Mandundu kwani hawajui wanajifaliji kwakujitekenya tu
@CHARLESJUMANNE-d3m9 сағат бұрын
Wambie baba ,wambie
@erasmuskwayu564310 сағат бұрын
Waambie hao Makolobwanji
@sarahkinyashi62139 сағат бұрын
Ninachojua ENGINEER ni RAIS wa YANGA,pia ni mwenyekiti wa vilabu barani AFRIKA🙏🙏🙏🙏cvngine💛💚💪
@GodfreyMwendawila-ff7on9 сағат бұрын
kuna msenge anaita watu kafili na hajui maana ya kafili kweli inahitajika elimu kubwa sana kwenye maisha
@marialumbanga7 сағат бұрын
Usitumie nguvu nying kwanza unatakiwa ujue maana ya kafiri
@MethodkifokaMethodkifoka9 сағат бұрын
Una kiti chako mbinguni
@gwakisagedion4576 сағат бұрын
Kwhiyo kikosi cha fountain Gate ni kipana sio...timu imefunga mabao 27 imeruhusu 13 alafu inashinda nyumbani ti unaifanaisha na simba...
@hawamasanje95899 сағат бұрын
Waambie Ambokile Simba hawajielewi ushamba umewajaa kila siku kumsema Eng Heris atabaki kuwa mwenyekiti wa Vilabu na Simba ikiwemo watazidi kubishia kwa kukosa akili
@MeckMsea-cx1ct7 сағат бұрын
Acha kujipendekenza wew unapenda sana sifa unatumia nguvu nyingi ww
@djnizoh10 сағат бұрын
Hakunaga mwaisa mshamba
@gwakisagedion4576 сағат бұрын
Kwani nani alikwambia chama timemuombea mabaya yanga..kwani simba ni kama mashabiki wa yanha wanaotupia watu majini
@EbeEbe-j6l7 сағат бұрын
Sema huyu jamaa muongo kichizi 😂😂😂 ila sometimes hua anaongea point.....mimi kama shabiki wa Yanga nawashauri wana simba mpuuzeni tu anafata upepo huyu jamaa juzi kati alikua anasema Yanga imeshasha flop Simba itabeba ndoo leo tena kageuka 😂😂
@IssaHussen-v4p8 сағат бұрын
We bwege ndugu
@sijaonamjungufinias4818 сағат бұрын
Wewe ngogwe kwani aliyefunga lile goli ni nani, ubora wa ngogwe wenzio uko wapi, Kwan umelazimishwa kuiongelea simba, mpuuzi wewe achana na simba
@vincentdaud99548 сағат бұрын
Ambokile nakukubali sana . Ni bahati kuwa na mchambuzi km wewe
@CHARLESJUMANNE-d3m9 сағат бұрын
Anae kutukana bro yy ndo fara Sabu hajui mpira ni mpiga kelele tu washaur kaka
@rashidnganga873010 сағат бұрын
Chuma cha mjerumani
@gwakisagedion4576 сағат бұрын
Huyo hajaanza leo kuiongelea simba vibaya..yy na mkaraboko wanatabia hiyo sna tu..nimewafatilia sana hawa..wanSimba hawa watu ni wa kupuuzwa tu wanatafuta followers. .maana anaongea vitu vingine vya ajabu ajabu ..ni kawaida yake..akiwa redioni pale redioni ikiwa ishi ya simba tu laxima aishadadie...mnafiki w taifa..anakerekwa na simba na majungu kibao...toa ushahidi wa ten percent..nawe unatoa tuhuma za simba..toa ushahidi wa ten percent...waxee wakiongea mnasema wanakurupuka...huyu hajaanza leo kuiongrla simba vibaya anajitahidi sana kuleta mvurugano mfutalieni hata akiwa ktk kipindi cha efm yy na mkaraboko...wanaongea vitu kama mashabiki..ss vitu vya ndani ya simba ambavyo inabidi mashabiki...ten percent unsyosema uoye ushahidi ww si unajiamini. Viongozi msiache mtu kama huyu anaharibu kila siku image ya simba..inabidi mmwite atoe tuhuma anaxozisema kuhusu simba
@azizasoli10 сағат бұрын
Huyu jamaa kwanza ni simba, isipokua hapo anasema ukweli ili viongozi wa simba wabadilike furaha yake irudi sio kwamba anaisema simba kwa ubaya...
@peterkandaya5658 сағат бұрын
UTOPOLO wanachoangalia wao ni mtu awasifie,hawajali hata km anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa,ukitaka kujua huyu Ambokile ni Utopolo nitafutie clip anayowasifia Simba Yani kwa Simba kwake kila kitu kibaya km Mchome eti naye anajiita mchambuzi nyie pigeni kelele lkn mjue Simba ndiyo baba zenu na ndiyo mana wanashika nafasi ya sita kwa ubora Afrika WEHU NYINYI😂😂😂😂😂😂
@marialumbanga7 сағат бұрын
😂😂😂unateseka ukiwa wapi mtani mbona salama ngale kila siku anaiponda yanga huu ni mchezo hauitaji hasira😂😂
@gabrieltomeka611010 сағат бұрын
Waambie hao makolo kweli wachambuzi wengi wanaongea kiunafiki kwa sababu ya upenzi
@Bquality9 сағат бұрын
Huyu nae kila cku anabadilisha maneno
@gwakisagedion4576 сағат бұрын
Tushamzoea huyu...ni kawaida yake....ss tunahifadhi maneno yake. Ni kawaida yake ..mfatilieni ndo mtagundua..haya yote anaongea baada ya simba kutoka sare..ligi si bado inaendelea..ss tutawajibu uwanjani na si kwenye mitandao kama anavyofanya..aendelezemipasjo yake kma kawaida. Maana yy na mkaraboko nod tabia zao..ss tupo na tunatunza risiti
@gwakisagedion4576 сағат бұрын
Unajitahidi kutafuta followers kw nguvu sio hajaja. Ongea yote maliza yote simba nguvu moja simba inakuuma eeh inakuumaa eehj...umenyimwa ten percent sio eehh
@onesmoOne-f5e11 сағат бұрын
Mnachanganya singida black star ndo anaongoza
@mwinyihijaramadhaniseif11009 сағат бұрын
Nikweli nisimba hata mchome viyongozi wajiyongoze
@FodiGereji0110 сағат бұрын
Huna ishu wewe hujui kitu wewe
@ElisanteElisante10 сағат бұрын
Hahahah kavamia fani 😂😂😂😂duuu asee hata lasaba hawezi ongea hivyo jitahidi basi hata useme vilabu sio virabu 😂😂😂😂