NOTHING COULD APPEAR ON MY WAY IF YOU DON'T DECIDE AND LET IT HAPPENS @NAYE AKAMWAMBIA,KAMA NIMEPATA KIBALI MBELE YA MACHO YAKO, BASI NIONYESHE ISHARA,YAKUWA WEWE NDIYE UNAYESEMA NAMI.waamuzi 6:17
Пікірлер: 137
@gumimosile23897 ай бұрын
Umetisha sana bro barikiwa sana❤❤❤
@agathajuma48278 ай бұрын
amena sana kaka ubarikiwe
@usatoenglandvegas40468 ай бұрын
Siku awezi Kwisha bila kusiliza wimbo mara tano ❤❤❤ my favorite song 🎉🎉🎉
@user-oe4ic9oh5y8 ай бұрын
Nimeipenda san bro endelea nakukubali San by:Memorize
@jamesmwene50858 ай бұрын
James nimeona kazi ya mikono ya Mungu inahendelea kabisi
@user-tm8lq3rc1l7 ай бұрын
Unajua himba ndug yangu umenibarik sana Mungu akubariki sana usiniangush ndug towa mangoma kama yote
@J.MODEST.TZ5058 ай бұрын
Barikiwa sana
@xltz82618 ай бұрын
Mungu wambinguni nimwema kabisa awalinde katika uduma zote y
Full upako , full mafutaa WA Karne ya 21 Mungu alikujuwa kabla ya kuwa hivo
@barakadieudonne8 ай бұрын
Ohh Alellujah Alellujah Mbarikiwe sana na BWANA ❤
@isaackkimpanga38838 ай бұрын
Oooh ninaposema allelujah mbingu ziseme amina 😍🤲
@simonIbrahim-hc8vm6 ай бұрын
Naitwa Steven Ibra nipo Tanzania nimebarikiwa sanaaa kwa huu wimbo Aminaaaaa!!! 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@pa-nyasi243house8 ай бұрын
Imekuwa faraja mno, kipaji kikubwa wimbo mkubwa, production kubwa sifa na utukukufu kwa bwana wetu Yesu kristo Ubarikiwe
@Freemethodistchurch1238 ай бұрын
Yep Vocals Za kwenda 🔥🔥🤲🏿
@deborakamsi7 ай бұрын
My favourite song 🎵 ❤❤❤
@GodfreyByamungu8 ай бұрын
Nakukubali sana bro, kazi nzuri. Glory to God💪🙏🔥🔥🔥🔥🔥.
@ThekingMavocal-ut5cr8 ай бұрын
Mubarikiwe sana watumishi wa Mungu by THE KING 👑 MAVOCAL 👑🎙️👑
@bernadettemungadiane8 ай бұрын
Wow good kbs Mungu azidi kualinda
@maedvdproduction25098 ай бұрын
Tikeketi ❤❤ mungu awa bariki
@fezarashidi63928 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@bisengobubasha8 ай бұрын
Wimbo mzuri sana 🙌🏽🙌🏽 Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
@carinehelen4008 ай бұрын
Baraka tele 🥰🔥
@MELODIES283 ай бұрын
Habari za uzima wateule wa Mungu Kama yasemavyo maandiko kwamba tazama ilivyo vyema nakupendeza ndugu kukaa pamoja kwa umoja na kushirikiana kwapamoja. nami Nachukuwe fursa iyi kutoa shukrani zangu zadhati kwa ushirikiano wenu mkubwa juu ya kazi ya Mungu. Baba Mungu tumtumikiaye awabariki sana zaidi.lakini pia naamini kuhusu NEXT, yeye alie tufanya kuwa vipaza sauti vyake ,basi atahagiza roho wake mtakatifu kuleta ujumbe kwangu iliniupaze kama apendavyo.AMEN
@mawazokiloloma55298 ай бұрын
Wimbo mzurikweli Mnatisha sana ❤
@rashididrums41288 ай бұрын
Mbarikiwe
@JulesAloise-uv1kd8 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana ndugu
@joelmakeci7 ай бұрын
Powerfull message, be blessed.
@devoseky67448 ай бұрын
Nice song my twin 🔥🔥
@josephinerashidi24998 ай бұрын
Amen kubwa ❤
@Qbaby8147 ай бұрын
Excellent
@MosesMerse-cp1wi7 ай бұрын
Lomo ndulo yoooooóooh kaka
@user-qu3lg4rx4x4 ай бұрын
Lumona ndule, asante Sana kwa wimbo mzuri Sana, Niko Congo fizi mboko secteur de Tanganyika,na niko mushilomona mlala
@ShadrackKaskile8 ай бұрын
Amina sana kwa kazi kubwa unayoifanya Mungu akubariki sana kweli pia awe mwaminifu kwako
@PaulmzaliwaProphet8 ай бұрын
Naipenda hiyo pia nakubali sana kazi ya mungu wambinguni 🙏🙏
@justin37878 ай бұрын
Congratulation guys ❤
@neemauwezo34549 күн бұрын
Bado tunasubiri wengine wimbo kaka
@ibongeahipatela85585 ай бұрын
Barikiwa na Bwana kwa wimbo nzuri
@furahaAlenga6 ай бұрын
Amen ❤❤❤❤❤ sifa nizake tu milele yote
@KahindiKombe-jq4ux5 ай бұрын
Wow! mu haswe kazi mbinjzo
@JulesAloise-uv1kd5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi Mungu akuimuwe ❤❤❤
@sabina_josma8 ай бұрын
Mungu awa bariki sana wimbo mzuri mno❤❤❤
@ungwamwangaza72978 ай бұрын
Nice song❤️
@fezafrida-fs1ii6 ай бұрын
Wimbo wa bien sana
@rodamangye98038 ай бұрын
You can sing ❤️❤️
@Mjenzi8 ай бұрын
Napenda Uimbaji wako tokea Power Of Angels - Yesu Wa Moyo Ur No 1 fan
@FedhaClementine-er1mw8 ай бұрын
Iko POA kaka
@VenanceEbSnavyJoshua-ob6bw8 ай бұрын
Congolais Ndulist , namkubali 1000%
@DavidNdule8 ай бұрын
Kitu ambacho uwezi tegemea bubu. Kutoa sauti. Na kuli taja jina la MUNG. KWA SAUTI NA KUSEMA. HASANT EEEEEH. IMETIA UTUKUFU NA MAMLAKA. YA MUNGU KUJULIKAN. KWA MATAIFA.
@FedhaClementine-er1mw8 ай бұрын
Nimeipenda
@Kasfer_AL-Fred4 ай бұрын
Kumbe kigoma tulikuwaga na Mercy Chinwo na hata amniambihi duuuh,, sijapenda.
@user-uw3bs4ei4v7 ай бұрын
By Mr methelo moja
@user-ez8zk2fu7o8 ай бұрын
Napendaga sana Melody zao 🥰❤️
@IdayaAngela8 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukuza kipaji chako kweli wimbo mzuri
@MajaliwaBitomwa-qu7mc8 ай бұрын
Ubarikiwe mdogo wangu
@ibrahimdaniel76228 ай бұрын
Ubarikiwe zaidi na zaidi
@Nr.Espoir.9458 ай бұрын
Amen frère ndulist be blessed
@penueldjuma28458 ай бұрын
Good job 👏 🎉🎉🎉
@mariamkakozi11258 ай бұрын
Mubariliwe sana ❤
@Kasfer_AL-Fred4 ай бұрын
Lumona ulikuwa wapi Kijana,, mbona masikiyo yametoboka na nyimbo zisizo bariki rafiki yangu..Mungu awabariki nyote🙏
@jamesmwene50858 ай бұрын
❤nimependa ongereni sana
@mwajumaleonard21328 ай бұрын
Amen sana nimbarikiwe ❤
@karimpasclee40438 ай бұрын
Ubarikiwe sana 🙏
@Dangote998 ай бұрын
Never Disappointed 🫡🫡
@AgathaNdalamba4 ай бұрын
mubarikiwe sanaaa literally my favorite song!! 🔥🔥🔥
@elizakiza12828 ай бұрын
Safi sana wimbo unabariki
@ProfessorAkisasadiki8 ай бұрын
Ubarikiwe kijana wa yesu
@leontinebinlydi9459Ай бұрын
Mungu wetu wambinguni awabariki 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@usatoenglandvegas40468 ай бұрын
Kaka barikiwa sana ndugu yangu 🎉
@DylvaSon8 ай бұрын
Amen 🎉
@abeditempo72248 ай бұрын
Amen
@Bolly-ff3ko8 ай бұрын
Nice
@rajabungoy74718 ай бұрын
Brother sauti yako uwaga inanibariki sana kweli Mungu azidi kukubariki 🙏🙏