Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 652
@sophiekindem90719 ай бұрын
Congratulations DC.. MashaAllah 😍 😘 Proud of you Mwijaku 👍🏽👍🏽👍🏽👌🏽🌹🌹🌹
@Uwamahoro-fefe.159 ай бұрын
MashAllah,hongera sana mwijaku walio kuona kichaa umewafunga midomo kweli
@hellennehemia92699 ай бұрын
Huyu jamaa unaweza kumuona chizi,ila jamaa ni mastermind 🎉hongera sana
@jenjoseph72709 ай бұрын
umeona
@MCNgakungaJunior9 ай бұрын
Msomi muingizaji huo.Akiwa na watu wenye akili anaongea point.Akiongea watu wanaotaka udaku anawapa udaku.
@mariozulu57439 ай бұрын
Jifunzeni kwa mwijaku machawa much respect from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MBAmir-bl9sd9 ай бұрын
Tuko na cassypool😅
@Yangaone-h8j9 ай бұрын
Bahati nzuri mwenyezi mungu wote viumbe wake katuumba na akili, ila kazi ipo kwenye kuzitumia hizo akili zenyewe😎😎😎😎
@happyfaniabatromeo80109 ай бұрын
😁😁😁😁kumekucha Muha kama Muha Hongera Sana ikawe nyumba itakayo kupa amani na upendo kwa familia yako siku zote🙏🔥❤️
@AnnahJohn-hw8yb9 ай бұрын
Hongera sanaaaa
@Mojunior-c7q9 ай бұрын
Dah mwijaku hakiry nyingi sanaa broo hongera sanaaa maisha ndiyo hayooo❤❤❤
@morjanoman51819 ай бұрын
Tatizo wasanii wa. Tz. Wamezoea kushea wanawake. Au wanaume mmoja sio kumchagua mmoja na kupanga maisha
@RehemaMandai9 ай бұрын
DC Hongera kaka nmejifunza jambo kwa mwijaku, ukiwatendea wema wazazi wawil na kuishi vizuri na watu mafanikio utayapata kimaajabu na watu wasiamoni machoni mwao, huyu jamaa pamoja na vituko vyake tunavyomuona lkn Ana moyo safi sana kwa wazaz na ndugu hata marafiki huo ni ukwel haupingik
@ummahmed33549 ай бұрын
Maa shaa Allah... Allah akulinde na kijicho na husda... Allah baarik
@sky-wz5zi9 ай бұрын
Ila Mwijaku😅 Kwamba uandike mswada serekalini iwekwe kwenye mtaala wanafunzi waje kufanya tour😅 huishi vituko DC. Hongera sana, we love u❤ wish u all the best brother
@saidgawawa85199 ай бұрын
MashAllah tabarakah Allah, mwijaku Mungu akuzidishie na pia akulinde na macho ya hasad,, inshalla sisi sote pia Allah atuwezeshe mwaka huu tuweze pia timiza ndoto zetu maishani., amiin ya Rabb 🤲🤲....one love mwijaku all the way frm Kenya.
@hp26239 ай бұрын
Ameen
@nasra95kings439 ай бұрын
Ameen
@josephlorri4319 ай бұрын
Mwijaku ni msomi, master degree ya mzumbe (sijui fani gani).. ameamua kujichanganya maisha ya mitaani (uchawa) badala ya kuzunguka na bahasha maofisini kutafuta kazi.. nafikiri kuna kitu cha kujifunza
@modernfarming59389 ай бұрын
We jidanganye kuwa hajataka kuzunguka na bahasha
@omaryomary43569 ай бұрын
Mbona kaajiriwa Kaka clouds 😅😅😅😅😅😅
@frankngoloka54169 ай бұрын
Kazi zenyewe za kujuana utazunguka na bahasa ya kaki mji mzima bila mafanikio,jiongeze
@zubedamrutu31569 ай бұрын
Sasa lakini angefanya huko office angetoboa lini acha ushamba bwana
@eppiemodest9 ай бұрын
Mwijaku msomi. Ila mafanikio yake yametokana na maisha ya kujitegemea mwenyewe kwa kazi za kutumia busara tu. Naamini utajiri ya binadamu nikarama zake mwenyewe si elimu ingawa nayo ni muhimu. 👍🏼
@MariaKitundu-l1m6 ай бұрын
kaka nimekuelewa nimekupemda nakuombea mungu akupe zaidi mimi sina kitu nimejifunza kitu naamini Iko siku na mimi ntapa hata kidogo ni mefurah huna majidai kama wengine mungu akupe maisha marefu
@medinahsamita39819 ай бұрын
Nimependa hii nyumba much-loved from Kenya 🇰🇪
@dismasshayo21959 ай бұрын
Mwijaku niko arusha ongera sana. Mwanamme ni nyumba.
@peacemakune9119 ай бұрын
Exactly
@samtelah75789 ай бұрын
Mara kitasa 18M mara 8.5M yaan ukiwa muongo uwe na kumbukumbuku😀😀😀
@AaBb-q2l9 ай бұрын
Viko tafauti vitasa
@igihamanuel19 ай бұрын
@@AaBb-q2l Tatizo watu wamekalia kutafuta makosa, achana na hiyo husda haitakufikisha popote. Mwenzio akifanikiwa iwe chachu kwako
@mercyhumbe88579 ай бұрын
Awe anasikiliza vizuri😅
@hasanichengula689 ай бұрын
Muungo nini Sasa siyo nyumba yake au hawezi kkupa ukweli wakila jambo
@SaleheMganga-d6s9 ай бұрын
Cha kwako sh.ngapi?
@PendoMatemba-ql1ng9 ай бұрын
Mwijaku umenichekesha sana 😂😂😂😂😂 upo vizuri hongeraaaa
@tupokigwemarco75849 ай бұрын
Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako,iwe ya haki si kuangamiza wengine
@ZeishaFuture9 ай бұрын
Mastermind love you mwijaku kuna wanaokuzarau ila wewe kiboko na usomi wako wote ukauacha ukawa chawa matunda tunayaona wewe wakuigwa kwa maana ni fano mzuri❤
@josephchacha74562 ай бұрын
Duuh jamani yaani watu tungelikuwa hatufii hakika tungekuwa tunaishi maisha mazuri sana ila father mwijaku hongera sana tena sana mwanangu nivitendo soo maneno....
@rodethazard65989 ай бұрын
Hii nyumba ni nzuri aisee kama ni ya kwako kweli nakupigia saluti mwijaku umetisha
@bakariathmanathman21879 ай бұрын
Masha Allah thabaraka Allahu yaarhmaan 🙏 mabruuk Mr mwinjaku ume ni funza kaka lnsha Allah mwakani nafungua yangu jampo kua nizetu zakiswahili hongera kaka 🙏
@rehemageofrey12469 ай бұрын
Hongera sn, Mshukuru Mungu Ila usiponde/ kufananisha na nyumba za wengine
@murekateteaza95249 ай бұрын
Mwijaku nakukubali sanaaa maa shaa allah mungu akupandishe daraja ya juu maa shaa allah.
@josephkiwale3749 ай бұрын
Hongera nyumba ipo vzur mzee
@frankmlalila17059 ай бұрын
Braza umefanya jambo zur sanaa tema kubwa si rahis kwa wanaojua maswala ya ujenz watakuelewa,,,lkn baadhi ya vitu hapo sifur zimeongezeka😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zainabumosi239 ай бұрын
MashaAllah mwijaku Allah akujaliy akup na bingine zaidi ya ibo Allah akutanguliy
@Mwajumahoya9 ай бұрын
Majani yameota ndani ya siku mbili ila mwijaku🙌🤣🤣but mashallah umepambana sana
@SalmaChamy-tg4bo9 ай бұрын
Maashallah brother umejipanga tuombee na sisi dua
@mamy82209 ай бұрын
Ongera mwijaku na mm atanipa na mume wangu tutajenga kama hiyi❤❤❤
@AllyJangara8 ай бұрын
Kweli eeeh
@agentmsami53035 ай бұрын
Inshaallah
@jahsjjsj5839 ай бұрын
MashaAllah , mungu ni mwema sana
@jacintathomas45829 ай бұрын
😅gwp
@HalimaSalym-jl2ui9 ай бұрын
ALLAH akujaalie na AKHERA upate makaazi MAZURI ZAIDI YA HAYO. AMMYNA
@Sidrasidra6369 ай бұрын
Maskini ❤️🩹 hizo taa za inje mlinzi na muonea huruma hizo lazima ziibiwe
@ahz69078 ай бұрын
Hayakuhusu😂
@matungwajermanus79619 ай бұрын
Safiiii Sana Mwijakuu Hongera Sana...Safiii Sio kujitaidi ila umeweza
Hongera ujitaidi uchawa unalipa niaze hii kazi msimseme hameweza hana shida kuomba kodi
@luckyluchano19 ай бұрын
Mashallah! Tajiri umepoooa! Umepoooa!👐
@issashebe119 ай бұрын
MashaAllah hongera kwa nyumba nzuri.
@RhoidaKhwele8 ай бұрын
Ww kaka mwijaku ww hongera sana nakuombea uweke furniture nzuri nyumba ionekane nzuri zaidi congratulation
@Frolianagabito30009 ай бұрын
Wabongo tunavyopenda mafanikio ya haraka naona mwaka huu watu wengi watakuwa machawa 😅😅😅😅
@veronikachingo39009 ай бұрын
Haaaaas
@hanifaally46949 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@hadijamandanje61899 ай бұрын
Wa kumfanyia uchawa wenyewe Sasa,na je kuyaweza haya ya mwijaku
@majidfrolian49049 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@anjuadnani26079 ай бұрын
Huyo mnafki sana
@ilynpayne74919 ай бұрын
Nyumba nzuri sana asee jamaa amejua kujenga
@MuniraShughuli-kc7vj9 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah nimpenda binti yako amejistr🥰🤲
@georgemassebu20839 ай бұрын
Hii nchi watu watakufa masikini sana, sometimes tuingie mitandaoni kuelimishana tufanye nini ili kukua kiuchumi, sasa kijana anaingia hapa anaona tu matokeo ya vitu kama hivi na kijana haambiwi mtu huyu amefanya nini ili kuleta matokeo kama haya, akifatilia huyo anaye jisema ndiyo mwenye nyumba anafanya kazi gani, anakuta anaambiwa huyo ni chawa, hivi tunatengeneza nini hapa nchini? Na watu wanakuja hapa wanasema Congratulations... Sifa zenyewe anazo ziongelea ni kama pia unaona wazi Wala hii nyumba yamkini siyo yake
@HowtoKenya268 ай бұрын
Nyumba siyo yake kivipi.. Una evidence..
@fredducaunt6 ай бұрын
Umezoea spoon feeding Unataka uelekezwe Kila kitu toka elimu ya darasani hdi ya maisha Haya kaa kuna mtu atakuja kuku elekeza sawa
@shamlimah56824 ай бұрын
Allah bless u with ur family.this is so cute house mungu akumpe umri
@ayubuidd66649 ай бұрын
Kwel uyu mwehu njoo bukoba uku uwone utumbo wote unaotukanishia watu😏😆🤣 Sema hongera Sana ndo uwezo wako ulipo ishia maashaallah
@FatmaHalfan-w3l9 ай бұрын
Sio manara anakazi yakutuonyesha wanawake wapya Kila siku hongera mwinjako😂😂
@mangulimanguli39749 ай бұрын
Umenifurahisha😂😂
@ZulfahMuhammad9 ай бұрын
Anaye jenga nyumba lazima apewe eshima yake
@Faineskizanye9 ай бұрын
Sana ndugu yangu
@sophsoph47409 ай бұрын
Kbs mwenzangu
@sylviaforest30019 ай бұрын
Kabisa sio kila mtu anaakili hii ya kujenga
@nzitogondwe99769 ай бұрын
Hongera mwaijaku Niko Zambia nakufwatilia
@RahmaJovin-p2j9 ай бұрын
Daa mwijaku umeweza baba❤❤
@witnessinary78079 ай бұрын
Mama levo nae avunje record km anaweza😂😂😂😂
@ahuriladaniel98499 ай бұрын
Umeweza Mwijaku🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@shamimulazaro95189 ай бұрын
Masha_Allah Masha_Allah
@georgemkassu83018 ай бұрын
Hongera sana Mwijaku ni hatua kubwa sana umepiga nyumba yenu kwa maana na mkeo ni nzuri sana hongereni sana
@amemasudi57359 ай бұрын
Hongera kw kipata kibanda matata sana Allah akulinde
@thomasmelele26699 ай бұрын
Actions speaks more than words congratulations brother
@godfreymwamaso24248 ай бұрын
Hongera boss nyumba ni nzuri umejitahidi
@salomemunishi16954 ай бұрын
Nilikuwa nadhani uongo hiyo 1B ila inaweza kuwa mana nimemsikilza kwa makini bei zake za vitu nikahisi anadanganya alivokuja kwenye dirisha ni kweli kabisa walojenga watasema dirisha moja la aluminium ni laki 4 ila la pvc ni laki 6 sasa madirisha kumi ni sh ngapi. Swimming pool ni kweli kabisa 36m bado yale mataa mataa ni gharama kwa kweli. Hongera sana Mwijaku
@PiliKhamis-mb6ty9 ай бұрын
Maashaalah Maashaalah Maashaalah kaka mungu azidi kukubarki sana inshaalah
@helminahpeter48869 ай бұрын
Hongera sana uzidi kupiga hatua zaidi najua wenye roho mbaya hawakosi la kusema maana wivu umewajaa
@wardadallu18209 ай бұрын
Nakupenda mwijaku😂😂😂et utazoea tuuu😂😂😂😂watu wankuonaga chizi kichwa sana we jamaa
@TALLUBOY9 ай бұрын
Mwijaku maisha yako Unatumia siri kubwa sana Umewagandaaaa akina harmonize na akina diamondi Hakina allykiba kumbe wewe Unajambo lako
@DjumaShabani-d6w9 ай бұрын
ongera saaana DC mwijaku djuma shaban from cape Town south Africa ❤❤❤
@missmoona44979 ай бұрын
Saleh kapatikana leo umbea woote umemuisha🤣🤣🤣🤣🤣
@OthmaniJuma-lt4of9 ай бұрын
Huyu unatukatisha tamaa ya kujenga dah mlango tu million 6 😊😊😊
@faidhacute9 ай бұрын
Million 6 wap muongo bhana huyo anaongeza masifuri tu wakat
@monicapeter90659 ай бұрын
Bwanaa eeeh Bora upate pa kuweka mwili usiku Mengne ni manjonjo ya Dunia tunayaacha haya kikubwa una eneo maarumu pa kujistil mwenzang Kuna wengne wanataman hata kidogo wanaishia kuwa wakimbizi
@SekelaKapwela9 ай бұрын
😂😂😂😂
@jocelyneliaminarukundo36339 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tanzcanmediatv44739 ай бұрын
Hongera sana mwijaku ila mpaka umention watu anyways mnajuana
@annaraymond61409 ай бұрын
Mmm nimeangalia acha niseme mashallah mashallah mungu akuwek na akup mafanikio zaid ya hayo
@SoomaSoma-t8x4 ай бұрын
Mashallah mungu akuondolee mikosii
@hellenngwilla5509 ай бұрын
Hongera sana sana upewe maua yako kwakweli
@khamisshee8039 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hamudseif44069 ай бұрын
Chumba Cha kusalia kikowapi ???
@WinfridaMushi-b2n8 ай бұрын
Hongera sana bro mungu azidi kukupigania itakuwa funzo kwa wengine
@ZarunaSinda9 ай бұрын
Mashaallah Mwijaku nyumba yako yagharama sana umeweza upo vzr hongera sana
@frankmahenge59438 ай бұрын
Hongera Sanaa ushaurii ongea na majirani waliopo karibu na wewe uwahamishe Nyumba iwe na eneo kubwaa
@EliudiJastiniАй бұрын
Amazing boss mswahili😂
@hurumajosephat63339 ай бұрын
Nyumba ni nzuri inabid uwanunue na majilan ili uwe na neibhourhood nzuri
@steveabel58193 ай бұрын
Hongera Mwijaku ingawa nyumba ni ndogo ila umejenga👏
@ndukulusudikucho_9 ай бұрын
Masha ALLAH, Ubarikiwe saaaana
@ukhutfatumah11549 ай бұрын
Yaaaan mwijaku wewe wakutuangaisha hivi leo mitandaon mara Instagram,fb, KZbin tunyoosha baba
@maryumamapunda89109 ай бұрын
Yani katueleleza kweli leo😂😂
@RehemaFelician9 ай бұрын
Mwijaku anahakil Sana hongera 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jastinemwandobo27299 ай бұрын
Mungu nakulilia namimi uje unikumbuke ktk maisha haya ya dunia mpaka huko kwako😢😢😢😢😢
@hyacintagugu79 ай бұрын
Usijali atakukumbuka tu
@AmissiDeo-p1s9 ай бұрын
Mashaallah allah akijalie kheri mjomba wangu
@achouraachoura57639 ай бұрын
Masha'allah..nimeipenda nyumb nzuri☑️
@GreatThinker-x1b9 ай бұрын
Kweri mwijaku katoa somo na challenge kwa vijana wakati anapambana tunamwona mwehu😂😂Hongera sana DC.
@taturajabukhalfani79539 ай бұрын
Hongera sana mwijaku!!!!umejitahidi saaaana
@Mutubure9 ай бұрын
Tuna msubiri na baba levo azinduwe 😂😂😅
@rukiaiddyyahaya95069 ай бұрын
Jamaa muongo izo koki omani rial 7 masinki 25 adi 20 unachukua camera laki tuu na nusu😂😂😂
@aiseesijui67368 ай бұрын
Aisee daah! yaani hii ni nyumba yangu kabisa hii, na ndivyo itakavyokuwa
@ismailchibonda50057 ай бұрын
Sanitary za kawaida Sana.😂😂😂😂😂😂 Nimecheka kwenye mixers toilets na hand washing basins.
@ZulfaHtz9 ай бұрын
Hongera Sana,mm naomba Kazi ya kukuwekea electric fence.kwa bei nzuri,nipo Zanzibar.
@michaelsamson47849 ай бұрын
Kwa waliofanya ujenzi wanaelewa how hard kupata kitu ka hiyo, mwijaku hongera sana ingawa kuna chumvi kwwnye price ila hapo 😂 kwa estimation kwenye milion 150 mpka 200 but sio B bana😂😂😂 hongera sana bro
Mungu akubariki Mwijaku chawa umefanya kitu cha ajabu umeshinda maboss wako
@NovekaNovatus2 ай бұрын
Hongera ake
@لبااتتاا9 ай бұрын
Mashallah.tabarakallahpazurisana❤😮
@hp26239 ай бұрын
Mashallah, alhamdullillah
@raphaeltuju-zi2qhАй бұрын
Huyu ni DC kweli wa kubisha hapa hakuna, Kongole🎉🎉🎉
@amisamaurid18829 ай бұрын
Hongera brother mwijaku ❤
@skyleryung75559 ай бұрын
Kazi kwelikweli ila hongera bwana😁😁
@martinamuryang1539 ай бұрын
Saleh Leo kapatikan😅
@HabibuUrasa3 ай бұрын
Usidharau wengine ALLAH anasema haya maisha ya kidunia ni upuuzi na mchezo. Maisha ni ya akhera ukipewa nyumba akhera unaishi milele lakini hapa duniani unakufa na kuyaacha yote uliyokusanya kwahiyo hamna haja ya kujisifu
@MjedaAgrovet-Horticulture8 ай бұрын
Ni kweli amejenga ni jambo la msingi. Ila kusema uongo kwenye bei za vitu si vizuri. Uongo ni mwingi