No video

MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 10

  Рет қаралды 2,708

Dar24 Media

Dar24 Media

Ай бұрын

Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makala #malaysia #dupamdupange

Пікірлер: 25
@user-bq8rv7jm8v
@user-bq8rv7jm8v Ай бұрын
Première commentaire naomba liké zakutosha jamani kama tunamukubali uyu mwamba✌️✌️✌️ Dev ESINATI 🇨🇩🇧🇮 KAHILU
@omarkhelaifi5888
@omarkhelaifi5888 23 күн бұрын
Nakubali🇧🇮🇧🇮
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 18 күн бұрын
Safii sana christian south africa 🇿🇦
@josephmwirigi7718
@josephmwirigi7718 Ай бұрын
Kazi isonge kaka
@user-pi3ge3yu5t
@user-pi3ge3yu5t Ай бұрын
Kaka uko vzr san ktk uchambuz wahii stor maan weng wamesimulia hii stor ila hawakuchambua kam ww pia wale wot ambao hawaelew hii stor usikoment ujing wew kaush t maan hii stor haikuhus ww kaka piga kaz tunakufatilia san god bless you
@zainulahmed8206
@zainulahmed8206 Ай бұрын
Uko vizuri Dupa unaenda kisomi sana nakukubali
@jumas3939
@jumas3939 29 күн бұрын
Ndugu yangu kbsa dupa.Unapiga vizuri sana hii kazi
@ShanceBose
@ShanceBose Ай бұрын
Powa
@marrypius576
@marrypius576 Ай бұрын
Ongera san naielewa sana hii story
@JosephGeorge-s1w
@JosephGeorge-s1w Ай бұрын
Hiyo ndo mbaya iyooo..🎉🎉🎉🎉
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j Ай бұрын
Dupa usichoke unasikia kama hujachoka gonga like zinawasaidia nini 😢
@markmushi8940
@markmushi8940 Ай бұрын
Niko italy nakufuatilia sana story ya hii ndege unajua sana kuadithia
@MairaAlly
@MairaAlly Ай бұрын
Hadi mwisho
@mtupeacetz2589
@mtupeacetz2589 Ай бұрын
😅😅😅KAMA UMEWAELEWA MASHUHUDA PIGA LIKE HAPAA😅😅😅😅😅
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
@FILBERTYONAMAILA
@FILBERTYONAMAILA Ай бұрын
sasa dupa umeshindwa kutafsiri sehem ya ushuhuda na story yako haiiishi tu
@mtupeacetz2589
@mtupeacetz2589 Ай бұрын
KAMA UJACHOKA KUFATILIA HII SIMULIZI GONGA LIKE HAPA.😊😊😊😊😊😊
@ErickMkasas
@ErickMkasas Ай бұрын
Bro Dupa naomb kuuliza kama ndo mabki ya ndege kwann mait za wale abiria azikuwai kuonekana...? Ili wapime DNA.
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Hiyo ndege hayo mabaki ndio yake sema manyang'au wanakataa kwa sababu kutafuta c pesa nyingi wanapata hivyo serikali ya Malaysia akili zao zimelala wataliwa sana pesa
@user-uo6dy9qx2p
@user-uo6dy9qx2p Ай бұрын
Malizia 😢kilasiku tunaruka tume😂
@LugyPlan
@LugyPlan 18 күн бұрын
Sema ume sio tume
@paramaa5839
@paramaa5839 Ай бұрын
Mm sahv siangalii mpaka umalize hii story sku nikirud xx nikubadilisha tu kama ep zakikorea😫😫☹️☹️😡😡😤😤Why Why whyyyyyyyyyyyy iiiii Between my sm u re passing through I hate uu uu uuuuuuuuuuuu!! 😋😏nyau kabsa, bora kula dagaa kwenye aman kuliko__________
@elmiaxmed6870
@elmiaxmed6870 Ай бұрын
Huna lolote kuvuta stry ili upate views 2 unashindwa kumaliza stry bure kbsa
@mwanetu
@mwanetu Ай бұрын
🦾
MBOSSO - YAMAHA COME TOGETHER CONCERT SERIES | 11TH EDITION
54:30
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 35 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 96 МЛН
Bosbranden in Griekenland onder controle
1:57
NOS Jeugdjournaal
Рет қаралды 11 М.
'Bezette Russische gebieden enorme klap voor Poetin'
6:07
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН