Ni kweli Baba Askofu Gamanywa naendelea kufuatilia I'll kuwa salama hadi YESU ajapo
@danidaniel65566 жыл бұрын
Amina
@hashemluambo83966 жыл бұрын
Bishop Hili somo ungeliandalia mkutano Wa injili Kama Tanganyika packers Ilit waokolewe Wengi ubarikiwe Sana sana
@willymgaya5796 жыл бұрын
Hili somo nauhakika halipatikani popote pale watu sasa hiv hawataki kusikia maneno ya uzima wametekwa na mafuta ya upako maji ya upako unga wa upako chumv ya upako na mengine mengi raiti wangelijua uzima uliopo katika somo hili nafikiri pasingekuwepo pakuwakusanya hapo..... Bishop barikiwa zaidi na uzidi kua kijana hivohivo ili hata vitoto vyetu vije vikufaidi.
@vumiliawambula17163 жыл бұрын
Amen mtumishi , Mungu nisaidiye ninyakuliwe nireemu