MAANDAMANO YA CHADEMA Yakifukuta KUFANYIKA KESHO, JOSEPH YONA AFUNGUKA MAZITO..

  Рет қаралды 3,791

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 68
@MkungwaNgwarumbwa
@MkungwaNgwarumbwa 37 минут бұрын
Kuna maisha baada ya maandamano yanini kucheza na 🔥🔥 yarabi nafsi..
@abdulkarimfarah2336
@abdulkarimfarah2336 Сағат бұрын
Chama Cha chadema kifutwe tuu ni mamluki wahuni hawana Nia njema na taifa wengi wao ni wakinbizi ughaibuni
@StevenKapi-o5j
@StevenKapi-o5j 2 сағат бұрын
Mbona mnaogopa watu kuandama?? Wacha watu waandamane watu wawakilishe hoja zao watu wanauchungu ndug zao wanapotea
@safiaothman5175
@safiaothman5175 Сағат бұрын
MWENYEZI MUNGU ANAWAONA CHADEMA WATAANGAMIZWA
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 26 минут бұрын
Kweli
@AnociathaChuwa-cb5nk
@AnociathaChuwa-cb5nk Сағат бұрын
Kweli vyombo vyetu vya usalama ni dhaifu Majeshi yote hayo kwa chadema tu kweli hatuna vyombo vya usalama
@eliahbukukumwaikuju7403
@eliahbukukumwaikuju7403 Сағат бұрын
Nilijua tu,lazima uanze kusifia,ili kutengeneza uchawa!
@MultiBice
@MultiBice 34 минут бұрын
Mmeongea vizuri saana mungu awabariki saaana
@noellema9109
@noellema9109 Сағат бұрын
Mbona kama uyu sija mwelewa, anayo sema,
@audifacejosephat7071
@audifacejosephat7071 Сағат бұрын
Mama kuruhusu hawa machawa kwa hiyo chadema Wanashirikiana na polisi kuteka watu duh 😢
@AugustinoMnyeka-o1f
@AugustinoMnyeka-o1f Сағат бұрын
Njaa yenu kali
@ThomasAssey-uq2ur
@ThomasAssey-uq2ur Сағат бұрын
Huyu jamaa katumwa na kutumika wengine wanaweza kufikiri ni njaa hapana Huyu ni sehemu ya watekaji anafanya kazi kubwa kufunika mauaji wanayofanya! Kama tuna serikali inatumia wahuni kujitetea na kuficha mauaji Ukisikiliza Kwa makini mauaji ni kazi ya serikali
@JohnJonathan-y1k
@JohnJonathan-y1k 14 минут бұрын
nikwer kiogozi hayo maadamano hatuitaji chida ichi yetu tumezoea Aman. tanzania yetu tunaipenda kuwen Makin nahawa chadema
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Сағат бұрын
Pumbavu zako peleka njaa huko unafkir utapewa cheo ccm,
@johnmsagga5327
@johnmsagga5327 44 минут бұрын
Please usiwachafue viongozi wetu wa dini yaani maaskofu
@michaelbachubira7197
@michaelbachubira7197 2 сағат бұрын
Shikamoo njaa
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Сағат бұрын
Acha ungese unasema hivyo kwa sababu ulitajwa na rais ndio maan unajichokonoa mwenyewe unacheka mwenyewe loo huna aibu wew njaa tu koleka chikozile kokung'una inguo
@AkleyChuwa
@AkleyChuwa 2 сағат бұрын
Humepokea pesa
@EzekielSitayo
@EzekielSitayo 25 минут бұрын
Jitaidi kupotosha MUNGU anawaona
@bonifacegasper9508
@bonifacegasper9508 Сағат бұрын
Mnatuzingua tu,uchawa unawasumbua,nawewe ninani nimsemaji wapolice,au warais,tutokee hapa nawewe mchochezi shez .
@BulegiSahani
@BulegiSahani 34 минут бұрын
Nimejitahd kusikiliza lakin simuelew huyu jamaa
@AnociathaChuwa-cb5nk
@AnociathaChuwa-cb5nk Сағат бұрын
HUYU JAMAA HAJUI WALA HAJUI HAJUI NINI!! KAMA KUNA MWANANCHI ASIYEJUA YUKO WAPI NDIE HUYU WALE WANAOFAIDI PIPI ZA SHETANI NDIO HAWA
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 24 минут бұрын
chadema sio watu wazuri kabisa.
@Richard-z6z4h
@Richard-z6z4h 2 сағат бұрын
Sinaona points
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 2 сағат бұрын
M waambie hao mabwana zenu walete wale polis wakimataifa ndio tuwaamini kama ni wao
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 2 сағат бұрын
Huyu anaongea ufaka na happy ameshiba nataka kwenda toi😅 hili taifa Lina vijana wa hovyo sana
@DaudiKapufi
@DaudiKapufi Сағат бұрын
Acha kudanganya uma nakupotosha watu umetumwa ww tutaandamana
@lazaromshamu3521
@lazaromshamu3521 Сағат бұрын
jamaa anaongea pumba adi nimeshindwa kumalizia kuangalia, ina maana saiz jeshi la nchi linamilikiwa na chadema, chadema wanamiliki silaha nzito za kwenda kutekea watu, na wana uhuru wa kumteka yeyote, na kama ni chadema wanatekana wenyewe mbona mnakataa uchunguzi kutoka nje
@AkleyChuwa
@AkleyChuwa 2 сағат бұрын
Hahunahakili
@MusaPaul-te6kp
@MusaPaul-te6kp 2 сағат бұрын
Dah!!!
@manfredherman2898
@manfredherman2898 2 сағат бұрын
Mungu yupo madaraka si matam
@BahatiSimkonda
@BahatiSimkonda 2 сағат бұрын
Weeee nawewe unatetea nn hamjibu hoja mbona ?
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter Сағат бұрын
Boya chawa
@MabulaMalembeka
@MabulaMalembeka 49 минут бұрын
kwani chadema wakiandamana ninyi kinawatesa nini?? maandamano yako palepale
@elishamteka1
@elishamteka1 Сағат бұрын
Mb zangu zimetumika kijinga kukusikiliza
@ReginaSungura
@ReginaSungura 2 сағат бұрын
Wanaakili awa watu😂 mbona wanabweka or wanataka wapewe 🍞 wakilasiku
@SamoraTabaga
@SamoraTabaga 2 сағат бұрын
Mbona sielewi kila tukio ni chadema Mimi sijui lichama lolote, Sasa chadema no nchi gani mbona mnasema wanatekwa hafu hatuoni alochoma picha hamsemi sativa hamsemi mjue watanzania tunaakili, hao wakufunzi kunini jeshi lisiwakamate, haina uchungu wawawtu wewe.
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 12 минут бұрын
Huku kucfia cfia ndio upumbavu tusioutaka.
@SamwelMollel-br9md
@SamwelMollel-br9md 2 сағат бұрын
Tujaribu kuwa nakiasi namaneno yauwonqo ,mbona inawakera ,wakiandamana alafu,mambo yakuwataja watumishi wamungu kwenye mambo yenu yauwonqo siyo sawa ,
@fauzseif7344
@fauzseif7344 Сағат бұрын
Hakuna hapo mtu wa mungu yesu alipigwa lakini alihubiri amani sio kutoa kauli chafu angalieni hao wasije kuleta udini hata sisi tunaviongozi wetu wa dini kuweni makini
@JohannesJamal
@JohannesJamal 2 сағат бұрын
Mbona hamueleweki mnaongea Nini .
@StevenKapi-o5j
@StevenKapi-o5j 2 сағат бұрын
Tuwe kama Kenya tu
@MabulaMalembeka
@MabulaMalembeka 57 минут бұрын
huyu mbona kama ameyabhula!!
@johnmsagga5327
@johnmsagga5327 46 минут бұрын
Kwa wewe ni nani tuambie vizuri
@AnnaFelix-p1z
@AnnaFelix-p1z Сағат бұрын
Tulia mjinga wewe kwanza maana unavyo ongea wala aviingii
@AfrediMalila
@AfrediMalila Сағат бұрын
Inakuuma Eeei
@StevenKapi-o5j
@StevenKapi-o5j 2 сағат бұрын
Acha watu waandamane tuone panapovuja
@FrankKabuka
@FrankKabuka Сағат бұрын
Hawa ndio wakuanza nao
@lothlaizer6913
@lothlaizer6913 2 сағат бұрын
yaani nyie hamna akili mbaropoka tuuuu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 2 сағат бұрын
Acha ujinga mjinga wewe umekuwa mtu wa ajabu kumbe umerudi CCM
@EmanuelMbandi
@EmanuelMbandi Сағат бұрын
Ww nenda ukapimwe akili siyo mzm
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 2 сағат бұрын
Siyo story yakutengeneza Sativa,shadruck,Soka,Kibao nk wako wapi acha upimbi wewe dam zawatu zitakufuatilia
@donaldbenedict5761
@donaldbenedict5761 Сағат бұрын
Point less
@Mosmwampa
@Mosmwampa 2 сағат бұрын
Yaan ongea yake tu inaonesha kapangwa, watanzania sio wajinga kiasi hicho. Wahuni ni serikali wanaopinga maandamano wakat ni halali kikatiba
@alphoncejohn6308
@alphoncejohn6308 2 сағат бұрын
Upumbavu tu
@hamynas
@hamynas 2 сағат бұрын
urongo mtupu huu
@tumainieverest9928
@tumainieverest9928 Сағат бұрын
Pumbav
@MajaliwaYusuph-qb1xp
@MajaliwaYusuph-qb1xp 44 минут бұрын
Kumanyoko zako mbwa zako
@gadisonmichael7805
@gadisonmichael7805 48 минут бұрын
chawa ww
@lugembesweya3288
@lugembesweya3288 2 сағат бұрын
We ku
@EmmanuelJeremiah-r2s
@EmmanuelJeremiah-r2s Сағат бұрын
Mbwa wewe huna jpya
@MachotaMachota-w6c
@MachotaMachota-w6c 56 минут бұрын
Mama wewe
@ngalamawecheslous9976
@ngalamawecheslous9976 2 сағат бұрын
Watanzania sio wajinga
@StevenKapi-o5j
@StevenKapi-o5j 2 сағат бұрын
Tushachoka kuonewa bwan
@KhamisKhamis-r7s
@KhamisKhamis-r7s Сағат бұрын
Kanywe sumu hutochoka
@StevenKapi-o5j
@StevenKapi-o5j 3 минут бұрын
Siku ukikua utaacha
@AugustinoMnyeka-o1f
@AugustinoMnyeka-o1f Сағат бұрын
😂😂😂😂
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 1,7 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
THIS GRACE CALLED FAVOUR WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN (KOINONIA SUNDAY SERVICE)
2:42:31
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 1,7 МЛН