RC MAKONDA AWATAJA WACHUNGAJI FEKI / MWAMPOSA ANATAJA JINA YESU KILA MARA

  Рет қаралды 1,093

Ngasa Tv

Ngasa Tv

Күн бұрын

Akizungumza na maelfu ya Wananchi wanaohudhuria Kongamano kubwa la Operesheni Washa Taa linaloratibiwa na Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka Uangaze, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amewataka watanzania kuwakataa watu wanaotumia Neno la Mungu na mavazi rasmi ya Viongozi wa dini katika kuwarubuni Watanzania na kujinufaisha kupitia maandiko matakatifu.
"Ukimuona mtu yeyote mwenye jina au nafasi yoyote ya kidini lakini umaarufu wake hautokani na kazi ya mikono ya Kristo, hautokani na kazi za Mungu na za neno la Mungu, jua huyo ni Kiongozi wa dini feki. Nikupe mfano unielewe, Apostle Mwamposa hapa kamtaja Yesu Mwanzo mpaka mwisho, mmejaa hapa mnashuhudia kazi za neno la Mungu kupitia kinywa cha Mtumishi wake aliyepakwa mafuta kwaajili ya nyakati hizi, Heshima aliyonayo ni ya kufanya kazi ya Mungu ambayo sisi ni mashuhuda wa Matunda na maandiko yanasema mtawajua kwa matunda yao." Amesema. Makonda.

Пікірлер: 11
@FlorenceObed
@FlorenceObed 2 сағат бұрын
Makonda umenifurahisha. Nilikuwa nawaza ni kwa nini din hazisimami kuomba kwa ajil ya hii nchi?Makonda ishi milele.MunguAlikutuma ww ni mtume. Naamin unastahil kuitwa mtakatifu na mtume. Praise the Lord.
@JfourHumbi
@JfourHumbi 2 сағат бұрын
Ahhh 😢 kwahiyo watu wakitekwa tusipinge kelele kujitetea tukae kimya tuombe mungu mnatuua huu nipuuzi kutumia jukwaa la dini kutukana watumishi na kuogerea siasa
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 2 сағат бұрын
Hujui
@elishampoki8751
@elishampoki8751 2 сағат бұрын
Nikweli kabisa
@hashimmkongo3352
@hashimmkongo3352 2 сағат бұрын
Kaka tumpe kanisa Kila idara yupo sawa jamn....
@Selemlaki132
@Selemlaki132 2 сағат бұрын
Makonda anapiga injili
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 сағат бұрын
MAKONDA UPEWE MAUWA YAKO WACHUNGAJI NA MAASKOFU WAMESAHAU KUSOMA BIBLIA NA KUKEMEA USHOGA LAKINI MSTARI WA MBELE KUIPINGA SERIKALI PALE MASLAHI YAO YAKIGUSWA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@JfourHumbi
@JfourHumbi 2 сағат бұрын
Hakuna masilahi watu wanakataa kutekwa
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 сағат бұрын
@@JfourHumbi TUANZE NA SACCOOS NA MAPALOKO WANAMALIZA MAALBINO NA WAGALATIA KIMYA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@elishajilungu1055
@elishajilungu1055 3 сағат бұрын
Ila nipoint lakini
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 19 МЛН
MAMBO MANNE YA KUFANYA KILA ASUBUHI UAMKAPO Sehemu ya Kwanza - Innocent Morris
42:19
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 345 М.
LATRA YAFUNGIA MABASI YA KATARAMA
8:03
Daily News Digital
Рет қаралды 29 М.
Mtoto Yohana Tumpongeze Rais Magufuli wimbo wake mpya akiimba Mito ya Baraka Church
8:31
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 786 М.
Hakikisha umepanda miti hii nyumbani kwako
8:04
Topten Tv
Рет қаралды 87 М.