Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤
@ABDALLAHMUSA-w9o2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@bahathmuro71452 ай бұрын
Hata mimi nataka wa kwangu jamani
@HappyMwaigwisya2 ай бұрын
@@bahathmuro7145hata mimiiiiiii
@HappyMwaigwisya2 ай бұрын
Cha kwako peke yako kitamu mnoooooo
@FaudhiaMohamed-m1t2 ай бұрын
Da dida Nakupenda sana ❤ allah akutangulie ktk maisha yako yote my dear
@georgemajani66002 ай бұрын
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@btylove18702 ай бұрын
Isha msamehe ila akirudia tena muache forever ❤
@wennybarny1682 ай бұрын
Napenda kingereza cha Isha Mashauzi Kwakweli ana kingereza kizuri sana....!!
@KuluthumuMsuwakollo2 ай бұрын
😂😂yan mwenzenu nawapenda hawa watu mungu cmama kati yao Mr and Mrs Mabango❤❤❤
Halafu sasa wanawake ndio wanadai hakuna wa peke yako 😮😮 at the same wakingundua wanachitiwa wanageuka mbogo 😮😮
@rosehaule67652 ай бұрын
@@spreadlove5300wpo sana wanaume anaowaongelea isha ni heshima tu wapo
@heartnsanya11822 ай бұрын
Hayupo kudadek zako
@spreadlove53002 ай бұрын
@@heartnsanya1182 Jisemee wewe
@athumanimanzabay18942 ай бұрын
Joy and pain all in the game of love ,please Isha msamehe mshkaji mm naimani ameshajifunza kutokana na makosa
@OklyKornelio2 ай бұрын
Isha Mashauzi naomba msamehe shemeji anakupenda sana yaani nakwambia hutakaa upate mwanamme anayekuoenda kama Mabango please please Isha naomba msamehe shemejj.
@user-fz3dg2fr6bl2 ай бұрын
Give him another chance❤😂
@masoudjuma81692 ай бұрын
Ila WASAFI TV BIG UP 🙌
@modestamodesta39402 ай бұрын
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑓𝑟𝑎ℎ𝑖𝑠ℎ𝑎𝑔𝑎 𝑚𝑛𝑜𝑜𝑜𝑜
@mamuumamuu18712 ай бұрын
Isha wetu wee nakpenda bure❤❤
@julianapeason62542 ай бұрын
kuna siku nilisema tuwape muda mabango akasema mimi nina roho mbaya, Isha achana na huyo mtu utautesa moyo wako.Safi sana
@MwanahamisNyenzi2 ай бұрын
Watarudiana hao Isha kaona aibu live studio
@khadijathani90642 ай бұрын
Inshaallaah allaah atakuletea omba dua atakuja mbora zaidi
@mwajumagomera76092 ай бұрын
Isha anampenda sana mabango mbona anaona haya kumtazama apewe muda tu❤maana vita ya kuchokana wewe kwanza uso mbuzi😂😂😂
@EvaWaziri-so3gi2 ай бұрын
Mashangazi wa mjini wanajua kuigiza sasahapo isha uyo si mwanae uyo😊
@MaryMichaelMaryMichael-i7o2 ай бұрын
Kabsaaa mashauz tu kma jina lake
@rosegodlove19562 ай бұрын
Me nakupenda sana Isha mashauzi ❤❤
@fatmaalnabhani36092 ай бұрын
Mke wangu, babe 💕
@maggykavata943920 күн бұрын
Rip dida nilipenda swali lako utamtoa wapi..ishaa❤
@mustafamandindi64342 ай бұрын
Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio
@jamilahsakina15612 ай бұрын
Jamani
@MapeKhamis2 ай бұрын
Na mwanaume kuomba msamaha ivo ni ngum hajaigiza uyo kaka wanaume wachache kuomba msamaha ivo na co kwasbabu ya camera akikuomba ameamua,amekupenda
@Nurdinimwakisale2 ай бұрын
Uyu ana mpenda ❤❤
@MariamHassan-n8g25 күн бұрын
Wewe muislam msamehe saba mala sabini kesho kwamungu ❤
@furahayamoyo91932 ай бұрын
Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu. Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time. Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.
@pendogeorge18132 ай бұрын
Naungana na wewe, umemaliza yoote❤
@furahayamoyo91932 ай бұрын
@@pendogeorge1813 Ahsante sana my sis ❤
@wangagirl35082 ай бұрын
Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮
@isunga19642 ай бұрын
Na tuliambiwa ni msagaji sijui kweli
@wangagirl35082 ай бұрын
@isunga1964 🤣🤣unajua hii dunia my dear watu wanangalia muonekano wako ndio wanaongea hivyo vipuli hata huyo mume anachoka 🤣🤣anakaa msagaji kweli
@janetdunda63312 ай бұрын
Hii imeenda
@afterfull-time13482 ай бұрын
Uhakikaa inakeraaa
@WakiliHaule2 ай бұрын
Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.
@mariamizzy28802 ай бұрын
Makubwa 🤣🤣
@HabibaHassan-t2u2 ай бұрын
Heeee😂😂😂😂@@mariamizzy2880
@DeboraNgura2 ай бұрын
Penzi limepata mpendaji😂
@chainbre2752 ай бұрын
@@DeboraNgura😂😂😂😂😂😂
@MaryWisdom-is7cf2 ай бұрын
Unatuchekeshaaaa😂
@ABDALLAHMUSA-w9o2 ай бұрын
Nipo hapa isha
@Sakina-j2b24 күн бұрын
Mbona umeolewa Bibi wa 2 Allah Akbar
@yusuphmsangi719120 күн бұрын
Rest Easy Dida
@hidayamanda-gk7nf2 ай бұрын
Kauli mbiu ndoile ile mwendo wakusonga mbele ❤❤❤
@pendogeorge18132 ай бұрын
Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha mwisho❤
@hidayamanda-gk7nf2 ай бұрын
@@pendogeorge1813 hahaha 🤣🤣🤣
@PotiRasiАй бұрын
Msamehe sanaaa
@jovinageorge-s2o10 күн бұрын
😂😂vingereza vya don't call me vyanini asee apo nimecheka😂😂 jmn dida Mwenyezi Mungu akulaze pema😭😭😭😭
@mussarashid67522 ай бұрын
ipo siku damu itamwagika hapo wasafi maana mnawakutanisha mahasimu
Wasafi wachonganishi sana Isha karap we mwisho wa siku kakutanishwa na asiye wapenda kaja
@imanibakili80282 ай бұрын
Wanaume sikuhizi wanashindwa kujiheshimu wanatembea na kina dada ambao hawana heshima inasababisha wanaanza kudharau mke wa ndani
@hajjiomary23832 ай бұрын
Wapiga pesa
@ZachariaMwita-bu7rw2 ай бұрын
Sahihi
@mnyampaa_kisasa2 ай бұрын
Hamna isha mbna anaonekana mdada mzur tu mstaarab na anapenda mtu mmja ni shda kijana tu
@edinamhando1082 ай бұрын
Huyu itakuwa kapata mwanaume cyo bure😂😂😂😂
@Soudbako2 ай бұрын
Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket
@Zabl0nx172 ай бұрын
Nipo mm hapa
@ahmedsaidi22392 ай бұрын
Kwa kweli 2po Kama Mim Am My Wife's Husband
@FatimaAli-of4gh2 ай бұрын
Jaza form basi bro pengine utapita kwenye kuchaguliwa😂😂😂
@ahmedsaidi22392 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh nimeshasema Mim ni wa Mke Wangu tuu. Yani Ahmed Wa SumaiyahAhmed khalas
@afterfull-time13482 ай бұрын
Huyo Sumaiya cku akipigwa nje utavurugwa sana na kujutia kaka
@rubbymusa19712 ай бұрын
Utapata Inshaalah
@NuruNgolle2 ай бұрын
Nikweli yuko hata mimi sitaki mme wetu nataka wangu kweli nimempata nanikitukanwa na kimada ananifunza kusimama zaidi ktk ndoa isha tulia na mmeo msamehe kweli nakuomba
@SalmaAlly-dg3xn2 ай бұрын
Huyu mimi kabisa😂🎉
@ashurasharif-ln4nl2 ай бұрын
Isha kazaa dada❤❤❤❤
@AdamMbwana-p6n2 ай бұрын
Mbona saiv haya mambo yamekuwa kama maigizo
@Chelseaboy_19052 ай бұрын
Hakuna mapenzi ya mwanamke aliyemzidi umri mwanaume yaliowahi kudumu
@WelimaAdonias2 ай бұрын
Yupo sana Rahma na mumewe tatu na mumewe
@MariamMrema2 ай бұрын
yapo na yanadumu vizuri kikubwa heshima tyu,mapenzi hayana umri
@SuzanaHassan-d4zАй бұрын
Yapo mi nimedumu na nmemzidi m3 tuna miaka 16 kwa ndoa
@MaryMichaelMaryMichael-i7o2 ай бұрын
Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢
@josej98882 ай бұрын
Kwan walikutana studio, Hadi muwakutanishe huko studio? Nawewe mwanaume wadar ukome.
@shyfettymtunda46192 ай бұрын
Eti ukome😂😂😂😂😂 nimecheka
@MariamIbrahim-h7p2 ай бұрын
Inshaallah mwanaume anaombae sory live na unakata
@Sidrasidra6362 ай бұрын
Hawa mashangazi bhana!
@HassanHameed-g5eАй бұрын
Mm hapa wa peke yko
@IsayaShokaulaya19 күн бұрын
Nipo mimi njoo
@devotabashome10902 ай бұрын
Mnahangaika na vijana wadogo ndo tatizo...
@saidmnenuka78222 ай бұрын
Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.
@zamdanamwenje94152 ай бұрын
Uyo mabango kajua kujidharirisha 😢
@anastaziambote45742 ай бұрын
😂😂😂 mbona kajizaririsha
@aminakipande56452 ай бұрын
@@anastaziambote4574😂😂
@LovelyRacingHelmet-iv6ti2 ай бұрын
Inabidi aitwe kwenye kikao cha wanaume
@badrimickdad1801Ай бұрын
Msenge huyo jamaa 😂
@edgercyprian964Ай бұрын
Aisha msamehe mwenzio 😢
@mwalagomwanaisha2 ай бұрын
Wamdhalilisha mtoto wa watu msamehe 😢
@hanifaa14872 ай бұрын
Kabisa diyaa
@MsNajma-j7e2 ай бұрын
Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu
@FatimaAo-r9p2 ай бұрын
Wala humpati maisha haya
@khamisrubea50832 ай бұрын
Ashapata mwengine uyo
@apoloniapeter18992 ай бұрын
Msamehe jmn😢😢😢
@honoratusmodest2852 ай бұрын
Hao Bado wanapendana
@thomasmallya29722 ай бұрын
Usenge kweli huu
@naimasbuguza23952 ай бұрын
Akimkazia anakubali hyu, Isha hawezi kuwa serious
@MaryMichaelMaryMichael-i7o2 ай бұрын
Kabsaaa lazma awe na maringo
@dashuu52952 ай бұрын
Bahamad almuacha farhiya patima hataki ukewenza😂😂😂 ata kidyogyooo
@aminamzuri99332 ай бұрын
Kitu usichokipenda ukikiweka dhahir ndo vzuri
@SaidiYahya-t1c2 ай бұрын
Apo Isha kashaloowaaa
@mtoshauri91832 ай бұрын
Ww dd mbona huwa hausamehe 😅😮😮😮
@estherwilliam37582 ай бұрын
Anamkazia mwenzie asamehe😅😅😅
@raymondlaurent41672 ай бұрын
Kweli mapenzi inauma lakin kunae maana kubwa kuitwa mwanaume yoote Tisa kumi usipige magoti kwa mwanamke 💪💪💪
Apana kk kupiga magoti nikawaida ya kila aliemkosea mwenzie awe mwanamme au mwanamke na wote ni binaadam hao
@gracemwailima17802 ай бұрын
Msamehe tu dada isha jamani kaka anaonekana mstaraabu
@EsterAgrey2 ай бұрын
Jmn
@roseamon79062 ай бұрын
Dada Isha samehe shemeji yetu Mimi napenda mahusiano yenu tafadhali muoneee huruma mwanaume jamani usiwe na hasira isiyoisha Mungu hapendi
@ThomasAlute2 ай бұрын
Huyu kijana mabango anajidhalilisha sana
@ZeProDJay2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wanaume wa Dar tatizo sana..
@ZainaMshamu-yu8qv2 ай бұрын
Isha akumbuke hii Dunia asimnyanyasw mtu kiivo ajue shetani ananguvu au mungu anampa kalibu gani asamee akuna mkamilifu
@fotunatusiMsongole2 ай бұрын
Weka namba Yako amepatikana hukuuui
@DevotaIjumba2 ай бұрын
Msamehe sana .Ameomba msamaha .akuludia Tena anyongwe😂😂😂
@SHUKURUMahiki2 ай бұрын
Kijana unajidhalolisha mbona
@Mwajumasaid-lv4xf2 ай бұрын
Dida mpambe anavyo ongea 😊😊
@EvaGlow-r3e2 ай бұрын
Sana
@shyfettymtunda46192 ай бұрын
Na yeye tutamuitia yule mme wake waliyeachana,Kumbilamoto😂😂😂😂
@beautyibrahim84282 ай бұрын
Alaf yeye ya kwake hatakag ushaur
@LutfiaRashid2 ай бұрын
Afu dida na kingereza km mbingu na ardhi
@agreymkaburu74642 ай бұрын
Dida unanini mbona king'ang'anizi wanaume tupo 😊
@R10_Rajab2 ай бұрын
Ndio maana siku hizi hunitoi na Crown 👑 kwa ujingabkama huu
@ShamsaFahad-n8v2 ай бұрын
Msamee jamani
@jazzjeff84312 ай бұрын
Mzae mwenyewe
@MwasitiShabani-b7x2 ай бұрын
Msamehe jamani. Dada Aisha shemeji yetu
@yusufuheri65242 ай бұрын
Ila haya mapenzi jamani uh
@HalfanmundoMundo2 ай бұрын
Mpen namba yangu huyo tunamrudisha kwa mwamba ndani ya kisaa tu
@JemimaMdota2 ай бұрын
Isha mi nimekupemda bureeeee namna hiyo😂😂😂
@simbarajabu41572 ай бұрын
Kwenye wanaume washamba huyu no 1, mwanaume uwezi kuwa pumbu
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI2 ай бұрын
Huyu jamaa kasahau Rule number 5💔
@HassanKibandulo2 ай бұрын
Ving'ast wanateseka sana namapenz.kujikaza hawawezi nandio mana mashoga wakumwagaa.ss ivi sikudhalilishana daah
@teedullah57082 ай бұрын
😅😅😅 BaBu idi 🇰🇪🇰🇪
@Mariam-fm8vq2 ай бұрын
Kaburi tu hamna la kwako itakuja kua mume isha jaman hujawahi ona inatolewa mifupa kwa mwengine anaekwa mwengine 😂😂😂😂😂
@newforcejv97212 ай бұрын
Maryam muongo waislam wakike hawaendi mazikoni Isha na wewe mmeona wapi mifupa ikitolewa Kisha kuzikwa mwingine
@gilliansiara33242 ай бұрын
Subiri, Bora zimwi likujualo,utakutana nao,labda ufunge kitabu
@Peterchila-un2lx2 ай бұрын
😢hiyo. Ni kikiiiiii
@eggysulle79882 ай бұрын
Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌
@Salmaismai2 ай бұрын
Ila Idris
@agreymkaburu74642 ай бұрын
Isha anamsimamo
@abdallahomary21002 ай бұрын
Tutafute ela
@SalumNdoshi2 ай бұрын
Nipo mm jmn nakusubiri ww
@gblessabell20462 ай бұрын
Daaah na goti kapiga asee
@LatifaRajabu-l3n2 ай бұрын
Uyu kaka si alisema amtaki tena ataakilud
@roseamon79062 ай бұрын
Hadi anakuomba msamaha Ivo Bado umekaza shingo hakuna aliekamilika