MASHAUZI YA ISHA AKIGOMA KUMSAMEHE MPENZI WAKE MABANGO 'SIKUTAKI USINIZOEE'

  Рет қаралды 40,073

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 345
@BahatiAlly-xs8jr
@BahatiAlly-xs8jr 29 күн бұрын
Msamehe uyo kijana ni mkweli mungu huea anasamehe piga goti kwaza daisha useme na mungu uyo ni mwanadamu ameamu kijizalilisha Kwa ajiri yako najua jisigani unajisikia namuomba kama mdogo wangu mfikilie piga goti Kwa mungu awe mume sio swala nawe kaka ikitokea Aisha amekusamehe uwe na ofu ya mungu ukipendwa pendeka niliipenda San kapu yenu mmeniumiza San namuomba mungu awe katiyenu muwe mke na mume nawapenda San❤️❤️❤️🙏🙏
@keyla3641
@keyla3641 25 күн бұрын
Yani umeongea ukweli kabisa
@xkingx8041
@xkingx8041 Ай бұрын
Msamehe uyo isha. Hao viumbe hawaombagi msaamaa. Huto mpata mkamilifu.hao viumbe ma jeurii hao. Msamehe ishaaa
@Nahimanasudi-kh2xo
@Nahimanasudi-kh2xo Ай бұрын
Isha Baby tuko pamoja ❤❤❤
@kadito-o3j
@kadito-o3j Ай бұрын
Wanawake wanahuruma sanaa niamini mimi wakipenda wanapenda asilimia mia ❤❤huruma akiweka atamsamehe
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Ай бұрын
ogopa wanawake wanaopenda kweli kweli ni wabaya ukimkosea aaanh utaomba poo
@kadito-o3j
@kadito-o3j Ай бұрын
@@user-wd2bc7bf5x it's true asilimia mia ndugu yangu
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 Ай бұрын
Isha una roho nzuri ila mabango kakosea
@MohamedMachete
@MohamedMachete Ай бұрын
Vijana tafuteni hela pata picha broo hapo familia yake inamuona anaishi maisha mazuri lakini leo hii wanamuona anamlilia mwanamke kisa maisha mazuri 😢😢 muhimu kweli kuwa na pesa yako😮😮😮
@Nahimanasudi-kh2xo
@Nahimanasudi-kh2xo Ай бұрын
Isha tuko na ww Baby ❤❤❤
@NdayisengaAmina
@NdayisengaAmina Ай бұрын
Nitazidi kuzidisha duwa kwa Allah alirudishe penzi lenu lirudi kama Hawali
@sharifamohammed6317
@sharifamohammed6317 Ай бұрын
Ulisikia wapi dua za zinaa zinakubalika wee uogopiii
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw Ай бұрын
wanawake tunatakiwa tuwe kama mwanangu isha tungekheshimika
@midilastahans7188
@midilastahans7188 Ай бұрын
Maskini ya Mungu wangu etiiii naruhusiwa kuja kuka au??jamani nimemunurumia.kukosa kazi kubaya sana uwiiii uwiiii vijana wetu fanyeni kazi acheni kulelewa.uwiiiiiiiii😢😅
@rosebeniel
@rosebeniel Ай бұрын
Unawaza kulelewa tu wengine wana mapenz hawaangalii.hilo
@user-bp7ry5ey1f
@user-bp7ry5ey1f Ай бұрын
Aisha tafadhali msamee wewe ni Muslim Mimi najua wanadam makosa niyetu,, ila pia usisahau kuna watu wanapenda kuaribu maisha ya watu, ,, Mimi sijapenda ivyo msamee muendelee n maisha😌
@SallehFakki
@SallehFakki 29 күн бұрын
Please da Isham nakuomba umuelewe huyu kaka Anakupenda please msamehe my
@user-ok2mk8mh4j
@user-ok2mk8mh4j Ай бұрын
Mungu anakuona isha
@YasintaMinja-ob1nt
@YasintaMinja-ob1nt Ай бұрын
Kpnz msamehe tu huyo mkaka maana nimstaraab kwa kwel ni mwanaume gan anaweza kuomba msamaha hatharani ❤❤
@PascoMlinga
@PascoMlinga Ай бұрын
Mnajizalilisha hayo matatizo yenu mlitajiwa muyamalize wenyewe nyumbani sio kwenye mitandao
@GloryTesha-g6p
@GloryTesha-g6p Ай бұрын
Mwendelezo pls
@user-zl9pl2ib4q
@user-zl9pl2ib4q Ай бұрын
Nilikua nakuona mwanamke ila nimekuzarau umejitoa sifa sifa mwanamke ni kusamehe kwa Nini usimsamehe mwenzio inamana wewe mnafiki una mzalilisha mtoto wa watu kwenye vyombo vya habari sio viziri
@wilsonwizzo2483
@wilsonwizzo2483 Ай бұрын
Daah sema wanaume huwa tuanaushirikiano sana Ukicheki hapo jamaa wanavyompambania mwana😂
@saidkibabe7131
@saidkibabe7131 Ай бұрын
Bro code baba😂😂😂😂
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mashemeji uchwara 😂😂
@TomeTenendeTenende-rz2ys
@TomeTenendeTenende-rz2ys 10 күн бұрын
Kkkkkkkkkkkkk vizuri sana aise
@SophiaMwenda-m3l
@SophiaMwenda-m3l 21 күн бұрын
Msamehe Jamani huyo kijana kila mtu anamapungufu hata kama utapata mtu mwingine huenda anamapungufu kuliko huyo samehee tu Dada Isha
@HALIMASIRI-w7i
@HALIMASIRI-w7i 29 күн бұрын
Msamehee Aisha please wewe nibinadamu kuwa nautu haki please
@ZoyaAli-qy3tg
@ZoyaAli-qy3tg 29 күн бұрын
Maskini hadi anahuzunisha msamehe maana sio rahisi mwanaume kunyenyekea hivi 😢😢
@ferdaedward8373
@ferdaedward8373 25 күн бұрын
Nimeipenda ngugu samehee niwanaumewachache wanaomba msamaha huyoa nakupenda
@NeemaMweta
@NeemaMweta 29 күн бұрын
Mkomeshe ivoivo na wengine wajifunzeze namnyota wake wa giza akome
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw Ай бұрын
insha mwanangu naomba msamekhe sana lakini mfunge ndoa inshaallah mpe nafasi yamwisho
@NakivonaSalim
@NakivonaSalim Ай бұрын
Macho ya da Isha yanaongea bado anampeeenda mabango
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Ай бұрын
Ndioo anampenda
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 күн бұрын
Kweli yani
@annemtaki8483
@annemtaki8483 Ай бұрын
Isha msamehe mpenzi wako. Elewa kwamba hao ni wavurugaji tu. Mkiachana watafurahi sana.
@maryamedi9141
@maryamedi9141 Ай бұрын
Msameh jmn dad Isha hakuna mkamilifu
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
Mashaallah jike la simba likitaka kung'ata linang'ataaa ng'aaaaaaaaaaaaa mnyooooshe ivyo ivyo kwnza akilud adabu
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw Ай бұрын
inshaa msamekhe mwanangu 15:50
@hypogotz8705
@hypogotz8705 Ай бұрын
Vijana tafuteni hela 😂
@boniphacerweyemamu2118
@boniphacerweyemamu2118 Ай бұрын
Sikuzote mwanamke akikupa nafasi ya kukusikiliza ujue asilimia ya kusameewa ni mkubw huyu lazima amsamee😊
@nikiwejimson8527
@nikiwejimson8527 18 күн бұрын
Ahahahahahaha😂
@salamakiwinga6310
@salamakiwinga6310 Ай бұрын
Bas mimi sijui sina akili vzr yule mbwa kashanipiga matukio kibao nusu nife ila akisema tu niasamehe nishamsamehe adi najishangaa mweh natamani ningekuw na moyo km wako isha 😢😢😢
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Ай бұрын
Itakuwa unampenda sana au unafikiria yale anayokupa usiku unazani huyopata zaidi ya yy😅😅😅
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 29 күн бұрын
Umri umeenda na achana na maisha ya kitoto we ushakuwa mtu mzima na umeshatumika sana hata ladha hapo hamna mmeeeek
@anniemallagi
@anniemallagi Ай бұрын
Duuh pole mabango naona shangazi kakaza
@emmymgonto4110
@emmymgonto4110 Ай бұрын
Dada yangu Isha ukipenda una nyongo kali Kama mimi Mungu atusaidie
@ireneflorence2232
@ireneflorence2232 29 күн бұрын
Mwanamke akishakupa sikio lake imeisha hiyo.😂😂 mpeni mda tu
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 28 күн бұрын
Msameheee acha mashauziiiii
@MwantumuAbdy
@MwantumuAbdy Ай бұрын
Umenifundisha kitu kikubwa sana dd angu nimekuelewa bure i got ur point sis love u
@samwelmasunga8293
@samwelmasunga8293 Ай бұрын
Shangazi isha Msaheme Mabango kwani ni wachache sana wenye moyo kama wa jamaa mtu kukufuta mpaka apo ni hatali sana wengne huwa wana sema mpo wengi lkn mabango ashafika sehem sahihi msamehe aunt tuna kuomba jmn
@user-fi7ky7ub6s
@user-fi7ky7ub6s Ай бұрын
Msamehe tu dada Aisha mungu atakusamehe tu
@najatramadhani6300
@najatramadhani6300 28 күн бұрын
Nakuelewa sana isha❤ pole sana
@LucyOmary
@LucyOmary Ай бұрын
Samehe dada Isha tena mshukuru mungu bwana wako ansomba msamaha warahi usipomsamehe utakuja pingwa na vitu vizito na hutoombwa msamaha
@dullahbakari4813
@dullahbakari4813 Ай бұрын
Daaaaah Isha msamehe tu aiseee 🙏
@vickykapama8386
@vickykapama8386 Ай бұрын
Amekosea sana tena sanaaaa kubadilisha password. Cha kufanya wewe nenda ukatulie kdg na ukafikirie kwa MAKINI! Ukirudi upya na MFUNGE NDOA ILI MUWE MUME NA MKE.. Aisha hasira zk zikisha isha atakuwlewa. Inshallah 🙏
@NeemaMweta
@NeemaMweta 29 күн бұрын
Mwanangu nimekupendaaaaa ishaaaaaaaaaa saaaaaaaafi usimpe mkono atakuharibia nyotaaa
@giovannajohn3813
@giovannajohn3813 Ай бұрын
Da Isha naomba umsamehe plz hakuna mwema hata mmoja kwenye dunia hii iloyojaa laana msamehe nakuomba
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 Ай бұрын
Isha msamehe mpenzi ila ongeza spidi ya kufanya yako
@Jumashadhil380
@Jumashadhil380 Ай бұрын
Yani Mwanamke Akisema Hataki,, Ndugu Zangu Uwe Na Hela Au Hauna Yani Kama Hataki Hataki tuuh,, Yani Akisema Hataki Alafu Anataka Basi Huyo Anataka,, Lakini Akisema Hataki Alafu Hakiwa Hataki Basi Huyo Hataki,,, Oya Wanangu Tujifunzeni Kuwapenda Back Hawa Wanawake Wanao Tupenda
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud Ай бұрын
Hajapenda huyu maxinguo tu
@brycesopsop719
@brycesopsop719 Ай бұрын
Pole bro hope mutarudiana 2
@gindamaster1784
@gindamaster1784 Ай бұрын
Mwamba anatema sana vocals
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Ай бұрын
Isha macho yanaonesha bado unampenda mabango 😂
@user-xi8ll6ub4j
@user-xi8ll6ub4j Ай бұрын
Tatz alisem siwez kumic labd nitamic cha kul tu Leo vp unapig got
@SeleTosha-hk8kp
@SeleTosha-hk8kp Ай бұрын
Aisha I'm very sure ur very straight kwenye huo mvunjiko wenu wa mapenzi ila my opinion is stop hizo mambo za kuhojiwa hojiwa that's not nice,coz wewe sio wa kwanza ku breck love that's my opinions sister, stop that fanya mambo yako achana nae hana mpango 🇿🇦
@righitkileo
@righitkileo 28 күн бұрын
❤❤Ushauri wanqu Nyie watu maarufu anqalieni namna nzuri ya kumaliza tofauti zenu bila kuanikana humu.wewe Mwanaume kuwa mwanaume bac.hii namna kama ndo inazidisha huyu mama kuendelea kukukata. Au vile nyie wa Uswaz ndo mlivyo
@SallehFakki
@SallehFakki Ай бұрын
Dada isha please nakuomba msamehe. Ata sister tunskosea ila Alla hutusameheee
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 Ай бұрын
Ila ww mvulana umelogwa jaman yaan had umekonda, hembu jitulize unatuabisha wazazi jaman kama kakufungulia dunia siuedeleze, au ndy ganda la ndizi, Piriiiiiii! mpaka Maka😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Ай бұрын
Unajuwaje huyo mwanao alichooneshwa huko muombee dua aowe
@KisileAbdallah
@KisileAbdallah Ай бұрын
Msamehe bwana mpk anatia huruma 😮
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 күн бұрын
Ww muChe atakuj kumkumbuka mtu anaomb msamaa siumsamee tu
@SallehFakki
@SallehFakki Ай бұрын
Pia kumbuka ss binaadamu tumeubwa na mapungufu my msikilize mwenzio kiukweli anakupenda. Please my masamehe my
@RehemaMwakapimba
@RehemaMwakapimba Ай бұрын
Isha acha ushamba wewe ni mwanamke. Tayali kaisha kuvua nguo mama. Msameee sana.
@wardaomary2997
@wardaomary2997 Ай бұрын
😂😂😂 mchaga na iddris nyie aya mwenzenu anaomba msamaha sasa😂😂😂
@sk-wj9or
@sk-wj9or Ай бұрын
Aisha uliisha wahi yasema hayo awali. Mungu akuhifadhi ukhty. Nakuzimia mno.
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Ай бұрын
Isha msamehe mtoto wa mwanamke mwenzio kazaliwa na yy maskini 😢😊😊😊
@kelvinmootian6965
@kelvinmootian6965 29 күн бұрын
Hae
@LydiaFaustine-bk6nv
@LydiaFaustine-bk6nv Ай бұрын
Mwenyewe anajua anapendwa sana ndo maana anaringa sana, ringa mamaa🎉
@TomeTenendeTenende-rz2ys
@TomeTenendeTenende-rz2ys 10 күн бұрын
Kkkkk apo sasa kkkkkk
@Husna-pn5gg
@Husna-pn5gg Ай бұрын
dada ishaa msamehe bhn kijana wawat daah😢 minilikua nakupenden jmni
@peacecook1492
@peacecook1492 Ай бұрын
Msamehe mshikaj Yuko real
@jadetoto
@jadetoto Ай бұрын
Watatafutwa na Radio zotensasa Isha anajishauaa ngojanukutane na Abdul wa Diva akucheat mpaka ufe
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Ай бұрын
Dada isha nakupenda umeongea kweli
@user-rb5hs3lq6v
@user-rb5hs3lq6v 8 күн бұрын
Inaniuma kuona wanaomuomba isha asamehe wengi ni wanawake. Hii ndio sababu wanawake hamueshimiki na wala wanaume hawaogopi kuwasaliti kwa sababu wanajua watafanya ujinga mwisho watasamehewa tu.Ama kweli heshima ya mwanamke inashushwa na mwanamke mwenyewe
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Ай бұрын
Isha jamani msamee mtoto wa mwanamke mwezio .najua umeumia lakini msamee mabango haludii Tena.
@user-sj6qh3yr5t
@user-sj6qh3yr5t Ай бұрын
Jamani wote hao ni watu wazima maamuzi ya mtu yaheshimiwe walipotakana mlikuwepo? Mwacheni
@IssaPara-bt9hg
@IssaPara-bt9hg Ай бұрын
Chizi kweli wew mama mkuu acha ujinga kaambele acha Mambo yako utakufa wew
@aikamungure7056
@aikamungure7056 29 күн бұрын
Isha upo sahihi sana,Ila msamehe tu,maana atakuwa ameshaijua thamani yako
@user-rv6wf5zr6m
@user-rv6wf5zr6m Ай бұрын
Tangaza ndoa usipalilie zinaa kaka hayo ndio mapenzi unajuwa kubembeleza mabango msamehe Isha
@haryanyawu640
@haryanyawu640 Ай бұрын
Aliekwambia hawana ndoa nani?
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
Ila kaisha kanajua kuringa jamn 😂😂 uko. Mwishon mie hoi uku wallah
@evalokwetikya1984
@evalokwetikya1984 Ай бұрын
Baba umeyakanyaga kwa watu wa Mara fanya yote usithubutu kuchezea mapenzi au moyo wake itakula kwako
@edgercyprian964
@edgercyprian964 7 күн бұрын
Daaah Aisha ebu mpe nafasi ya mwisho mwenzio unajua mwanaume mpaka kufikia kuomba msamaha
@loner_wolf
@loner_wolf 16 күн бұрын
Huyu demu hataki kweli for now ....cjui baadae huenda anything can happen .
@mishimtambo4684
@mishimtambo4684 Ай бұрын
Kwani kabla ya Isha ulikuwa unakosa liziki
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 28 күн бұрын
Mwenyezimungu anasema samehe mara 70 kwa siku
@ibnnjoka4808
@ibnnjoka4808 Ай бұрын
Huyu kweli mkurya kiboko
@Naema-x7p
@Naema-x7p Ай бұрын
Maskiniiii mapenzi haya adi amenitia huruma kaka wawatu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭isha msamehe mwenzako😢😢😢😢😢😢😢😢
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 күн бұрын
Yani unishid mm nimeumia san msamee
@MpajiAli
@MpajiAli 26 күн бұрын
Hao wanaume loòh hats huruma cimuonei huruma mishenz mijanaume
@NeemaMweta
@NeemaMweta 29 күн бұрын
Ukimsamehe huyo atakukomesha mara 2000
@EliangikayaJoseph
@EliangikayaJoseph 25 күн бұрын
Dah msamehe tu Dada Isha😢
@tusaamon3216
@tusaamon3216 Ай бұрын
Isha litakupata jambo mtu gani uwezi kusamee
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 күн бұрын
Sindio apo kwanza kun cha pekeyako sikuizi
@TracyKim-t6u
@TracyKim-t6u Ай бұрын
Tatizo lingine jamaa anaomba msamaha kizembe sana, mkulya unamuomba msamaha huku unalamba lipsi woooooi anitafute mimi nimpe code za kuwaomba msamaha wakulya.
@TracyKim-t6u
@TracyKim-t6u Ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh Umeelewa iyo coment????
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 Ай бұрын
Inauma umsaidie mtu afu akusaliti
@nuruhamisi5384
@nuruhamisi5384 Ай бұрын
Atamsamee tu anampenda namuona kabisa sema kwakua mkubwa na anajua kuna camera awez kuonesha udhaifu watu wakaona
@OklyKornelio
@OklyKornelio Ай бұрын
Msamehe jamani mamy wangu hakuna mkamilifu duniani msamehe shemeji jamani
@NdayisengaAmina
@NdayisengaAmina Ай бұрын
As ww dada yangu nakuomba kwa ajili ya Allah msamehe uyo kaka ukiona mwana mume anapiga magoti kukuomba msamaa uyo nimpenzi wako kabisa kwa sababu dada yangu Allah tunamkoseya sana ila nimwepesi wahuruma anatuhurumiya n'a anatusamehe waja wake mimi ni shabiki wako kutoka Burundi naomba m'amène uyo kala kwakweli ata mimi namuoneya huruma
@mshambaused3840
@mshambaused3840 16 күн бұрын
Watu wameharibu mpenzi hyo
@nasramussa2370
@nasramussa2370 Ай бұрын
Em na kunyenyekea uko pia kusiishie apo tu na pia kwa Mola tuwe zaid ya ivyo
@jonasnyanga8167
@jonasnyanga8167 Ай бұрын
Kwan mwanamke ni isha tuuu we jamaa
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Ай бұрын
😂😂😂kuanzia leo isha ndo mwenyekiti wa mashangazii wotee😂😂
@mwanamambokimbwara9733
@mwanamambokimbwara9733 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
Hawa nao" hata wasaf tv alisema hvyo hvyo leo ndo mala y kwanza kuonana tangu wakosane" mm naona huyu mabango angemkaushia tu sio kuombana msamaha mbele za watu kama hv jmn dah
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 28 күн бұрын
Ndio angetulia tu uyu kak
@user-io6vz6ub9r
@user-io6vz6ub9r 10 күн бұрын
Leo nimekuelewaa mama anguh
@Amirihussein-t7j
@Amirihussein-t7j Ай бұрын
kaka yangu mwaimu umezinguwa sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Mim japokuwa napenda mahusiano Yao awo...ila ninachogundua Isha anamsimamo...ila mnyooshe alafu ndo msamehe...iyo adabu lazima atashika adabu ata kama ikitokea umemsamehe safi...ila mim nawatakia Kila la heri
@DarvelKnowles
@DarvelKnowles Ай бұрын
😂😂😂😂mapenzi matamu sana,..ila daah kiukweli mwana anaumia sana yaani adi anakosa raha, ana kama kushikishwa adabu siunaona kasjaishika ila ata ukimuangalia vizur Isha anamuonea huruma mwamba sema ndoivo kamkazia kwanza..ila afight tu litaisha
@user-oo5sj8hb5m
@user-oo5sj8hb5m Ай бұрын
Siwengine tuna fumania kabisa na msamaha hatuombwi 😂😂😂😂
@bellommpanami9868
@bellommpanami9868 Ай бұрын
Jike la Simba limeunguruma😂
@rerisamba
@rerisamba 28 күн бұрын
Pole dada watu wengine hupenda kuumiza watu
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 47 МЛН
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 21 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 52 МЛН
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 218 М.
Isha Mashauzi - Sio Levo Yako (Official Music Video)
4:11
Isha Mashauzi
Рет қаралды 337 М.
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 47 МЛН