MABINGWA WA ULINGO | HASSAN MWAKINYO VS JULIUS INDONGO - 03/08/2021

  Рет қаралды 1,028,319

Azam TV

Azam TV

2 жыл бұрын

HASSAN MWAKINYO Vs JULIUS INDONGO: Mwakinyo alivyotetea ubingwa wake wa Afrika (ABU) uzito wa Super Welter kwa kumchapa Mnamibia, Julius Indongo kwa KO.
#MwakinyoVsIndongo #TonyRashidVsBonganiMahlangu #MwakinyoIndongo #TonyMahlangu #VitasaNight #Vitasa #Septemba03 #MabingwaWaUlingo
@hassan_mwakinyo_jr
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 592
@thobiasluanda224
@thobiasluanda224 2 жыл бұрын
Haya in maoni yangu lakini yanatokana na uhalisia unaojidhihirisha. Ni kwamba, Hassan Mwakinyo ni bondia bora sana kuwahi kutokea Tanzania. Ukijaribu kuangalia, utagundua kuwa Mwakinyo ni talented fighter. Mwakinyo kwa mfano, anaweza kusimama stances zote na akafight barabara. Tunaona katika pambano lake na Sam Egginton, alisimama Orthodox na alifight effectively and successfully. Lakini Jana tunaona Mwakinyo huyohuyo ambaye huenda Julius Indongo aliamini kuwa anaenda kupigana na bondia ambaye anacheza Orthodox yaani akitanguluza mguu wa kushoto, lakini cha ajabu amecheza southpaw yaani akitanguliza mguu wa kulia na kuuacha mkono wa kushoto ukitupa ngumi nzito na tunaona anapata matokeo chanya. Mija kati ya mabondia wenye uwezo huo wa kucheza stances zote ni Terence Bud Crawford ambaye ameshacheza mapambano almost 37 bila kupoteza hata moja. Kwa hiyo Mimi binafsi na wala simlazimishi MTU kufanya hivyo, ninajivunia kijana huyu ambaye kwa sasa kwa kweli anailetea heshima nchi yake. HERI TUMBO LILILOMZAA HASSAN MWAKINYO
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
Wewe inatakiwa usitozwe kodi yoyote kwenye miamala yako yote hadi utakapofanyika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025
@rahimudossa2681
@rahimudossa2681 2 жыл бұрын
Mwakinyo noma nibondia nzuli sana tanzania
@izboynyigu265
@izboynyigu265 2 жыл бұрын
Dah wee jamaaa mbona unaakil hvo
@zuberiramadhani9791
@zuberiramadhani9791 2 жыл бұрын
A c kwer manyng ynauck
@mpepo3d815
@mpepo3d815 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
@afrikadevelopa8652
@afrikadevelopa8652 2 жыл бұрын
Nyie ma commentators wa azam mnafanya vizuri kweli, lakini udhaifu wenu ni kwamba mko mnasifia side moja zaidi kuliko nyingine, na side yenyewe ni ya mchezaji ambaye ni Mtanzania. Hiyo siyo sifa ya commentator yeyote. Swala la kupendelea upande moja tuachieni sisi watazamaji na mashabiki. Mimi ni fan wa Mwakinyo, na tena Mtanzania. Hongera kwa kazi nzuri Azam. Epukeni ubaguzi!
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 17 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@humphreymasoud1725
@humphreymasoud1725 2 жыл бұрын
binafsi nimeona game ya mwakinyo imechange sana.. amezidi kuwa bora zaidi kwenye defence na pia amekuwa mtu wa kuhimili masumbwi na amekuwa haogopi ngumi.. ni anaisogelea ngumi na anapishana nayo kwa karibu kabisa.. big up bro... safari yako bado ndefu na bado unanafasi ya kuishangaza dunia.
@magesachalessmagesa4095
@magesachalessmagesa4095 2 жыл бұрын
Msege mwakinyo anabebwa 2
@magesachalessmagesa4095
@magesachalessmagesa4095 2 жыл бұрын
Mmm
@colettenyandwi9972
@colettenyandwi9972 2 жыл бұрын
¹
@salmaseif6284
@salmaseif6284 2 жыл бұрын
@@magesachalessmagesa4095 ukiona hivyo ujue kajikaza coz abebwae hujikaza
@fatimahants1526
@fatimahants1526 2 жыл бұрын
Big up hassan mwakinyo....Tanzania one.. 🇹🇿
@bakarimgeni5424
@bakarimgeni5424 2 жыл бұрын
Alhamdulillaah ....hongera sana kak hongera home boy ....Allah akufikishe mbali zaidi wewe ni bingwa wa dunia ....Tucheze kibingwa sio kishabiki .....
@shebidizzo1365
@shebidizzo1365 2 жыл бұрын
Fact
@mpangwehassan6264
@mpangwehassan6264 2 жыл бұрын
Azam tv huu ni mwez wa 9 sio wa nane....hongera champion biy Tz one Mwakinyo
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
Pongezi kubwa kwake CHAMPEZ Zidisha jitihada upate mafanikio mengi zaidi 👊🇹🇿
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 жыл бұрын
Umetisha Baba kazi nzur Mm napenda tu body Yako hujaichafua na Matatuu safi Sana kiujumla upo vizuri kaka salute kwako
@edwardouma1630
@edwardouma1630 2 жыл бұрын
All the best fighter Hasan mwakinyo for your good victory by Fosill from Nairobi Kenya 🙏
@veelmng7746
@veelmng7746 2 жыл бұрын
Hongera Mwakinyo kwa kutuwakilisha vizuri watanzania. Tunakutakia heri na baraka kwenye mapambano yanayofuata
@eliudijastini645
@eliudijastini645 2 жыл бұрын
Tutajuana tuuu hapa 👊👊👊👊🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🤝🤝
@ibrahimmbango9117
@ibrahimmbango9117 2 жыл бұрын
hongera hassan mwakinyo wewe ndio bondia unaejua nn unafanya pambana saana kaka
@shabanhafidhu1951
@shabanhafidhu1951 2 жыл бұрын
Mwakinyoooooooo..!! 255 champioooon. Am proud of you Bro
@godfreylushiku3081
@godfreylushiku3081 2 жыл бұрын
Hongera Mwakinyo kwa ushindi...japo uamuz wa refa kusimamisha pambano ulikuwa na walakin kidogo....
@Pulse_tips
@Pulse_tips 2 жыл бұрын
Angeuliwa
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 жыл бұрын
JAMAA HOI KASARENDA AU HUMWONI???
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 2 жыл бұрын
Mwakinyo twakusalim kwa jina la jamhuri ya muungano wa 🇹🇿Tanzania SEMA ushindibuendelee💪💪😂😂😂😂
@fadhiramapunda1263
@fadhiramapunda1263 2 жыл бұрын
Tanzania freedom among us
@adelinasanga6710
@adelinasanga6710 2 жыл бұрын
Hongera Sana mwakinyo!!💪💪💪💪
@hassanabdulrahman7332
@hassanabdulrahman7332 2 жыл бұрын
Congratulations champion u deserve it 💪👊 your fan from Mombasa kenyaa
@sadikileonard6251
@sadikileonard6251 2 жыл бұрын
Hongera xna mwakinyo unazidi kunikosha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
Kwenye tv hii ndiyo nimeliona pambono vzur,camera ni nzur na mchukuaji video alikuwa poa sana ngumi zimeonekana saaaafi kbs
@alayoboyboy6846
@alayoboyboy6846 2 жыл бұрын
Nakukubali sana jesh langu mwakinyo endelea kuiwakilisha tanzania
@regzzuse280
@regzzuse280 Жыл бұрын
Hassan should ve got a big fight immediately after he took out Eggington as an (considered) absolute underdog in 2018. Hope he will come ready vs. Smith. Hes definietly an entertaining boxer to watch.
@saidhappy9771
@saidhappy9771 2 жыл бұрын
hassan mwakinyo..lots of love from kenyaaa😍😍😍
@baseonline4178
@baseonline4178 2 жыл бұрын
Watangazaji hamna kitu Azam TV wekeni watangazaji wanaojua ngumi
@yahayamaulana8951
@yahayamaulana8951 2 жыл бұрын
Babutale anatakiwa amuomberadh champion mwakinyo
@barakakidugutu944
@barakakidugutu944 2 жыл бұрын
Ila kisema kweli mwakinyo asisubuthu kupigina na Twaaa Kiduku yaniataumbuka vibaya mno,,
@barakakidugutu944
@barakakidugutu944 2 жыл бұрын
@@nationalbeautiful pole ndugu kamaumeumia ilaukweli ndohuo
@SingoMedia
@SingoMedia 2 жыл бұрын
@@barakakidugutu944 Ukweli watu wanaujua kama jamaa bado hana kiwango bora cha kupigana na Twaha Kiduku lakini siku zote mapenzi na ushabiki humfanya mtu asione kasoro ya Mwakinyo. Lakini kwahakika bado ana kazi kubwa ya kufanya ili awe Bora zaidi ya hapo Inshaallah.
@abuuharuna2214
@abuuharuna2214 2 жыл бұрын
Pambano Kali sana aisee nimependa izo panchi
@hasanimacheda172
@hasanimacheda172 2 жыл бұрын
Hassan mwakinyo mnyama🔥🔥🔥
@experiuskamugisha6863
@experiuskamugisha6863 2 жыл бұрын
Mwakinyo yuko fit kinoma Tanga oyeeee Tanzania oyeee Mwakinyo oyeeeeeeeeeeeeee
@miriamkarata7495
@miriamkarata7495 2 жыл бұрын
Hongera sana home boy Tanga Tanzania 👏👏👏🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥
@piusicazogi3071
@piusicazogi3071 2 жыл бұрын
Tanga mikono juu 💪💪💪💪💪💪
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Oyoooooooo
@linusingoli451
@linusingoli451 2 жыл бұрын
Ongeraaa sanaa mwaikinyooo
@edwardmbwana8107
@edwardmbwana8107 2 жыл бұрын
Hongera sana Mwakinyo unatuwakilisha vema kwenye ngumi jiwe asante sana. Tanga unaweka ALAMA safi sana.
@masterkeymuzik
@masterkeymuzik 2 жыл бұрын
Mwakinyo hutumia orthodox ila kwa hili imembidi kuhamia southpaw ili kumpiga mpinzani kwa stance yake. Hongera
@robsondalink6206
@robsondalink6206 2 жыл бұрын
Orthodox ndo nn na hyo southpaw pia maan umenichanganya🤣🤣🤣
@masterkeymuzik
@masterkeymuzik 2 жыл бұрын
@@robsondalink6206 ni stance kumaanisha jinsi unavyosimama unapotarget kurusha makonde. Orthodox unaeka mguu wa kushoto mbele na southpaw unaeka kwa kulia mbele
@saheelameir4313
@saheelameir4313 2 жыл бұрын
Maana yake ni kuchimba dawa
@masterkeymuzik
@masterkeymuzik 2 жыл бұрын
@@saheelameir4313 🤣🤣🤣
@emmanuelvenance6311
@emmanuelvenance6311 2 жыл бұрын
Like if mwakinyo is a real beast (Mnyama mkali)
@errydeo8865
@errydeo8865 2 жыл бұрын
he is rubbish tbh
@yohanakiyumbi4795
@yohanakiyumbi4795 2 жыл бұрын
Hongera sn Hassan Mwakinyo kwa kutuwakilisha Vyema nchi yetu TANZANIA 🇹🇿 🔥 🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏👏
@mswagarajr3954
@mswagarajr3954 2 жыл бұрын
Thankyuo for the bro hassani wakinyo
@enedictmchau1053
@enedictmchau1053 2 жыл бұрын
Mwakinyo I wish all the best brother Tz one.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Tanzania number ONE Africa number ONE World number 24 si mchezo
@ayubutwalibu2381
@ayubutwalibu2381 2 жыл бұрын
Upo vizuli Sana mwaknyo
@adamlipau8858
@adamlipau8858 2 жыл бұрын
kwa ngumi hizi hakuna wa kupigana na Twaha kiduku hapo, hao hawamalizi round mbili
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 2 жыл бұрын
Mbeba matofal
@oscarmosha383
@oscarmosha383 2 жыл бұрын
wabongo maneno mengi na unazi unatusumbua unapo mzungumzia mwakinyo ni bondia wakimataifa sio wakupigana na kiduku
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
Adam unaonekana humtakii mema Kiduku wewe!Unataka akutane na Mwakinyo bondia namba moja TZ na Afrika tena mwenye ngumi za moto!!!!
@daudmseti3207
@daudmseti3207 2 жыл бұрын
@@wazirisaid8326ngumi gani za moto sasa apo?
@selestiandamas7762
@selestiandamas7762 2 жыл бұрын
Mwenye wivu asage chupa anywe. Mwakinyo anajua Sana. Bravoooooooo Mwakinyo
@errydeo8865
@errydeo8865 2 жыл бұрын
tunaojua masumbwi,mwakinyo ni wa ngumi za kibongo tu,haend popote..ukimpeleka olympics tu ,atapigwa ka mtoto
@selestiandamas7762
@selestiandamas7762 2 жыл бұрын
@@errydeo8865 Ana muda wa kujiandaa. Anapaswa kupata kocha wa kimataifa. Ila kwa sasa yupo vizuri
@jomwenomkal
@jomwenomkal 2 жыл бұрын
Gooood mwamba
@costakamwaya5638
@costakamwaya5638 2 жыл бұрын
Thankx mwakinyo..love uuuuù
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 2 жыл бұрын
Kwa style hii ya mwakinyo Twa Kiduku anaweza Mpiga mwakinyo... mchezo wake hauna mvuto.. sijui ni kocha wake au ni style yake..
@magorymara5515
@magorymara5515 2 жыл бұрын
Unazani ngumi ni kula ugali muulize Twaha ile ngumi ya Dullah aliona nini pale chini mpaka akaanza kuisimulia kwa watu
@godfreynjovu7012
@godfreynjovu7012 2 жыл бұрын
Wivu mbaya mwenzako anapigana inaanza kuimbwa wimbo wa Taifaaaa utakufa kwa wivu
@animalchannel4391
@animalchannel4391 2 жыл бұрын
hhji
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 2 жыл бұрын
Viwatu vina Wivu sana
@saidothman2521
@saidothman2521 2 жыл бұрын
Mchezo wa ngumi hauanzi mikononi tafuta mwalim kwanza kaangalie pambo la Mike Tyson na Lewis ujifunze kitu pale
@chronicmlugurujr9284
@chronicmlugurujr9284 2 жыл бұрын
Mwakinyo bado ssna ufundi wa kurusha ngumi na kucheza kweny ulingo alifanyie kazi hilo...ila anatuwakilisha vizuri mungu ambariki sana
@edwardmbwana8107
@edwardmbwana8107 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa ushindi ulio upata
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 2 жыл бұрын
Mwakinyo siku zote ni best Fighter
@errydeo8865
@errydeo8865 2 жыл бұрын
best figther wapi?he is rubbish..good fighters fight globally with elite fighters he not an inch to elite fighters usijidandanye, bongo sawa! Naishi nje bro i go to proper boxin matches .,Mwakinyo hata kweny camp ya ku spar, hamchukui mtu..kwa standard zenu bongo,ye he looks good,TZ tuko nyuuuuuma sana kimichezo[angalia tokyo tumefanyaje]mwakinyo atapigwa vibaya mno na amatures in olympics, hawezi leta gold home,ndo ujue hana lolote,kaja hapa Uingreza kampiga jamaa mmoja ,hovyooo, hata hajulikan hapa,mkaandikaaaaa.lol ila hongera kwake kwa ushindi
@mkendag
@mkendag 2 жыл бұрын
Hongera Mwakinyo, ila bado foot work na hands speed ni ndogo sana
@ajmilee4204
@ajmilee4204 2 жыл бұрын
Watakubali tu
@selemanikirupy5288
@selemanikirupy5288 2 жыл бұрын
Team mwakinyo
@wisdomfitnessorganization8988
@wisdomfitnessorganization8988 2 жыл бұрын
Azam Tv et 03/8/2021 kwel media zetu hzi umakini hamna
@stephenjohnson35
@stephenjohnson35 2 жыл бұрын
From Tanga Tz, pongez kwa bondia no.1 Tanzania nzima.
@amaluchitangali6269
@amaluchitangali6269 2 жыл бұрын
MWAKINYO HASSANI KWA KI2 ANACHOTUONUESHA WA TANZANIA N WAZ KWAMB YEY N NEXT LEVEL.
@salumusalehe3138
@salumusalehe3138 2 жыл бұрын
👏ongera mwakinyo
@enedictmchau1053
@enedictmchau1053 2 жыл бұрын
Keep it up broth Tz one.
@kinashaulomi7666
@kinashaulomi7666 2 жыл бұрын
Big up mwakinyo uko vizuri munyezi mungu akusaidie ufike mbali InshaAallah ukiona mtu anakuchukia juwa kuna vitu umewazidi cha kukushauri muombe mungu alafu pambana siku zote utawaburuza
@aloycemathew9590
@aloycemathew9590 2 жыл бұрын
Watangazaji wa ndondi bado mko local sana, mnatuangusha.
@proactive1377
@proactive1377 2 жыл бұрын
Yaani hii kitu imeboa mpk unajikuta unamute koz wanaongea vitu local sana
@chiccowise13
@chiccowise13 2 жыл бұрын
I’m s time for INDONGO to step down
@fidahusseinkassim9778
@fidahusseinkassim9778 2 жыл бұрын
Masha'Allah,tafuta tu spidi ya mikono,🇹🇿
@truelovepawanza2046
@truelovepawanza2046 2 жыл бұрын
Kweli nakubaliana Na wewe kaka..Mikono inaitaji speed yaani ziwe zitatoka ngumi Muda wote kumfukuza adui
@alidau2193
@alidau2193 2 жыл бұрын
Ongera mwakinyo
@alidau2193
@alidau2193 2 жыл бұрын
Upo vizuri mwakinyo tafuta masilahi kwanza
@fidahusseinkassim9778
@fidahusseinkassim9778 2 жыл бұрын
@@truelovepawanza2046 namna hiyo
@dinnahsamwel9607
@dinnahsamwel9607 2 жыл бұрын
Mwakinyo 💋💝💞💃🏿💗🙏
@selemansaid7843
@selemansaid7843 2 жыл бұрын
Tanga moja
@hifikepunyemichael2891
@hifikepunyemichael2891 2 жыл бұрын
Good fight Mwakinyo
@mauldhamza9631
@mauldhamza9631 2 жыл бұрын
Pamoja sana hassan
@lukiomrutu2573
@lukiomrutu2573 2 жыл бұрын
Mwakinyo anajua
@johnmaina6081
@johnmaina6081 2 жыл бұрын
Hawa marefaree wanazingua. Hyo mzee hayuko kbsa on the game from the beginning
@uwezowamunguutendaokazi3043
@uwezowamunguutendaokazi3043 2 жыл бұрын
Nilipenda sana mchezo wa ngumi na mbio za magari lakini sikufanikiwa hata moja na umri umesonga . MUNGU MKUU mwema kanipa kibali cha kumtumikia. MUNGU MKUU atusaidie sote. Amen.
@alexsalum7824
@alexsalum7824 2 жыл бұрын
Inamaana hv vinavyofanyika Twaha Kiduku haoni au!!!
@user-xv7zm2be5i
@user-xv7zm2be5i 8 ай бұрын
Ngumi pesa,ngumi taifa hongera nakuelewa sana sana
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 2 жыл бұрын
Hongera sana Hassan mwakinyo u is my best choice in Tanzania and Africa and the world too and no one in Tanzania except mwakinyo (kiduku and Dula ) are waste time only
@ibrahimmlanzi5119
@ibrahimmlanzi5119 2 жыл бұрын
Mungu akulinde dogo mm ukiwa ulingoni najikuta napigana na hewa vyenye unafanya vitu hatari na muda wote nakuombea ko ndio dua zangu mm ntakuita hassan chuma cha pua king of the champions ALLAH AKUPE USHINDI DAIMA
@mohamedkigwehe4025
@mohamedkigwehe4025 2 жыл бұрын
Huyu mwamba yupo vizuri aisee
@erastoerasto4561
@erastoerasto4561 2 жыл бұрын
Kwaraa anaokutanao ataonekana mzurii tu
@ramadhanmohammed5444
@ramadhanmohammed5444 2 жыл бұрын
Wanamletea walevi amna bondia apo SHOW SHOW NO 1 IN TZ
@hafeniyamateu6669
@hafeniyamateu6669 2 жыл бұрын
To Indongo, champ you have done great. Time you step down
@jumaharuna9899
@jumaharuna9899 2 жыл бұрын
Hongera. Umepasua kihalali
@karimuelisante9548
@karimuelisante9548 2 жыл бұрын
Vizuri sana kaka
@geraldsanzala8119
@geraldsanzala8119 2 жыл бұрын
Big up mwakinyo bendera ipepee
@user-ix2iy1bo5f
@user-ix2iy1bo5f 3 ай бұрын
Big up mwakinyo
@sophiamohamed8993
@sophiamohamed8993 2 жыл бұрын
Tanga hoyeeeeeeeeeee
@rajabumkwatile4584
@rajabumkwatile4584 2 жыл бұрын
Unaweza hasani mwakinyo
@silvamsophe4392
@silvamsophe4392 2 жыл бұрын
Mwakinyo nakukubali bro wewe number one tz
@IsaacParuz
@IsaacParuz 2 жыл бұрын
Kuna kitu hakiko sawa kwa marefa. Kuna uswahili fulani umetumika. Ingawa mwakinyo kaonesha ubora wake
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Uko sawa
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 жыл бұрын
@@larickmtui2852 MNAJUWA SANDUKU LA MAITI KUSAFIRISHA NGAPI????
@mebtv67
@mebtv67 2 жыл бұрын
Hasssan from Kenya ahadi imetimia
@joelmolell8519
@joelmolell8519 2 жыл бұрын
Sijui mnakwama wapi?.. ilikua tarehe 03/08/2021?..
@mwanakomboiddi5317
@mwanakomboiddi5317 2 жыл бұрын
Hongera kaka yangu umetupa heshima tanga na taifa zima
@johnmike5454
@johnmike5454 2 жыл бұрын
Sawa mwanetu mwakinyo lakini watangazaji wa hilo pambano wasenge kweli yani, yani wanatangaza kwa kumsifia mwakinyo hadi wanamtoa mpinzani wa mwakinyo mchezoni.
@yusuphkwaya7843
@yusuphkwaya7843 2 жыл бұрын
We nawe ndo walewale tu
@johnmike5454
@johnmike5454 2 жыл бұрын
Kina nani hahhahaha
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 2 жыл бұрын
Wamemtoa mchezoni!! Kwani alikuwa anasikiliza matangazo akiwa ulingoni?
@johnmike5454
@johnmike5454 2 жыл бұрын
Bro ishengoma hahahaha si unajua muda mwingine yanapita masikioni kwa kasi yale matangazo
@derickpeter6618
@derickpeter6618 2 жыл бұрын
Good fight Mwakinyo ingawa refa kidogo amewahi kufanya maamuzi. Ili bidi aache kwanza angalau kona ya mpinzani waseme neno kwa kurusha tauolo au mpinzani akae chini au aonyeshe kuzidiwa na kuto jikinga na kutorudisha mashambulizi. Mwakinyo hana Jab, alafu footwork sio Nzuri sana. Yuko vzr kwa counterpunching ila pia ngumi zake zko telegraphed yaani ni rahis mtu kukwepa halafu hand speed sio nzuri sana pia.
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 2 жыл бұрын
Saaafi sana mwakinyo
@yusuphswai5089
@yusuphswai5089 2 жыл бұрын
Mwakinyo sio mtu mzuri ata kidogo
@bashiruahmad418
@bashiruahmad418 2 жыл бұрын
Indongo pambana mzee baba
@Dielo_tv
@Dielo_tv 2 жыл бұрын
Binafis na mkubali mwakinyo ila watangazaji mme egemea sehem moja san
@yohanmsigwa
@yohanmsigwa Жыл бұрын
Thanks
@subirariziki6020
@subirariziki6020 2 жыл бұрын
Hongera Mdigo mwenzang tanga oyeee
@seriajrtw7298
@seriajrtw7298 2 жыл бұрын
Nadhani, Azam mlimaanisha 3/9/2021 maana August ilishapita muda
@josephnoely3825
@josephnoely3825 2 жыл бұрын
Camera zenu haziko crea so jitahidi iwe inaonekana vizuri
@stephanojmafumbira5369
@stephanojmafumbira5369 2 жыл бұрын
Umecheza vzr lakini hii K O ya kaiwada sana check ile pambo la twaha na dula kwenye laundi ya kwanza ndyo utagundua ko ya mwakinyo nyepesi sana
@emmanuelkiwango6638
@emmanuelkiwango6638 2 жыл бұрын
Refa kapunguza radha ya ushindi
@rashidjumamohamed3437
@rashidjumamohamed3437 2 жыл бұрын
Ok u r rt. I thnk refa amemprotect indongo asiwe damaged..because obviously alionekana kulemewa
@mudathirkhelef
@mudathirkhelef 2 жыл бұрын
Angemwacha isidingo adondoke pale yani refa kazingua lol
@gibsonyshadrack4543
@gibsonyshadrack4543 2 жыл бұрын
Kwa ngumi za mwakinyo zinahitaji ugar wa mtama
@gervasmwagen8135
@gervasmwagen8135 Жыл бұрын
Wimbo wa taifa Safi kbsaaa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Pulse_tips
@Pulse_tips 2 жыл бұрын
Best champez
@muhambwetvonline
@muhambwetvonline 2 жыл бұрын
Watangazaji mna feli eti indongo maji ya shingo hupaswi kusifia mtu maana hata wanaoshabikia huyo indongo wamelipia king'amuzi
@hudsson75
@hudsson75 2 жыл бұрын
Dah, sijaelewa refa kamaliza pambano kivipi, coz ukihesabu ngumi alizorusha mwakinyo bila jamaa kurejesha ni kama 8 hivi, na katika hizo 8 si zote zilizomfikia jamaa, nyingine kazikwepa. Mnaojua sheria za ngumi naombeni ufafanuzi. Sitaki ushabiki
@hassankajembe4089
@hassankajembe4089 2 жыл бұрын
Hapo refa anahaki kabisa ya kumaliza pambano
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 жыл бұрын
JAMAA HOI KASARENDA HUONI HAJA LALAMIKA???
@machinefannatic99
@machinefannatic99 2 жыл бұрын
Na hao watangazaji ni kama vile wameokotwa mtaani tu baadala ya kutangaza kwa haki sawa wao wanamsifia mwakinyo tu. yani sio professional kabisa
VITASA | Twaha Kiduku alivyomtwanga Dullah Mbabe - 20/08/2021
23:03
I Built a Shelter House For myself and Сat🐱📦🏠
00:35
TooTool
Рет қаралды 33 МЛН
Super gymnastics 😍🫣
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 93 МЛН
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 5 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 258 М.
100.000$ & 50$ | Mỹ & Việt Nam Part 4
0:10
Sáng Tiền Xu
Рет қаралды 6 МЛН
Очень талантливый подросток 😱
0:21
Story-Bytes
Рет қаралды 69 М.
ЗАКАЗАТЬ БУТСЫ ЗДЕСЬ👉ТГ:SUPERGOODSHOP
0:50
SUPER TURIK ⚡️
Рет қаралды 2,6 МЛН
His Celebration ☠️ #shorts #viral #funny #fypシ゚ #fyp
0:15