MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...

  Рет қаралды 134,158

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 258
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI
@YahayaShabani-ne5gd
@YahayaShabani-ne5gd Жыл бұрын
Mmeanza Utapeli nanyinyi sio
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op Жыл бұрын
Ila halusha bangesana tuwaombee
@mbogosebai4242
@mbogosebai4242 Жыл бұрын
No
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.
@89_Media
@89_Media Жыл бұрын
Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢
@Wamimedia
@Wamimedia 9 ай бұрын
Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Жыл бұрын
Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana
@blackeagle4441
@blackeagle4441 Жыл бұрын
Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢
@consomatogaudence136
@consomatogaudence136 4 ай бұрын
Dah! Mungu awasaidie sana
@nicksonthomas5429
@nicksonthomas5429 10 ай бұрын
Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt Жыл бұрын
Kwere sio kwele jomba
@magejuliani5293
@magejuliani5293 Жыл бұрын
Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu
@zaujatnoah-ro6uj
@zaujatnoah-ro6uj Жыл бұрын
Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze
@omyhaby1912
@omyhaby1912 5 ай бұрын
Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....
@saidiabdul1635
@saidiabdul1635 Жыл бұрын
Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Жыл бұрын
Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)
@saidiabdul1635
@saidiabdul1635 Жыл бұрын
@@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu
@abuutamliikhaothmaan7244
@abuutamliikhaothmaan7244 Жыл бұрын
Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki
@Estherbongo
@Estherbongo Жыл бұрын
Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu
@samsont.albini5998
@samsont.albini5998 Жыл бұрын
Mawazo yako ya kiwaki
@Maconcepty
@Maconcepty Жыл бұрын
Arusha wamenishinda tabia😃
@Jicho03
@Jicho03 4 ай бұрын
Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!
@TOUNDISELASSIE-xj8oy
@TOUNDISELASSIE-xj8oy Жыл бұрын
Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa
@Paplick9
@Paplick9 Жыл бұрын
Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 ni masikitiko
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
😢😢😢 wanamuezi.marehem
@olivernyange2349
@olivernyange2349 Жыл бұрын
Arusha lnahitaji nguvu ya ziada ya serikali na Jamie itoe ushirikiano ni wadogo ukiwaangalia
@hildpaul7823
@hildpaul7823 Жыл бұрын
washadanja tayari na wao
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 Жыл бұрын
Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere It's another Nation in Tanzania Og machalii
@jejophotofilmtz8057
@jejophotofilmtz8057 Жыл бұрын
Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 Жыл бұрын
Huyu rais mpole sana
@hansmsangi9828
@hansmsangi9828 Жыл бұрын
Poleni sana ndg zangu pole sana
@ggfffhii4706
@ggfffhii4706 Жыл бұрын
Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅
@emazjassam2452
@emazjassam2452 Жыл бұрын
Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana
@zawadijuma9681
@zawadijuma9681 9 ай бұрын
😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa
@AlphaNdossi-on4os
@AlphaNdossi-on4os Жыл бұрын
Noma Sana😀😀
@JumaKilowoko-ie1kz
@JumaKilowoko-ie1kz Жыл бұрын
mungu amlaze mahala pemapema ameena
@mbachoclassic7818
@mbachoclassic7818 5 ай бұрын
Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa
@talents7934
@talents7934 10 ай бұрын
Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊
@elliyawilliam2521
@elliyawilliam2521 Жыл бұрын
Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu
@EdgarLema-qi9or
@EdgarLema-qi9or Жыл бұрын
Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉
@hildadaniel4892
@hildadaniel4892 Жыл бұрын
Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii
@leinaamos
@leinaamos Жыл бұрын
Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын
Jaman vijana wetu Mungu wasaidie
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Жыл бұрын
Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏
@lesilale
@lesilale Жыл бұрын
Republic of Arusha
@aminaathuman8146
@aminaathuman8146 11 ай бұрын
Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊
@impokisanga9636
@impokisanga9636 Жыл бұрын
Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao
@ezekielmollel-rv1ge
@ezekielmollel-rv1ge Жыл бұрын
Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.
@elliyawilliam2521
@elliyawilliam2521 Жыл бұрын
Iko sawa maana kiukweli hawa wame zingua sana
@neemalema5312
@neemalema5312 Жыл бұрын
Najivunia kuwa mtu wa Arusha
@credo7837
@credo7837 5 ай бұрын
😂poleee
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Жыл бұрын
Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣
@samwelsamson4135
@samwelsamson4135 Жыл бұрын
Polen Sana Wana chuga
@kelvinkasanga1235
@kelvinkasanga1235 Жыл бұрын
Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu
@lasteckmmary9741
@lasteckmmary9741 Жыл бұрын
Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?
@StevenLoita-rl9cx
@StevenLoita-rl9cx 9 ай бұрын
Mungu awe msaada.?
@omyhaby1912
@omyhaby1912 5 ай бұрын
Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....
@user-zy2vg6kl1s
@user-zy2vg6kl1s Жыл бұрын
Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi
@panadomadola3064
@panadomadola3064 Жыл бұрын
Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa
@user-kh5pu1os4k
@user-kh5pu1os4k 10 ай бұрын
Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani
@sistimasawe5936
@sistimasawe5936 Жыл бұрын
Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa
@shaibhasan9233
@shaibhasan9233 Жыл бұрын
Jamaaa kala kofi
@user-qw9nc6zk9q
@user-qw9nc6zk9q 9 ай бұрын
mtiani sanà
@asteriashios1852
@asteriashios1852 9 ай бұрын
Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima
@user-en2xn2dd5x
@user-en2xn2dd5x Жыл бұрын
Mmhh Arusha nae
@clemenceernestshooga
@clemenceernestshooga 9 ай бұрын
Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?
@juniorsonofgod5675
@juniorsonofgod5675 Жыл бұрын
Yote na yote wamiliki wa magari waelekezwe hii kitu aiseh... Kwakweli hata mm pia iliwahi nitokea nikataka kufa kama alivokufa huyu kijana. Nilikua naendesha pikipiki nawahi sokoni, kuna Mahali nikawa nimepita kulikua na gari imepaki mbele... Yaani ile nakaribia tu akawa amefungua mlango wa upande wa barabarani, kilichotokea nilifunga breki kwa haraka nikaruka ule mlango pikipiki ndo ikawa imegonga mlango... Kwakweli niliumia sana... Hadi leo sijawahi sahau na huwa nakua Makini sana nikiwa naendesha boda nikiona gari imepaki... Madereva waelekezwe sana hii kitu. Najua tupo wengi tulokutana hii changamoto
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 Жыл бұрын
Pole Sana Aiseee
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 Жыл бұрын
Ndo ujifunze uneona gari limesimama wewe unakuja na pikipiki spidi. Ila nakupa pole my brother.
@user-zy2vg6kl1s
@user-zy2vg6kl1s Жыл бұрын
Boda wengi huwa hawatumii alama na Sheria za barabarani,wanafanya kama vile wapo peke yao barabarani
@musicworldwide2625
@musicworldwide2625 Жыл бұрын
Duh!
@fredyshirima8594
@fredyshirima8594 Жыл бұрын
Kisimiri plantation
@adelinabaitu3291
@adelinabaitu3291 Жыл бұрын
Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi
@elividakasari1356
@elividakasari1356 Жыл бұрын
Mungu atunusuru na vizazi vyetu
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op Жыл бұрын
Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m 10 ай бұрын
Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu
@jogoolajiji2499
@jogoolajiji2499 Жыл бұрын
Uku kwakweri sio kuzuri😂😂😂😂😂
@Enzo-cp
@Enzo-cp Жыл бұрын
Chuga sio kuzuri ni kuzuri sanaa
@jamessichimata36
@jamessichimata36 Жыл бұрын
Wako karibu na milaaa
@dannyboytz6198
@dannyboytz6198 9 ай бұрын
Ongeza saut mtangazaji
@BrunoFaustini-ii5hn
@BrunoFaustini-ii5hn Жыл бұрын
Dadeki Hadi raha hiy vurugu
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!
@AshrafuJonny-sz4gs
@AshrafuJonny-sz4gs 4 ай бұрын
inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika
@deliriousgentleman7369
@deliriousgentleman7369 Жыл бұрын
Mungu ailaze mahali panapo stahili roho ya marehemu.😅😅 Kwanini isilazwe peponi dingii??
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 Жыл бұрын
NI kafiri huyo Marehemu.
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 Жыл бұрын
Mtakufa muishe kbsa
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Hata drug cartels za Mexico na Colombia zilianza hivi hivi serikali inalea ujinga, hawa wahuni wadhibitiwe mapema akiwemo mdogo wangu nae kalowea humo
@allenmlingi4023
@allenmlingi4023 Жыл бұрын
😂huna mwingine tuoe???
@marshallmansour592
@marshallmansour592 Жыл бұрын
Vybz Kartel👐
@lupironewstv4645
@lupironewstv4645 Жыл бұрын
Umafia tupu.😅😅
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah
@shilladickson3852
@shilladickson3852 Жыл бұрын
Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..
@yuzzomoro5306
@yuzzomoro5306 Жыл бұрын
Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Duuu wadudu ndani ya arusha
@hollymore4904
@hollymore4904 Жыл бұрын
Ngekua ofisah..Hawa wote nawaweka ndan. Washawaka
@japhetmasawemasawe5468
@japhetmasawemasawe5468 Жыл бұрын
Una jeuriii iyooo
@japhetmasawemasawe5468
@japhetmasawemasawe5468 Жыл бұрын
Una jeuriii iyooo
@mndemegerald3709
@mndemegerald3709 Жыл бұрын
We ni mama tu kwanza njoo huku chuga uone
@robsonwisdom1994
@robsonwisdom1994 Жыл бұрын
Duuuuu😊😊😊😊😊😊
@user-oj7vj6bi5l
@user-oj7vj6bi5l Жыл бұрын
Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????
@IranezezaSamuel
@IranezezaSamuel 5 ай бұрын
Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂
@devisshirima6780
@devisshirima6780 Жыл бұрын
Fainali uzeeni !! Ujana maji ya moto !! Vijana wanajisahau kwamba nguvu nyingi walizonazo wanazitumia kujiangamiza wenyewe na sio kujiendeleza !! Hao vijana bado ni wadogo mno na kasi waliyonayo sio salama kabisa !! Mungu tuu mwenyewe akiokoe kizazi hiki ambacho hakina dalili ya kudumu bali kuangamia !!
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 Жыл бұрын
Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?
@AnoriasKope
@AnoriasKope 8 ай бұрын
hee Arusha imebadirika
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?
@peninandosi4096
@peninandosi4096 Жыл бұрын
Kuna serekali kweliii au imelala?
@rehmakondo
@rehmakondo Жыл бұрын
Hakuna,Tanzania imekua ya ovyo mno
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Chuga amnaga uwoga Yani Ni nguv moko
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Жыл бұрын
Kizazi kwisha hapo
@AFYABORATV
@AFYABORATV 5 ай бұрын
Ni mbaya enyewe ...akileta fedheha anafutwa tuu
@ElishaErnest-xd9qt
@ElishaErnest-xd9qt Жыл бұрын
N vile nafeel iyo pain aloh😢
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 Жыл бұрын
Hahahahaha Tangu lini machalii wafunge barabara ,wkt cyo Yao
@elicanageorge1319
@elicanageorge1319 Жыл бұрын
BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.
@fredyshirima8594
@fredyshirima8594 Жыл бұрын
Ar is another country
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Жыл бұрын
Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???
@hallin9561
@hallin9561 Жыл бұрын
Tabia ya madereva wa magari kufungua milango ya magari yao bila tahadhari inahatarisha sana, wiki moja iliyopita nilinusurika aisee, nipo kwenye pikpik sina ili wala lile mbele kuna gari limepaki mara mlango ukafunguliwa ghafla, ile movie niliicheza vyema kwa msaada wa Mungu nililaza pikpk wala sikuumia mim wala pikpik. ila yule dereva wa gari nilimpiga hatosahau
@chinischinis6371
@chinischinis6371 Жыл бұрын
Ivi ichi kizazi kipo ktk nchi yetu ya tanzania au ninchokiona ni action za kuigiza
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Ni kweree
@dignachami7382
@dignachami7382 4 ай бұрын
Hapo kwa Rc makonda watapona kichaaa😂😂
@StevenLoita-rl9cx
@StevenLoita-rl9cx 9 ай бұрын
Arusha unakujia na Passport na Visa ni Taifa lingine hili.
@user-cm9lm4mj7v
@user-cm9lm4mj7v Жыл бұрын
Kweli hawa wadudu
@SalamaAkilimali-ly3bu
@SalamaAkilimali-ly3bu 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@dandynyota2838
@dandynyota2838 Жыл бұрын
Hakika bange ya arusha ingechukuzwa huwa inachanganywa na nini😂😂
@kelvinbaraka4610
@kelvinbaraka4610 Жыл бұрын
R.I.P 😢
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Hawa wenyewe tu nivichaa hamna watu hapo
@barakachibwana3708
@barakachibwana3708 Жыл бұрын
Selikali hawa vijana inawachukuliaje hiki kizazi sio salama sana; hili kama ni gang
@Salimfulla
@Salimfulla Жыл бұрын
Cha ajabu waandishi wameona hizi ndio content, hawa waandishi ndio wakulaumiwa kwanza...
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 Жыл бұрын
Hapana usichukulue Hadi wamefanya jambo zuri sana tena sana huo ndio upasgaji wa habari kwa JAMII Ili wahusika waelewe Nini chakufanya he wasipotoa habari kama hizi unafikiri ni j kutatokea Bora uwazi Ili kama nikushughulikiwa lishughulikiwe kwa mujibu wa habari
"WADUDU TAFUTENI HELA" MAKONDA AKUTANA NA WADUDU AWAPA MBINU
5:36
Millard Ayo
Рет қаралды 140 М.
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 200 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 52 МЛН
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН