Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje
@officialyohanamalisa18739 ай бұрын
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
@JK-bi2jl4 жыл бұрын
Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.
@picsandvidstv13484 жыл бұрын
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
@rumeyswairshad83084 жыл бұрын
Mashaa Allah Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni
@johanesjofrey21054 жыл бұрын
Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu. Kazi nzuri
@dewaweshawakening99774 жыл бұрын
Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work
@sofiakhan97064 жыл бұрын
We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more
@ManusuraBwanamoya29 күн бұрын
I save this video for the future ❤ kwa sasa i have reason to travel to Tanzania 🇹🇿
@harounali90574 жыл бұрын
Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi. Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
@حسن-ح7م1ق Жыл бұрын
Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge
@montanaprime4 жыл бұрын
Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.
@kamanda0074 жыл бұрын
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
@aminapazi36944 жыл бұрын
kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je
@mansooralmahruqi8854 жыл бұрын
USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.
@Mpakauseme Жыл бұрын
Haujui sababu unalabwajika tu
@kamanda007 Жыл бұрын
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
@yusufhassan54 жыл бұрын
Old is gold ! Matofali is the best...... haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !
@jacksonmawole40294 жыл бұрын
Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga
@khalidgugu49644 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 haaaaa
@yusufhassan54 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.
@Mpakauseme4 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣
@hallin95614 жыл бұрын
Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh
@upendoirenmattoke98604 жыл бұрын
Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽
@gideon_maina4 жыл бұрын
Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.
@picsandvidstv13484 жыл бұрын
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
@robertmuiga52554 жыл бұрын
Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology
@djumoja4 жыл бұрын
Build an earth home instead
@eliasnavytanga2 жыл бұрын
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
@ramazaniekenya83123 жыл бұрын
Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka
@iammarwa4 жыл бұрын
i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.
@rickkariuki45234 жыл бұрын
from Kenya proud of Tanzania
@sarahwamboko20414 жыл бұрын
Ziko kenya kirio project ilianza 7yrs ago in kenya
@mannabu93334 жыл бұрын
@@sarahwamboko2041 alie kuuliza nan
@happynicholaus64744 жыл бұрын
@@sarahwamboko2041 umeulizwa
@marianakapeller46993 жыл бұрын
@@mannabu9333 ha ha ha...
@hhabusinesspro4 жыл бұрын
Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?
@mariamwakabuta10344 жыл бұрын
Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7
@MegaAlexison3 жыл бұрын
Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question
@mamahustru4 жыл бұрын
Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?
@samkariuki94244 жыл бұрын
Mfinyanzi hulia gaeni
@mukra444 жыл бұрын
Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda
@gilbertcfc29593 жыл бұрын
mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.
@namirihamisi38993 жыл бұрын
Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.
@thelistener83573 жыл бұрын
Wow. Nice
@xtreme-media3 жыл бұрын
Thank you! Cheers!
@jeanboscomunyarurembo34904 жыл бұрын
Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania
@geoffreymwangi66274 жыл бұрын
Hapo sawa mko Wa-Tz.
@geoffreymwangi66274 жыл бұрын
Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.
@Moses_Mash4 жыл бұрын
Great editing $ narration, thumbs up mister
@ubahamisi4314 ай бұрын
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
@wariobamussa24622 ай бұрын
Well done.... ! Maelezo ya Meneja yamejitosheleza
@mariamayenga58674 жыл бұрын
Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
@ritchiexanti95874 жыл бұрын
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@Catherineflorian19973 жыл бұрын
🤣🤣
@samniza17633 жыл бұрын
Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.
@kassimmanaramalika85923 жыл бұрын
Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah
@noelmgulusi67074 жыл бұрын
Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi
@crissxavery28874 жыл бұрын
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
@crissxavery28874 жыл бұрын
@simply pash ...
@merymichael55134 жыл бұрын
Cjaelewa
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you
@rithersospeterkati23034 жыл бұрын
Mmm Amen Tanzania.
@karimhamisi46274 жыл бұрын
Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi
@mohamedmaulidi53194 жыл бұрын
hahahaaas
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@worldcuisine91024 жыл бұрын
😄
@fatmaali47944 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@peterdarlington65999 ай бұрын
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
@barakarobert95164 жыл бұрын
Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako
@abdulsimbarakiye41454 жыл бұрын
Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza
@Diana-cn6cf4 жыл бұрын
Kazi nzuri... Tanzania inaweza
@ShafiiSoud-b3w2 ай бұрын
kwa Zanzibar je inakuaje kupata huduma?
@jayaron2184 жыл бұрын
Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150
@owlbig3 жыл бұрын
Nice interview ❤️🇧🇮
@abellmawio86942 жыл бұрын
Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?
@bunukhalifa70744 жыл бұрын
Do you have a branch in Kenya
@nk-computertraining4 жыл бұрын
Jamani mnaoomba contact msije mkalia baadae, msije mkalia siku mmeamka mnakuta nyumba yenyewe ishabebwa na upepo mnaanza kushikana uchawii. Maboya ujengee nyumba.
@YussufAbebeCheliPeacockSafarisАй бұрын
Good idea lakini kikija kimbunga, mvua kali, radi itaweza kuhimili kama matofali?
@bsrabbitfarm4 жыл бұрын
Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?
@HustlaDY4 жыл бұрын
Beautiful design
@dominicklema1835 Жыл бұрын
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
@warialangandossi Жыл бұрын
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
@daudimaniseli7594 жыл бұрын
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
@maigathomas23534 жыл бұрын
Mko vizuri et
@nalotayecamara54234 жыл бұрын
I really appreciate your video thanks u 😘 brother
@davidmagundu22854 жыл бұрын
Interesting!
@movieindustry92534 жыл бұрын
Hata jamaaa wanapatikanaje boss
@xtreme-media4 жыл бұрын
Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
@mohamnedsalum21504 жыл бұрын
Tecnologia nzuri
@joels.orinda6352 Жыл бұрын
Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi
@caseyjason-ws3fr4 жыл бұрын
Tunawapataje jamani Mbona hamna contact information Kaka yangu alikua anataka nyumba
@silasyadam89434 жыл бұрын
Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?
@erickmahujilo46434 жыл бұрын
Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani
@salmamohammedyahaya60983 жыл бұрын
Mbona hamjaweka nambazasimuu ?
@keagleeagle8214 жыл бұрын
Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi
@samiramohammed97582 жыл бұрын
Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali
@dulabori99224 жыл бұрын
Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja
@rehemaothuman37643 ай бұрын
Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi
@josephshayo54935 ай бұрын
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
@elibarikijustine45463 жыл бұрын
How about columns?!
@nestormsigwa8551 Жыл бұрын
Tupate contacts pls na namna ya kuwapata.
@Adeen.14 жыл бұрын
Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken
@ritchiexanti95874 жыл бұрын
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@kingj96064 жыл бұрын
Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?
@chosenfrank4286 Жыл бұрын
Naomba namba ya mtalaam
@bunukhalifa70744 жыл бұрын
Where can we find them in Kenya? Nimependa uvumbuzi wao pengine kuna nambari ya simu
@maryodrwebandiza20564 жыл бұрын
Njoo Tanzania mkoa wa dar es salaam wilaya ya ilala
@BenCheck-jx9lo4 жыл бұрын
Naona yanfaa kwenye partitioning
@mimifineliving20224 жыл бұрын
Kama ni bora kuliko tofali mbona msingi ni was matofali?
@mrfix65964 жыл бұрын
Tofali ndiyo mpango, wangeweka maboya ingeruka hiyo😂😂😂
@francolocco4 жыл бұрын
Swali lako nmelikubali
@muciomi4 жыл бұрын
Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.
@BigZhumbe4 жыл бұрын
Ndio ubora unapojia...... matofali ndo msingi na juu kunaboreshwa
@Mpakauseme4 жыл бұрын
@@mrfix6596 🤣🤣🤣🤣🤣
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Hizi nyumba kwa watu maskini au wenye uwezo tu? Anyway, kazi nzuri na zinapendeza kusema kweli. Hongera sana
@edwinismail94016 ай бұрын
sasa website yao ipo wapi
@nathanjunior76944 жыл бұрын
Good video presentation
@denisjrmgulambwa18664 жыл бұрын
Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje? Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?
@thelistener83573 жыл бұрын
Rahisi lakni hamujaongelea bei
@omarysebastian32084 жыл бұрын
Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea
@ilovejesus93034 жыл бұрын
🤔🤗😄😄
@partnersah88024 жыл бұрын
Hizi ndo za kwenye movie zile mtu akipiga ngumi ukuta unavunjika
@vinuthagangadharan41714 жыл бұрын
Uzuri mimi nimeshuhudia huo ujenzi ni mzuri sana wanasema pia hazina joto
@ritchiexanti95874 жыл бұрын
@@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@napendamuzikiilovemusic58404 жыл бұрын
Nice one
@barakamponda9144 жыл бұрын
Arusha tunakuhitaji raja namba ya simu
@yohanahbyzehomba13523 жыл бұрын
Amaizing
@SalvataMrosso-yr7fm Жыл бұрын
Naomba namba za simu
@asheracuteahmedi87003 жыл бұрын
Naitaji namba zao za simu mbona hamjaweka?
@mwanetu14 жыл бұрын
Kazi mzuri,lakini watanzania badilisheni viongozi na mjikinge corona
@saidalhinai11318 ай бұрын
Viongozi wazuri na corona iko huko uliko mjinga wewe
Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka
@zaharahasan19124 жыл бұрын
Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo
@christiankambuga93383 жыл бұрын
Nimekubalii wazeeubunifu mzuri
@bahatimwangoka6493 жыл бұрын
Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha
@calvinjoseph4 жыл бұрын
Me nataka kujenga nyumba kama hii
@confredsangija17969 ай бұрын
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone