#MadeinTanzania

  Рет қаралды 178,336

Xtreme Media

Xtreme Media

Күн бұрын

Пікірлер: 483
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 9 ай бұрын
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
@JK-bi2jl
@JK-bi2jl 4 жыл бұрын
Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 4 жыл бұрын
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
@rumeyswairshad8308
@rumeyswairshad8308 4 жыл бұрын
Mashaa Allah Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni
@johanesjofrey2105
@johanesjofrey2105 4 жыл бұрын
Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu. Kazi nzuri
@dewaweshawakening9977
@dewaweshawakening9977 4 жыл бұрын
Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 4 жыл бұрын
We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more
@ManusuraBwanamoya
@ManusuraBwanamoya 29 күн бұрын
I save this video for the future ❤ kwa sasa i have reason to travel to Tanzania 🇹🇿
@harounali9057
@harounali9057 4 жыл бұрын
Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi. Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
@حسن-ح7م1ق
@حسن-ح7م1ق Жыл бұрын
Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge
@montanaprime
@montanaprime 4 жыл бұрын
Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.
@kamanda007
@kamanda007 4 жыл бұрын
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
@aminapazi3694
@aminapazi3694 4 жыл бұрын
kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je
@mansooralmahruqi885
@mansooralmahruqi885 4 жыл бұрын
USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Haujui sababu unalabwajika tu
@kamanda007
@kamanda007 Жыл бұрын
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 жыл бұрын
Old is gold ! Matofali is the best...... haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !
@jacksonmawole4029
@jacksonmawole4029 4 жыл бұрын
Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga
@khalidgugu4964
@khalidgugu4964 4 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 haaaaa
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣
@hallin9561
@hallin9561 4 жыл бұрын
Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh
@upendoirenmattoke9860
@upendoirenmattoke9860 4 жыл бұрын
Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽
@gideon_maina
@gideon_maina 4 жыл бұрын
Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 4 жыл бұрын
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
@robertmuiga5255
@robertmuiga5255 4 жыл бұрын
Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology
@djumoja
@djumoja 4 жыл бұрын
Build an earth home instead
@eliasnavytanga
@eliasnavytanga 2 жыл бұрын
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
@ramazaniekenya8312
@ramazaniekenya8312 3 жыл бұрын
Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka
@iammarwa
@iammarwa 4 жыл бұрын
i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.
@rickkariuki4523
@rickkariuki4523 4 жыл бұрын
from Kenya proud of Tanzania
@sarahwamboko2041
@sarahwamboko2041 4 жыл бұрын
Ziko kenya kirio project ilianza 7yrs ago in kenya
@mannabu9333
@mannabu9333 4 жыл бұрын
@@sarahwamboko2041 alie kuuliza nan
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 4 жыл бұрын
@@sarahwamboko2041 umeulizwa
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 3 жыл бұрын
@@mannabu9333 ha ha ha...
@hhabusinesspro
@hhabusinesspro 4 жыл бұрын
Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 4 жыл бұрын
Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 жыл бұрын
Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?
@samkariuki9424
@samkariuki9424 4 жыл бұрын
Mfinyanzi hulia gaeni
@mukra44
@mukra44 4 жыл бұрын
Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda
@gilbertcfc2959
@gilbertcfc2959 3 жыл бұрын
mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.
@thelistener8357
@thelistener8357 3 жыл бұрын
Wow. Nice
@xtreme-media
@xtreme-media 3 жыл бұрын
Thank you! Cheers!
@jeanboscomunyarurembo3490
@jeanboscomunyarurembo3490 4 жыл бұрын
Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 4 жыл бұрын
Hapo sawa mko Wa-Tz.
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 4 жыл бұрын
Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.
@Moses_Mash
@Moses_Mash 4 жыл бұрын
Great editing $ narration, thumbs up mister
@ubahamisi431
@ubahamisi431 4 ай бұрын
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
@wariobamussa2462
@wariobamussa2462 2 ай бұрын
Well done.... ! Maelezo ya Meneja yamejitosheleza
@mariamayenga5867
@mariamayenga5867 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu
@gmstv2043
@gmstv2043 4 жыл бұрын
That's an old technology innovated by Chinese
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 4 жыл бұрын
wanaotafuta contact hizi hapa......Mobile No. +255 785 676 207 Email: mega@mega.co.tz
@muritujamlick5534
@muritujamlick5534 2 жыл бұрын
Thank you so much for this show. An eye opener
@Watema23
@Watema23 4 жыл бұрын
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 4 жыл бұрын
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@Catherineflorian1997
@Catherineflorian1997 3 жыл бұрын
🤣🤣
@samniza1763
@samniza1763 3 жыл бұрын
Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 3 жыл бұрын
Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah
@noelmgulusi6707
@noelmgulusi6707 4 жыл бұрын
Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi
@crissxavery2887
@crissxavery2887 4 жыл бұрын
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
@crissxavery2887
@crissxavery2887 4 жыл бұрын
@simply pash ...
@merymichael5513
@merymichael5513 4 жыл бұрын
Cjaelewa
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you
@rithersospeterkati2303
@rithersospeterkati2303 4 жыл бұрын
Mmm Amen Tanzania.
@karimhamisi4627
@karimhamisi4627 4 жыл бұрын
Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi
@mohamedmaulidi5319
@mohamedmaulidi5319 4 жыл бұрын
hahahaaas
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@worldcuisine9102
@worldcuisine9102 4 жыл бұрын
😄
@fatmaali4794
@fatmaali4794 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@peterdarlington6599
@peterdarlington6599 9 ай бұрын
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
@barakarobert9516
@barakarobert9516 4 жыл бұрын
Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 4 жыл бұрын
Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza
@Diana-cn6cf
@Diana-cn6cf 4 жыл бұрын
Kazi nzuri... Tanzania inaweza
@ShafiiSoud-b3w
@ShafiiSoud-b3w 2 ай бұрын
kwa Zanzibar je inakuaje kupata huduma?
@jayaron218
@jayaron218 4 жыл бұрын
Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150
@owlbig
@owlbig 3 жыл бұрын
Nice interview ❤️🇧🇮
@abellmawio8694
@abellmawio8694 2 жыл бұрын
Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?
@bunukhalifa7074
@bunukhalifa7074 4 жыл бұрын
Do you have a branch in Kenya
@nk-computertraining
@nk-computertraining 4 жыл бұрын
Jamani mnaoomba contact msije mkalia baadae, msije mkalia siku mmeamka mnakuta nyumba yenyewe ishabebwa na upepo mnaanza kushikana uchawii. Maboya ujengee nyumba.
@YussufAbebeCheliPeacockSafaris
@YussufAbebeCheliPeacockSafaris Ай бұрын
Good idea lakini kikija kimbunga, mvua kali, radi itaweza kuhimili kama matofali?
@bsrabbitfarm
@bsrabbitfarm 4 жыл бұрын
Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?
@HustlaDY
@HustlaDY 4 жыл бұрын
Beautiful design
@dominicklema1835
@dominicklema1835 Жыл бұрын
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
@warialangandossi
@warialangandossi Жыл бұрын
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 4 жыл бұрын
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
@maigathomas2353
@maigathomas2353 4 жыл бұрын
Mko vizuri et
@nalotayecamara5423
@nalotayecamara5423 4 жыл бұрын
I really appreciate your video thanks u 😘 brother
@davidmagundu2285
@davidmagundu2285 4 жыл бұрын
Interesting!
@movieindustry9253
@movieindustry9253 4 жыл бұрын
Hata jamaaa wanapatikanaje boss
@xtreme-media
@xtreme-media 4 жыл бұрын
Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 4 жыл бұрын
Tecnologia nzuri
@joels.orinda6352
@joels.orinda6352 Жыл бұрын
Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi
@caseyjason-ws3fr
@caseyjason-ws3fr 4 жыл бұрын
Tunawapataje jamani Mbona hamna contact information Kaka yangu alikua anataka nyumba
@silasyadam8943
@silasyadam8943 4 жыл бұрын
Niliiona teknologia hii kwenye mitandao ya nje Thanks God imekuja na kwetu cha muhimu ni kutupa gharama zote kwa wastani ili tuweze kulinganisha mf kwa std house ya vyumba 3 ina cost kiasi gani?
@erickmahujilo4643
@erickmahujilo4643 4 жыл бұрын
Yea bro upo sahihi kabisa wangesema na ghalama au amakadirio ni kiasi gani
@salmamohammedyahaya6098
@salmamohammedyahaya6098 3 жыл бұрын
Mbona hamjaweka nambazasimuu ?
@keagleeagle821
@keagleeagle821 4 жыл бұрын
Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi
@samiramohammed9758
@samiramohammed9758 2 жыл бұрын
Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali
@dulabori9922
@dulabori9922 4 жыл бұрын
Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja
@rehemaothuman3764
@rehemaothuman3764 3 ай бұрын
Aiko ivyo ni Kama tu america nyumba zao z ambao na mapliudi ukigonga unasukia sauti ya boxi lkn uwezi kutoboa wameshawaza ivyo unavyowaza ww kabra ata awajaanzisha ujenzi
@josephshayo5493
@josephshayo5493 5 ай бұрын
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
@elibarikijustine4546
@elibarikijustine4546 3 жыл бұрын
How about columns?!
@nestormsigwa8551
@nestormsigwa8551 Жыл бұрын
Tupate contacts pls na namna ya kuwapata.
@Adeen.1
@Adeen.1 4 жыл бұрын
Kwa upeo wangu mdogo siwapingi wala sitaki mtu afate msimamo wangu, mie nadhani aina hii ya nyumba walianzisha wazungu au wachina sababu kubwa ni resources katika nchi zao changamoto mchanga mawe ila sababu sie kila kitu kitu mie naona ni vyema kutumia mawe na michanga yetu yunaweza kudhani ni utandawazi kumbe ndo tunajiumiza ndo yale mambo ya green house na broilers chicken
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 4 жыл бұрын
nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@kingj9606
@kingj9606 4 жыл бұрын
Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?
@chosenfrank4286
@chosenfrank4286 Жыл бұрын
Naomba namba ya mtalaam
@bunukhalifa7074
@bunukhalifa7074 4 жыл бұрын
Where can we find them in Kenya? Nimependa uvumbuzi wao pengine kuna nambari ya simu
@maryodrwebandiza2056
@maryodrwebandiza2056 4 жыл бұрын
Njoo Tanzania mkoa wa dar es salaam wilaya ya ilala
@BenCheck-jx9lo
@BenCheck-jx9lo 4 жыл бұрын
Naona yanfaa kwenye partitioning
@mimifineliving2022
@mimifineliving2022 4 жыл бұрын
Kama ni bora kuliko tofali mbona msingi ni was matofali?
@mrfix6596
@mrfix6596 4 жыл бұрын
Tofali ndiyo mpango, wangeweka maboya ingeruka hiyo😂😂😂
@francolocco
@francolocco 4 жыл бұрын
Swali lako nmelikubali
@muciomi
@muciomi 4 жыл бұрын
Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 жыл бұрын
Ndio ubora unapojia...... matofali ndo msingi na juu kunaboreshwa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 жыл бұрын
@@mrfix6596 🤣🤣🤣🤣🤣
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Hizi nyumba kwa watu maskini au wenye uwezo tu? Anyway, kazi nzuri na zinapendeza kusema kweli. Hongera sana
@edwinismail9401
@edwinismail9401 6 ай бұрын
sasa website yao ipo wapi
@nathanjunior7694
@nathanjunior7694 4 жыл бұрын
Good video presentation
@denisjrmgulambwa1866
@denisjrmgulambwa1866 4 жыл бұрын
Je nikiasi gani hutumika kukamilisha nyumba nzima...na material yao wanauzaje? Gharama za chini ni kiasi gani kwa ujenzi wa hzo nyumba?
@thelistener8357
@thelistener8357 3 жыл бұрын
Rahisi lakni hamujaongelea bei
@omarysebastian3208
@omarysebastian3208 4 жыл бұрын
Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
🤔🤗😄😄
@partnersah8802
@partnersah8802 4 жыл бұрын
Hizi ndo za kwenye movie zile mtu akipiga ngumi ukuta unavunjika
@vinuthagangadharan4171
@vinuthagangadharan4171 4 жыл бұрын
Uzuri mimi nimeshuhudia huo ujenzi ni mzuri sana wanasema pia hazina joto
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 4 жыл бұрын
@@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@napendamuzikiilovemusic5840
@napendamuzikiilovemusic5840 4 жыл бұрын
Nice one
@barakamponda914
@barakamponda914 4 жыл бұрын
Arusha tunakuhitaji raja namba ya simu
@yohanahbyzehomba1352
@yohanahbyzehomba1352 3 жыл бұрын
Amaizing
@SalvataMrosso-yr7fm
@SalvataMrosso-yr7fm Жыл бұрын
Naomba namba za simu
@asheracuteahmedi8700
@asheracuteahmedi8700 3 жыл бұрын
Naitaji namba zao za simu mbona hamjaweka?
@mwanetu1
@mwanetu1 4 жыл бұрын
Kazi mzuri,lakini watanzania badilisheni viongozi na mjikinge corona
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 8 ай бұрын
Viongozi wazuri na corona iko huko uliko mjinga wewe
@stamilihalifa2763
@stamilihalifa2763 2 жыл бұрын
Mbona ujatoa namba ya sm
@yohanaernest8552
@yohanaernest8552 3 жыл бұрын
Inapendeza
@mahrooqsuleiman7216
@mahrooqsuleiman7216 2 жыл бұрын
Tutumie namba za simu
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 4 жыл бұрын
Yeah inabidi watanzania tubadilike tuishi kisasa zaidi wanaoponda hao wanaishi kizamani sanaa.
@wiljoe22
@wiljoe22 3 жыл бұрын
Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka
@zaharahasan1912
@zaharahasan1912 4 жыл бұрын
Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 3 жыл бұрын
Nimekubalii wazeeubunifu mzuri
@bahatimwangoka649
@bahatimwangoka649 3 жыл бұрын
Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha
@calvinjoseph
@calvinjoseph 4 жыл бұрын
Me nataka kujenga nyumba kama hii
@confredsangija1796
@confredsangija1796 9 ай бұрын
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone
@jofreyraymond6444
@jofreyraymond6444 2 жыл бұрын
Nawapataje Mega panel?
@kimstvonline6411
@kimstvonline6411 4 жыл бұрын
Nilikuwa nasubiri sana hii technology
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 15 МЛН
UJENZI KWA TEKNOLOJIA YA HYDRAFORM UNAVYOPUNGUZA GHARAMA
27:50
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 34 М.
Ujenzi Kamilifu wa Msingi wa Ghorofa
7:38
SwahiliUnits
Рет қаралды 3,1 М.
EPS technology house construction | RAPIDCON | #house #construction #india | Call: 7709770080
5:59
RAPIDCON 3D EPS CONSTRUCTION TECHNOLOGY | INDIA
Рет қаралды 133 М.
DIASPORA BEI ZOTE ZA VIFAA VYA UJENZI TANZANIA HIZI HAPA. ASIKUDANGANYE MTU! PART1
15:25