Asante Mungu kwa kufungula dowa yangu iyi maombi ya leo nia yangu kwa sababu na subuka kwenye dowa Asante Mungu namini una fungula dowa yangu kwa jina la Yesu Christo
@hsjshs2894Ай бұрын
Najitenga, na misiba, najitenga kukataliwa, najitenga na maadui. Kwajina la Yesu.
@safarialbert4132Ай бұрын
Mimi naomba mniombee naumwa na jino lakini halina shimo pia na koo vyote vinauma sana
@KoklakJdjwАй бұрын
Aminà Amina 🇰🇪
@GHgh-hq3zjАй бұрын
Amen
@millicentraberaАй бұрын
Amen 🙏🙌🙏🙌😊
@gracerehemarehema4742Ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@beatricepaul1442Ай бұрын
Hakika Tunamshukuru MUNGU sana kwa ajili ya Mtumishi wake na baba yetu. MUNGU ametupenda na kutupa chombo chake cha thamani. MUNGU amemtumia kutuvusha maeneo ambayo isingewezekana jamani. Acheni tumtukuze MUNGU.