No video

KUNENA KWA LUGHA

  Рет қаралды 46,127

Mgisa Mtebe

Mgisa Mtebe

4 жыл бұрын

16Anayeamini na kubatizwa ataokolewa. Asiyeamini atahukumiwa. 17Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: Kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya. 18Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.”
#Mgisamtebe #Mafundisho #Kunenakwalugha

Пікірлер: 71
@kaylamariani3142
@kaylamariani3142 8 ай бұрын
Asante Yesu kristo unapo pita kujaza wengine na Mimi usini pite baba
@blessedtumaini.1520
@blessedtumaini.1520 4 жыл бұрын
Asante Yesu Kristo kwa mafundisho haya. Mungu Baba akubariki Mwl. Mgisa Mtebe kwa huduma na wote unaotenda kazi nao. Amina.
@perrywanjiru2754
@perrywanjiru2754 4 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa mafunzo sifa nautukufu zimulindie MUNGU kwa hinyo upako ametia ndani yako
@rechoemania8078
@rechoemania8078 4 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi ujumbe nimeupata
@ibrahimwilliam8201
@ibrahimwilliam8201 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na Mungu azidi kukuinuwa na kukutunza pia ili jamii ya ya kristo izidi kuimarika, kukua kiroho na kuongezeka kwa maarifa ya Mungu.
@mwanahamisigomo3764
@mwanahamisigomo3764 4 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wamungu , jana nmeskiliza mafundisho yako, nami nikawa natamani kujazazwa roho mtakatifu ninene kwa lugha , nikajikuta ghafula Leo asubuh wakati na sikiliza tena mafundisho nmekaa kwenye sofa nikaanza kunena kwalugha bilahata kujielewa , mungu akubariki sana
@jamesnnko8528
@jamesnnko8528 9 ай бұрын
Asante Roho Mtakatifu kumjaa Mwanahamisigomo
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Amen hii ndo nataka ni elewe vizuri karama za Rohon naomba hili somo mtumishi 🙏🙏
@luizabahati5198
@luizabahati5198 4 жыл бұрын
Thank you bro.Mungu aendelee kukutumia tutiwe Maarifa
@charlesaigo7604
@charlesaigo7604 2 жыл бұрын
Asante Roho mtakatifu kwa ufunuo kwa mtumishi wako
@tiimanywaj3898
@tiimanywaj3898 3 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa mafundisho mazuri
@lailajeremia1259
@lailajeremia1259 4 жыл бұрын
Ubalikiwe sana mtumishi Mungu azidi kukuinua nimebalikiwa kwa mafundisho
@judithruta3688
@judithruta3688 4 жыл бұрын
Amina, Kwa kweli mwalimu unatufundisha vitu muhimu maishani mwetu hili tuishi maisha ya Ushindi hapa duniani.
@shedracklesudai9682
@shedracklesudai9682 3 жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe kwa ujumbe mzuri sana
@batrumeoephadamlyangano4609
@batrumeoephadamlyangano4609 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish wa Mungu mtakatifu
@jonessaid3828
@jonessaid3828 4 жыл бұрын
Ameen, hongera mtumishi kwa kuongeza muda wa haya mafundisho
@angelananyaro2882
@angelananyaro2882 4 жыл бұрын
this is such a blessing.ahsante Mwalimu..nimejifunza kutu.utukufu kwa Mungu!
@jerrykirumba2357
@jerrykirumba2357 4 жыл бұрын
Yaani walimu wakiroho wakusaidie tena kushape lugha uliyopewa yaani waiimarishe!??biblia inasema ikitokea kunena kwa lugha pawe na mfasiri lakini kama wewe ni mgogo ukinena nena kigogo itakujenga wewe mwenyewe maana umeomba mambo yako ya siri na Mungu wako 1 Kor 14:11 "Basi nisipoijua maana ya ile sauti nitakuwa kama mjinga kwake yeye anenaye; naye anenaye atakuwa mjinga kwangu" 1 Kor 14:22 "Basi, hizi lugha ni ishara, si kwao waaminio, bali kwao wasioamini lakini kuhutubu si kwa ajili yao wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio" Yaani Paul anaongea hajui kama mtakuja kutafsiri mnavyopenda ninyi muelewe, sasa rejea kwenye chimbuko la kunena kwa lugha watu walinena na kila mtu alisikia kwa lugha yake mwenyewe si hivyo mnavyojua ninyi mtu anaongea lugha isiyojulikana LENGO LA KUNENA KWA LUGHA ILIKUWA NI UZINDUZI WA KUPELEKA NENO(INJILI)KWA MATAIFA YOTE ILI NAO WASIKIE ILA HAWAKUWA NA UWEZO KWA SABABU HAWAKUJUA LUGHA ZINGINE NDIO ROHO ANAWAJIA NA KUONGEA NA KILA MTU ALISIKIA NENO KWA LUGHA YAKE MWENYEWE Rejea MATENDO YA MITUME 2 : 7 Wakastaajabu sana, wakasema, “Hawa wote wanaozungumza ni Wagalilaya. 8 Imekuwaje basi tunawasikia wakinena lugha ya kila mmoja wetu? 9 Hapa kuna Waparthi, Wamedi, Waelami, wakazi wa Mesopotamia, Yudea Kapadokia, Ponto na Asia, 10 Frigia, Pom filia, Misri na pande za Libya karibu na Kirene; na wageni kutoka Rumi, Wayahudi na watu walioingia dini ya Kiyahudi. 11 Watu wen gine wametoka Krete na Uarabuni. Sisi sote tunasikia watu hawa wakisema katika lugha zetu wenyewe mambo makuu ya ajabu aliyofa nya Mungu.”(UNAWEZA KUANZIA FUNGU LA KWANZA) NA KWENYE WAKORITHO PIA ....Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri.” 1 Kor. 14:27
@farajilyambafu4312
@farajilyambafu4312 4 жыл бұрын
Yaan tunachanganyikiwa Nani mkweli hapa mafundisho yamekua mengi sana siku hizi
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 4 жыл бұрын
Mwalimu M M, nimeipenda hiyo Aina ya Kunena kwa lugha iitwayo Glossolia....yaani Lugha ya Kimaombi....Naiita pia 'Prayer Language'....ambayo ni vema na muhimu kwa kila aliyeokoka na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu, ainene KILA siku ktk faragha yake ya maombi....Atajengeka kila leo....Hallelujah...Zidi kutufundisha Mwalimu Wetu...
@isayakigava9283
@isayakigava9283 Жыл бұрын
Inapokuja kwenye swala la kumjibu mwl unahitaji utafiti zaidi ya kile ulichokuwa unakijua vinginevyo unaweza tu toa changamoto kwa sababu mwl kaongea tofauti na unachojua na hapo ni uharibifu.
@daudijacob7377
@daudijacob7377 Жыл бұрын
Kweli kabisa her Bwana asifiwe
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 Жыл бұрын
​@@isayakigava9283 J K anahitajika msaada mkubwa wa kuhabarishwa kuhusu lugha.... Mwl Mgisa yuko vizuri weweeeee!!! Wako na walimu wengine wengi tuuu wa "dizaini hii".... Mfano Kenneth E. Hagin (10 Reasons Why we should Speak in Tongues)...Be Blessed...
@faithmuli8616
@faithmuli8616 Жыл бұрын
Mimi natamani sana kujazwa na sijui nitapokea lini mutumishi wa mungu ,natamani sana kunena niombee nijazwa roho mitskatifu
@Kingjoashwelding
@Kingjoashwelding Жыл бұрын
Mungu akuinue sana Mwalim ❤
@neemajosephitambu3587
@neemajosephitambu3587 4 жыл бұрын
Amen Mwalimu
@journeywithjesus
@journeywithjesus 4 жыл бұрын
Amen Mwalimu, imefundishwa vzr sana!!
@eliudbilali2434
@eliudbilali2434 4 жыл бұрын
Wakati wa Roho kutenda kazi bila kujali mipaka ya kidhehebu...Moto wa Roho Mtakatifu....
@elishamfinanga9483
@elishamfinanga9483 3 жыл бұрын
Bwana Yesu akubariki Sana
@tumpelukongo2830
@tumpelukongo2830 4 жыл бұрын
Barikiwa mwl..tunakuelewa
@simbeyesdtv7100
@simbeyesdtv7100 4 жыл бұрын
Amen Mwl...naekewa hii chakula.
@deogratiusmkoba5511
@deogratiusmkoba5511 4 жыл бұрын
Shukrani mwalimu kwa somo
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 4 жыл бұрын
KWA MUDA MREFU SANA NAENDA KANISANI HII KITU NILIKUWA SIJAIELEWA VYEMA KABISA ILA HAPA NIMEPATA MWANGA, UBARIKIWE SANA MWALIMU UMENIPA FUNZO KUBWA SANA KWENYE SOMO HILI.
@alamagatasanga5410
@alamagatasanga5410 4 жыл бұрын
asante mungu kwa kunkfungua
@josephfrancis8571
@josephfrancis8571 3 ай бұрын
Huu ni uongo na utapeli wa hali ya juu hizo ni lugha za kipepo zisizo na maana usitudanganye kabisa
@patrickmusyoka7353
@patrickmusyoka7353 4 жыл бұрын
Asante mtumishi wa mungu
@sethadam982
@sethadam982 4 жыл бұрын
be blessed Man of God
@mackmillan9040
@mackmillan9040 3 жыл бұрын
Amina mwalim
@kaylamariani3142
@kaylamariani3142 3 жыл бұрын
Thanks mtumishi
@neddymligo1511
@neddymligo1511 4 жыл бұрын
Aminamtumishii
@joesteve878
@joesteve878 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa, sana, nahitaji, ushauri, kutoka, kwako, Nina karama ya kuona maono, na kutafsiri ndoto, nifanyaje, ili, uduma yangu, iwe, wazi?
@estherkoya8410
@estherkoya8410 4 жыл бұрын
MUNGU atusaidie kuna mafundisho niliyasikia yakanikatisha tamaa ya kunena kwa lugha, ila tusipopata maarifa tunaangamia
@lovenessdiva7132
@lovenessdiva7132 4 жыл бұрын
Kwel
@patrickmusyoka7353
@patrickmusyoka7353 4 жыл бұрын
kwel sister
@ngwanafabian7532
@ngwanafabian7532 4 жыл бұрын
Kila jambo jema na baya lipo pembeni. Karama ya kunena kwa lugha ni ahadi isipokuwa shetani naye anawatumishi wake nao wanaombea ujazo wa roho wachafu. Tunatakiwa kuombewa ujazo wa roho mtakatifu toka madhabahu halisi na mtumishi halisi wa Mungu. Ukweli kunena kwa lugha humjenga mkristo binafsi.
@jamesnnko8528
@jamesnnko8528 9 ай бұрын
@estherkoyo- nikupe pole mwana wa Mungu kukatishwa tamaa kunena kwa lugha. Ni adui aliefanya hivyo maana alijua ukinena umemmaliza. Usingoje mpaka ufike mbinguni.
@doreenmusee6908
@doreenmusee6908 4 жыл бұрын
Mwalimu asante kazi safi ...we bless Jesus for the now word that comes alive through your mouth....most messages are very short can we get the full range videos of teaching...asante Mwalimu
@athanaskitime1484
@athanaskitime1484 4 жыл бұрын
Hongera mwalimu kwa kutupa hii mana,, Tafadhali naomba uwe unatuwekea hata za lisaa limoja....
@mutakoalphonsine3240
@mutakoalphonsine3240 4 жыл бұрын
Am blessed here in Rwanda. God bless you man of God.
@kaylamariani3142
@kaylamariani3142 3 жыл бұрын
Tuna jifunza na kubarikiwa
@jaromemikael7043
@jaromemikael7043 2 жыл бұрын
Amen
@frankmosha5854
@frankmosha5854 4 жыл бұрын
Good
@johnmkama6687
@johnmkama6687 4 жыл бұрын
Tunaongeza maarifa
@forjesus1382
@forjesus1382 Жыл бұрын
Parts zingine ziko wapi
@josephfrancis8571
@josephfrancis8571 3 ай бұрын
Kaka rudi darasani ukaisome vizuri lugha ya kiyunani kuwa inasema nini juu ya kunena kwa lugha naomba namba yako uniandikie ili tufundishane juu ya hili swala ambalo shetani amelifanya kuwa mtego mkubwa Nakuomba tuingie darasani kidogo mimi na wewe ili tuone chimbuko la lugha ya injili ambayo ni kiyunani maana kiswahili kimechukua kutoka kwanye English nayo English imechukua kwa kiyunani sasa twende kwenye lugha mama naomba namba tafadhali.
@edwardtito6805
@edwardtito6805 4 жыл бұрын
Nilitamani kusikia zaidi hili somo maana lina nihusu kwa100% nijifunze ila naamini Maswali siwezi uliza hapaa ila umenielewesha kwa kiasi
@jamesnnko8528
@jamesnnko8528 9 ай бұрын
Ukiuliza hapa utawasaidia na wengine hivyo utakuwa umefanya kazi ya Mungu.
@jamesnnko8528
@jamesnnko8528 9 ай бұрын
Yaani nikutie moyo uulize swali hapa.
@nenolakristomaisha.5611
@nenolakristomaisha.5611 4 жыл бұрын
LAKINI HUKO SO KUNENA KWA LUGHA Mtumishi hapa tunapishana
@roidysimchimba7103
@roidysimchimba7103 4 жыл бұрын
Asante mtumish
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 жыл бұрын
..hilo li mziki la nini?
@imejachunga9958
@imejachunga9958 4 жыл бұрын
Baba Mungu akubariki sana nimejifunza kitu kikubwa naomba msaada wa number yako
@imejachunga9958
@imejachunga9958 4 жыл бұрын
Mwalimu naomba number yako na nadhani kwako ntapata maswali ya majibu yangu ya muda mrefu 0719337380
@perrywanjiru2754
@perrywanjiru2754 4 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa mafunzo sifa nautukufu zimulindie MUNGU kwa hinyo upako ametia ndani yako
@neemahabib5222
@neemahabib5222 4 жыл бұрын
I put
@rechoemania8078
@rechoemania8078 4 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi ujumbe nimeupata
@atubruno7870
@atubruno7870 4 жыл бұрын
Amen
@levispaultitus8623
@levispaultitus8623 4 жыл бұрын
Good
@paulhando6286
@paulhando6286 2 жыл бұрын
Things add up daily, hiyo siyo lugha ya Roho mtakatifu. Dalili ndo hizo, manabii wa udanganyifu wataendelea kuja.
@lovenessdiva7132
@lovenessdiva7132 4 жыл бұрын
Amen
MUNGU HUWAPINGA WENYE KIBURI - Mwl: Mgisa Mtebe
22:46
Mgisa Mtebe
Рет қаралды 34 М.
MWL  MGISA MTEBE   MAADUI WA IMANI Na 2
36:39
Mgisa Mtebe
Рет қаралды 18 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 43 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 26 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,8 МЛН
NGUVU ILIYOPO KWENYE KUNENA KWA LUGHA -  Pastor Myamba
45:07
Pastor Myamba
Рет қаралды 2,8 М.
Mwl. Mgisa - NAMNA YA KUBADILISHA AHADI KUWA HALISIA
22:24
Mgisa Mtebe
Рет қаралды 32 М.
JINSI YA KUACHILIA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKO
1:18:40
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 45 М.
FAIDA 8 ZA KUNENA KWA LUGHA Part1 || NABII DEO L. NJENI
27:58
Prophet DL Njeni Mwasambamba
Рет қаралды 3,8 М.
Mwl. Mgisa - UTAKATIFU - Ticket ya Kumwona Mungu.
10:09
Mgisa Mtebe
Рет қаралды 45 М.
Mwl. Mgisa Mtebe: Jifunze Vita Vya Kiroho - Day 1
1:11:59
Logos 724
Рет қаралды 23 М.
NGUVU YA UPENDO - MGISA MTEBE
45:28
Mgisa Mtebe
Рет қаралды 15 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 43 МЛН