MAFURIKO MAKUBWA ARUSHA, NYUMBA ZAFUNIKWA NA MAJI WANANCHI ZAIDI YA 200 HAWANA PAKUISHI

  Рет қаралды 118,530

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 129
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 3 ай бұрын
Tuache maovu. Tunamkwaza Mungu. Sana haya mambo hayaji kirahisi tu kunamahala hatujakaa sawa. Kiimani wapendwa🙏🙏
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@ismailmsangule1380
@ismailmsangule1380 3 ай бұрын
Zinaa na riba zikizidi bas Allah anashusha adhabu
@user-mr7jo9er1h
@user-mr7jo9er1h 3 ай бұрын
Mungo tunusulu
@Bittertruth-u4n
@Bittertruth-u4n 3 ай бұрын
ARUSHA,MBEYA,RUFIJI,DAR,DUBAI TUTUBU JAMAN
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa maovu yamezidi
@Gorgeousij
@Gorgeousij 3 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu,ata sisi wakenya tunaomba Serikali juu tuko kama nyinyi
@Nabillsilver
@Nabillsilver 3 ай бұрын
Poleni sana Mungu atawasaidia kwa rehma zake.
@piusj.hayuma363
@piusj.hayuma363 3 ай бұрын
Tatizo la watu kutokubaliana na mazingira hayo kuwa ni eneo la bwawa hilo ila kwa kuwa wamelisogela lazima wakumbane na mafuriko kipindi cha mvua nyingi kama ilivyo tokea mwaka 1998
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu 3 ай бұрын
😢Mungu atawasaidia muwe wavumilivu haya ni mapito 🤲
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 3 ай бұрын
Serikali tangaza siku ya kufunga na kuomba kila mtu kwa imani yake tukimwomba MUNGU aepushe hasira yake kwa maovu yote tuliyomtenda atusamehe.KANISA(mdo 2:47)Yusimame katika zamu yetu pia (Nya7:13-14)
@omanmct135
@omanmct135 3 ай бұрын
Subhanalllah duniyanzima mvuwa
@peterraymwasha2362
@peterraymwasha2362 3 ай бұрын
inatia moyo kuona kiongozi mhesimiwa anawafariji watu wake..bless him
@Ostadhatnasma
@Ostadhatnasma 3 ай бұрын
Polen sana kwa makaz haya yaliyowakuta Allah awafanyie wepes muondokane ha zahama hii
@rukiafaraj1400
@rukiafaraj1400 3 ай бұрын
Madhambi yamezidi sana! Ushoga, usagaji nk.. Allaah anatuadhibu..
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 3 ай бұрын
Nawapa pole ndugu zangu wa Karatu. Na mpongeza Kiongozi mbunge wa Karatu
@hermanmarko6939
@hermanmarko6939 3 ай бұрын
Hongera mbuge awaki. Mungu akubariki.
@shammhagama2527
@shammhagama2527 3 ай бұрын
Daah Mungu atuhurumie kwakweli
@daliahmachendenice8543
@daliahmachendenice8543 3 ай бұрын
Dah poleni sana Wana karatu
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 3 ай бұрын
Poleni sana ndugu zanguni, nawakumbukeni sana Slahhamo, upper kitete, kambi ya simba.....huko kote mvua ikinyesha hakupitiki kabisa
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 3 ай бұрын
Jamani! Nadhani kuwepo uangalizi wa mara kwa mara kwenye hilo bwawa ili kuondoa huo uchafu unaosababisha kupunguza kina cha bwawa.
@fatimahants1526
@fatimahants1526 3 ай бұрын
Subahnallah 😭 😭 😭 allah awape nusra yaarab
@user-qn8br1ei2x
@user-qn8br1ei2x 2 ай бұрын
Wah mungu awasaidie watu wake
@aladinynur7915
@aladinynur7915 3 ай бұрын
Tuwache maasi. Mungu amekasirika . Tutubu na kufanya ibada kama walivyo tueleza mitume . Adha hii ni dunia nzima. Tumabudu yeye TU mwenyezi Mungu. Na sii vinginevyo.
@aminajuma1215
@aminajuma1215 3 ай бұрын
Subhana llah, wawe pole jmn.
@kwabimagumba1279
@kwabimagumba1279 3 ай бұрын
Pole sana watu manyara
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 3 ай бұрын
Mh M/Mungu asiwapungukie watu wake
@unclegmihale455
@unclegmihale455 3 ай бұрын
Dah!! Poleni jamn..😔😔
@MohamediAthumani-ub8nn
@MohamediAthumani-ub8nn 3 ай бұрын
Hongera sana mbunge
@MagdalenaMachua
@MagdalenaMachua 3 ай бұрын
Tuyaonapo haya tujue yakwamba Bwana Yesu Kristo yu mlangoni yatupasa tujiandae.
@user-yk2ns6sk7v
@user-yk2ns6sk7v 3 ай бұрын
Jamani Madhambi yamezidi tumrudie Mungu wetu Mara Mauaji ,ushoga ,usagaji kufilana, kubaka watoto wadogo hiii Dunia tunakwenda wapi,Ardhi ya Mungu tumeichafua sana ,Eee Mungu tuhurumie utuokoe na majanga haya
@uhurujan2244
@uhurujan2244 3 ай бұрын
Tunahitaji kujitafakari watanzania na kuomba toba Sana.
@busnaoman9981
@busnaoman9981 3 ай бұрын
Ushoga maasi dhulma mauwaji yamezidi kwahio tutegemee haya kutoka kwa muumba mbingu na ardhi 😢😢😢
@Keyjop
@Keyjop 3 ай бұрын
Aisee poleni saana
@sharonkeya8090
@sharonkeya8090 3 ай бұрын
The same situations in kenya 🇰🇪 , mungu atuonekanie
@yohanatlatlaa4205
@yohanatlatlaa4205 3 ай бұрын
Poleni sana sana ndugú zangu wa karatu wa slahamo orkee loa aree
@SamwelSinoMelkiard
@SamwelSinoMelkiard 3 ай бұрын
Safi mheshimiwa mbung kwa kuwajali watu wako wakat wa shida
@furahaedmundi2302
@furahaedmundi2302 3 ай бұрын
Poleni sana
@veronicejamespeter6239
@veronicejamespeter6239 3 ай бұрын
poleni sana
@deogratiusdominick8882
@deogratiusdominick8882 3 ай бұрын
Polen sana wandugu
@ZuleikhaSalim
@ZuleikhaSalim 3 ай бұрын
Mungu awasaidie poleni😢
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 3 ай бұрын
Polen Sana ndugu zanguni
@aladinynur7915
@aladinynur7915 3 ай бұрын
Maonni yangu. Hili bwawa halina paku pumulia. Kinacho takiwa hapa ni kutengeneza mtaro ili maji yakizidi yatoke. Ndio suluhisho. Kitu simple kabisa. Tusisubiri madhara . Tujihami.
@Winner_Maggie88
@Winner_Maggie88 3 ай бұрын
Poleni sana jamani
@user-rq3ic3mt2j
@user-rq3ic3mt2j 3 ай бұрын
Hata Noah/Nuhu alishuhudia hasira ya Mungu. Sisi bado sana
@halimakihame1744
@halimakihame1744 3 ай бұрын
Kumbe vyakula tunavyo vya kutosha hii kutaka msaada kutoka malekani ili mashoga waonhezeke mmh selekali.mungu ana waonaa.kama mbunge mmoja anaweza toa gunia miambili haya serekali ina magala mangap adi wapokee misaada ya kishetani
@MaloneMalick-wo8yf
@MaloneMalick-wo8yf 3 ай бұрын
Poleni sana daah😢😢
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 3 ай бұрын
Eti serikal ya ccm ipo makini nikweli mpo makini ila kwenye ufisadi na ujambazi lakn sio uongozi bora
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 3 ай бұрын
Wew mpuuzi mwenye selikali Yako unamsaada gani
@AlfarouqIslamic
@AlfarouqIslamic 3 ай бұрын
Una taahira ya akili,ccm ndiyo imesababisha mafuriko karatu?
@RebbecaFrancis
@RebbecaFrancis 3 ай бұрын
Siasa Na dhoruba Ni wapi Na wapiii aw ukosefu Wa elimu Na akilii kichwanii 🤨
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 3 ай бұрын
Watu waache kujenga kwny njia zamaji serekal ihuishe njia za maji nakuboresha miferej mikubwa yaasili
@MatildaEvaristo
@MatildaEvaristo 3 ай бұрын
Mahasi ni mengi tumemsahau mungu tutubu
@magrethmmbando9483
@magrethmmbando9483 3 ай бұрын
Lakin mungu awasaidie sana ila sifa za wairaq huku mjin mnazijua jaman? Watu uku mjin wanaishi maisha ya kutanua ona sasa mungu alivyomkali anaenda kudhuru wazaz na ndugu yan laana inatembea jaman tuache dhambi au bas tupunguze tu dhambi
@wangagirl3508
@wangagirl3508 3 ай бұрын
Waaaah kenya na tanzania 😢😢Kuna shida gani yarab
@saidimaalim6997
@saidimaalim6997 3 ай бұрын
Ni tatizo la kidunia si kenya na Tanzania tu
@marymeela
@marymeela 3 ай бұрын
Oooh my God
@maresianantibakazi-yh4qd
@maresianantibakazi-yh4qd 3 ай бұрын
Dhambi zimezidi.tupige magot tuombe msamaha
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 3 ай бұрын
Sjui ni kwann cfanyi ibada maana dalili za kihama ndio izi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
Yesu Kristo atakutembelea Siku moja na Hapo utaanza Kufanya Ibada Vilivyo,Mwamini Yesu Utauona Ufalme wa Mungu
@judicateurassa7817
@judicateurassa7817 3 ай бұрын
Dhuluma hizo hakuna haki nchi hii
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 3 ай бұрын
Poleni
@sazanahussen6715
@sazanahussen6715 3 ай бұрын
Mungu tusadie
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 3 ай бұрын
Dah poleni sn wanang wa home
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp 3 ай бұрын
iinimikono yetu tunamuas mungu tunazin sana tunaloga sana tunazulumu sana tunapenda sana mipila namiziki kuliko muumba tuna waasi wazazi wote ndoa zetu atutendiak iisasa niukumu zetu tuache maovu ilapoleni
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
Africa Kiboko
@laizerlusiana9215
@laizerlusiana9215 3 ай бұрын
Eeee Mungu kumbuka Rehema
@uhurujan2244
@uhurujan2244 3 ай бұрын
Amen
@user-oo8kc9iz2n
@user-oo8kc9iz2n 3 ай бұрын
Pole I kwa kweli
@amondickson5110
@amondickson5110 3 ай бұрын
Polen San ndugu zetu wa Arusha
@user-ue4ri7fi8h
@user-ue4ri7fi8h 3 ай бұрын
Daah!!! Napajua kabisa huko niliishi sana
@gracengairo6214
@gracengairo6214 3 ай бұрын
Tanzania na dunia nzima Mungu anatukumbusha kuwa yeye ni Mkuuu kuliko vyote duniani nahakuna wakushindananaye hivyo tuombe lehema kwa Mungu mana duniani tunapita tusijisahau tunakufulu sana watu sahizi
@fzlcomrajabu9514
@fzlcomrajabu9514 3 ай бұрын
🙏🙏
@ImmaThelonewolf-bk2cx
@ImmaThelonewolf-bk2cx 3 ай бұрын
Mm kila mahala nitasema Mungu anatuadhibu kupitia uongozi uliopo hauna baraka zake
@NunuKupela
@NunuKupela 3 ай бұрын
Usiseme uongoz wote Kwa pamoja tumuombe mungu Kuna kitu anatukumbusha kabla hajatuletea majaribu makubwa zaidi Uongoz huu wa tz ndio unapeleka mafuriko Dubai na mataifa mengine Dunia nzima tunapaswa kuona namna ya kurudi Kwa mola Toba , maombi mengi kwani hata matukio ya kupatwa Kwa mwezi ,jua ni dalili mbaya Mungu ni mjuzi wa yote
@ImmaThelonewolf-bk2cx
@ImmaThelonewolf-bk2cx 3 ай бұрын
@@NunuKupela nunu kama una hoja lete uwanjani tujadili Ukisema Dubai yametokea mangapi na kwetu ni mangapi mpaka leo?
@nurualamoody4305
@nurualamoody4305 3 ай бұрын
Ww Mwenyewe ni sbb ya mafuriko unaisingizia serikali iliyopo madarakani
@wilhardtarimo386
@wilhardtarimo386 3 ай бұрын
Unaakili timamu kwel wew
@binndovu
@binndovu 3 ай бұрын
Sio uongozi ni sisi wenyewe tunamuasi ALLAH sana na tusipokaa sw yatakuja zid ya haya ALLAH atunusuru
@alfrededwin6479
@alfrededwin6479 3 ай бұрын
Aloo nilihama hapa siku moja kabla yamaji kunifikia
@JumaMohammed-ch1sm
@JumaMohammed-ch1sm 3 ай бұрын
Goli moja mil 10 waathirika wa mafuriko hata chakula hawan.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
Ndugu yangu juma ona viongozi tuliona ni huzuni kubwa😢😢😢😢
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 3 ай бұрын
Mama huyo anaupiga mwingi wanasema
@AlfarouqIslamic
@AlfarouqIslamic 3 ай бұрын
Hata wewe unaweza kuwasaidia,hujazuiliwa choko wewe.
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 3 ай бұрын
Nimshangao
@VailetJulias
@VailetJulias 3 ай бұрын
Polen kwa mafuliko
@HildaMachange
@HildaMachange 3 ай бұрын
Polen san
@user-gc4ic1vi4n
@user-gc4ic1vi4n 3 ай бұрын
Uwiiiii
@NdinguLucas
@NdinguLucas 3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@vibetz9991
@vibetz9991 3 ай бұрын
Mbinguni Kuna makao ya milele
@Allybinamour
@Allybinamour 3 ай бұрын
Na tutawaonjesha katika adhabu ndogo ndogo sio ile adhabu kubwa ili wapate warejee. quran 32:21 jamani tusijitoe fahamu maasi yamekua mengi tumtake msamaha mola muumba ili haya mambo yaondoke sio kutoa visingizio kua ni bwawa. sio bwawa ni madhambi yamekithiri.
@elisharuben7681
@elisharuben7681 3 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu Mungu atunusuru na janga hili
@idrisalikembe1831
@idrisalikembe1831 3 ай бұрын
duuu polen san
@marialionce8410
@marialionce8410 3 ай бұрын
Eee Mola tunusuru 😢😢
@davidlupenzaTanzania
@davidlupenzaTanzania 3 ай бұрын
Majanga haya yanatukumbusha kuwa ujio wa YESU KRISTO ukaribu sana...poleni sana wahanga,
@mariabura877
@mariabura877 3 ай бұрын
Ni mwendo kasi wa maji
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 3 ай бұрын
Chineke😢😮
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 ай бұрын
Bwawa la Nyerere limehamia Arusha?
@AlfarouqIslamic
@AlfarouqIslamic 3 ай бұрын
Tumuulize mchungaji mwanamapinduzi
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu 3 ай бұрын
Hata sisi mererani maji yame tuvyamia shida tu
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Poreeeeee
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 3 ай бұрын
Miishonya dunia hii
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
SAFISHENI BASI HILO BWAWA.
@user-kl5ji9ue2q
@user-kl5ji9ue2q 3 ай бұрын
Poleni sana 🙏🙏🙏
@nyoracnn7256
@nyoracnn7256 3 ай бұрын
Kuna wanasiasa wa arusha walisema rufiji ni bwawa la mwl nyerere limehamia na chuga
@hollymore4904
@hollymore4904 3 ай бұрын
Hujajikomboa kifikra bado! Pole brother
@user-jy4pm3hh9s
@user-jy4pm3hh9s 3 ай бұрын
Poren😢
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 169 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 14 МЛН
MBWEMBWE ZA WANAJESHI JWTZ NA CHINA, SILAHA NZITO, NYIMBO ZAO
8:17
PLAN B _ Episode 8
33:01
kp wa Aquino
Рет қаралды 8 М.
MC ZAKU KURITUHIRWO NI CIRA MAKIRUGAMANA NA DAMA WA MOBILE SPARES🥱💔
24:17