Tuache maovu. Tunamkwaza Mungu. Sana haya mambo hayaji kirahisi tu kunamahala hatujakaa sawa. Kiimani wapendwa🙏🙏
@janethmwihumbo12893 ай бұрын
Kweli kabisa
@ismailmsangule13803 ай бұрын
Zinaa na riba zikizidi bas Allah anashusha adhabu
@user-mr7jo9er1h3 ай бұрын
Mungo tunusulu
@Bittertruth-u4n3 ай бұрын
ARUSHA,MBEYA,RUFIJI,DAR,DUBAI TUTUBU JAMAN
@NeemaSamson-ti8pc3 ай бұрын
Ni kweli kabisa maovu yamezidi
@Gorgeousij3 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu,ata sisi wakenya tunaomba Serikali juu tuko kama nyinyi
@Nabillsilver3 ай бұрын
Poleni sana Mungu atawasaidia kwa rehma zake.
@piusj.hayuma3633 ай бұрын
Tatizo la watu kutokubaliana na mazingira hayo kuwa ni eneo la bwawa hilo ila kwa kuwa wamelisogela lazima wakumbane na mafuriko kipindi cha mvua nyingi kama ilivyo tokea mwaka 1998
@hamzaibrahimu3 ай бұрын
😢Mungu atawasaidia muwe wavumilivu haya ni mapito 🤲
@pennymahombo95283 ай бұрын
Serikali tangaza siku ya kufunga na kuomba kila mtu kwa imani yake tukimwomba MUNGU aepushe hasira yake kwa maovu yote tuliyomtenda atusamehe.KANISA(mdo 2:47)Yusimame katika zamu yetu pia (Nya7:13-14)
@omanmct1353 ай бұрын
Subhanalllah duniyanzima mvuwa
@peterraymwasha23623 ай бұрын
inatia moyo kuona kiongozi mhesimiwa anawafariji watu wake..bless him
@Ostadhatnasma3 ай бұрын
Polen sana kwa makaz haya yaliyowakuta Allah awafanyie wepes muondokane ha zahama hii
Nawapa pole ndugu zangu wa Karatu. Na mpongeza Kiongozi mbunge wa Karatu
@hermanmarko69393 ай бұрын
Hongera mbuge awaki. Mungu akubariki.
@shammhagama25273 ай бұрын
Daah Mungu atuhurumie kwakweli
@daliahmachendenice85433 ай бұрын
Dah poleni sana Wana karatu
@paulmadundo80843 ай бұрын
Poleni sana ndugu zanguni, nawakumbukeni sana Slahhamo, upper kitete, kambi ya simba.....huko kote mvua ikinyesha hakupitiki kabisa
@user-xn8jh1yw1h3 ай бұрын
Jamani! Nadhani kuwepo uangalizi wa mara kwa mara kwenye hilo bwawa ili kuondoa huo uchafu unaosababisha kupunguza kina cha bwawa.
@fatimahants15263 ай бұрын
Subahnallah 😭 😭 😭 allah awape nusra yaarab
@user-qn8br1ei2x2 ай бұрын
Wah mungu awasaidie watu wake
@aladinynur79153 ай бұрын
Tuwache maasi. Mungu amekasirika . Tutubu na kufanya ibada kama walivyo tueleza mitume . Adha hii ni dunia nzima. Tumabudu yeye TU mwenyezi Mungu. Na sii vinginevyo.
@aminajuma12153 ай бұрын
Subhana llah, wawe pole jmn.
@kwabimagumba12793 ай бұрын
Pole sana watu manyara
@beatricejoseph23473 ай бұрын
Mh M/Mungu asiwapungukie watu wake
@unclegmihale4553 ай бұрын
Dah!! Poleni jamn..😔😔
@MohamediAthumani-ub8nn3 ай бұрын
Hongera sana mbunge
@MagdalenaMachua3 ай бұрын
Tuyaonapo haya tujue yakwamba Bwana Yesu Kristo yu mlangoni yatupasa tujiandae.
@user-yk2ns6sk7v3 ай бұрын
Jamani Madhambi yamezidi tumrudie Mungu wetu Mara Mauaji ,ushoga ,usagaji kufilana, kubaka watoto wadogo hiii Dunia tunakwenda wapi,Ardhi ya Mungu tumeichafua sana ,Eee Mungu tuhurumie utuokoe na majanga haya
@uhurujan22443 ай бұрын
Tunahitaji kujitafakari watanzania na kuomba toba Sana.
@busnaoman99813 ай бұрын
Ushoga maasi dhulma mauwaji yamezidi kwahio tutegemee haya kutoka kwa muumba mbingu na ardhi 😢😢😢
@Keyjop3 ай бұрын
Aisee poleni saana
@sharonkeya80903 ай бұрын
The same situations in kenya 🇰🇪 , mungu atuonekanie
@yohanatlatlaa42053 ай бұрын
Poleni sana sana ndugú zangu wa karatu wa slahamo orkee loa aree
@SamwelSinoMelkiard3 ай бұрын
Safi mheshimiwa mbung kwa kuwajali watu wako wakat wa shida
@furahaedmundi23023 ай бұрын
Poleni sana
@veronicejamespeter62393 ай бұрын
poleni sana
@deogratiusdominick88823 ай бұрын
Polen sana wandugu
@ZuleikhaSalim3 ай бұрын
Mungu awasaidie poleni😢
@sharifanyumayo63143 ай бұрын
Polen Sana ndugu zanguni
@aladinynur79153 ай бұрын
Maonni yangu. Hili bwawa halina paku pumulia. Kinacho takiwa hapa ni kutengeneza mtaro ili maji yakizidi yatoke. Ndio suluhisho. Kitu simple kabisa. Tusisubiri madhara . Tujihami.
@Winner_Maggie883 ай бұрын
Poleni sana jamani
@user-rq3ic3mt2j3 ай бұрын
Hata Noah/Nuhu alishuhudia hasira ya Mungu. Sisi bado sana
@halimakihame17443 ай бұрын
Kumbe vyakula tunavyo vya kutosha hii kutaka msaada kutoka malekani ili mashoga waonhezeke mmh selekali.mungu ana waonaa.kama mbunge mmoja anaweza toa gunia miambili haya serekali ina magala mangap adi wapokee misaada ya kishetani
@MaloneMalick-wo8yf3 ай бұрын
Poleni sana daah😢😢
@user-bx3kl4hn6j3 ай бұрын
Eti serikal ya ccm ipo makini nikweli mpo makini ila kwenye ufisadi na ujambazi lakn sio uongozi bora
@user-sv6zy3hc8o3 ай бұрын
Wew mpuuzi mwenye selikali Yako unamsaada gani
@AlfarouqIslamic3 ай бұрын
Una taahira ya akili,ccm ndiyo imesababisha mafuriko karatu?
@RebbecaFrancis3 ай бұрын
Siasa Na dhoruba Ni wapi Na wapiii aw ukosefu Wa elimu Na akilii kichwanii 🤨
@radhiambwana33533 ай бұрын
Watu waache kujenga kwny njia zamaji serekal ihuishe njia za maji nakuboresha miferej mikubwa yaasili
@MatildaEvaristo3 ай бұрын
Mahasi ni mengi tumemsahau mungu tutubu
@magrethmmbando94833 ай бұрын
Lakin mungu awasaidie sana ila sifa za wairaq huku mjin mnazijua jaman? Watu uku mjin wanaishi maisha ya kutanua ona sasa mungu alivyomkali anaenda kudhuru wazaz na ndugu yan laana inatembea jaman tuache dhambi au bas tupunguze tu dhambi
@wangagirl35083 ай бұрын
Waaaah kenya na tanzania 😢😢Kuna shida gani yarab
@saidimaalim69973 ай бұрын
Ni tatizo la kidunia si kenya na Tanzania tu
@marymeela3 ай бұрын
Oooh my God
@maresianantibakazi-yh4qd3 ай бұрын
Dhambi zimezidi.tupige magot tuombe msamaha
@ramadhanimohamed41903 ай бұрын
Sjui ni kwann cfanyi ibada maana dalili za kihama ndio izi
@trophywilson72113 ай бұрын
Yesu Kristo atakutembelea Siku moja na Hapo utaanza Kufanya Ibada Vilivyo,Mwamini Yesu Utauona Ufalme wa Mungu
@judicateurassa78173 ай бұрын
Dhuluma hizo hakuna haki nchi hii
@AminaAmina-cr8jq3 ай бұрын
Poleni
@sazanahussen67153 ай бұрын
Mungu tusadie
@abdallahassan63783 ай бұрын
Dah poleni sn wanang wa home
@AbdalahMtambuka-rh1dp3 ай бұрын
iinimikono yetu tunamuas mungu tunazin sana tunaloga sana tunazulumu sana tunapenda sana mipila namiziki kuliko muumba tuna waasi wazazi wote ndoa zetu atutendiak iisasa niukumu zetu tuache maovu ilapoleni
@trophywilson72113 ай бұрын
Africa Kiboko
@laizerlusiana92153 ай бұрын
Eeee Mungu kumbuka Rehema
@uhurujan22443 ай бұрын
Amen
@user-oo8kc9iz2n3 ай бұрын
Pole I kwa kweli
@amondickson51103 ай бұрын
Polen San ndugu zetu wa Arusha
@user-ue4ri7fi8h3 ай бұрын
Daah!!! Napajua kabisa huko niliishi sana
@gracengairo62143 ай бұрын
Tanzania na dunia nzima Mungu anatukumbusha kuwa yeye ni Mkuuu kuliko vyote duniani nahakuna wakushindananaye hivyo tuombe lehema kwa Mungu mana duniani tunapita tusijisahau tunakufulu sana watu sahizi
@fzlcomrajabu95143 ай бұрын
🙏🙏
@ImmaThelonewolf-bk2cx3 ай бұрын
Mm kila mahala nitasema Mungu anatuadhibu kupitia uongozi uliopo hauna baraka zake
@NunuKupela3 ай бұрын
Usiseme uongoz wote Kwa pamoja tumuombe mungu Kuna kitu anatukumbusha kabla hajatuletea majaribu makubwa zaidi Uongoz huu wa tz ndio unapeleka mafuriko Dubai na mataifa mengine Dunia nzima tunapaswa kuona namna ya kurudi Kwa mola Toba , maombi mengi kwani hata matukio ya kupatwa Kwa mwezi ,jua ni dalili mbaya Mungu ni mjuzi wa yote
@ImmaThelonewolf-bk2cx3 ай бұрын
@@NunuKupela nunu kama una hoja lete uwanjani tujadili Ukisema Dubai yametokea mangapi na kwetu ni mangapi mpaka leo?
@nurualamoody43053 ай бұрын
Ww Mwenyewe ni sbb ya mafuriko unaisingizia serikali iliyopo madarakani
@wilhardtarimo3863 ай бұрын
Unaakili timamu kwel wew
@binndovu3 ай бұрын
Sio uongozi ni sisi wenyewe tunamuasi ALLAH sana na tusipokaa sw yatakuja zid ya haya ALLAH atunusuru
@alfrededwin64793 ай бұрын
Aloo nilihama hapa siku moja kabla yamaji kunifikia
@JumaMohammed-ch1sm3 ай бұрын
Goli moja mil 10 waathirika wa mafuriko hata chakula hawan.
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Ndugu yangu juma ona viongozi tuliona ni huzuni kubwa😢😢😢😢
@user-bx3kl4hn6j3 ай бұрын
Mama huyo anaupiga mwingi wanasema
@AlfarouqIslamic3 ай бұрын
Hata wewe unaweza kuwasaidia,hujazuiliwa choko wewe.
@user-nb2jw4km6f3 ай бұрын
Nimshangao
@VailetJulias3 ай бұрын
Polen kwa mafuliko
@HildaMachange3 ай бұрын
Polen san
@user-gc4ic1vi4n3 ай бұрын
Uwiiiii
@NdinguLucas3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@vibetz99913 ай бұрын
Mbinguni Kuna makao ya milele
@Allybinamour3 ай бұрын
Na tutawaonjesha katika adhabu ndogo ndogo sio ile adhabu kubwa ili wapate warejee. quran 32:21 jamani tusijitoe fahamu maasi yamekua mengi tumtake msamaha mola muumba ili haya mambo yaondoke sio kutoa visingizio kua ni bwawa. sio bwawa ni madhambi yamekithiri.
@elisharuben76813 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu Mungu atunusuru na janga hili
@idrisalikembe18313 ай бұрын
duuu polen san
@marialionce84103 ай бұрын
Eee Mola tunusuru 😢😢
@davidlupenzaTanzania3 ай бұрын
Majanga haya yanatukumbusha kuwa ujio wa YESU KRISTO ukaribu sana...poleni sana wahanga,
@mariabura8773 ай бұрын
Ni mwendo kasi wa maji
@rose_Winchester863 ай бұрын
Chineke😢😮
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 ай бұрын
Bwawa la Nyerere limehamia Arusha?
@AlfarouqIslamic3 ай бұрын
Tumuulize mchungaji mwanamapinduzi
@ShadyAbdallah-vu7iu3 ай бұрын
Hata sisi mererani maji yame tuvyamia shida tu
@davidmalisa80433 ай бұрын
Poreeeeee
@emmanuellupiga3 ай бұрын
Miishonya dunia hii
@valenakomba76863 ай бұрын
SAFISHENI BASI HILO BWAWA.
@user-kl5ji9ue2q3 ай бұрын
Poleni sana 🙏🙏🙏
@nyoracnn72563 ай бұрын
Kuna wanasiasa wa arusha walisema rufiji ni bwawa la mwl nyerere limehamia na chuga