Рет қаралды 1,985
“Rais ni mtu mkubwa sana kufikia kusema ‘pumbavu’ na mtupishe wakati kuna watu wake wanaomsaidia hawaoni matatizo hayo, hata kama matatizo yanafanywa na wataalamu kwanini mawaziri wasichukue hatua mapema.
Nataka niwaombe Mawaziri sina bifu na nyie na wala sijaja kutafuta ugomvi hapa, hebu kila mmoja ajitathimini kwenye nafasi yake wanamsaidiaje Mama hasa anapoenda Ikulu kukaa nae.” Mhe. Nicodemas Maganga Mbunge wa Mbogwe alipochangia jioni ya leo Bungeni bajeti ya Waziri Mkuu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024.
Stori zaidi za Bungeni tumekuweka kwenye akaunti yetu ya KZbin “Clouds Media”.
#7bisha
#MoyoWaMawingu
#KutokaBungeni