MBUNGE MUSUKUMA AMWAMBIA WAZIRI “UNANISIKILIZA AU UNACHATI? OLE WAKO UJE NA MAJIBU YA MAWENGE"

  Рет қаралды 175,422

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 153
@ommarysaid7391
@ommarysaid7391 Жыл бұрын
Msukuma Ana Akili Nyingi Sana Genius Mwenyezi Mungu Kaamjalia Hekima na Busara Kuliko Hata Wanaojiita Wasomi Kazi Yao Kupiga Dili tu Kuiba Hela za Serikali, Mwenyezi Mungu Akikkupa Hekima na Busara jua Amekupa Jambo Kubwa Sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Ama kweli akili sio lazma usome sana zipo akili za kuzaliwa
@robertabel6984
@robertabel6984 Жыл бұрын
Huyu ndio Dr. Musukuma msomi wa mtaa yuko nondo kinoma big up jembe...unaelewa vizuri shida za wananchi na kuzitetea
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Msukuma nakupenda kwa kazi unavyofanya sawasawa. Bora ungekuwa raisi siku za baadae tutakuchagua.
@frankjohn287
@frankjohn287 Жыл бұрын
Hii ndo ingne ya ukumbusho wa wengne hongera sana kqako mzee msukuma ww na kishimba ndo watu sahihi zaid📌
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea kwa hisia kali sana tena inaonekana ana uchungu na jimbo lake saf...👊👊
@stanleyfsosthenes-pz8nz
@stanleyfsosthenes-pz8nz Жыл бұрын
Huyu mbunge yupo Honest sana nakubaliii 💯
@gsimba
@gsimba Жыл бұрын
Ila wasukuma wanaakili sana
@elizabethmvumu1881
@elizabethmvumu1881 Жыл бұрын
Wapo wanaobisha kua hakuna akili zakuzaliwa,
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
Mpaka sasa tukianzia kwake JPM Hadi huyu hapa inaonekana wasukuma kuna viongozi wazuri kabisa ambao wanaweza kuendesha nchi ipaswavyo kama JPM
@vicentkusaduka8348
@vicentkusaduka8348 Жыл бұрын
Imagine huyu mwamba angepiga kitabu, ana Akili Kubwa Sana ✊🏿
@erad-tv5001
@erad-tv5001 Жыл бұрын
Wamuache na mataarifa yao bhana huyu Msukuma yuko Vizuri sana
@josephsanduli.5216
@josephsanduli.5216 Жыл бұрын
Fungeni kwaza kuku hereni😂😂😂😂😂
@farajamichael7574
@farajamichael7574 Жыл бұрын
MUNGU akutunze dr Msukuma nakupenda mzee wetyu.
@manuelsaramba2138
@manuelsaramba2138 Жыл бұрын
Ahsante sana Mr msukuma Mungu akubariki ufike mbali
@francismillinga4591
@francismillinga4591 Жыл бұрын
Msukuma ni genius ni bahati mbaya tu hakupata bahati ya kwenda shule na unaweza kuta ilikua tu sababu ya umaskini wa wazazi
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Жыл бұрын
Yan awa wabunge. Niwakulaba viboko KILA mmoja maana naona wasutana. Tu akuna maendeleo 🇹🇿🇹🇿🙌🙌🙌
@jacksonmwita468
@jacksonmwita468 Жыл бұрын
Nakubali sana mheshimiwa
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Жыл бұрын
Hongera msukuma unaitumia akili ya kuzaliwa
@zakayokinasa4577
@zakayokinasa4577 Жыл бұрын
Kakayangu unaakili nyingi sana mngu akubaliki
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 13 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 38 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
MUSUKUMA -  "TUKIWAITA VILAZA MNATUZOMEA, HECHE UNAKIMBIA UNAENDA WAPI"
12:11
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 732 М.
BREAKING: ALLY KAMWE ATANGAZA KUJIUZULU YANGA SC
2:01
Millard Ayo
Рет қаралды 27 М.
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 13 МЛН