Msukuma Ana Akili Nyingi Sana Genius Mwenyezi Mungu Kaamjalia Hekima na Busara Kuliko Hata Wanaojiita Wasomi Kazi Yao Kupiga Dili tu Kuiba Hela za Serikali, Mwenyezi Mungu Akikkupa Hekima na Busara jua Amekupa Jambo Kubwa Sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Ama kweli akili sio lazma usome sana zipo akili za kuzaliwa
@robertabel6984 Жыл бұрын
Huyu ndio Dr. Musukuma msomi wa mtaa yuko nondo kinoma big up jembe...unaelewa vizuri shida za wananchi na kuzitetea
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Msukuma nakupenda kwa kazi unavyofanya sawasawa. Bora ungekuwa raisi siku za baadae tutakuchagua.
@frankjohn287 Жыл бұрын
Hii ndo ingne ya ukumbusho wa wengne hongera sana kqako mzee msukuma ww na kishimba ndo watu sahihi zaid📌
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea kwa hisia kali sana tena inaonekana ana uchungu na jimbo lake saf...👊👊
@stanleyfsosthenes-pz8nz Жыл бұрын
Huyu mbunge yupo Honest sana nakubaliii 💯
@gsimba Жыл бұрын
Ila wasukuma wanaakili sana
@elizabethmvumu1881 Жыл бұрын
Wapo wanaobisha kua hakuna akili zakuzaliwa,
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
Mpaka sasa tukianzia kwake JPM Hadi huyu hapa inaonekana wasukuma kuna viongozi wazuri kabisa ambao wanaweza kuendesha nchi ipaswavyo kama JPM
@vicentkusaduka8348 Жыл бұрын
Imagine huyu mwamba angepiga kitabu, ana Akili Kubwa Sana ✊🏿
@erad-tv5001 Жыл бұрын
Wamuache na mataarifa yao bhana huyu Msukuma yuko Vizuri sana
@josephsanduli.5216 Жыл бұрын
Fungeni kwaza kuku hereni😂😂😂😂😂
@farajamichael7574 Жыл бұрын
MUNGU akutunze dr Msukuma nakupenda mzee wetyu.
@manuelsaramba2138 Жыл бұрын
Ahsante sana Mr msukuma Mungu akubariki ufike mbali
@francismillinga4591 Жыл бұрын
Msukuma ni genius ni bahati mbaya tu hakupata bahati ya kwenda shule na unaweza kuta ilikua tu sababu ya umaskini wa wazazi
@elidiustudoy2640 Жыл бұрын
Yan awa wabunge. Niwakulaba viboko KILA mmoja maana naona wasutana. Tu akuna maendeleo 🇹🇿🇹🇿🙌🙌🙌