No video

MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI

  Рет қаралды 38,441

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm #trending #mswahili #virah

Пікірлер: 211
@lilianmnkondya150
@lilianmnkondya150 Ай бұрын
Amina Baba piga kazi umenisaidia sana Madhabahu yako ina nguvu🙌
@worth_monkey
@worth_monkey Ай бұрын
jamni umasikinii utatuburuzaa sisi wabongooo tutumie akiliiii hawa watu ni matapelii na washirikinaaaa hata kwa macho hatuoniii jamaniii dah
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Ай бұрын
Nilichokuelewa ni kwamba ww ni tajiri wa moyo ndo mana una uthubutu wakutoa sadaka sanaa na ndo mana unatamani watumishi wako wajenge wawe na magari wasije pia na mashat yaliochanika god bless my broo
@user-tm5ls1ml6d
@user-tm5ls1ml6d Ай бұрын
Wenye wivu acheni upuuzi hebu kuwen makini na maneno yake katika maisha yangu sikutegemea kuwakubali wachungaji ila kwahuyu kiboko acheni wivu.jaman pambaneni na hali zenu tunampenda huyu baba mie nipo oman namkubali kula tano👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪
@shinshi9696
@shinshi9696 Ай бұрын
Utakuwa fala wa mwisho wewe. Nahisi mkeo na watoto wanatombwa na houseboy au housegirl wako jinsi akili zako zilivyo. ulivyoshikwa akili fala mbwa mzee wewe 😅😅😅
@zabibusaidi1404
@zabibusaidi1404 Ай бұрын
Uc ya nn kama mtu humuelewi kaa pembeni
@zabibusaidi1404
@zabibusaidi1404 Ай бұрын
Wazawa woote wa buza mpaka daladala zoote zimeneemekakama huku wai kufika kanisani kwake nenda kaone usithubutu kutukanavkabla magereza hospital polise kooote kapeleka magari namisoc
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Ай бұрын
Huyu jamaa. Ukimzingatia na ukiwa na akili timamu utajua anamuabudu nani. Kama C3 huna hutonielewa. Mungu atuongoze.
@user-ic8dz9mw7e
@user-ic8dz9mw7e 27 күн бұрын
Nakuelewa sana mtumishi Mungu akutunze
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Ай бұрын
Aisee nimesikiliza vizuri sana jamaa unajua kujieleza vyema una utaniutani kitu ambacho ni kizuri pia God bless all of us
@salomefaith2410
@salomefaith2410 26 күн бұрын
Amewakosea sana wazee. Wananchi wenye umri mkubwa. Kwa hiyo waende wapi? Maana amegeneralise kuwa ni wachawi. Angesema baadhi yao. Na anataka kuaminisha umma kuwa hakuna vijana wachawi.
@elizamasangula2935
@elizamasangula2935 16 күн бұрын
Hata yeye siku Moja atazeeka kama hao
@ElionaMbise
@ElionaMbise Ай бұрын
Mtu.wa.mungu piga kazi.mungu.amekupa Kibali.cha.kuwa.kiboko.cha.wachawi.hapa 🇹🇿
@erickmsigala138
@erickmsigala138 Ай бұрын
Mimi ni Mkristo huyu jamii ni tapel wa kiroho hafai hata kusikilizwa kwa mtu anaye mjua Mungu lakini kwasababu ya ujinga wenu ataendelea kuwa ibia hana ukibo wowote
@matolasalumu2625
@matolasalumu2625 Ай бұрын
Mwizi tu kupitia imani ira mungu anawaona kazi ipo kwenye malipizo
@PaulinaNyanzalashija
@PaulinaNyanzalashija Ай бұрын
Nabiii wote ni safi tu wewe unaeita nabii tapeli no moja ni wewe zungumza yako msiwachafue manabii wazuri wanasaidia sana
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e Ай бұрын
Tapeli Mwingine😂😂😂😂
@shinshi9696
@shinshi9696 Ай бұрын
@@PaulinaNyanzalashija fala Paulina shija
@didasmajor9288
@didasmajor9288 Ай бұрын
Dada Mimi ni mkristo, nitafute tufanye maombi Mungu mwenyewe atuoneshe kipi ni kipi
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Ай бұрын
Usijali roho mtakatifu atawashukia😊​@@didasmajor9288
@hebrontesha7184
@hebrontesha7184 Ай бұрын
Ni kweli kabisa huyu ni nabii ila wa uongo
@paulmushi2428
@paulmushi2428 Ай бұрын
Sokuona sababu ya muziki huo katikati ya mahojiano
@ChristinaNshatsi
@ChristinaNshatsi Ай бұрын
Jamani mnahukumu adi mnakela
@MulshiduYusuph-yw2os
@MulshiduYusuph-yw2os Ай бұрын
Nakukubali baba
@eunicekiilu7485
@eunicekiilu7485 25 күн бұрын
Matapeli wapi nyinyi wivu tu ndo unawasumbua na mtu hayajawapata mtu siku akirogwa ndo atajua umuhimu wa kiboko ya wachawi 😭😭😏😏😏
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 16 күн бұрын
Sister acha kudanganywaa Hawa ni wahunii tuu
@NelsonAlphonce
@NelsonAlphonce 26 күн бұрын
Jamaaa hafai hata kidogo mwanzo alianzaa vizuri amepata umarufu na kuanza kuvaa majoho ya freemason hapo kuanza kukejeri dini nakuanza kuongea utumbo
@wildlife5730
@wildlife5730 Ай бұрын
Wakristo tusome biblia vzr tusibebwe na huu upepo
@VeronicaFedrick
@VeronicaFedrick 20 күн бұрын
Nakukubali sana baba wasemewasemavo akilizao na zenyewe zimefungwa hawajielewi kazi kubwabwajatu
@Tg.7_7
@Tg.7_7 Ай бұрын
This man Big Brain,🙌 mengine sijui nawaachie walimwengu!!😅
@naturelle1097
@naturelle1097 Ай бұрын
Hapo kwa watumishi wako hawajapauka wala mashati yaliyo chanika nakupa pongezi..big high five!
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Ай бұрын
Binafsi nilikuwa ckufwatilii kabsa lakn kws maelezo haya nahis kama naanza kukuelewa sanaaa sanaaaa sanaaaa nankukufwatilia umachosema ni kweli kabisa
@coolsinare8824
@coolsinare8824 Ай бұрын
kuna mambo kadhaa umeyasema nimefurah..moja wapo ni kuwa”utajiri wa kweli ni kile unachokiacha kwenye mioyo ya watu”ni ujumbe tosha na nadhan kwa hali ilivyo sasa watumishi wa Mungu,Raisi wa nchi na viongozi wake jalini sana mioyo ya wananchi mnaiachaje kutokana na nguvu za mamlaka mliyopewa na Mungu
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Ай бұрын
Aamina sana Mtumishi wa Mungu.
@AliAli-n3k2f
@AliAli-n3k2f Ай бұрын
Huyo ni aina ya tajiri,,😂hawezi kutuharbu akili zetu imeishaaaa io
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Najivunia Sana kua Muislam maana nina uwelewa wa hali ya juu sana huyu jamaa ni tapeli tu na hao wote anaojifanya anawatibu anawapanga
@bobdelwinsky9363
@bobdelwinsky9363 Ай бұрын
Hauhitaji kuwa muislamu kujua uhuni wa mwamba. Hata wakristo wanajua mwamba ni msakatonge sheikh. Ni vile tunajivunia kuvumiliana na umoja ndio maana wahuni kama hawa wanaibuka kama uyoga. Sheria na taratibu za nchi zitakapobadilika kuwashughulikia hawa watu kihalali kama kutaifisha mali na kuwafunga watajifikiria sana.
@richardvallerian1003
@richardvallerian1003 Ай бұрын
Hauhitajiki uelewa wa juu kujua huyu ni tapeli, ni uelewa wa kawaida kabisa!
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 Ай бұрын
Weslam nao wanachanga moto yao acheni unafki nyinyi Weslam huku unajiitq Mweslam baadaye unaenda Gest kufirwa mkunduni
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 Ай бұрын
​@@bobdelwinsky9363 ubarikiwe kakangu unasema ukweli kabisa Yani nahitaji Serekali iwashike handi Ndani hata myaka 10 kumi tu watanyooka kweli kweli
@JaneChissawilo-dr7nn
@JaneChissawilo-dr7nn Ай бұрын
Wee ni mwanga TU umepangwa na shetani na wewe!
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 Ай бұрын
Kuhusu vitambi nimecheka 🤣🤣Nakupenda ❤
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 Ай бұрын
Wacha uhuni wewe uchawi ndionini ? Yaani mzee wamiaka 70 akifa tayari ni mchawi ? Kweli?
@goldermeirshoo1228
@goldermeirshoo1228 Ай бұрын
Biggerup Mtumishi wa Mungu Dominiq, Mungu awalindee woote
@justusngonyani165
@justusngonyani165 Ай бұрын
Mbingu si ya wakristo,bali ya waliookoka.Waliomkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi.
@chrisshonga
@chrisshonga 20 күн бұрын
Mashemasi zaidi uya 100 wanalipwa zaidi ya Wabunge duuuh! naomba nitumie application form please! Kkkkkkkkkkkk
@ElionaMbise
@ElionaMbise Ай бұрын
Nabii.nipo.harusha.nimefatilia maji na.tishet.sijawakuta.watendakazi.stedim arusha❤
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c Ай бұрын
Dalili za kuchochea Ushoga kwa Huyu ??
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e Ай бұрын
😂😂😂😂
@imanimahundi8293
@imanimahundi8293 Ай бұрын
Wagawanye tuwatawale. Shida ndio zinatusonga mpaka tusijue lakufanya EE mungu tujalie ufahamu
@Commentsplus
@Commentsplus Ай бұрын
Yani hera Hera ndo neno Lake Kuu umakini uwepo wakati ukimsikiliza
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n Ай бұрын
Tapeli wa kikongo huyu uhamiaji weka ndani wewe ndie mchawi mkubwa mshirikina wa kwanza kwanza ni mchochezi eti wazee wachawi imaana ata babu yako kule kongo ni mchawi eti tumepiga maombi wazee wamekufa sasa unawaponya watu au unaua watu mpigaji mkubwa..
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 Ай бұрын
Yaani anafurahi kuua wazee. Una uhakika gani Kama ni wachawi kuweni makini jamii
@GluckSifaeli
@GluckSifaeli Ай бұрын
watu wa mungu tusikilze sauti ya mungu tuu
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Ай бұрын
YEREMIA 50:6. YEHOVA ACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.
@AsiaShaban-zz4yr
@AsiaShaban-zz4yr Ай бұрын
Ana sifa huyo namajigambo mmh nilishatapeliwA pesa nyingi na mgonjwa broo hakupona fyuuuu anawapaga watu anaogea kwenye redio vinzur lkn ukienda kanisani anakuchamba wee sijawai onaa utakufa utaenda motoni kafiri wewe
@djumakonki1964
@djumakonki1964 21 күн бұрын
Mheshimiwa Zembwela vipi unapoteza muda wako kuhojiana na mtu kama huyu! tafadhali utapoteza heshima katika jamii inayokueshimu. huyu mtu anaongea nini hapo. hapa tanzania siyo Kongo. watanzania ni waungwana. anatukana viongozi wa dini ya kikristo mchana kweupe mnamwacha hivi hivi. Nani mkristo kutoka tanzania anaweza kwenda kusema maneno kama anayosema huyu na akabaki salama! tanzania mkiruhusu kuchezewa kiasi hicho ! MwenyeziMungu atawashushia nakama.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Najivunia sana kuwa mkiristo wa kikatoliki
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e Ай бұрын
Walewale Wote Wasaka Tonge😂😂😂😂
@BonifaceOirere
@BonifaceOirere Ай бұрын
Hapa ni biashara na uganga Bali si injili ya kueneza ukombozi.Mungu akaokoe kondoo na mchunga wao
@wistonmajenda
@wistonmajenda 29 күн бұрын
Roho yang inaumia sana dada yangu alikuja kwako anaumwa umsaidie ukamwambia umpe million1 ndio umsaidie we sio nabii ww ni tapel tu
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 29 күн бұрын
Nchi nzuri kuishi anasema Tanzania, sababu sisi mabumbu tunaibiwa tu!
@justineswai5885
@justineswai5885 Ай бұрын
Wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, ole wenu KRISTO YESU anarudi
@AhadiPromise-z3z
@AhadiPromise-z3z Ай бұрын
Nakukubali sana wataongea sana awakuwezi babaa wambie😂😂
@CamillahAdam
@CamillahAdam Ай бұрын
Mtumishi wa mungu 🎉
@shinshi9696
@shinshi9696 Ай бұрын
Huyu bishop anahitaji matibabu ya akili
@nekaagripa3993
@nekaagripa3993 Ай бұрын
Watu 70,000 hivi anawajua? Means uwanja wa mkapa?? Watu bwana
@user-bs7dj7ps9g
@user-bs7dj7ps9g Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂watu niwajinga sana
@RichVoicetz-z9r
@RichVoicetz-z9r Ай бұрын
yanii mtu anatoka kongo anakuja Tanzania kuchoma wazee wetu kwamba ni wachawii
@lickumikidadi7630
@lickumikidadi7630 Ай бұрын
Aaaminaaaa
@michaelmbeti5040
@michaelmbeti5040 Ай бұрын
Naomba mwili upoe kwa nguvu sana
@worth_monkey
@worth_monkey Ай бұрын
watuu mbona hamfungukiii akili zenuuu huyu ni tapeliii jamaniii fungukeniiiii
@Gislamushi
@Gislamushi Ай бұрын
Amewai kukutapeli Nini?😂
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e Ай бұрын
Tapeli la Kikongo Kawasaidie Congo..Vita ishe..
@salomefaith2410
@salomefaith2410 26 күн бұрын
Huyu mkongo arejeshwe kwao kongo. Hatutaki alete maafa ya shakahola
@Nicaonlinetv7324
@Nicaonlinetv7324 Ай бұрын
Hapo pa kuwapenda mashemasi na wahudumu nimekukubali, mtu huwezi kuwa mbaya kwa nyanja zote.
@dianaemmanuel3471
@dianaemmanuel3471 Ай бұрын
Baba Niko mwanza nataka kuzulumiwa asilimia zangu za uchimbaji wadhahabu Niko mwanza baba nisaidie
@shinshi9696
@shinshi9696 Ай бұрын
Tafuta mwanasheria haraka na acha kujilengesha laa sivyo utatapeliwa na utalia zaidi. Pole sana
@HangiMakina-wf8hw
@HangiMakina-wf8hw Ай бұрын
Mgodi gani huyo kunajamaangu anaweza saidia
@NelsonAlphonce
@NelsonAlphonce 26 күн бұрын
​@@shinshi9696mwambie atume laki Tano Mimi ni msaidizi wa kiboko ya wachawi hatazurumiwa tena
@NelsonAlphonce
@NelsonAlphonce 26 күн бұрын
Tuma kwanza sadaka ya laki Tano nitakuombea mi msaidizi wa kiboko ya wachawi .
@shinshi9696
@shinshi9696 26 күн бұрын
@@NelsonAlphonce 🤣🤣🤣
@frankdaniel8010
@frankdaniel8010 24 күн бұрын
Pambana mtumishi
@andrewkamese8492
@andrewkamese8492 Ай бұрын
Kama umeshinda jaribu la pesa basii nabii kiboko Sio mtumishi wa mchezomchezo!
@omarally5460
@omarally5460 Ай бұрын
Hii issue ni mtambuka, Jamaa kaanzia kuziba midomo watendaji wa chini wa Serikali na Jeshi la police, Ni Ngumu kumchukulia hatua zozote,, Inahitaji maamuzi magumu sana. 🤔🤔🤔
@ElionaMbise
@ElionaMbise Ай бұрын
Kweli nabii.umesema ukweli.hapo.hata.kama.wanasema.wewe.ni.nabii.wa.uongo wanakuonea wife.piga.kazi.baba.fufua.watu.wataelewa tuu.mungu.akitie.nguvu
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 17 күн бұрын
SASA IVI TOA UDUMA NA FULSA KWENU MWIZI TAPELI 😂😂😂
@wizebiligetwaziri5540
@wizebiligetwaziri5540 Ай бұрын
Alafu utasikia mpuuzi mmoja ana sema unatumika nashetani ukimuuliza ulifunuliwa nanani anakusomea andikotu lisemalo "watajitokeza manabii wauongo " shida yabongo wajuaji wengi
@EllyMoshi-vd9ds
@EllyMoshi-vd9ds Ай бұрын
Wewe utafurahishwa😂 tulia na ubishi wako unapenda kuombewa eee
@mobilebeats3086
@mobilebeats3086 Ай бұрын
Anapenda kuombewa huyo haelewi mtandao unasumbua kama angeielewa biblia asingeongea utumbo uo
@kutailass6671
@kutailass6671 Ай бұрын
Kwan uongo? Hakuna nabii zama hiz wote matapel tu washirikina tu
@designdesign4426
@designdesign4426 Ай бұрын
inaonekana akilizako nifupisana naww unategemewa kua nafamilia polesana
@mobilebeats3086
@mobilebeats3086 Ай бұрын
@@kutailass6671 hayo umesema wewe
@bobdelwinsky9363
@bobdelwinsky9363 Ай бұрын
Msaka tonge muhuni na Mhuni makini
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 10 күн бұрын
Huyu hata ukimwangalia tu majibu unayapata.najiuliza hao waumini wanakuwa na shida gani jamani?
@mulashanibrasio8151
@mulashanibrasio8151 Ай бұрын
Niçe interview, May God bless you
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Kwaiyo hizo sadaka umeona uwape bodaboda wenye kipato kuliko kuwapa wasio jiweza Kaya maskini, magereza na hospitalini
@GodloveTyoe-fv8or
@GodloveTyoe-fv8or Ай бұрын
Kwaio kila mzee ni mchawi selkai usiken uu ni uchochez wa mambo ya kipuz husababisha watu kuja kukosa aman wazee wetu
@emanuelnjiku7354
@emanuelnjiku7354 Ай бұрын
Sikiliza rafiki katika bwana katika Yesu kristo nikwambie tu dini wala madhehebu sikitu mbele za mungu wetu kilicho bora kati yetu ni kumjua mungu kikamilifu ili katika yeye tumlaki mwokozi mawinguni. Wasikutishe na misaada yao kwa jamiii maana walio wa shetani wanajua kutoa sadaka kwa shetani kuliko hata watu wanao mcha mungu na wanajua kuongea ukiwasikiliza unajua wanaroho wa mungu kumbe ni chenga
@TangaMashewa-qe8kk
@TangaMashewa-qe8kk Ай бұрын
UJINGA MTUPU NENDA KAJITANGAZE KUA WEWE NI KIBOKO YA WACHAWI TANGA AU SUMBAWANGA VIJIJINI ACHENI UJINGA dar Kuna wachawi hizo ni biashara za utapeli wahuni nyie
@Commentsplus
@Commentsplus Ай бұрын
Huyu ni muhalifu!!! Ila inabidi uwe na elimu ya #cuba
@MariyamSimba-ub7lz
@MariyamSimba-ub7lz 15 күн бұрын
ACHA hizo Wewe
@AberhartNdauka-nu3do
@AberhartNdauka-nu3do Ай бұрын
We msenge kweli tapeli mkubwa kabsa
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Ай бұрын
Kiboko ya wachawi nimependa hilo jina. Wachawi niwakuchapa sana
@ramadhaninyangasa7275
@ramadhaninyangasa7275 Ай бұрын
Mungu wenu alikua analindwa na panga
@jumarajab5316
@jumarajab5316 Ай бұрын
mbona anaongea tu bila kuulizwa
@rahabmausli4183
@rahabmausli4183 26 күн бұрын
Muogo Kiboko Ya Wachawi 🫣unawapatia Kisha Sinakurudia unasema watoe Sadaka kilamutu erufukumi Mungu alisema chochote ukonacho utoe lakini Yeye lazima utoe vile Yeye Anataka Anatagaza tutoe Sadaka ya kwanza 20.000- ya pili 10.000 yatatu 5.000- That Is Business my my friend😳👎👎chako kikomotoni😳🤔
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
mi nilimkataa pale alipomfukuza muumini😊 kazini kwake
@elijahchegere4974
@elijahchegere4974 Ай бұрын
Kuma la mamayako
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
@@elijahchegere4974 mamako ana bwawa...kuma nn
@lucasmasumbuko2098
@lucasmasumbuko2098 Ай бұрын
na wewe​@@elijahchegere4974
@paulmushi2428
@paulmushi2428 Ай бұрын
​@@elijahchegere4974 Jamani matusi ya nini? Kwani mama yako ana nini? Na wewe ulizaliwa na mama yako kupitia wapi? Matusi yanaonyesha wewe ni mtu wa namna gani!
@elijahchegere4974
@elijahchegere4974 Ай бұрын
Tatizo comment zingine zinazingua
@JoselineAlmasi
@JoselineAlmasi 14 күн бұрын
Mukimtaka huyu tapeli mfateni ichin kwake huyu so mtazanzania nimtapeli mfateni
@KaguluZuu
@KaguluZuu Ай бұрын
Nasisi waislam tunawo mataperi kama huyu baba acheni kulaumu ukiristo biblia ilisema manabii feki watajitokeza wakiristo wanaojielewa huwakuti kwa huyu jangiri hata siku moja.sijui serikari iko wapi kanisa uchwara zinajitokeza kila kona imekuwa biashara Kawanunulia police nini?😮
@barakanatus5676
@barakanatus5676 Ай бұрын
Uyu jamaa kweli anaongea kweli
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 Ай бұрын
Nabii yupo vizuri aendereza huduma hiyo haina upinzani?
@AbelsonGidion-vo1uj
@AbelsonGidion-vo1uj Ай бұрын
Amna k2 apoo
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Huyu mtu hauhitaji udhahidi kuwa ni muongo huwenda kajijazia misukule pale sisi tunaona ni watu
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 Ай бұрын
Natamani niende hata leo kwa huyu nabii.
@mbarukumakakala4895
@mbarukumakakala4895 Ай бұрын
Uyu ni mkongomani kamata rudisha kwao
@WilfredMsechu
@WilfredMsechu 29 күн бұрын
Duuu
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r Ай бұрын
Hii move mwisho wake tutauona
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Ай бұрын
Ni mupango wa ubunge
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi Ай бұрын
Hujui kusoma hata picha huioni
@musamusa6374
@musamusa6374 Ай бұрын
Watu 70000 unajua ni zaidi ya watu wanaoingia kwa mkapa
@RichVoicetz-z9r
@RichVoicetz-z9r Ай бұрын
unakuta limtu lizima limekaa kanisani ni kusema amenii ameniii shenzi na nusu
@YustaMfugale
@YustaMfugale Ай бұрын
Pastor anaway yake imetulia awee not this in God's Kingdom 😢
@worth_monkey
@worth_monkey Ай бұрын
Tapeliii huyuu hmna kitu hapa
@irenemuro5077
@irenemuro5077 Ай бұрын
Jamaa muongo sana, hakuna mwenye ufahamu na uwelewa wa Aliyeumba wote, vyote na yote atakaye mwelewa huyu jamaa inaonyesha dhahiri kuwa yuko nyuma ya Pazia laaa!!!!😏
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Ай бұрын
Safi sn umetengeneza urafiki mkubwa mno na bodaboda,
@LuckyTemu
@LuckyTemu Ай бұрын
Kumwaga hela ndo kumpa m2 hela😅
@BongoflevaHits
@BongoflevaHits Ай бұрын
Tapeli la kikongo
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe Ай бұрын
Mmmh mbona kama nimeanza kukuelewa mtumishi
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Mwacheni afanye kazi yake. Msihukumu. Hiyo siyo kazi yetu. Unahukumu kuwa huyu ni tapeli. Je wewe ni nani? Ulishajichunguza tabia yako je upo salama
@barakamanga5502
@barakamanga5502 Ай бұрын
Someni bible
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Ай бұрын
😂😂😂😂 Watuwangu wana angamia kwa kukosa maarifa poleni sana kondoo wake
@user-do1xs4om1b
@user-do1xs4om1b Ай бұрын
Ndo maana ccm chama tawala imetulia kwa maana ya kwamba wana muunga mkono huyu jamaa wanapata maslah.
@user-gr9kx8hz6t
@user-gr9kx8hz6t Ай бұрын
Uwongo una mwisho
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 49 МЛН
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITO
39:38
Mbengo Tv
Рет қаралды 54 М.
Nabii Kiboko ya Wachawi afunguka alivyotimuliwa Tanzania ndani ya saa 24
8:03
DUDU BAYA ACHUKIZWA NA KIBOKO YA WACHAWI, ONA AIVYO MUUMBUA
14:43
TAZAMA MZEE ATAKA KUMPIGA MKEWE KISA KATOROKA NA KUJA KWA KIBOKO YA WACHAWI MENGI YAONGELEKA
5:35
KIJANA ALIYETUMWA KUMJARIBU NABII KIBOKO YA WACHAWI AUMBUKA MADHABAUNI
4:17
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 133 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН