No video

MWAMPOSA AFUNGUKA YOTE, NAPENDWA NA WAMAMA, MUUJIZA MKUBWA ALIOFANYA

  Рет қаралды 182,086

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 911
@humphreyonlinetv2739
@humphreyonlinetv2739 Ай бұрын
MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED
@endeshyamat6773
@endeshyamat6773 Ай бұрын
Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you
@eusebiusthilia7908
@eusebiusthilia7908 Ай бұрын
Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele
@irenemwanry121
@irenemwanry121 Ай бұрын
Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤
@blasiustibwakawa6258
@blasiustibwakawa6258 Ай бұрын
Nomaa halafu saana😂
@user-ex1cn3bc2h
@user-ex1cn3bc2h Ай бұрын
Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia
@StelaMwambemba-qd3tr
@StelaMwambemba-qd3tr Ай бұрын
Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana
@perpetuakicheleri-zk5ly
@perpetuakicheleri-zk5ly Ай бұрын
Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏
@godsonprosper6657
@godsonprosper6657 17 күн бұрын
Yesu alisharudi usikalili maandiko
@nairakiboko
@nairakiboko Ай бұрын
Mwamposa bado ni kijana Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa
@monicaisuja8917
@monicaisuja8917 Ай бұрын
Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤
@ujenziimaratv1192
@ujenziimaratv1192 Ай бұрын
Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja Akili kichwani
@fumotv7914
@fumotv7914 Ай бұрын
​@@ujenziimaratv1192unauhakika
@Salesiamalekela-i2h
@Salesiamalekela-i2h Ай бұрын
Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana
@user-hm2oc6en9s
@user-hm2oc6en9s Ай бұрын
Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.
@FurahaCosmas
@FurahaCosmas 29 күн бұрын
Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 Ай бұрын
Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe Ай бұрын
Aminaaa
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 Ай бұрын
Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂
@benjaminalfa3098
@benjaminalfa3098 Ай бұрын
Ameen
@Japanese-lz1or
@Japanese-lz1or Ай бұрын
​@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Ай бұрын
Amen
@ElizabethKazimoto-uc8zo
@ElizabethKazimoto-uc8zo Ай бұрын
Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet
@salumsiraji-ou3uo
@salumsiraji-ou3uo Ай бұрын
hahaha
@ElizabethKazimoto-uc8zo
@ElizabethKazimoto-uc8zo Ай бұрын
@@salumsiraji-ou3uo yeah
@gratusvlogs
@gratusvlogs Ай бұрын
Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe Ай бұрын
Kijana kbs
@bakariomary5781
@bakariomary5781 Ай бұрын
Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Ай бұрын
Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana
@allahisone6386
@allahisone6386 Ай бұрын
​ HHHH NDIOOO_🤦🏿‍♀️
@user-eu5ly2sk8w
@user-eu5ly2sk8w 29 күн бұрын
Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu
@AUGENSYLIVAND-rq7hz
@AUGENSYLIVAND-rq7hz Ай бұрын
Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like
@HappyChalamila-wd2wl
@HappyChalamila-wd2wl 27 күн бұрын
nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu
@IsaackPaulo
@IsaackPaulo Ай бұрын
Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 Ай бұрын
Mtume feki😂
@IsaackPaulo
@IsaackPaulo Ай бұрын
@@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 Ай бұрын
@@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 Ай бұрын
@@IsaackPaulo Tatizo hamna maarifa yale Mafuta anayouza ametolea wapii
@IsaackPaulo
@IsaackPaulo Ай бұрын
@@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu
@user-qb3cb2zl5l
@user-qb3cb2zl5l Ай бұрын
Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki
@AllglorytoGod22
@AllglorytoGod22 29 күн бұрын
😂
@user-yb8jq9xw2o
@user-yb8jq9xw2o 29 күн бұрын
😂😂
@benernest5125
@benernest5125 28 күн бұрын
MGANGA!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherMhagama-s1n
@EstherMhagama-s1n 27 күн бұрын
na ww ukawe mganga ili na.ww ujulikane afrika
@user-dz3rl1ki6u
@user-dz3rl1ki6u 23 күн бұрын
😂😂😂 umepiga panapouma
@LATIFAMUSSANAMANORO
@LATIFAMUSSANAMANORO 23 күн бұрын
Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina
@sylviadanford9138
@sylviadanford9138 Ай бұрын
Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 Ай бұрын
mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Ай бұрын
Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso Ай бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa
@nicaswaziri
@nicaswaziri Ай бұрын
Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf Ай бұрын
Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe
@ngowidyness3464
@ngowidyness3464 Ай бұрын
Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno
@martingeorge9468
@martingeorge9468 Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏 Amina
@eclinemaro7677
@eclinemaro7677 Ай бұрын
Amen
@hendrylema5640
@hendrylema5640 Ай бұрын
dyness upo
@ngowidyness3464
@ngowidyness3464 Ай бұрын
@@hendrylema5640 nipo kabisa
@BabaD-fu9io
@BabaD-fu9io 22 күн бұрын
Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele
@heavenlightmalisa1112
@heavenlightmalisa1112 Ай бұрын
Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako
@jackycharles6419
@jackycharles6419 Ай бұрын
Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God
@user-is6np5vf6b
@user-is6np5vf6b Ай бұрын
Umeona eeh 🎉🎉🎉
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 Ай бұрын
Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana
@heavenlightmalisa1112
@heavenlightmalisa1112 Ай бұрын
Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba
@Apox_eric
@Apox_eric Ай бұрын
Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia. Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo .... The nan is humble, No show offs, proudness. He only says It si the hand of Almighty God. Text me on whatsApp +255753694154
@MonicaNyanda
@MonicaNyanda 4 күн бұрын
@@heavenlightmalisa1112 min. 💜💛👏
@veronicapatrice436
@veronicapatrice436 Ай бұрын
Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤
@AngelBoniface-oe8ug
@AngelBoniface-oe8ug Ай бұрын
Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki
@user-sp8zu7oh2n
@user-sp8zu7oh2n Ай бұрын
❤❤❤
@eusebiusthilia7908
@eusebiusthilia7908 Ай бұрын
Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!
@PaulineMajengo
@PaulineMajengo Ай бұрын
Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3
@LucresiaMassawe-f1y
@LucresiaMassawe-f1y 5 күн бұрын
Jamani,mi namtakia maisha mareeefu Sana ya baraka na kuongezeka zaidi,hakika baba mwamposa ni mnyenyekevu Sana,hajawahi kukuinua hata CK moja.
@amanmalima940
@amanmalima940 Ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@glorygadielmshana1070
@glorygadielmshana1070 Ай бұрын
Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️
@VailethBarnabas
@VailethBarnabas 8 күн бұрын
❤❤❤❤may God bless your days on earth and protect you for us amennnnnnn!!!!
@joshuajustustz
@joshuajustustz Ай бұрын
Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉
@user-eh5il7pw2f
@user-eh5il7pw2f Ай бұрын
Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho
@F60hustlerF60hustler
@F60hustlerF60hustler Ай бұрын
Kwahyo mwamposa ndiye baba ako wa kiroho acha kumuudhi mungu wew
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Ай бұрын
Huyu muhuni tuu , hana utumishi wowote
@petermadata7803
@petermadata7803 Ай бұрын
Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.
@MariamuMkonge
@MariamuMkonge Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe
@ianbryse1417
@ianbryse1417 Ай бұрын
Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️
@user-wl7xj6dy4u
@user-wl7xj6dy4u Ай бұрын
Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤
@Alphonce-em2xi
@Alphonce-em2xi Ай бұрын
Amen Apostle Mwamposa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Ай бұрын
Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki
@NestoryMhagama-ci5pq
@NestoryMhagama-ci5pq Ай бұрын
Be blessed man of God
@norfenvgeraldo9493
@norfenvgeraldo9493 Ай бұрын
Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Ай бұрын
Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf Ай бұрын
Amen
@MaurenEmmanuely-nc9id
@MaurenEmmanuely-nc9id Ай бұрын
Laana unayo ww​@@barutiabuu9492
@user-nm1re5kp7m
@user-nm1re5kp7m Ай бұрын
Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume ​@@barutiabuu9492
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 Ай бұрын
mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika
@michaelezekiel4297
@michaelezekiel4297 Ай бұрын
😂😂
@FurahaCosmas
@FurahaCosmas 29 күн бұрын
Hapo hakuna zuzu ila wew ndo zuzu. Uctukane mamba kabla hujavuka mtooo
@EstherMhagama-s1n
@EstherMhagama-s1n 27 күн бұрын
Ww ni zz namba moja halafu ss wengine tunafatia
@lilianmakonta3585
@lilianmakonta3585 16 күн бұрын
Mungu akusaidie sana
@julyethiema1220
@julyethiema1220 Ай бұрын
Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4
@Wakwe
@Wakwe Ай бұрын
Aliemtoa ugumba ni mungu au mwaposa😅
@winfridahaule4364
@winfridahaule4364 Ай бұрын
​@@Wakwehapa ndio watu wanapo mkosea Mungu
@FurahaCosmas
@FurahaCosmas 29 күн бұрын
Weuweeee🎉
@jovitustoroto4
@jovitustoroto4 23 күн бұрын
kweliiii
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini. Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.
@ciscojr2277
@ciscojr2277 Ай бұрын
Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu
@StelaMwambemba-qd3tr
@StelaMwambemba-qd3tr Ай бұрын
Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa
@beyondmediatz1607
@beyondmediatz1607 Ай бұрын
Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like
@RoseOdilo
@RoseOdilo Ай бұрын
Kabisa❤❤❤
@joelbtz8277
@joelbtz8277 Ай бұрын
Umenena vyema mno🎉
@emmanueldaudi3797
@emmanueldaudi3797 Ай бұрын
Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.
@christeternallifetv5959
@christeternallifetv5959 Ай бұрын
Ameniiii
@atuganilemsomba3028
@atuganilemsomba3028 Ай бұрын
Ukweli ambao watu wengi hawautaki
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
Kabisaa Kabisa Hawajui Kumwamini Mungu
@user-vc4xr1mf5q
@user-vc4xr1mf5q Ай бұрын
Kwani wale walio kwa mwamposa awajampokea yesu na je kanisani kwako waumini wote wameokoka
@user-fy9uk4oh7x
@user-fy9uk4oh7x Ай бұрын
Nikweli huo ni muujiza mkuu saana kuzidi muujiza yote
@RahelMrope
@RahelMrope 2 күн бұрын
Mungu azidi kukuongoza,kukulinda,tunakupenda na kukuombea pia,unaokoa maisha yetu
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo. Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza. Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j Ай бұрын
@@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure
@ciscojr2277
@ciscojr2277 Ай бұрын
Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu
@zachariamakoba8368
@zachariamakoba8368 Ай бұрын
​@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho
@modestamshana1279
@modestamshana1279 Ай бұрын
Mtume ni handsome🥰
@claudia1500
@claudia1500 Ай бұрын
Kabisaaaaa
@mansoorburuhan6791
@mansoorburuhan6791 Ай бұрын
😂😂😂😂
@mansoorburuhan6791
@mansoorburuhan6791 Ай бұрын
Ama kwel ndo maana yesu hakuoa😂
@devisshirima6780
@devisshirima6780 Ай бұрын
Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 Ай бұрын
usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 Ай бұрын
Haja❤!!
@africanbeez3644
@africanbeez3644 Ай бұрын
@@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂
@rerisamba
@rerisamba Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote
@milanozanzibar
@milanozanzibar 29 күн бұрын
ni kweli
@mrjulius5840
@mrjulius5840 Ай бұрын
Mathayo 7:21-23 [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
@user-li1ux1xh4m
@user-li1ux1xh4m Ай бұрын
Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Ай бұрын
Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa
@benardbonephace4896
@benardbonephace4896 Ай бұрын
Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako
@Alphonce-em2xi
@Alphonce-em2xi Ай бұрын
@@benardbonephace4896 safi sna
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe Ай бұрын
Umenena vema kabs udugu
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf Ай бұрын
Ameeeeen
@reginaringo5167
@reginaringo5167 Ай бұрын
Utukufu kwa YESU
@anethkitambi3140
@anethkitambi3140 Ай бұрын
Mungu aendelee kukulinda, kukutunza
@user-wy1or9fm2s
@user-wy1or9fm2s Ай бұрын
Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu
@Mcsceo
@Mcsceo Ай бұрын
I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Ай бұрын
Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata
@Dianamwansasudddw
@Dianamwansasudddw Ай бұрын
Na wewe si uanze kuwakamata
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii
@jacobnyosole1774
@jacobnyosole1774 Ай бұрын
Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂
@Dianamwansasudddw
@Dianamwansasudddw Ай бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili
@estambuya3901
@estambuya3901 Ай бұрын
Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.
@EstherMhagama-s1n
@EstherMhagama-s1n 27 күн бұрын
Hongera ongeza juhudi
@pendomushi9319
@pendomushi9319 Ай бұрын
Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.
@josephmtoro9606
@josephmtoro9606 Ай бұрын
Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.
@TedyEmanuel
@TedyEmanuel Ай бұрын
Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee
@reytn2494
@reytn2494 Ай бұрын
Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf Ай бұрын
Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu
@ANNADANDA-eq7dy
@ANNADANDA-eq7dy 7 күн бұрын
Poleni sana kwa kweli kwa kupata yesu ambazo hakuteswa ujinga mtupu
@pceodhc
@pceodhc Ай бұрын
Hallelujah!
@user-wp2ww7mf7r
@user-wp2ww7mf7r Ай бұрын
Arise and sheni
@JoyceMbano
@JoyceMbano 21 күн бұрын
100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju
@JohnOkwom
@JohnOkwom Ай бұрын
Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu
@geeoutfitdesgner
@geeoutfitdesgner Ай бұрын
tunakupenda baba etu wa kiroho binafsi ni muumini wako kindakindaki kwasbb najua mungu alipo nitoa mimi na familia yangu,,baba kaacha pombe kwasbb ya arise and shine,mama ameinuliwa kiuchumi kwasabb ya yesu ,mdogo wngu Luca amefaulu vzur sasa yupo chuo cha livestock tengeru ,mm mwenyew ndo nabarikiwa had nashangaa...halafu kuna dada alikuwa kichaa alifikia kwetu tukampeleka akapona..mungu akutunze wewe mtumishi wa mungu kupitia maombi yako kwa jesu kristo...
@user-cd9nd9wd5q
@user-cd9nd9wd5q Ай бұрын
Ameeeeeen
@Japanese-lz1or
@Japanese-lz1or Ай бұрын
Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko
@onlyyoujesus8232
@onlyyoujesus8232 Ай бұрын
Ujumbe mzuri
@user-sc9zl2hx1c
@user-sc9zl2hx1c Ай бұрын
Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤
@festomandari3773
@festomandari3773 28 күн бұрын
Might God enich you with more wisdom Apostle
@mycrown3567
@mycrown3567 Ай бұрын
I like the way he is humbling himself…mahusiano yangu na Mungu yameimarika kwasababu ya huyu baba🙌🏼
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u Ай бұрын
Billionaire 🔥🔥🙌
@nancykaseko
@nancykaseko 21 күн бұрын
Yesu akutunze man of God...
@eclinemaro7677
@eclinemaro7677 Ай бұрын
Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana
@NoelMwita
@NoelMwita Ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU . KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉
@renatustinsimile5410
@renatustinsimile5410 Ай бұрын
Mwamposa wewe ni Mtumishi wa mungu,nitakuamini mpaka kufa kwangu
@stellanakaaya2331
@stellanakaaya2331 Ай бұрын
Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏
@EmmanuelYohana-km8xe
@EmmanuelYohana-km8xe 24 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 Ай бұрын
Mwaminifu mungu tu Yeye ni kama wewe tu naomba mungu
@C7Christian
@C7Christian Ай бұрын
Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 18 күн бұрын
Binafsi nakupenda sana.Mungu akubariki sana
@vero57
@vero57 Ай бұрын
KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐
@JudyUrio-zy7ri
@JudyUrio-zy7ri Ай бұрын
Hakuna kanisa lenye wababa kama kawe
@dismasmariananga4776
@dismasmariananga4776 Ай бұрын
Amini mtumishi na wewe wapende na kuwasaidia mungu yupo Kwa ajili yetu
@NoelMwita
@NoelMwita Ай бұрын
AMEN AMEN
@noelmosha2597
@noelmosha2597 12 күн бұрын
Gud saying baba mungu aendelee kukulinda
@BahaaBundala
@BahaaBundala Ай бұрын
Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako
@steven.munisi
@steven.munisi Ай бұрын
Hakika Bwana amekuinua man of God
@innocentjoseph805
@innocentjoseph805 Ай бұрын
Kiufupi me sijawahi kumwamini huyu ndug yenu iwe Leo au kesho, mdaa utaongea
@REHEMACONERIOCOSTANCE
@REHEMACONERIOCOSTANCE Ай бұрын
Ujalazimishwa kumwamini kaa kwa kutulia
@NoelMwita
@NoelMwita Ай бұрын
HUJALAZIMISHWA KUNYWA POMBE ULALE .
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 Ай бұрын
Ni kweli mimi mwenyewe namwonaga muhuni muhuni tu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j Ай бұрын
Ndomana dini zipo nyingi we unataka watu waamini unavyoamini wewe watu woote wakati wengine ni mbrgu ya ibilis itawezekana
@RoseOdilo
@RoseOdilo Ай бұрын
Ukiona humwamini tafuta unaye mwamini songa mbele hujalazimishwa
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 Ай бұрын
Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉
@priscadaniel6459
@priscadaniel6459 Ай бұрын
Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe
@mpefu_4936
@mpefu_4936 Ай бұрын
Bilionea ongeraaaa
@Bashitetako
@Bashitetako Ай бұрын
Huwa mnaitwa saa ngapi
@JamsiiMolell
@JamsiiMolell 23 күн бұрын
Mungu akuongesee miaka mengi kutuudumia naamini maoombi yuko mtume
@user-wy4yn2xi3n
@user-wy4yn2xi3n Ай бұрын
Tunakushukuru sana mtume MUNGU Akubariki sana akuzidishie maisha marefu Ameen.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 17 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 48 МЛН
Washirika wa TAG hawana aibu kumsifu Mungu hapa uwanja wa Taifa Uhuru
2:19
CITY LIGHT TEMPLE
Рет қаралды 3,6 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 17 МЛН