Nimejifunza sana tangu nilipookoka na kabla ya kuokoka Mbaga nimeanza kumfatilia kabla ya mm kuokoka ety Leo hii mm nimekuwa mfuasi wa kristo ase nikikumbuka maisha yangu ya zamani napiga goti kumshukuru god
Nbrikiwa sana kwakweli MUNGU awabriki sana pr mm nko na shida ya Afya ygu naomba unikumbuke na mm muchungaji ukiomba
@CateCatherine-jv3mi4 ай бұрын
Pastor mungu akubariki kwa mahubiri haya mazuri yanatujenga sana
@dennisombati6035 Жыл бұрын
Nikumbuke na maombi pastor mm okari
@janetjannet3144 Жыл бұрын
Asante sana baba mchungaji nimesikia mahubiri yako tangu mwaka jana unanibariki moyo wangu kwa hivyo niombee niko mugonjwa kwa koo mugogo na miguu
@AmsoireRaymond Жыл бұрын
Amen
@leashao2776 Жыл бұрын
Jaman Matangazo ni mengi sana
@asooraaasooraa4816 Жыл бұрын
Amina
@upendoeliudi5196 Жыл бұрын
God bless you father
@salimanathan1073 Жыл бұрын
Be blessed paster🙏
@SharonAron-t1j2 ай бұрын
Alafu utakuta mtu anasema kanisa limeharibika, Ivi hao watu wanawasikilizaga kina Mbaga? Yani kuna watumishi wanatumika na hawana majina makubwa 🙏🙏🙏 huwezi kusikia mafundisho ya kama haya alafu ukabaki kama ulivyo
@estherchege90743 ай бұрын
😂kufikia hapo acha nicomment Yesu alipewa pesa na WAnawake.. underline word WAnawake..sio wanaume😂