napata ujasiri wakusonga mbele nikisikiliza mahubiri yako Mungu azidi kukubariki
@CynthiaKwamboka-y4pАй бұрын
Barikiwa sana mchungaji
@ziporamachilu68778 ай бұрын
Nabarikiwa sana na injili yako nakuombea mema mchungaji ww ni mtumishi sahihi shambani mwa Bwana
@irineDancan2 ай бұрын
Amen and amen Mchungaji kwa mafundisho ubarikiwe
@ElizaAnthony3 ай бұрын
Napataje Namba zake
@AgnessMrutu10 ай бұрын
Nabarikiwa hakika, kwani Mungu ananinoa kupitia wewe, Mungu akubariki na kukutunza na azidi kukupatia mafunuo kwa jina la Yesu Kristo
@MarryMwangoloАй бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki 🙏
@josephemmanuel30742 жыл бұрын
Naxhukuru kwamafundixho yko nazid kubalikiwa, Ila swali langu hya maombi uki wa unaomb najikabiz kwayo
@RubaR-nr5wz Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji lkn mm tuliachana juu niliambiwa kuwa si mume wangu na mtumishi yaani nabii so nko kivyangu je mungu anaeza kunipa mume mwengine
@johnkaranja12782 жыл бұрын
Mimi naomba Nishii kwangu....mungu naomba ani bariki
@gracetrophese76382 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki kuna hatua umenivusha
@ziporamachilu687711 ай бұрын
Namushukuru Mungu kwa hili some paster ubarikiwe sana .Kila nikisikiliza some lako Natoka na ushindi ktk Bwana hakika nabarikiwa sana
@mwassykayanda10 ай бұрын
Pr mbaga niombee imani yangu kwa Yesu kristo iongezeke kila siku
@everlynejenta630210 ай бұрын
MCHUNGAJI,NAKUOMBA UJE KWA CONFERENCE YETU KENYA NRB MWEZI WA NANE TAFADHALI. HATA KAMA WEWE NI MU SDA BORA SOTE NIA YETU NI MUNGU ATUKUZWE. KARIBU MCHUNGAJI.NAPENDA MAHUBIRI YAKO SANA. WEWE NI MWALIMU WA NEEMA KUBWA SANA. UNAFUNZA POLEPOLE LAKINI INAELEWEKA SANA.BARAKA MCHUNGAJI
@ernestmhilya960 Жыл бұрын
I trust one day nitakuwa smart Kama ww acha nijfunze kwako
@HawaMaundiАй бұрын
Mungu akubalikisa
@omankadara641811 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@lucynibogora2694 Жыл бұрын
Ubalikiwe mtu wa Mungu
@MamaNashoni Жыл бұрын
Ubarikiwe muchungaji
@esthermsemo3952 Жыл бұрын
Bwana abarikikazi zangu
@celinalyimo1870 Жыл бұрын
Sio Congo ttu wanaokuangalia bali na sisi tuloko Marekani tunakusikiliza au ninakusikiliza Mungu aniponye nitendee kazi fundisho hili ni langu barkkiwa mtumishi wa Mungu wetu aliye hai.
@MahubiriPrMmbaga11 ай бұрын
Amen
@joycefrank9650 Жыл бұрын
Kwa Imani mwananguataitwa kwenye usahili leo nami nitapata jibu nililo subiri kwa muda mrefu Asante MCH kwa fundisho la Imani
@geophreykikoti192-sb5be9 ай бұрын
Ubarikiwe Pastor
@johnkaranja12782 жыл бұрын
Mimi ni Shuja in Jesus Name.
@bernadettemuzaliwa97922 жыл бұрын
MUNGU akubariki SANA mtumishi wa bwana
@pendophilipo13111 ай бұрын
Namtukuza Mungu kwajili Yako, Bwana amenifanya mtu tofauti, kuptia ww Mungu awepmoj na weee sikuzote zamaisha Yako, nakupenda San, mtu wa daddy!🙏 May God bless you, and your family.!♥️
@phidesk2390 Жыл бұрын
Mungu akubariki aendelee kukutumia Mchungaji, umenifungua macho ya kiroho sana
@BethLameck-sc9py11 ай бұрын
Mungu anisaidie
@keziaranga63292 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na somo la leo,nasimama upande wa ushindi sio kupambana ili tushinde
@julianapeter98932 жыл бұрын
asate mungu kwa kunifungua kupitia mahubili Aya mungu akupe maisha mengi tunazidi kubalikiwa san
@nipamdingi94402 жыл бұрын
Ninakushukuru Mungu wangu kwasababu ninaamini umenipa nyumba nzuri sana! Katika jina la Yesu.
@hadijamlokakuzenza21462 жыл бұрын
Amina mch,nabarikiwa sana
@Kivukutv Жыл бұрын
mungu akubariki
@johnkaranja12782 жыл бұрын
Aki sauti
@joycefrank9650 Жыл бұрын
Barkiwa pastor unanibarik Sana Mungu akulinde
@deborahmfinanga39912 жыл бұрын
mungu azidi kukutunza mchungaji, kiukweli ninabarikiwa sana na maubiri yako.naomba uzidi kuniombea.
@jeannekatembe63962 жыл бұрын
Bwana akubariki mchungaji
@dorcusamisi2926 Жыл бұрын
Pastor mungu akubariki sana kwa neno la mungu
@ciciandjojo77012 жыл бұрын
Mbina mme mute sehemu muhimu jamani tunajifunza jinsi ya kuomba. Asante pastor Mmbaga kwa mafundisho mazuri sana🙏 Barikiwa 🙌
@mutsuvabienvenumuvunga91472 жыл бұрын
asante sana kwa mafundisho.
@estherkusaga91812 жыл бұрын
Nisaidie Baba nisimame katika ushindi siyo kupigana ili nishinde
@mwavitakipili54282 жыл бұрын
BWANA akuzidishie upako pastor ubarikiwe sana kwa mahubiri yako.
@mwavitakipili54282 жыл бұрын
Asante sana inatia moyo
@zennamutani823111 ай бұрын
Mungu anisaidie ñiache madeni
@StellaYohana-g7h Жыл бұрын
Ameni
@isaaclogo19092 жыл бұрын
God bless
@johnkaranja12782 жыл бұрын
Ndiyo
@judithnjalambaya24504 ай бұрын
Amen.🙏
@alineriziki67562 жыл бұрын
Asante Mchungaji, Nina swali : Kuhusu kumujengea Bwana Mungu nyumba ao kanisa,kuna watu ambao wanamujengea kweli Mungu nyumba ila pesa zenyewe zimepatikana kwa njia isiyo halali,je Bwana Mungu uitika iyo zawadi? Kwa mfano pesa za rushwa???
@danielkilonzo66972 жыл бұрын
Unanibariki kila wakati pastor ..pia nawe barikiwa
@marthadaniel49042 жыл бұрын
MUNGU azid kukupa Afya njema ile mataifa wazid libarikiwe kipitia mafundisho yak🙏🙏🙏🇴🇲
@magrethsindabaha18512 жыл бұрын
Namshukuru San Munngu amekuleta kwa wakati sahihi, umewaponya wengi , kiroho na kimwil pia
@namrindawilfred4467 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu siku zote ili uzidi kumtumikia. Kweli nabarikiwa na nashukuru Mungu kwa ujumbe wake unaoendelea kutoa changamoto katika maisha yangu.
@silviafurah91722 жыл бұрын
Aminaa Barikiwa pastor kwa mafundisho ya MUNGU umenigusa moyo wangu
@zirhumanafiston1162 жыл бұрын
Amina
@lizwabo92662 жыл бұрын
May God bless you pastor your teaching is supernatural from Almighty
@lucykarii68602 жыл бұрын
God bless you pastor neno zuri.naomba ushauri mchugaji Mimi n dada Nina umri w miaka 33 nimekuwa na mausiano zaidi y 3 yakialimbika Kwa sasa nimeta mwingine, alipewa namba yangu week mbili sasa, kwa kuonekana kwake ako sawa na ako very serious, lkn nimechoka Kwa maneno yake y kipuhusi.nanikimwambi tubadiri ajenda anasema icho ndicho kinanifanya nikuoe.mimi nimeamha kumwacha ila sijamwambia. Nisaidie Kwa ombi Mungu anipe wa kwangu
@suzanmohere531110 ай бұрын
Mungu akupe aliye tayali aliyetayali haangalii yote hayoo na kukwambia upuuzi ni dhahiri unakoelekea si mazuri Omba sana mtu wa Mungu usiruhusu jambo lolote hapo litolewe
@OmanOman-gv8qb2 жыл бұрын
Ameen mtumishi. Asante kwa somo Mungu aendelee kukutunia
@johnkaranja12782 жыл бұрын
Amen Amen
@javanmwebi58772 жыл бұрын
ila message zetu hureply💔
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Pole. Ni nyingi sana! Nachelewa kuona. Tuma whatspp number +255 755 932 283
@elizabethgodfreytondo30522 жыл бұрын
Amen
@raysibo53162 жыл бұрын
Shukran sana Mchungaji.Ningeomba mtu ambae ana number yako anipe
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
+255 755 932 283
@mweleurio79602 жыл бұрын
Amen Baba
@edsonmashama67825 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbagabarikiwa nami nimeipata Pr
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
@salomewandya72572 жыл бұрын
Ameen 🙏🙏
@AgnessMrutu10 ай бұрын
Nabarikiwa hakika, kwani Mungu ananinoa kupitia wewe, Mungu akubariki na kukutunza na azidi kukupatia mafunuo kwa jina la Yesu Kristo