Amen na asante kubwa baba naomba ifanye nini ili nijazwe na roho mtakatifu
@josefojuliaovicente92372 жыл бұрын
Eeeh Mungu nijaze na Roho wako Mtakatifu😭😭🙏🙏🙏🙏
@selfaakinyi5125 жыл бұрын
Eeeh mungu wangu nasubiri na hamu ya ahadi yako yakujazwa na Roho wako mtakatifu.from Qatar.
@kwizeraelly92615 жыл бұрын
Amen!pastor nabarikiwa na somo la roho mtakatifu.Mungu akubariki sn unaendelea kunilisha neno la uzima.
@maureenkemei92544 жыл бұрын
Amina hakika naomba ujazo wa Roho mtakatifu
@Mapenzi26356 ай бұрын
Powerful. The means and the end of faith.
@monniekevin93034 жыл бұрын
Amen amen amen
@denisrukangula22272 жыл бұрын
Ur very good teacher...
@amosyumbu59635 жыл бұрын
Barikiwa pastor Mmbaga unanibariki sana
@robisonjohnbosco56775 жыл бұрын
Asant pr mmbaga nina balikiwa sana kuto huk kagera, karagwe mungu aingilie kazi zetu atu badilishe kabisa
@loycemgonja26345 жыл бұрын
Barikiwa Pastor
@barakajoseph18165 жыл бұрын
Barikiwa sana Pr,,naendelea kujifunza kila siku,Mungu azidi kukutumia siku zote
@wegesaelias95685 жыл бұрын
Mchungaji asantesana kwa somo hili umeniokoa, tufundishe nasomo la kujipamba kwetu kuweje
@maryammalimu91505 жыл бұрын
Kweli
@godifreypaul94095 жыл бұрын
Mi nachukua point tu hapo.Ubarikiwe mtumishi.
@yekutielgoldstein97125 жыл бұрын
Amina.
@kusakabuga2825 жыл бұрын
Amen
@mussayebete89194 жыл бұрын
Maana mwili wangu umejaa ubaridi ukiniambia na roho ikiniambia nieende alafu roho mwingine ananizuia
@jamesmboga73255 жыл бұрын
Thanks for your inspiring sermons. May the Lord bless you.
@christophermalilah71105 жыл бұрын
Amen
@bauchiza33825 жыл бұрын
Amina.
@marycheupe86135 жыл бұрын
Mungu atusaidie jamani
@Mpakauseme5 жыл бұрын
Wakati nazunguka zunguka hapa uchina nilikutana na mtu mke mmoja akanifuata kisha akaniuliza wewe ni mkristo ni kasema ndio na kisha akalitaja na dhehebu langu nilishanga sana na mpaka sasa bado sijapata majibu sawa sawa
@mussayebete89194 жыл бұрын
Mchungaji kuna mtoto hapa amekamatwa na pepo lakini roho yangu inaniambia niende nikamuombee roho ingine inaniambia nisiende nifanyeje kama upo online naomba msaada
@piterlaiza55765 жыл бұрын
Hakika hakika !!!!!! Sina neno
@janejoseph90095 жыл бұрын
hii ilinikuta mm baada ya kutenda dhambi nikakosa amani nikawa naumia bas baada ya kuomba rehema na kutubu MUNGU akanisamehe ndipo amani ikanirejea tena
@labanmitinje34325 жыл бұрын
Nimebalikiwa na mahubiri, nivizuri Sana kuwa unavoutoa ukweli nanikweli hiyo ipo
@mn94845 жыл бұрын
Kile ninachokisema sana ninakipa uhai
@esternaftari45535 жыл бұрын
Ni kitu unanifundish naomb Roho mtakatifu anisaidie kuelewa vitu hivi
@gracenjoroge68905 жыл бұрын
Nahitaji kuongea na ww Pr...0766564500
@davidmmbaga33505 жыл бұрын
Grace Njoroge +255 755 932 283 piga saa tatu asubuhi
@gracenjoroge68905 жыл бұрын
David Mmbaga Asante
@damchone94785 жыл бұрын
Amen
@mandwashija49925 жыл бұрын
Amen
@neemajacob26835 жыл бұрын
()
@shijamsoma31472 жыл бұрын
Kwanini husomi mafungu ya kuadhimisha ujazo wa Roho Mtakatifu ikiwa ni Ishara ya utambulisho ni kusema kwa Rugha nyingine kama Roho anavyo jalia kutamka unaya katakata yaseme watu waone njinsi ilivyo watu wanakiu ya kupokea kujazwa sio kutafakari au kuhisi maana ni tukio halisi Kumbuka Yesu ndiye aliye sema wata sema kwa rugha Pya mbon huya somi toka pentecoste kwa mitume hawakutafakari walinena kwa rugha wakasikika koronerio naye alisikika akimwadhimisha Mungu kwa kusikia na mitume kuwa naye amepokea Roho Mtakatifu msimzuie Roho Mtakatifu kazi yake katika kanisa waachilieni watu kweli ya Mungu yote kwa unyenyekevu ahsante na Amina
@mandwashija49922 жыл бұрын
@@shijamsoma3147 sijakuelewa hata unachomaanisha, unauliza swali au unatoa ushauri kwangu au kwa pastor?