TAFADHALI ANGALIA SEHEM "A" YA SOMO HILI NDIPO UANGALIE SOMO HILI. KAMA HUJAANGALIA SEHEM "A" ANGALIA KWANZA,NDIPO UTAELEWA.
Пікірлер: 46
@yusuph15474 жыл бұрын
Ninavitu vingi kujifunza nimeelewa sijamfahamu Mungu vizur,ninaamin hata kuomba sijui niakili yangu tu ndio inaomba sio roho
@SalomeMoturi4 күн бұрын
Amen ps. Barikiwa
@leahwainaina43966 ай бұрын
Amen
@leahwainaina43966 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@upendowijengo310 Жыл бұрын
Mungu akubarik Zaid na Zaid mtumishi wa Mungu.
@shukranjulius59102 жыл бұрын
Bwana akubariki
@claracasto76152 жыл бұрын
Pr Ubarikiweee sanaaa
@leahwainaina43966 ай бұрын
Nimebarikiwa nikiwa hapa saudi Arabia
@EsterKasimu-xy1su Жыл бұрын
Uyo ni mimi jamin maombi marefu adharani nimecheka mchungaji. Mungu akubariki
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Kusema ukweli sijawai kunenea sadaka yangu . sikujuwa ni muhimu. Thanks pastor kwa somo hii. From Qatar
@janenjenga56394 жыл бұрын
Hallelulia hili neno ni langu mtumishi 🇰🇪🇦🇪✊✊
@magynzioka11222 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi WA MUNGU
@bahatijohn48773 жыл бұрын
Ubarikiwee sana
@raheemamkambha60134 жыл бұрын
Ameen
@patricejakanyadagi40694 жыл бұрын
Nmejifunza kuanzia leo
@nathanmhuli56 Жыл бұрын
Pr baraka zikuandame
@francismwakio7988 Жыл бұрын
Je Ni lazima kunena kwa ndime kama umejazwa na roho mtakatifu
@nippermshana92604 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana , barikiwa pastor
@barakajoseph18164 жыл бұрын
I feel so much blessed
@verynicemkaro71164 жыл бұрын
Inatukuta sanaa jamani Mungu nisaidie
@ajemwimodoro56804 жыл бұрын
Meditation nzur mno ,,,, ,,,barikiwa Sana Pr Mbaga.....
@shijamsoma31472 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu unaposema kunena kwa rugha sio kuomba katika Roho unamaanisha nini kuwa 1kor 14:14 Nikiomba kwa rugha roho yangu huomba. Kwa fungu hili unasemaje mbn huineni kweli ya Mungu inavyopaswa kunenwa kama hujawahi kukutana na nguvu za roho mtakatifu Mtakatifu Yesu vizuri utaelewa kwanini kunena kwa lugha ni kuomba katika roho
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Mchungaji umenisaidia sana kwa vile nikiomba sikuwangi na maneno ya kusema hata sijawai maliza 10 min kwa maombi. Lakini nimepata jawabu. Barikiwa sana
@mn94844 жыл бұрын
Ninapotoa sadaka niongee rohoni. Nilijifunza hii kupitia Mchungaji nilipoanza kufatilia Mahubiri TV.
@mackynicky82784 жыл бұрын
Mchungaji Mmbaga naomba kuongea na wewe, nakupata kwa namba ipi jamani!!
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Mtafute Facebook lakini hapa huwezi pata jibu Lake
@janejoseph90094 жыл бұрын
😂😂haswaa kuomba kwa akili jaman MUNGU nisaidie
@mwanawambeli77714 жыл бұрын
Pray for me pastor najisi ujungu ndani ya moyo wangu
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
MUNGU AKUPE AMANI,AKUFUNULIE NINI CHA KUFANYA
@janejoseph90094 жыл бұрын
mm mara nyingi natumia zaburi 102 kila niingiapo kwenye sala na kunakipindi niliacha lakn siku moja nikiwa nime lala niliota ndoto ambayo inasema nisome zaburi 102 asubuh ile nashtuka tu nikasema acha niangalie hii zaburi inasemaje ndipo nikakuta ni ileile ambayo niliiacha ndipo nikajuwa kuwa kunauhusuano mkubwa kwenye hii zaburi kulingana na mahitaji yangu kwa MUNGU
@stevenbenson14994 жыл бұрын
mchungaji sisi ni watu ambao tunafuatilia mahubiri yako kwa ukaribu sanaa lakini ninaombi nakumbuka siku moja wakati unahubiri ulisema uliandaa chaneli ya mahubiri Tv ili tuachane na kufuatilia vitu ambavyo havifai vya kijinga lakini je unaonaje ukaandaa Group la wasap ambao litakuwa linatumika juu ya malezi yetu ya kiroho na tutakapo itaji ushauri kutoka kwako au tutakalo tumia kuuliza maswali magumu pale tutakapo shidwa kuelewa tunapo soma biblia please fikilia ivoo
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Steven Benson Mungu akubariki kwa wazo jema,kuna group la maombi tayari! Tuma number kwenye infomahubiritv@gmail.com
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Pia mimi nahitaji kujiunga na hiyo group
@mishyalrawaili11393 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga pasta mungu akubariki Sana nakuombea
@anastaziafrancis1914 жыл бұрын
Pasta naomba kuongea na wewe kwa simu
@davidmmbaga33504 жыл бұрын
Anastazia Francis piga +255 755 932 283
@pheniacepaul2774 жыл бұрын
HIvi pastor hili swala la meditation kwa mara ya kwanza nilisikia upagani, naomba kujua inaruhusiwa kutumiwa kanisani pia, na jee mipaka yake inakuaje maan kule upani wanasema kuna mpaka kufungua jicho la tatu. Naomba siku moja utoe elimu juu ya meditation asante wakati ukilifikilia hili ombi langu.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
PHENIACE PAUL MEDITATION YA KIPAGANI NI HATARI SANA,INAKUINGIZA KATIKA IBADA YA SHETANI KIDOGO KIDOGO,WENGI HAWAJUI!! UNAFUNGUA AKILI YAKO KUTAWALIWA NA NGUVU NYINGINE,UKWELI NI KWAMBA SHETANI HANA JIPYA,ANACHUKUA VYA MUNGU ANAPOTOSHA,KAMA PALE EDENI ALIVYO BADILISHA. KUTAFAKARI NI JAMBO LA BIBLIA ILA ADUI AMEPOTOSHA. Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili kutafakari kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja. Ukipata kitabu changu cha siri ya maombi yaliyojibiwa nimeeleza kidogo. Hata hivyo nitaanda somo hilo Zaburi 104:34 Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Mimi nitamfurahia BWANA.
@nelsonkyando34114 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga asante nimebalikiwa
@AliBaba-fv3rj4 жыл бұрын
I want talk to you pasta pasta
@davidmmbaga33504 жыл бұрын
Ali Baba email me at infomahubiritv@gmail.com or mahubirimbaga@gmail.com
@davidmmbaga33504 жыл бұрын
Au piga +255 755 932 283
@trihanah77254 жыл бұрын
Helloo mutumishi wa mungu nisaidie na namba yako ya whatsap plz niko Dubai