I'm not an Adventist and most Adventists I have known have been Soo critical and looking down on us who worship on Sunday. But since I began listening to this mahubiri TV it's been quite an eye opener. May God bless you and continue using you. You are truly a MOG used by the Holy Spirit. From kitale Kenya 🇰🇪
@unclemesh13 жыл бұрын
Upande gani wa kitale pia mimi mzaliwa wa kitale kenya
@corazonokinyo63243 жыл бұрын
I apologize on their behalf, we all in a journey as Christian's. God help us all
@graceesiabia53793 жыл бұрын
@unclemesh ominde ...kitale town
@queenessiekenya686910 ай бұрын
😅
@timothywandera16813 жыл бұрын
Thanks so much Pst mmbaga ni Timothy kutoka Kenya county ya Eldoret umenijenga sana na mafundisho yako, Mungu na akubariki sana.
@juvelegendary15783 жыл бұрын
Namm nipo tayari kubatizwa
@davidmmbaga33503 жыл бұрын
Uko wapi?
@esperancekahindo74762 жыл бұрын
Asante sana mchungaji, Mungu akubariki.
@wiza230910 ай бұрын
Am so blessed on Choir performing to these Makambi. Pst Mbaga may holy spirit continue to overflow in you. Nabarikiwa sana sana.
@winifridamushi13413 жыл бұрын
Nimefunguliwaaa kwa jina Yesu, Mungu ni mzuriiiiiii ubarikiwe
@rizikichigodi43163 жыл бұрын
Aaaaaamen barikiwa Sana past
@benjaminsabi25093 жыл бұрын
ubarikiwe pastor mbaga
@perisbosibori85243 жыл бұрын
Glory be to our ALMIGHTY GOD. I have really been blessed for the last three days and i thank you pastor for these wonderful teachings. May GOD protect and use you in a mighty way.
@barrackondari51363 жыл бұрын
Asanteni sana Pastor Mmbaga. There is much Truth in your message . God bless you abundantly.
@eunicenyandiko13893 жыл бұрын
Tutafute musaada kwa mwenyezi Mungu,hallelujah Amina
@imaninema26693 жыл бұрын
Asate sana Mchungaji imeni tia nguvu mungu akubariki
@hellenjanganya55513 жыл бұрын
Asante pastor kwa yote umenena Mungu akubariki
@eunicenyandiko13893 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde siku zote mbarkiwa sana Amina
@magorimagori92643 жыл бұрын
Mungu awabariki sana.nawapata vyema kutoka kirumba Mwanza..Muimbishaji aandae timu yake ya kuongoza nyimbo kabla ya kupanda hapo mbele na apitie wimbo kabla ya kuuimba..mfano huo wimbo NATAKA NIMJUE YESU time signature ni 6/8 laki ameimbisha tofauti..Mungu awabariki sana
@saumhamisi73203 жыл бұрын
Amen baba Mungu atusaidie
@LovenessBugali3 ай бұрын
Amen mchungaji ,,nimebalikiwa
@naturaljuicez2 жыл бұрын
Amen ... God bless you
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana. Napenda Mahubiri yako.
@elizabethisaac10743 жыл бұрын
Pastor barikiwa Sana.mafundisho yako ni msaada mkubwa!!
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Kumbe Sauli hakuwa chaguo la Mungu...
@juvelegendary15783 жыл бұрын
Pastor mmbaga somo hili toka ulivyo anza limeniongoa limenitoa gizani 😢
@rosesimon46303 жыл бұрын
Mahubiri ya leo yameniingia moyoni najihis kama nimepigwa short ya umeme
@naomihannahzephrine92293 жыл бұрын
Asante pastor
@user-sr3rn1ty9gАй бұрын
Amen
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Amina
@glorykamenya25433 жыл бұрын
Amen Baba ,samahan naomba unisaidie no yako
@marymaina60033 жыл бұрын
God bless you pastor
@phyjayconsultancyservices2 жыл бұрын
mchungaji tunabalikiwa sana Yesu na akubaliki. tuuzie vitabu online pia. weka PDF na uweke mode of payment hata kama ni kwa dollar. tutavinunua tanavitamani pia.
@Amonsilomba3 жыл бұрын
Pastor na mimi nimehangaika miaka 12 lakini nimesikia somo la leo nami ninafunguliwa sasa
@emmanuelfatael2873 жыл бұрын
Nabarikiwa na ujumbe wako,,mmi ni KKKT nafurah namna Roho wa Bwana anavyokutumia kunifundisha mambo ya ufalme wa Mungu
@notbulgajohn40823 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji kwa mkate wauzima ,nipo kyela natamani Sana kupata hicho kitabu cha namna ya kuisikia sauti ya Mungu.napataje?
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Mafundisho mazuri najifunza.
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Tumaini kwa Yesu nisimuache
@user-fg9zg8yi8q11 ай бұрын
Ni obi e
@leahwainaina43968 ай бұрын
Amen
@bituromazegenja54563 жыл бұрын
Amina
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Amina
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Amina
@onesmoelias85093 жыл бұрын
Nimebalikiwa mno pasta mungu aendelee kukutumia amina