Bwana akubariki sana mtumishi wa Bwana kw kusikiliza mahubiri na mafundisho yako nimepona Kiroho na hata kimwili barikiwa sana.- changamoto zetu Bwana anazijua...
@KennedyOdhiambo-en9xy Жыл бұрын
Pastor mbaga l blessed with your teaching
@leonsamosimtana290711 ай бұрын
Pastor Mmbaga; asante kwa jinsi unavyowasilisha mafunzo yako. Mungu akubariki na uzidi kutufundisha zaidi na zaidi.
@priscaayo3878 Жыл бұрын
Pastor Mbaga Mungu akupe maisha marefu! Unafanya kazi kubwa mno🎉
@michaeldaniel815 Жыл бұрын
Mungu akubarki sana pastor nmebarikiwa sana pastor na somo hili ya maombi
@petroelias7738 Жыл бұрын
Ahsante Sana pr Kuna muda kama mwanafunzi kutokana na changamoto za kimasomo divai inatondika lakini kupitia masomo yako napata moyo wa kusimamia tena na kuona mkono wa Bwana ukigonga na kufanya kazi MAISHANI mwangu ubarikiwe sana na Mungu azidi kukupatia hekima ya kukutumia na KUFIKISHA ujumbe kwa watu wa Mungu.
@Grace-go3cr Жыл бұрын
Amen amen pastor
@agneskalukwa215410 ай бұрын
Pasts asante sana maana umesibadilisha sana nakunifanya niwe karibu sana na Mungu endelee kukufanya baraka
@thebatafly93769 ай бұрын
Barikiwa Pastor sikiwa nafahamu km sijui kuomba
@Grace-go3cr Жыл бұрын
Ni Grace powerfull pastor ni mungu tu amen
@ibrahimumtera7943 Жыл бұрын
Nimeongeza maarifa Mungu anipatie nguvu zaidi ili imani ikua na kuimarika Mungu atusaidie soteeeeeeeeeeeee
@eustina0 Жыл бұрын
Aminaa Mungu atukuzwe kwa mambo yote akutie nguvu na uzima 🙏🙏🙏🙏
@ElieUg-wf9wj Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor kwa ajili ya mafundisho mzuri
@omaka721 Жыл бұрын
Namshukuru sana MUNGU kwa masomo haya. Mchungaji; nimebalikiwa sana na kitabu cha Maombi Yaliyojibiwa na kitabu cha Silaha saba; Ingawa ata sijamaliza kusoma vyote Lakini nimepata Nguvu sana. BWANA akujaze wingi wa fadhili zake za kudumu
@user-bx5nc8ge6r9 ай бұрын
🙏❤️❤️❤️aksanti mtumishi wa mungu umetuongezea mungu akuongezee nguvu 🤔
@Grace-go3cr Жыл бұрын
Amen pastor
@mahalawanamahalawana40199 ай бұрын
Nimekuelewa sana kipenz cha mungu
@theophilekahenga3344 Жыл бұрын
Amina
@dianarobert7953 Жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni akutunze pastor.ubarikiwe zaidi ya hapo.najifunza kila siku kupitia masomo/mahubiri Yako.Napata kitu kipya kila nikisikiliza, Mungu akubariki sana..
@mamdaliko23623 ай бұрын
Naomba mniombee niachane na nguvu za kuharibu pesa kwennye casino nilidhani bola bet si kamali kumbe vyote are One and the same,nashindwa hata kulala ili nicheze bola bet napata hata laki 9 lakini siliziki hata wa nyumba yangu hawajui jambo hili, naomba msaada wako wa maombi nisije nikalala na dhambi hii maana tamaa itanipeleka jehanam help me out with prayers please 21:10 your a chosen one may the good Lord bless you and your family❤
@jaredmayaka2993 Жыл бұрын
Pastor I have been silent but I want to give out what God has done to me and my family I can't wait that wensday
@daudisobera936711 ай бұрын
Pastor niombee na familia yangu . Tuko wagonjea..
@amjudith Жыл бұрын
May God bless everyone.
@pauljoackim2786 Жыл бұрын
MOYO WANGU UNAMIMINIKA MACHOZI KWA MAHUBIRI HAYA! KRISTO AKUZIDISHE ZAIDI YA HAPA!
@felisterminja Жыл бұрын
Baba Nifundishe kuomba, bila wewe siwezi niombee nguvu ishara na ajabu niombee Kama Mungu atakavyo kwa kumtukuza Mungu moyoni mwangu
@leonsamosimtana290711 ай бұрын
msikilize live leo 26/8/23 utapata jibu ya ulichoomba
@reginamwendi2884 Жыл бұрын
God bless your Pastor Mbaga...you truly bless me with your teachings all the way from Kenya
@niceruyembe24888 ай бұрын
10:51 😅
@geraldmwangira.4978 Жыл бұрын
Amen.
@rosebundara580310 ай бұрын
Mama yangu anaumwa sana,
@victoriaprotas2976 Жыл бұрын
Namshukuru Mungu Kwa ajili ya mchungaji mbaga Kwa maana mahubiri yake yamenifanya nikawa na ujasiri wa kusonga mbele
@Catherinemassau Жыл бұрын
Nabarikiwa sana pasor
@jaredmayaka2993 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 mm pastor Niko na testimony for what God has done to me and my family but Niko Saudi Arabia even to be here in this country is a big testimony everyday I see the hand of God
@dorcusmusombi3646 Жыл бұрын
Wee Jared just inbox me ,nko saudi pia ,
@amjudith Жыл бұрын
Nyasae abakwe mono
@danielmacharia6794 Жыл бұрын
wahoo i like these kind of teaching may GOD bless you.
@antoinesanzi6648 Жыл бұрын
Amani ya Yesu iwe pamoja nanyi. Mtumishi nahitaji msahada wa maombi, mke wangu afya yake siyo nzu muda mrefu inaonekana kama ni nguvu za giza mimi ni Sanzi barikiwa.
@ndihokubwayobrigitte6757 Жыл бұрын
God bless you pastor David 🙏🙏
@rachelraphael1355 Жыл бұрын
Mungu akubariki pr Nami naomba uniombee Mungu anisaidie mambo yangu niliyomuomba anijibu
@mbeyacentralsdachurchtv9262 Жыл бұрын
amina
@oman798 Жыл бұрын
AMINA ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@guhumadotto9711 Жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@hope-decoration3902 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana Mungu akuzidishie kipawa zaidi ya hapo mtumishi 🙏
@leilahjaye6413 Жыл бұрын
Amen
@muneemaanzo1853 Жыл бұрын
Mungu akubariki saana
@rehemaedward9494 Жыл бұрын
Mtumishi barkiwa sana,maombi moja kwako , yupo mdada nimhitaji sana anaumwa yupo MWANZA anahtaji matibabu yaharaka Mhimbili,nafedha hana,tumsaidie kwa hali zote Apte matibabu ,
@rehemaedward9494 Жыл бұрын
Mwenye kutaka kumpata huyu mdada aingie Nitetee foundation ya Dr frola ,MWANZA atapewa maelekezo yahuyo mgonjwa
@raheljose9524 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri, ubarikiwe pia Pastor 🙏
@carolinemwugusi8945 Жыл бұрын
Wow powerful msg be blessed pastor
@estermgata9617 Жыл бұрын
Mahubiri TV, ninaomba sana sana ninamtafuta Eveline Mgalama. Dada huyu tulisoma wote na kwa kweli tulipotezana. Huyo Eveline Mgalama nimsikia Pastor Mmbaga skimtaja Eveline Mgalama.
@oman798 Жыл бұрын
AMINA nisaidie kuombea Watoto wangu
@rahimajuma5306 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@LindaMoris-rc5bu Жыл бұрын
Aminaaa
@philipomasanja2373 Жыл бұрын
kwakweli MUNGU atusaidie tujue kuomba MUNGU tusaidiesana
Naitwa Hope kahindo, kutoka DRC, tafazali mchungaji, unisaidiye kwa maombi, nimeshikwa na pepo muchafu ya madeni, hadi nimekimbia nyumba.
@fredooko8573 Жыл бұрын
BWANA akubariki PR
@louiseriziki423 Жыл бұрын
Mimi Baraka kigwati naishi Australia naomba Uniombea uvimbe wa vigo
@jeanneriziki638 Жыл бұрын
MUNGU unaye tumikiya akubariki Nasi kupitiya maneno unatupa tufarijike
@janethfwamba8561 Жыл бұрын
Mtumishi naomba uniombee nivuke kwenye mapito ya maden maana saiz nipo kwenye taa nyekundu Sasa niombee mungu anisaidie kutoka kwa neema zake tu maana peke yangu nimeshindwa
@neymumy419 Жыл бұрын
Dah MUNGU akusaidie kipenz 🙏🙏
@naomimwankusye-pn7pm Жыл бұрын
Mchungaji nisaidie kuombea watoto wangu wawili wanakojia kitandani
@priscaayo3878 Жыл бұрын
Wana umri gani, pqmoja na mombi nataka nikushauri kitu nami mwanangu mmoja alikojoa mpaka nikasema tui ila kuna jambo nilifanya lika wake
@naomimwankusye-pn7pm Жыл бұрын
@@priscaayo3878 mmoja kidato Cha kwanza miaka 12 mwingine miaka 8 darasa la tatu
@naomibita2796 Жыл бұрын
Maombi pamoja na mafuta ya mzaituni unampaka Kila siku anapoenda kulala sehemu za kibofu Cha mkojo ni dawa tosha kabisa atafunga, wangu mpaka form six lakini sasa hivi kapona kabisaa. Hospitali nilizunguka lakini wapi.
@priscaayo3878 Жыл бұрын
Pastor Mbaga somo lako limenigusa sana ! Mungu akubariki sana Mchungaji! Alutunze na akupe maisha marefu
@naomimwankusye-pn7pm Жыл бұрын
@@naomibita2796 nayapataje ndg yangu
@jackline6547 Жыл бұрын
Mchungaji mm nko nyuma yenu sifikii live but I hope God yuko nasi zote
@barikibenson4678 Жыл бұрын
Siku hizi Mapasta ni maneno mingi hadi tunakata tamaa, embu badilikeni. Tafuteni mbinu mpya coz ata shetani anasoma neno katika Biblia siku hizi.
@minzamajinoni1348 Жыл бұрын
Naomba mungu umsaidie mtt Wang arudi shule
@faustermtavangu8212 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana Mchungaji niombee nilipwe fedha niliyodhurumiwa kazini.