KZbin channel ya Tabitha hii hapa, please subscribe kzbin.info/door/gJtYPwNkRIMgqmJ-AMGRPA
@MRST_16622 жыл бұрын
Ilikuwa vizuri sana kufanya mahojiaono na wewe tena thank you so much for having me. Wewe ni mwalimu mzuri. Am always learning something new from you. It was great time as well nimecheka sana! Haha 🤗🙏🏿👏🏿
@wilsonm.73762 жыл бұрын
TN tuambie pia ulitumia njia gani kuingia canada..?
EBM nimevutiwa sana na discussion yenu leo.Big up brother
@just.elhadji__7148 Жыл бұрын
I really enjoyed this kinda podcast.....very informative/Educative for sure❤👍.....I've ever wanted to be in Canada ever since I was young! May God Make easy path for me!😊
@marilynnwafula60912 жыл бұрын
Thank you Brother Ernest. I just discovered your channel a few days ago and I am truly learning a lot. Be blessed.
@kassimmohammed63402 жыл бұрын
mkuu ungetupa muongozo wa kufika canada hii ni ndoto ya walio wengi nikiwemo mimi mawakala wa huku kuja kwenda canada ni wa uongo sana ila kama utatuaminisha kwa kufika huko kwa uhakika utatusaidia sana sana
@safimatola443610 ай бұрын
Mwambie atupe njia za kufika huko
@Drejons262 жыл бұрын
Hata kma kizungu nilikuwa najua ila leo bwana ndo umezikonga nyoyo zetuu … mr EBM wenzio tunapendaga hiz story sanaaa pleaseee tunaombaa utuletee waafrika wengine wengii watupee story zao za ulayaa
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Tutazidi kufanya interviews na watu wengi. Lengo ni kusikia kutoka kwa watu wengine pia kuelezea waliyopitia na maisha yao ya ughaibuni hadi kufikia walipofikia
@michaelrweyemamu10682 жыл бұрын
Kaka hauna namba ya Whatsapp?
@theresiamichael66412 жыл бұрын
kazi nzuri, keep up the good job hususani kufungua macho watanzania na mataifa yanayozungumza na kuelewa kiswahili
@mscantraah82102 жыл бұрын
Thank you so much god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@abiiajmi23992 жыл бұрын
Good conversation
@ramsrafiki12123 ай бұрын
My name is RAMS from congo 🇨🇩 but I live in South Africa 🇿🇦, I want to know about Canada,
@kassimchaku4772 жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana elimu nzuri unawaza vizuri sana unapenda watu wachangamkie fulsa kwa kweli tunajifunza mambo mengi kutoka kwenu huko
@elibarickmateru61939 ай бұрын
Barikiwa kaka uko powa unashusha madini viziri sana
@tariqmgomi71832 жыл бұрын
Nimependa sana hii interview ya leo kaka
@arodiathomas64252 жыл бұрын
Hongera sana kwa kutujuza mambo mengi ya marekani na canada
@dafrosakomba75042 жыл бұрын
Asante sana
@gee_gm2 жыл бұрын
Mzee wa madini! 💪👏👏
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Pamoja sana, asante
@annasolomon98552 жыл бұрын
@@EBMSWAHILI natamani nifike Canada! Na ninafanya kazi ya Sanaa! Ninatengeza vikapu yaani Mimi ni artist! Na kazi yangu inapendwa Sana na hasa wageni.. je nataka kujipanua zaidi kimauzo! Je nitafikaje? Please please kaka EB M...Ninaitwa Anna, ninaishi Arusha Tanzania.
@abdulhafidhswaleh1174 Жыл бұрын
@@EBMSWAHILI habari kaka vp hali naomba tuwasiliane
@abdulhafidhswaleh1174 Жыл бұрын
@@EBMSWAHILI niko na haja ya kujua zaidi kuhusiana na canada
@sultanseifu25552 жыл бұрын
KAZI nzuri Kaka Ebm endelea kushusha nondo
@elibarickmateru61939 ай бұрын
EBM unaelewa sana kazi yako hongera sana
@christophenkurunziza7208 Жыл бұрын
Asante kwa kipindi hiki hata kwa chanel ya EBM Sasa kama inawezekana nipate namna yakuongeya na wewe private thank you
@uniqtraveller2162 Жыл бұрын
Tatizo la hii interview ni kuwa Kaka EBM Swahili unaongea sana! Ni vyema ukampa muda na nafasi unaye muhoji aongee kwanza! Ile interview uliyofanya na Shabani yule anaye endesha magari ya mizigo ilikuwa nzuri sana kwani ulimpa nafasi ya kuongea. Hizi nyingine wewe badala ya kumpa nafasi muhusika wewe ndo unajipa nafasi matokeao yake tunakosa kupata undani na uhalisia wa maisha ya hapo canada. Sad 😢
@Winstonfying2 жыл бұрын
Sisi ni wajumbe wa kamati ya Roho mbovu 😅😅hongera sana bro
@klaussteiner942 жыл бұрын
winston kaka👍 etiii kamati ya roho mbovu😂😂
@Winstonfying2 жыл бұрын
@@klaussteiner94 😅😅
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Hivi youtube channel na tv channel kuna tofauti gani?
@kwizeramo-white608610 ай бұрын
Hi❤❤❤👋👌👌👌🇧🇮👌👌
@user-kb2qu3he6j Жыл бұрын
How about Montreal city can you direct about it
@shekhamohammed5602 жыл бұрын
Nakuelewa kaka video zako unatupa elimu kila wakati nafungua video zako
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Nashukuru sana
@janethngowi878310 ай бұрын
EBM nafurahia sana mazungumzo Yako na jinsi unavyituambia ukweli Watanzania dahhh kwa kweli sisi ni tatizo
@MAISHAYACANADA2 жыл бұрын
Hongera brother hakuna video yako nisiyo fatili umenifungu vitu vingi sana
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Nashukuru sana. Leo hii nipo naandaa videos kama 15 ninaposti. Maana majukumu yalibana kufanya kutoposti videos nyingi. Tutazidi kutoa elimu
@MAISHAYACANADA2 жыл бұрын
Safi sana we ndio imenisaidi mpka nimejua ishu ya green card lottery na mwaka huu nimecheza niombe sana pia nimeomba visa ya Marekani Mungu akisaidi mwakani naweza kuja huko nakutegemea sana uniongoze kwenye kupambana na maisha
@hamsikrasheedi17962 жыл бұрын
mungu akubariki anko kwa elimu unayo tupa ♥🙏🏼
@mrembowakisukuma14472 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka
@safitvswahili17532 жыл бұрын
Ukimya wakutotoa video hv karibuni,nilihis Kuna kitu nakosa madini yako brother!!!
@safimatola443610 ай бұрын
Naomba no yako niweze kufika huko
@bajunimgunya85592 жыл бұрын
EBM UNASAIDIA SANA MKUU...kutoka Tanzania
@user-jt6it7ij7h Жыл бұрын
Dada naomba unipatie maelekezo n mm nkatafute maisha
@CheerfulJackalope-uu9ls4 ай бұрын
Niunganishe na kambun za ajira canada
@IssaIddi-vb9yi5 ай бұрын
Kaka wewe unazaidi ya miaka kumi ulaya ila kiswahili akijabadilika,naomba nijue uyo unaye muhoji anamuda gani Canada mbona kama kinampa shida kiswahili au ndio arikuwa bongo Bahati mbaya
@richardhosea88272 жыл бұрын
Jamanii huyu Tabiza eti hajuwi kiswahili
@klaussteiner942 жыл бұрын
yan aiseee kaka rich acha brooo 😅😅😅
@rwambukiranafreddy46562 жыл бұрын
From rwanda Nakupenda sana kaka nani naskiliza sana Chanel yako
@salhinashabani79952 жыл бұрын
BONGO... MWENDO WA KICK TU..... HAHAHAHAAAAAA.....
@klaussteiner942 жыл бұрын
salhina🙌🙌😂😂
@raheemaathumani86632 жыл бұрын
Najifunza vingi sana kaka
@rehimajone75082 жыл бұрын
Kaka mimi nahitaji mahojiano na wewe kuhusu kupata scholarship ya binti yangu
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Je mume wako anakuzuia kuwahudumia wazazi wako kwa kuwatumia pesa?
@janemakemo5635 Жыл бұрын
Nimekupenda dadamaneno mazuri kuliko wooooote walio ojiwa
@eveassey51622 жыл бұрын
Kama nime fanikuwa kuja Canada nilazima nichanjwe chanjo ya Corona? Pia hizi chanjo ni salama kwl makulilo? Tafadhal nielimishe bro
@richardhosea88272 жыл бұрын
Mha muongo ni wachache sana waongo wabembe ebana wee Erenest anasaidia sana
@DaudKhamis-vp7nd Жыл бұрын
Mbona mishahara hamtaji
@adoranancy909311 ай бұрын
😂😂😂 nielimishe tafadhali. Kiki ni nini please
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Nimecheka sana hapo kwa kiingereza na kuhusu watoto kudate, na EBM mwenyewe kudate..,hapo ni mimi kabisaa, kama ningetaka kuishi bongo ningedate mswahili😂😂 Kwa kweli nimeikuta hii channel yako siku cheche hizi hata wiki mbili bado, lakini nimependa sana maongezi yako EBM. Big up nitashea sana kurasa zako.