MAISHA HALISI YA MAREKANI NA ULAYA - JIFUNZE KABLA HUJATEMBELEA AU KUISHI ULAYA NA MAREKANI
Пікірлер: 83
@reinholdmujuni58283 жыл бұрын
ahsante kwa mada nzuri mimi naomba mawasiliano yako kiongoz nitashukuru sana am Stanley
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
nicheki kwenye e-mail ebmakulilo@yahoo.com
@michaelkerenge55373 жыл бұрын
Nimependa everything kwenye hii topic, unaweza ukamsaidiaje kijana mwenye ndoto za kutafuta maisha ughaibuni na ambae yuko tayari kuanza chini kabisa??
@teimatata3 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe kweli ❤️
@bushsutimeline7663 жыл бұрын
Very interesting topic
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Thanks
@victornzebele39903 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu hii
@octovinarichard726311 ай бұрын
Hapo umesema kweli unafanya vizuri tunamshukuru Mungu akubariki sana
@victornzebele39903 ай бұрын
I had already subscribed to your channel #EBM
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Good job my brother Salam zangu kutoka neworleans Louisiana
@hamidkhamis43262 жыл бұрын
I like yr presentation
@kisalaTV2 жыл бұрын
Umeongea kweli tupu. Hapo kwenye mazingira
@nelealameck53763 жыл бұрын
Asante kwakweli umetufungua macho
@nasibugunda79272 жыл бұрын
Kaka umepiga brush ubongo wangu kwa video zako ,hongera sana
@ziguaboy18153 жыл бұрын
Fact bro
@carolynediana78413 жыл бұрын
Asante Sana naomba unisaidie nifanye kazi za ndani 🙏
@jumasaid76432 жыл бұрын
KAKA safi San
@stephansimkoko1193 Жыл бұрын
Mungu akubaliki kea kazi hio!
@laketanganyikazc86052 жыл бұрын
This is good
@binsultan55722 жыл бұрын
Ahsante sana kwa video nzur...Nmekuwa nakufuatilia kila sana video zko..!!
@MRST_16623 жыл бұрын
Ukweli tuna fikiria Maisha tunayoangalia kwenye movie ndo maisha yote yahuku that was me hahaha
@Elimishatv4 ай бұрын
Natamani sana huko
@julianasimbe54463 жыл бұрын
Nimesha subscribe, nakupata ndugu.
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Nashukuru sana, ubarikiwe. Please share na kwa wengine
@aziadubayi78743 жыл бұрын
Its that true my brother
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Thanks
@getrudamatoto52773 жыл бұрын
🙏
@user-po7dv7tk6g7 ай бұрын
Nina swali,Mimi ni mkimbizi na nimeshanza ingia mu settlement Sasa nimaisha Gani au utofauti Gani kwa mtu amekuja USA kwanjia ya Green Card na kwanjia ya ukimbizi ( settlement) watoto au wakubwa wanasaidiwaje wakifika huko asante
@King_Of_Everything4 ай бұрын
✌️👊👍.
@BaigonMacha9 ай бұрын
Habari za asubuhi kk
@suleimanameir54262 жыл бұрын
Naomba kuliza nimesafiri na mwenyegi wangu hakufika kunipokea nifanyeje U
@kevinkasanda30192 жыл бұрын
Mimi nataka niende Marekani 🇺🇸 kwa mchumba Wangu,nifanyeje sasa???
@reubenjoshua35402 жыл бұрын
Bro,nahtaji kupata mwanamke wahuko USA anioe nije huko,je nampataje maana Niko tz,au nitumie network gan nimpate
@sekikigosi82652 жыл бұрын
Yani unaongea ukweli mpaka raha big up.
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Nashukuru Sana
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Unakuwa mkweli sana Mr EBM, kama ni hukumu utapatiwa kifungo cha maisha😁
@shabiruponera4323 Жыл бұрын
Kwaiyo ukija huko kuosho vyombo hela haziingiii😅😅
@nurdinshekivuli4684 жыл бұрын
nakukumbuka sn kaka UDSM .....let us chat well next time...
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Pamoja sana
@officialgakankara3 жыл бұрын
Najua ushaliongelea sikukuelewa vizuli kwasabab ilikua kiingeleza, baada ya kushinda green 💳 Unatakiwa uwe na kias gan cha hela ila ukitowa galama ya visa na migration pia ukitoa na tikek ya ndege
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Huwa hakuna kiasi maalumu kinachowekwa kwa viza yoyote ile isipokuwa viza ya uanafunzi ambapo gharama hutokana na ada ya chuo na hela ya matumizi ambayo inakuwa estimated na chuo husika. Nje ya hapo ni kuangalia kuwa na kiasi ambacho unaona kinaweza kuwa ni kikubwa
@josephatjosephat42695 ай бұрын
Hapa Tanzania ofisi yako iko wapi
@6elim123 жыл бұрын
Mimi nna ndoto za kuja USA vipi maisha ya uko
@patrickbategereza76832 жыл бұрын
Mazur sana karibu
@nabotikanyika2 жыл бұрын
Sawa nimekuelewa
@antidiuserasmus8772 жыл бұрын
Fursa za kazi zikoje marekani, mfano soko la kufundisha lugha ya kiswahili, au hata kufanya shughuli ndondogo.
@johncornel94363 жыл бұрын
hahaha brother makulilo umenichekesha eti niangalizie mtoto naenda sokoni, eti mpesa
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
hahahahaha ndio hivyo mkuu
@wilsonm.73763 жыл бұрын
Nakufatilia kaka, tuambie ukweli kuhusu kuja amerika kwa njia ya kusoma, maana mtandaoni kuna vyuo ada hadi usd 3000, je ni kweli!? maana nikiweza kumeki naweza kuja kwa njia ya kusoma na kulipa ada kidogo na gharama za maisha then kutafuta kazi na maisha kuendelea.. je inawezekana? kuna ukweli? maana scholarship inahitaji ufauli mkubwa na age ni 4++
@gracepemba70252 жыл бұрын
Kazi yangu ni saloonist na massage,pedicure na manicure je naweza kupata huko,unaweza kuniunganisha
@partmalila19493 жыл бұрын
Samahani swali langu ni kwamba ili kupata udhamini wanaangalia vigezo gani?
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Wanaangalia level unayotaka kuomba, matokeo yako, uzoefu wa kazi iwe ya volunteer au paid jobs, recommendation letter, statement of purpose nk
@this_is_chriss42963 жыл бұрын
Bro I want to talk to u
@ruhumurizarobert9902 жыл бұрын
Ninge penda sana ukuwe ulifanya videos zakuonyesha umasikini namadhaifu ya marekani, ili wale Wa agenda ugaibuni bila mpango wajue haweendi mbinguni, asanteni
@albertnyakondo373 Жыл бұрын
Maisha ni kupambana
@womanofprinciple47033 жыл бұрын
samahan kaka agu mimi naomba uisaidie kupata scholarship marekani
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Una level gani ya elimu na matokeo yapoje? Scholarships nyingi ni kwa ajili ya level ya masters and PhD
@jennahlisa40883 жыл бұрын
Kazi nzuri sana kakangu
@hudsonhenry18492 жыл бұрын
Jinsi ya kujaza resume
@faridamhanga44433 жыл бұрын
Naomba unisaidie nikafanye kaz za ndani norway
@Zack_lamar2 жыл бұрын
Naomba kuuliza ukishinda DV visa hiyo interview kunauhakika kiasi gani kupata naomba uongelee baada ya kushinda step zinazofata
@mwajumashabani25383 жыл бұрын
Je kama mume wako amepata bahati ya kuwa kule na kufanya kazi.na bado hajapata green card je anaweza kunialika mke wake nikamtembelee.
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
invitation letter sio lazima uwe raia wa Marekani au uwe na Green Card. Kuja kumtembelea unaweza kuja, kikubwa ni wewe unayekuja ku-prove kwa mtoa visa kwamba hutozamia huku kwa kuonesha vitu vitakavyokufanya/kukushawishi kurudi nchini kwako mara baada ya siku ulizoomba kutimia
Ninawezaje kumpata sitaki kuishi marekani Bali nataka kuoa mwanamke wa kizungu nifanyaje .
@abdallabakar29673 жыл бұрын
Napenda video zako nhitaji mawasiliano yako ya private
@bingo57channel323 жыл бұрын
Mm natamani kuoa mwanamke wa kimarekani .
@mwanzaboy15482 жыл бұрын
Jee kwamtu ambae anaitaji kujauko kutafuta maisha yanihana elim yoyote kaishia lasabatu anataka kujakutafuta maisha mitaani ikoje Wana i
@saidally8043 жыл бұрын
Kaka mimi natamani sana kwenda marekan ila sasa sina mchongo wowote hata sielewi nifanyeje naomba unifanyia mpango niende marekan
@godymussa19193 жыл бұрын
Umesema vema sana sas kaka unachokisem nikweli kwann haulud nyumban
@antidiuserasmus8772 жыл бұрын
Vp kuhusu mtu kuzamia, nasikia shida ya kuzamia IPO kwenye ukitaka kurudi, na je vp ukiwa una visa ambayo ni temporary ni lazima kuwa na ticket ya kurudi?
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Mimi nimeigia marekani na meli.maisha nimeyaona.mandeni mengi. Nadaiwa so much many ten thousand dollars
@abdallabakar29673 жыл бұрын
Huna host unaanzaje first unafika America cheap au unakaa hotel kwanza
@kimariokimario15183 жыл бұрын
Tunaomba namba zako kaka kwa kuongea private au sms au WhatsApp
@aziadubayi78743 жыл бұрын
Maisha yako age uko USA I love you visiting usa
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
Inategema mtu na mtu, kuna mwingine anayafurahia mwingine anayachukia. Kwa upande wangu, ni mazuri. Na ninapenda wengi hata watembelee nchi hii au nchi zingine kujifunza mambo mengi kwa wengine pia
@hamsikrasheedi17968 ай бұрын
🫡♥
@asiaoman30402 жыл бұрын
Naomba nomba yako kk
@EBMSWAHILI2 жыл бұрын
Ukienda www.ebmscholars.com utaona namba
@seifomar11483 жыл бұрын
Mambo vp mkuu. Mm nataka kuishi markani ila naomba unisaidie mualiko tuu mengne ntamaliza mwenyewe 0678579077
@vunjambavu1643 жыл бұрын
Samahani unaweza kusoma Ngazi ya cheti marekani hata kama una division four na ukaenda kusoma huko