Maisha ya Marekani: Kukaa ndani, Upweke, Nyumba, Magari nk

  Рет қаралды 403,978

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

3 жыл бұрын

Maisha ya nje ya nchi mfano Marekani yana changamoto kadhaa hasa unapokuja ukitokea katika nchi za Kiafrika kutokana na utamaduni tofauti. Miongoni mwa changamoto hizo zimeongelewa kwenye video hii

Пікірлер: 689
@henrymuiruri813
@henrymuiruri813 2 жыл бұрын
Napenda kuskia watanzania wakiongea Kiswahili 🇰🇪
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 2 жыл бұрын
Pia napenda kuskia Wakenya Wakiongea Kiswahili sahivi nipo Kenya nainjoy kiswahili chenu I'm from Tanzania
@polytarimo324
@polytarimo324 2 жыл бұрын
Mimi pia napenda kiswahili cha Kenya big up
@hashimshaban4675
@hashimshaban4675 2 жыл бұрын
Hata mimi hasa nikisikia wa Mombasa wakiongea napenda sana
@Kreedo1110
@Kreedo1110 2 жыл бұрын
Napenda kuskia Watanzania na Wakenya wakiongea Kiswahili pia - kutoka Marekani ❤️
@peterkanyi1525
@peterkanyi1525 2 жыл бұрын
Live and die in Africa. I love this continent. I have been out to europe but i missed my Africa.
@pamelawanderaofficial6257
@pamelawanderaofficial6257 2 жыл бұрын
Very true. Nyumbani bora
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 жыл бұрын
Woow. I wish one day to be there friend though Afri is best
@_kandybill
@_kandybill 2 жыл бұрын
Am an introvert, can live in such a place with full peace of mind...I hate crowded areas with all my heart,i love deserted greeny places
@suibs2841
@suibs2841 2 жыл бұрын
Same here
@vincentmulwa9553
@vincentmulwa9553 2 жыл бұрын
Mental health
@TREASUREZION8
@TREASUREZION8 2 жыл бұрын
Most welcome to USA 🇺🇸🇺🇸👏🏽👏🏽👏🏽we are happy 😂
@TeeTee-bx8bk
@TeeTee-bx8bk 2 жыл бұрын
@@vincentmulwa9553 haha jamani
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 2 жыл бұрын
Also am an introvert ✍️✍️
@evalinefredrick7332
@evalinefredrick7332 2 жыл бұрын
Maisha ya Marekani ukilinganisha na Tanzania kuna mengi ya kujifunza. Kwa upande wangu siwezi kuishi Marekani kwani sintaweza kuwa na shamba, trekta, mifugo na nyumba yangu kwa kipato changu hili. Ila Tanzania ninavyo vyote na maisha ni rahisi sana. Tatizo la huku kwetu ni upatikanaji wa kazi za kujipatia pesa. However future sasa ipo Africa ndiyo maana wazungu wanakuja Africa.
@pamelawanderaofficial6257
@pamelawanderaofficial6257 2 жыл бұрын
Kweli kabisa tena starehe ni nyingi hamna kuboeka. Amerika kuzuri tu kutembea na kurudi nyumbani iwapo umefaulu kuwa na investment ya kwako
@salehbinkhamis1597
@salehbinkhamis1597 2 жыл бұрын
Yes brother
@marywangari7573
@marywangari7573 2 жыл бұрын
Kqeli
@morrismorrison2819
@morrismorrison2819 Жыл бұрын
Alafu tunawaachia...wananunua aridhi yote
@edwardchege2623
@edwardchege2623 2 жыл бұрын
Lived here for ten years, true it's a very lonely place. Came back to Kenya and I am really happy, I feel more fulfilled. Working at a gas station was my favorite coz I met loads of people from all walks of life, from drug dealers to doctors, criminals to business people, most people just needed to be listened to coz for a matter of fact they are lonely, I shared about Christ coz some never really heard about God.
@mosesodhis365
@mosesodhis365 2 жыл бұрын
So they still have a lot of drug dealers with all the rules?
@nechalauwo
@nechalauwo 2 жыл бұрын
He is not a kenyan @Moses Odhis
@edwardmukama9607
@edwardmukama9607 2 жыл бұрын
Great ! we should tell them about Jesus for their salvation
@pauladero1756
@pauladero1756 2 жыл бұрын
@@mosesodhis365 5
@edwardchege2623
@edwardchege2623 2 жыл бұрын
@@mosesodhis365 watch Dayz of Noah- clipper ships and you will see the bigger picture on the subject
@janetmorgan2283
@janetmorgan2283 2 жыл бұрын
It's better than being broke n lonely 😭.
@bettynish6284
@bettynish6284 2 жыл бұрын
😊
@verceskaingu1372
@verceskaingu1372 2 жыл бұрын
Haha ww
@alexkabazo5388
@alexkabazo5388 2 жыл бұрын
Teach them people in Africa to know about life in America sio paradise is on earth epant diers I'm alex from congo moba tanganyika iliving in America 🙏 God bless
@kamanda007
@kamanda007 2 жыл бұрын
Hakuna upweke hapo, maisha mazuri sana hayo...PRIVACY!!!
@mohammedeisa9613
@mohammedeisa9613 2 жыл бұрын
Na ongeza wazimu
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 3 жыл бұрын
Safi Sana nyumba ipo vizuri na mazingira pia nimepapenda
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 3 жыл бұрын
Nimefurahi kusikia hivyo
@marthakimia4075
@marthakimia4075 2 жыл бұрын
Nakupongeza sana tunajifunza mengi kutoka kwako hasa utamaduni wa wenzetu. Mungu akubariki sana
@newtonsimba7930
@newtonsimba7930 2 жыл бұрын
Very nice. Umetuelimisha vyema. Barikiwa ❤️🇰🇪.
@muhammadmochenje1409
@muhammadmochenje1409 2 жыл бұрын
Proud to born in Africa najivunia kuwa muafrika twaishi kwa tangamano na ujirani hatuna upweke
@melissaporter5928
@melissaporter5928 2 жыл бұрын
Apparently you don't know a lot of African Americans.Because there is no such thing as lonely in the African American communities Especially in the South in the smaller towns where most African Americans treat each other as family.Don't speak on something you don't know
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Marekani naipenda mnoo asa kwa watu weus wenzangu Atlanta kwakwel kunanikosha katika maisha kuish nkiambiwa nichague Jimbo ni Atlanta Georgia 😍💞🤦
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 2 ай бұрын
Mhh tell whats special dear
@ludobudege1662
@ludobudege1662 2 жыл бұрын
Asante sana umenipa Somo kubwa sana wabongo wengi wanamtazamo eti kila aliye marekani ana mahela kumbe sivyo
@fegow-farmland8399
@fegow-farmland8399 2 жыл бұрын
Tanzanians are always like that😁😁
@simbarichards1855
@simbarichards1855 2 жыл бұрын
Yeah! A friend of mine told me that US is a very lonely place. You may not want to live there in the first place. Yaani huna mtu wa kuongea na yeye😂😂 sitaki, wacha nishi Kenya
@maureenauma7397
@maureenauma7397 2 жыл бұрын
mimi natamani kuenda tu kuwork ,since huku kupata job ni noma
@mwanikimburu
@mwanikimburu 2 жыл бұрын
Shukran ndugu MTz kwa kuelezea hali ya maisha hapo Marekani. Kweli maisha hayo ni bills na pweke chungu nzima. Sidhani kama nayaweza hayo maisha, napenda hapa kwetu Kenya. Pia shukran kwa kuelezea chanzo cha jina meli. Hilo sikujua... kazi nzuli lakini and keep it up brother
@sharifukilongo2565
@sharifukilongo2565 Жыл бұрын
Hayo maisha ni mazuri sana,coz hakuna umbea
@fundieddy9164
@fundieddy9164 2 жыл бұрын
Habari za namna hii huwa zinaongeza ufahamu na kutegua baadhi ya vitendawili vya ughaibuni. Asante sana, ninakutakieni kila lenye heri.
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 2 жыл бұрын
Apomimi nimepapenda sana naweza kuishi 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@maryjohn1436
@maryjohn1436 2 жыл бұрын
Asante saana nimesoma geni leo kuhusu meli.congratulations
@zeinababdi4757
@zeinababdi4757 2 жыл бұрын
Everything is clean and organized here, beautiful
@deecee9741
@deecee9741 2 жыл бұрын
Ehee, ebu waelezee.
@fungukamedia4545
@fungukamedia4545 Жыл бұрын
🇹🇿nakupata Sana barikiwa brthr Tunajifunza vingi kupitia wewe
@xingho3990
@xingho3990 2 жыл бұрын
Kaka hongera kwa maisha ya ng'ambo umeyapatia umepigana vyakutosha Mungu akubariki. Lakini nyumba hukutuonesha ndani.
@somediscovery5988
@somediscovery5988 2 жыл бұрын
I can't understand Swahili but the video is adorable
@adamtawete5865
@adamtawete5865 2 жыл бұрын
Habari bwana Makulilo za siku
@Bagenzi4life
@Bagenzi4life 3 жыл бұрын
Ninapenda the way unavyo tupa habari kwa habari unatufafanulia vizuri maisha ya uko ulipo asante sana baba Love from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 3 жыл бұрын
Nashukuru sana
@nasoroliheka9311
@nasoroliheka9311 2 жыл бұрын
Tunashukuru unatupa mwanga
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 жыл бұрын
Tupe dawa the great makulilo nimeijua marekani kama vile nipo huko.kupitia EBM.endelea baba.
@ruhangamunyaneza6551
@ruhangamunyaneza6551 Жыл бұрын
Ndugu yangu asante sana kwa kutupesha habari nzuri tunakuombea uzidi uwenamafaanikio mdawako wote asante
@harunamwaholi6551
@harunamwaholi6551 2 жыл бұрын
Asante sana kutufungua maisha ya huko marekani from mbeya Tanzania
@ceciliakioria3357
@ceciliakioria3357 2 жыл бұрын
Thanks From Kenya Keep on posting to educating our African people
@lucasmfaume6673
@lucasmfaume6673 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka kweli maisha yanaitaji kuvumilia pia
@machumujuma6399
@machumujuma6399 2 жыл бұрын
Maisha yetu huku Tanzania na Africa ni mazuri sana japo hatuna kitu ila ni ya furaha sana na umoja wa hali ya juu. Mm binafsi maisha hayo hayo ya kujifungia ndani siyawezi
@gradnessshitindishitindi4881
@gradnessshitindishitindi4881 2 жыл бұрын
Waooooooo nmewapenda bureee mnavowajari viumbe wengine naona ndege wana enjoy sana
@junenadine6512
@junenadine6512 2 жыл бұрын
The fact that many american homes are not gated or fenced like kost aftican homes gives me anxiety,aso due to this issues addressed,the level od depression,loneliness and schizzophrenia is very high, God bless our african family values,neighborliness and togetherness Love from Nairobi
@ROLLWITHLIZ
@ROLLWITHLIZ 2 жыл бұрын
I hear you on that very true, Africans are so warm and you feel a sense of belonging and that’s why depression is not common or suicide
@janendegwa5462
@janendegwa5462 2 жыл бұрын
You don't need a fence coz none can walk to your yard or step on your grass it's trespassing,the only people who come to your door are people you know or Jehovah's witness , or postal workers ,f you have a crime emergency the police arrive in 5 minutes so a tence is not necessary in Kenya a fence is a must to make t more difficult for thieves
@issamanyota
@issamanyota 2 жыл бұрын
Dah brother nimeipenda hii natamani siku moja nije huko ughaibuni 👐❤🇹🇿
@robertwakhu
@robertwakhu 2 жыл бұрын
This is quite enlightening!
@bensonnyaga2852
@bensonnyaga2852 2 жыл бұрын
I love it.from Kenya
@itNeza
@itNeza 2 жыл бұрын
Asante sana Kaka mkubwa, Pazuri kweli🇷🇼❤️
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 2 жыл бұрын
Namshukuru xn Mungu kwa kuzaliwa tanzania Mana maisha ya bongo ya matamu cna xx mm niishi uko Bila mchanganyiko
@nyembomajidi3027
@nyembomajidi3027 2 жыл бұрын
lakini yeye ka sema utamaduni wa marecani lakwetu utamaduni africa kuwa wamoja mtaani hakuna kosa yeyote kila watu na utamaduni wao.
@frankbunini9898
@frankbunini9898 2 жыл бұрын
Endelea kutujuza zaidi kiongozi. 🤝🙏
@MamuMichael
@MamuMichael 2 жыл бұрын
Big up nimeipenda sana truth to be told. 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@petertimothy7882
@petertimothy7882 2 жыл бұрын
Safi sana. Endelea kutuelimisha hali halisi huko. Nimefurahia sana mazingira unayokaa na jinsi ulivyofanya bidii kuwa na nyumba nzuri hiyo. Endelea kupiga kila Sehemu na kutuelimisha. Tutafurahia ukituonesha mitaa ya New York, Texas, Washington, Los Angeles n.k.na kutuelezea maisha ya kila Sehemu husika na changamoto zake. Hata kama hutapiga picha Sehemu hizo nilizotaja, unaweza kupata picha safi toka vyanzo vingine na kutupia humu. Let people know about Amerika na Ulaya Maisha na Changamoto. Pili, wengi hatujafika huko.Tunahitaji kuona palivyo na Changamoto zake. Well-done bro🙏
@andrewl3039
@andrewl3039 2 жыл бұрын
Awesome review, very informative 👍. Asante ndugu
@mercymeriy7851
@mercymeriy7851 2 жыл бұрын
I just like the way He explain it in details...
@bas2823
@bas2823 2 жыл бұрын
Hi! How r u all🤝 my first time to Arrived in AMERICA! n Stay was in Saint Louis Missouri. Near the Missouri Big Arch, Missouri big Lake. Then we moved to Edward Vile, I Illinois n then we ending in Florida to Collage States in USA. Now im in Oman, In the Sultanate of Oman👌
@MM-oe2eo
@MM-oe2eo Жыл бұрын
Thanks bro. Video nzuri sana. Mtu kabla Mungu hajakuchukua inatakiwa uishi Marekani angalau kidogo.
@salhakundawi3066
@salhakundawi3066 2 жыл бұрын
Wewe ni mtu mzuri ata the way unavyoongea then nimeona uko simple bro Makulilo, love from tz.
@davidnyabuga3119
@davidnyabuga3119 2 жыл бұрын
Maisha mazuri bro thank you..
@hammelmoussa2158
@hammelmoussa2158 2 жыл бұрын
Salama brother 🙌🙌 hapo sawa kwa musmamo unao marekani sikuegine tufafaurie maisha ya kawaida ina endereaje siku kwausiku. Asante 🙏
@TeacherBeatrice_
@TeacherBeatrice_ 2 жыл бұрын
No wonder wazungu wanapenda kuja holiday Africa.warm climate,warm socialization
@pamelawanderaofficial6257
@pamelawanderaofficial6257 2 жыл бұрын
Yes they actually save for that.
@jejo4569
@jejo4569 2 жыл бұрын
Who said USA doesn't have warm weather's? California, Nevada, Florida , Texas are sunny states almost all year around just like Adrica.
@willydugilo3258
@willydugilo3258 Жыл бұрын
Asante Kwa muda wako!! Wewe ni rafiki tusiejuama!! Unafanya Kwa upendo na sisi wenye matarajio ya kufika huko tuwe na picha!! Ubarikiwe ndugu
@CalmWhiteNoise5
@CalmWhiteNoise5 2 жыл бұрын
Asante kwa video hii.
@fanwellmwalukasa9123
@fanwellmwalukasa9123 2 жыл бұрын
Mi mkali nimekukubali sana uko vizuri naomba uwe unatujuza kwa staili big up sana hongera
@barakamsungu5260
@barakamsungu5260 2 жыл бұрын
Upo vizuri brother na hongereni manzari ni kijani kibichi na tulivu,pia asante kwa taarifa kama hizi ili tuweze kujua wenzetu wanaishi vipi,one love brother 🙏
@zaphaniaambuka7192
@zaphaniaambuka7192 2 жыл бұрын
Shukrani kwa kuangazia swalahilo
@jeromemwenda2702
@jeromemwenda2702 2 жыл бұрын
Kongole EBM! Maelezo mazuri sana, asante kwa kutuelimisha!
@rosembaga2658
@rosembaga2658 2 жыл бұрын
Unapadaa na mbogaaa weee nimekupenda😀😀😀😀
@megb4914
@megb4914 2 жыл бұрын
It's so boring in the states..I can't wait to go bk home soon in my lovely country kenya
@customersinvoices6990
@customersinvoices6990 2 жыл бұрын
Makuliro, nimefurahi kwa kupata picha kamiri ya life ya marekani. Endelea kutupa mazuri. Shaba kutoka Kigali-Rwanda
@polytarimo324
@polytarimo324 2 жыл бұрын
Yes smart life
@deedee3614
@deedee3614 2 жыл бұрын
Yaani bro hilo suala la upweke ni mpaka huku UK. Hasa ile miaka ya kwanza unapohamia. Ila ukikaa you make friends and eventually have a social life. Sema napo inabidi mtu ukifika tu utafute kazi fasta ndio pona yako.
@salminasalim5630
@salminasalim5630 Жыл бұрын
Hongera sana Mashaallah MMUNGU akubariki sana na azidi kukupigania unaroho nzuri sana unatueleimsha wala hujivuni ubarikiwe
@hassanmdoe8425
@hassanmdoe8425 2 жыл бұрын
Aisee uko vizuri,naomba mawasiliano yako.
@Borntown_7G
@Borntown_7G 2 жыл бұрын
Big up bro, your are okay,,. Thanks for exposure
@brotherdekaka
@brotherdekaka 2 жыл бұрын
kazi safi kaka braza,
@albertogwankwa799
@albertogwankwa799 2 жыл бұрын
Waaaaa kazi mzuri
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Asante sana Kwa kuelimisha!!
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 жыл бұрын
😁😁😁😁 Nimefurahi sana, all the way from Minnesota. Tanzania moja.
@eustacelukindo2172
@eustacelukindo2172 2 жыл бұрын
mkuu naomba nomber yako mimi ni track Driver Tanzania
@tonymnyama4129
@tonymnyama4129 2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka nimependa sana ,na ninandoto ya kuidhi marecan
@josephtairo4944
@josephtairo4944 2 жыл бұрын
Fencing is an expensive undertaking and you need surplus to think of doing an attractive structure. In Europe and other snowy areas you will find fencing unwanted and not practical. Again when you put up an expensive house without a fence you feel not secure depending on the neighbourhood and security issues. We cannot copy many things from US or Europe given the varied cultures and economies. The video is very educative. I salute.
@ChrisKibuku
@ChrisKibuku 2 жыл бұрын
I really like your explanation. watu wengi hawawezi kuelezea hivo.
@calvinsosthenes2978
@calvinsosthenes2978 2 жыл бұрын
Nimependa Sana vipindi vyako Kaka,, nimejifunza mengi Sana kutoka kwako
@samuelopati7916
@samuelopati7916 2 жыл бұрын
Content Safi ndugu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@leaymwagilu7494
@leaymwagilu7494 2 жыл бұрын
Unaerewekaa vizuri kaka
@nicolastitus568
@nicolastitus568 2 жыл бұрын
Hongeleni mna maisha mazuri sana
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 2 жыл бұрын
Nashukuru sana
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 жыл бұрын
Heeeeee siyo Tanzania watu hawaishi barabarani kutwa kutembea,wengine bila sababu yoyote.asante kaka kwa kutujurisha
@modestmkali3436
@modestmkali3436 2 жыл бұрын
Hayo ndio maisha sasa, kutoka unakutana na watu, huwezi kuelewa kwasababu huyaishi, maisha ya Marekani magumuuuuu
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 жыл бұрын
@@modestmkali3436 sio Maisha ni vile tu huku ujobless mwingi
@saviomlelwa
@saviomlelwa 2 жыл бұрын
Tunashukuru Sana Kwa kutufundisha utofauti wa maisha Kati ya markani na Africa. There is big cultural differences between Africa and America or Europe. Thanks
@peterraymwasha2362
@peterraymwasha2362 2 жыл бұрын
elimu nzuri sana hii
@africangirllifestyle7686
@africangirllifestyle7686 2 жыл бұрын
Marekani Ni sehemu napaogoap sanaaaaaaa
@joshuakinabo6861
@joshuakinabo6861 2 жыл бұрын
Nzuri sanaaa one day yes
@petrobenson2932
@petrobenson2932 2 жыл бұрын
Ok ,umeelezea vizuri
@mbuvibetty1116
@mbuvibetty1116 2 жыл бұрын
Asante kaka kwa kutujuza.Natamani maisha ya utulivu kama hayo.sometimes living one's life without alot of interractions with people can be enjoyable and peaceful.
@verceskaingu1372
@verceskaingu1372 2 жыл бұрын
Hi betty
@ngeisimon2701
@ngeisimon2701 2 жыл бұрын
Wooh God bless u ata kama cjafika america nimeona vyenye kuko.
@daktariwakienyeji
@daktariwakienyeji Жыл бұрын
Perfectly said ❤️
@kiarieben9883
@kiarieben9883 2 жыл бұрын
Kazi safi sana bro ..i am from Kenya... keep up
@charleslwanga6317
@charleslwanga6317 2 жыл бұрын
Umenielimisha sana mkuu. Big up
@hillarykirwa7558
@hillarykirwa7558 2 жыл бұрын
Cheers bro Makulilo Watching from Kenya...I have been following you through this platform and for sure your stories are inspiring.Thank you so much for taking your time informing us about US lifestyle.Indeed everything is nice there...Wishing you the best Ndugu...Nikija huko majaliwa nitakutembelea
@hassanjoseph2398
@hassanjoseph2398 2 жыл бұрын
Nakubalii Mkuu napenda sanaa unachofanya
@gdggghh2052
@gdggghh2052 2 жыл бұрын
Natamanii sikumoja nindee marekanii😭😭😭😭 insha'Allah
@modestmkali3436
@modestmkali3436 2 жыл бұрын
Thamani kwenda ila usitamani kuishi, sio maisha marahisi
@eriqabisai3079
@eriqabisai3079 2 жыл бұрын
Nimechelewa sana kuona hii video... very interesting...keep it up bro
@PabloIify
@PabloIify 2 жыл бұрын
You're so friendly... nitakuona endapo nkija marekani..Yehova akipenda iwe hivyo.
@josephchiri2228
@josephchiri2228 2 жыл бұрын
Thanks for using gods name.
@charlesongiri1617
@charlesongiri1617 2 жыл бұрын
Am very much happy. I would like to more about America 🇺🇸
@chiddybest71
@chiddybest71 2 жыл бұрын
Safi bro
@benancejohn1198
@benancejohn1198 Жыл бұрын
Nakubali kaka 🙌
@jubleszablon3724
@jubleszablon3724 2 жыл бұрын
Safi sana bro
@pamelawanderaofficial6257
@pamelawanderaofficial6257 2 жыл бұрын
Asante sana kutuelimisha
@mscantraah8210
@mscantraah8210 2 жыл бұрын
Wow mimi na penda maisha ya huko wow nice life 💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼
@BarakaWaya
@BarakaWaya Жыл бұрын
Asante kwa maelezo ya kiufahsmu
@MegaMutema
@MegaMutema 2 жыл бұрын
Sio maisha mzuri, afrika ni kuzuri
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 2 жыл бұрын
Very informative 🎩
@tonyshanguya1256
@tonyshanguya1256 Жыл бұрын
Ninakuelewa sana Bro.
@sekibibibatume4719
@sekibibibatume4719 2 жыл бұрын
Love from Michigan
@josephinesamweli3033
@josephinesamweli3033 Жыл бұрын
Hongera sana kaka
Maisha ya Marekani kipindi cha SNOW kali (Winter)
23:48
EBM SWAHILI
Рет қаралды 10 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
APARTMENT YA DOLA MOJA MAREKANI (PART 2)
6:56
Hapa Nilipo
Рет қаралды 52 М.
Taratibu Rahisi Za Kuja Ulaya
10:07
Maisha Ya Ulaya
Рет қаралды 3 М.