No video

MAISHA NI ZAIDI YA MASOMO YA DARASANI - ANTHONY LUVANDA

  Рет қаралды 40,352

TonyInspirationalTalk

TonyInspirationalTalk

Күн бұрын

Kuna mambo mengi sana yahusuyo maisha ambayo hautafundishwa darasani (kwenye formal education). Hapa na share siri ya mafanikio yangu tangu nilipokuwa nasoma chuo kikuu. Life is More than Academics.

Пікірлер: 72
@AhmedAli-xh3ul
@AhmedAli-xh3ul 4 жыл бұрын
nimejifunza kitu kikubwa sannnaaaaa 💯
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 жыл бұрын
huyu kaka namkubali sana kwa kutoa vipindi vyenye kumfanya mtu kushawishika na kuamka kiakili zaidi hongera sana kaka angu allah azidi kukupa afya njema na umri wenye barka tele.tunajifunza vitu vingi kupitia vipindi vyako🙏
@kakapascal5090
@kakapascal5090 6 жыл бұрын
hongera ndugu kwa production nzuri ya picha, sauti na soundtrack ya kuvutia.
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 5 жыл бұрын
Your quiet write my Brother, to me always I trust and enjoying your speech
@timonclion3183
@timonclion3183 6 жыл бұрын
Bwana akutie nguvu katika kazi unayoifanya bro ninazidi kuwaalika watu kufatilia chanel yako mungu akubariki
@baharijordan8549
@baharijordan8549 6 жыл бұрын
Barikiwa Sana kwa masomo yako natamani siku moja niuzurie semina Zako
@wisdomofbooks6905
@wisdomofbooks6905 5 жыл бұрын
Mabadiliko ni kitu ambacho kipo Kila siku lakini mabadiliko ya akili ni kitu bora sana.maisha ni zaidi ya elimu ya darasani.kila mmoja ana upekee wake katika ujuzi mbalimbali.elimu ya darasani ni kichocheo Cha kutukumbusha na kutumia uwezo wenye thamani tulionao.tutafute A's za kweli za maisha.heshima kwako Antony Luvanda.naitwa Hosea na vile vile ni inspirational speaker.
@paulomasima8752
@paulomasima8752 5 жыл бұрын
God bless you and expand your mind!!!!! @
@shafimotivation7215
@shafimotivation7215 6 жыл бұрын
This is amazing mentor. Pushing boundaries
@ericjonstz3120
@ericjonstz3120 4 жыл бұрын
Asante kwa madini
@audifasiwoisso290
@audifasiwoisso290 6 жыл бұрын
Daaaaah. Bro Tony you have thy talent God bless more. @life is more than Academics
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
Safi sana. Walimu wetu pia hawajajua kufungua akili za wanafunzi kwa kuwachallenge wanafunzi kupitia maswali na ambayo yangewafanya wafikiri critically badala ya kufundisha kuhesabu, kusoma na kuandika tu ni vyema walimu wetu wawe creative ili kuwafanya wanafunzi wawe creative pia.
@mrmushi58
@mrmushi58 5 жыл бұрын
pale unapo tambua Taifa linaitaj nini n lazima uliangiakie pia kw juhudi yako mwenyewe sio lazima iwe gov hapana ,,,Mr luvanda haongera sana endelea kulipigania Taifa lako (iko siku ) ×2 watu waliosema hapana ' basi wao ndio watakao kimbilia yale ulioanzanayo awali ikiwa wengine tyr wapo mbele sn big up broh🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@adellahjonas7008
@adellahjonas7008 4 жыл бұрын
kaka asante kwa kunisaidia sana
@njaumedia6679
@njaumedia6679 6 жыл бұрын
Asante sana kaka endelea kutufungua
@aasiyaasia682
@aasiyaasia682 5 жыл бұрын
Shukraan sana,karb pia chuon kwetu M.U.M
@pascalmwendakaz7178
@pascalmwendakaz7178 6 жыл бұрын
Thanks mkuu. Mm sijasoma sana lkn nimejifunza vitu vingi kazin na niko vizur kidogo. Shida yangu sio muongeaji sana. So nahis kuna vitu vingi nakosa pia ndoto zangu ni kujiajiri mwenyewe
@joshuaphabian4282
@joshuaphabian4282 6 жыл бұрын
Very good
@bibukaelias2722
@bibukaelias2722 4 жыл бұрын
Huwa sichoki kuangalia hii video.
@kalvinkilawa3871
@kalvinkilawa3871 6 жыл бұрын
Asante sana kwa elim hiyo
@kennedjohn5785
@kennedjohn5785 6 жыл бұрын
ur amazing speaker in tz
@TonyInspirationalTalk
@TonyInspirationalTalk 6 жыл бұрын
Kenned John Thank you
@lizzybrieterfrank1978
@lizzybrieterfrank1978 6 жыл бұрын
karibu Dodoma
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 6 жыл бұрын
Thanks for enlightening my mind sir
@TonyInspirationalTalk
@TonyInspirationalTalk 6 жыл бұрын
My Pleasure
@frankmtweve6516
@frankmtweve6516 6 жыл бұрын
thank kaka be blessed
@selestinepius3562
@selestinepius3562 6 жыл бұрын
Hakika ukipenda kipepeo usimkimbize kumshika Bali panda maua vipepeo vitakufuata karibu mbeya.
@patricelias8545
@patricelias8545 5 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@azisaazisa1533
@azisaazisa1533 6 жыл бұрын
mungu akubaliki kaka kwa elimu unayo tupatia
@TonyInspirationalTalk
@TonyInspirationalTalk 6 жыл бұрын
Azisa Azisa Shukran
@eliasluwela8498
@eliasluwela8498 6 жыл бұрын
Thanks ,,ubarikiwe Kaka welcome mzumbe university
@TonyInspirationalTalk
@TonyInspirationalTalk 6 жыл бұрын
ELIAS LUWELA Amen. Andaeni semina then mnialike ntakuja
@eliasluwela8498
@eliasluwela8498 6 жыл бұрын
+TonyInspirationalTalk I will do so my br Thanks a lot
@AhmedAli-xh3ul
@AhmedAli-xh3ul 4 жыл бұрын
nitawafunza wanangu
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 4 жыл бұрын
Wengi tunaamini mtu kwenda shule ni sehemu moja wapo ya mafanikio
@robertjunior9916
@robertjunior9916 4 жыл бұрын
Ukitaka kuwatala watu wanyime Elimu , Mheshimiwa Elimu ni muhimu Sana kwa mtu na kila Taifa ndo maana wenzetu wameendelea sana hata kutibiwa twaenda huko #The world of money is unpredictable 😷
@christiangold1412
@christiangold1412 6 жыл бұрын
Nice teaching
@mdeekahema5381
@mdeekahema5381 6 жыл бұрын
Good
@lightnessraymos8420
@lightnessraymos8420 6 жыл бұрын
barikiwa kaka sku ukija mbeya naomb nijuze jamaniii
@TonyInspirationalTalk
@TonyInspirationalTalk 6 жыл бұрын
LIGHTNESS MVUNGI Sawa sawa
@annahockson1427
@annahockson1427 3 жыл бұрын
Nc
@tungupaschal1340
@tungupaschal1340 6 жыл бұрын
thanks a lot broe
@bertinmvungi530
@bertinmvungi530 6 жыл бұрын
bro asante sana kwa elim poa.
@babyayshermohamed554
@babyayshermohamed554 6 жыл бұрын
Samahani sana mm nilikuwa naomba niongee na ww private kuna swali naomba nikuulishe na pia kuna maamuzi naitaji kuyatenda ila naomba ushauri kutoka kwako.
@makandeombeniphylosy4660
@makandeombeniphylosy4660 5 жыл бұрын
Nice sana
@getrudenyamvula3511
@getrudenyamvula3511 6 жыл бұрын
wow nitafika tu
@alfredlameck12
@alfredlameck12 6 жыл бұрын
Kuwa na funguo bila kukiona kitasa ni kazi Bure nikiwa na maana ya kwamba kuwa na elimu ambayo haikusaidi in kazi bure
@roserichard1826
@roserichard1826 6 жыл бұрын
yes my teacher tupe madini
@labanicharles4399
@labanicharles4399 6 жыл бұрын
,mtumishi luvanda be blessed ,somo zuri sana!
@mayalaleonard4203
@mayalaleonard4203 6 жыл бұрын
binafsi napenda sana kusikiliza speech zako napata vtu good sana
@highzacknnko4002
@highzacknnko4002 6 жыл бұрын
Hatariiiii
@ombenimihwela5002
@ombenimihwela5002 6 жыл бұрын
Mjomba naomba unitafute kupitia namba hii nina maswali mengi na ushauri kupitia 0656554800/0758021560
@ombenimihwela5002
@ombenimihwela5002 6 жыл бұрын
Mjomba naomba unitafute kupitia namba hii nina maswali mengi na ushauri kupitia 0656554800/0758021560
@jamesassanga9220
@jamesassanga9220 6 жыл бұрын
tunatafsiriwa vya kwenye vitabu,watanzania tusome vitabu
@LacksonTungaraza
@LacksonTungaraza 6 жыл бұрын
james assanga unamaanisha nini?
@magnusbugingo7471
@magnusbugingo7471 6 жыл бұрын
james assanga nawe una uwezo wa kutafsiri
@maryamharon1484
@maryamharon1484 5 жыл бұрын
kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofaut waweza kusoma lkn huwez kukiuliza kitabu maswal uliyonayo
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
Uzembe wa watanzania wengi kusoma vitabu ni fursa kwa wenye bidii ya kuvisoma.
@geofreyjohn1984
@geofreyjohn1984 6 жыл бұрын
Good for the message, regardless you copied from different authors and speakers
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
Most of Africans do copy and paste that which has been produced by whites. We need to create our own so that whites will copy from us too.
@mayombojuakali9939
@mayombojuakali9939 6 жыл бұрын
PIGA KAZI MKUU
@edwardalex483
@edwardalex483 6 жыл бұрын
GUD SANA
@khamishosea6269
@khamishosea6269 5 жыл бұрын
hai bor nahitaji kupata kitabu chako cha mpenyo naomba unisaidie jinsi ya kukipata
@alexkisandu3191
@alexkisandu3191 4 жыл бұрын
Subscribe KA HOPE TV
@zackmagoma.
@zackmagoma. 4 жыл бұрын
Kaka Luvanda nahitaji CD za "think beyond employment", naomba msaada wako naoataje??
@zackmagoma.
@zackmagoma. 4 жыл бұрын
Nipo dar
@zackmagoma.
@zackmagoma. 4 жыл бұрын
Nipo dar
@zuhuramike1399
@zuhuramike1399 4 жыл бұрын
.
@maotv8884
@maotv8884 6 жыл бұрын
swadakta
@amonmndulu5415
@amonmndulu5415 4 жыл бұрын
Luvanda Nakuelewa since nikiwa Chuo now npo Mtaani natamani sana maarifa yako - mnduluamon07@gmail.com naomba tuwasiliane.
@amonmndulu5415
@amonmndulu5415 4 жыл бұрын
Luvanda Nakuelewa since nikiwa Chuo now npo Mtaani natamani sana maarifa yako - mnduluamon07@gmail.com naomba tuwasiliane.
KWANINI NI LAZIMA UFIKIRI ZAIDI YA KUAJIRIWA - ANTHONY LUVANDA
42:24
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 35 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
Uwezo wa UTHUBUTU (Risk Taking) - by Anthony LUVANDA
35:43
MC Luvanda
Рет қаралды 66 М.
Elimu ya fedha ambayo hautoipata darasani.
54:16
Michongo podcast
Рет қаралды 8 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 383 М.
BIASHARA 8 ZA MTAJI MDOGO | ANTHONY LUVANDA | Full Video
31:03
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 411 М.
Sababu 7 Kwanini Hautimizi Malengo/Ndoto Yako - Anthony Luvanda
49:28
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 72 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН