Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 232
@user-jv1ch4tr8q4 ай бұрын
Mama ulomsaidia Allah akulipe pepo na ukusamehe makosa yako
@CalmGlassRose-oy3qv4 ай бұрын
Amin
@AhmedSeif-il1xx4 ай бұрын
Samia afutarisha wasanii kina mondi nawashezi wengine ety ndio kuupiga mwingi huko
@princesaha32624 ай бұрын
Hela azitoa ktk mipira ili mradi atengeneze legacy Kwa wananchi apate kura 2025
Hata serikali ya kujiji ndio ya kwanza kupata taarifa hiyo huyo Samia atafika mpaka vijijini. Kijiji kilishindwa tatua basi kuna kata kata wilaya, wilaya mkoa ndio itafika kwa serikali kuu acheni lawama kwa Samia
@allahmamana3 ай бұрын
Mm na ww tusichoke kumuombea madua ishaallah mola awapewepes aamiin
@user-jv1ch4tr8q4 ай бұрын
Mama Samia saidia mama huyu Achana naa hao wasanii hela yako inaenda kukuza haram. Allah ataskia kilio chako mamaangu
@hamadyussuf53074 ай бұрын
Wenye uwezo yaani kazi yao kusaidia mpira na wasanii tu, ujinga mtupu. 😢
@thuraiyathuraiya4014 ай бұрын
Mama yangu usikate tamaa mungu mbele yako dada yangu huyu mama angepatiwa nyumba mungu atawajalia
@abdullatwifmuhammed74124 ай бұрын
Allah awape subra, na makaazi mema hapa dunian na akhera. Kiukwel inauma sana, kwa wale ambao Allah amewapa uwezo wa kumiliki chakula chao cha siku au zaid ya hapo tusiwasahau ndugu zetu kama hawa kwani wapo wengi sana wanaohitaji. 😢😢😢
@feisaljuma31694 ай бұрын
Yaan inauma mpaka bas najiuliza huyo baba aliowabomolea hilo banda ana roho gan
@salimkhalfan58054 ай бұрын
Allah atufanyie wepesi inshaallah hatuijui kesho yetu tusaidiane jaman
@mariyamgharib9404 ай бұрын
Uyu bibi alihojiwa last month na millard ayo, kumbe bado hajasaidika huu mtihan bas zenji izi media nyengine. Inshaa allah al fatah itamsaidiya kwa uwezo wake maana ni media yenye kuaminika
@zainab82514 ай бұрын
Yaani ciku zimepita nyingi jamani
@chunaabdullah13334 ай бұрын
Hizo media nyengine ni contact tu wanataka awana msaada wwte
@chunaabdullah13334 ай бұрын
Hasa iyo Millard cjasikia imesaidia mahali imeshindwa hata na max tv ya Zahir
@user-nt1lv8un1c4 ай бұрын
Huo ndio utukufu wa Allah! Kupanga riski na hali vile anavokadiria, na tukio hili ni ibada kwa wale wenye uwezo jee watafanyaje, wale wanaolala ktk magorofa, ma Acee nk, hakika dunia ni mchezo Akhera ndio makaazi ya Milele, Sura za watoto zinaonesha kahisa Utukufu wa Allah. Yaarab msaidie yeye na wengine wenye dhiki zaidi yangu. Ammin Yaarab
@muhsinkimaro42834 ай бұрын
Mama tunakuomba tuondolee haya majonzi, kila anayetazama anatokwa na machozi, kuna watu wanateseka mama katika jamii, pesa za kuwapa wasanii, mara goli la mama ungeliangalia vzr, wapo wanaokusifia lkn ukifikiria maisha yetu tunashindwa kukufikishia ujumbe
@faridapandu75794 ай бұрын
😢😢😢 subhanallah heee viongozi mkowappi jamani masikini huyu mama pole Sana mama Millie mungu atakulipa na mama ulomsaidia mungu atakulipa heri inshaallah
@hilmialiomar19834 ай бұрын
Pole mama,Allah (SWT) atakujaalia kila la kheir vuta subra mama.Inasikitisha kuna baba baba halafu kuna baba bora huyo wao baba baba
@user-yo8np7ce8n4 ай бұрын
Pole sn dd 😭😭kwakuwa alfata Imetumwa na Allah ikufikie basi naamini utapata msada kwa uwezo wa Allah mm nilijua ayo TV ulipata msaada lakini kwakuwa tumbo la kheri huzaliwa ndani ya tumbo la Shari Basi naamini utafika mbali na siku ukipata msaada Hilo janaume katili lisije likakurubuni aliki tena
@MuhdHasan-zq2bvАй бұрын
Allah atakufanyia wepes inshaallah katika kipindi hicho kigimu na mama samia mungu akufanyie wepes uwasaidie hawa
@user-ox3zp4he9d4 ай бұрын
SubhanaALLAH Allah atakuhifadhi inshallah mama kwa kweli nmetokwa na machozi hku watu wanakimbilia kujza mafriji na matumbo yao
@yassirrashid78024 ай бұрын
Subhanallah Allah atustiri waja wake
@MuhineBakari3 ай бұрын
Subhana allah Allah awape subra na awaondolee mtihani huu
@khamisali99074 ай бұрын
Subhanallah
@user-rk9qj9ob1p4 ай бұрын
Ikisha anatokea mpumbavu 1 anasema hiyi kazi kubwa munayoifanga ni riya waulizeni wanajuwa nn maana ya riya wache ujinga shekhe wangu kama tunavoambia anaemstiri mwezake Allah na yy atamstiri jiulize umeshawastiri wangapi unakasiri yako peponi inshallah
@fatimasaid94694 ай бұрын
Kuna kitu ambacho kimejengeka ktk jamaan na sio kizuri cos kinakua kama sumu ktk maisha ya jamii . Kitu wenyewe ni kila serekali iko wapi. Allah ametujali nema watu wengi sana kuliko hiyo serekani muhimu ni tumeni na imani sote na kutatu majanga haya kwa pammoja sio kuhukumu serekali . Jamaaani ni muhimu kusaidiana Jamaaani tunahitajiana .tusiendekeze mamba ya serekali. Walah hili jamnagar ni la Jamaaani sote
@Naw894 ай бұрын
Huyu ni baba wa aina gani jamani Kweli hata adhabu za Allah haziogopi kesho na kesho kutwa Allah kawagungulia maisha baba aanza kutoa laana watoto hawamtizami hii laana inaweza kuwashika kweli?
@HanifaOman-oo4pl4 ай бұрын
Mtihani wanaume wengi .hawanahuruma. mm watoto wangu hata wanamtaka babayao ilahuyo baba hataki hatakuwaona anakuwasalimiatu.hataki ajuiwanakaa wapi walamia hatoi. Ajuiwanahishi vipi huyo mdogo miaka 10. Sasa hamjui baba yake anatamani nayupo Dar.salam nawatoto wapo. Daresalam. I lakini ajali walaastuki kamaanawatoto. Ila mm nashukuru nipo Oman napambania wanangu. Kwani niliteseka sana
@SheikhaAmeir3 ай бұрын
Allah amfanyie wepesi mama huyu na akupe subra kwa uwezo wake na atakulipa ujira wako yaani nimeumia sana ni mtihani mzito 😭😭😭 niulize anaishi pemba sehem gani
@dalilaabdulkarim44584 ай бұрын
Subhana Allah yharab mtihani mzito kwa dada huyu na wtt Allah akufanyie wepesi ameen
@thuraiyathuraiya4014 ай бұрын
Mungu atujalie jirani mwema
@user-nt1lv8un1c4 ай бұрын
Wapo Unguja maeneo gani hawa, halafu tunaomba namba ya mawasiliano yao na Namba ya Mchango pia.
@DelightfulMacawBird-tl5hf4 ай бұрын
M mungu ataleta kheri ishallah😭😭😭😭
@oparetionmaalum90304 ай бұрын
Subhannallah subhannallah
@user-mj6vf4jc5o4 ай бұрын
Pole sana kioenzi Allah atakufanyia heri inshaAllah mbona hamjatuambia anaishi wapi?
@khadejarajab8443 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu ktk imani allah atakustiri
@FatimaAli-of4gh4 ай бұрын
Yapo Zanzibar sehemu gani huyo mama
@MuniraAme-pb7pg4 ай бұрын
Buyu
@Nassor23774 ай бұрын
Inauma sana ...
@Salhiya964 ай бұрын
Alf baba anakusubir umekuwa unakipat chako kdg anakuja kujion yy ndo mzazi najua hay maumiv ya baba kukataa mtt anakusubir unajiwez ss yy zk zimeisha Allah awafanyie wepes mama zet kw wanayoyapitia 😢😢😢😢😢
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Weeeee na mtoa nduki😢😢😢😢😢😢
@user-wc8ug6fc5c4 ай бұрын
Hasbiyallah huyu mwanaume alieyafanya haya Allah yupo
@user-tu5ql4kq3y4 ай бұрын
mama julie maida Allah akupe maisha marefu lnshallah
@hamidaalhabsi85684 ай бұрын
Subhanaallah mwenyezi mungu jalia huyu mama na wanae. Kwa kweli duniani ni mitihani
@mwanahawamohammed85404 ай бұрын
Jamani serikali ipo wapi au imekwenda likizo? Viongozi wabunge wawakilishi na wanawake na watoto wapo wapie? Au serikali inaona sifa kwa haya mambo kutangazwa kila siku? Viongozi na taasisi mna kazi gani?
@fatmamansour6764 ай бұрын
Angekuwa na watto Wa kupiga kura wabunge na mwakilishi wangefika lkn wanawe wadogo waa hawatomjali
@hamicpina11514 ай бұрын
Eee Pana serekali apo kwa akili zako apo wapo wapiga hela tuu kuanzia raix mpaka sheha pumbavu zao
@user-dx6dm6lh1i4 ай бұрын
Kabla ya serikali jaman hyu hna ndugu hna familia pia mm nnavyojua kma familia hawakos jpo chumba kuwastiri lkn ss waswahili mtu amuona damu yke inahangaika yy hna hata huruma. Allah ampe uzima na afya amfanyie wepes inshallah inaumiza wallah.
@zaytunhijja67714 ай бұрын
Mnapenda kulaumu Sasa serekali ni watu na watu wenyewe ndio sisi tuungane tumsaidie sio tungoje viongozi .ww kma binaadam mwenye huruma msadie kw kidog chako atakuja n mwengine ataweka kidogo tutafikia lengo
@mwanahawamohammed85404 ай бұрын
Msaada atapewa mara ngapi na mpaka lini? Huyu anahitaji solution ya kudumu na sio ya muda mfupi. Kukaa kwa jirani si suluhisho la kudumu. Huyu ana haki zake amedhulumuwa, haki za msingi na huduma kutoka kwa mume wake au baba wa watoto wake kama ameachika. Mambo mengine hata ndugu wawepo wanaweza kushindwa. Panahitajika kupatanisha pia kifamilia, narudia tena viongozi wapo wapi na jamii ipo wapi au ndio tushuhudie kulia kilio tu. Basi kama napenda kulaumu ni juu yako kwa muono wako na kila mtu ana wake,😜
@user-sn4zr9ip9q4 ай бұрын
Masha Allaah sii haba mitihn yte huyu mama bdo ana am in muungu ndio kila kutu daa hii klip inaniliza snaa nabk nalia tu
@user-fs7xc2bb5d3 ай бұрын
SubhanAllah kuna baadhi ya wanaume wana roho mbaya hawana roho ya utu hivi hawa watoto wadogo wamekukosea ni baba kama hilo watoto wakiwa na kazi zao ndio wanajishauwa mwanangu hanisaidii anamsaidia mama yake yaan acheni tu omba lisikukute
@HassanFaki-ko9wk3 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi na subira inshallah kusema kweli inasikitisha sana
@madinaomar6794 ай бұрын
Hee. Subhanallah
@umihanmohamed25644 ай бұрын
Ya Allaaaaaah alhamdulillah nimeshindwa kujizuia kwa kulia alhamdulillah 😢 😭
@AsiyatAlly4 ай бұрын
Pole sana mama angu Kwa mtihani ulionao mungu akupe nguvu na moyo wa cubra
@omanoman20444 ай бұрын
Haya maisha hata mim nilipitia ila mie nilikuw na mtt mmoja tuy nililia machoz yote lakin mungu nae hakuniacha sai nipo oman dar nimejenga nyumban nimejenga alhamdullillah mam mlilie mungu tuy hawez kukuacha hata siku moja
@soamShs-cp4dl4 ай бұрын
Pole sana Tena sana hakika Allah yupo na wewe huu mtihani mzito
@ilyasmuhsin32854 ай бұрын
allah amjaze kheir sana huyo mama aliempokea mwanamke mwenzie i wish ningekuwa tajiri ambae kila kilio cha maskini kinifikie daah😢
@rehemamohamedy40074 ай бұрын
Subhana Allah
@user-cp2ns5cz6t4 ай бұрын
Shubahanallah' Allah atakulipa kheir' inshallah.
@rukiyamohammed29453 ай бұрын
Yaa Allah have mercy on this family...😢
@anithawidambe75434 ай бұрын
Asante sana wewe mama uliye msaidia MUNGU ATAKULIPA
@MwanaidiMatary-cp2rf4 ай бұрын
Zanzibar sehemu gani 😭😭😭dahhhh nimejikuta naliya sana pole sana mama angu
@nairatomar93893 ай бұрын
Inshaallah mungu tawafanyia weps inshallah 🙏😭
@mumtazibrahim63884 ай бұрын
Allah atampa shiffa😭😭 na ww akupe uwezo umlee kwa mapenzi yote
@swabrambarak75234 ай бұрын
Subhnallah
@SKY-fk3fz4 ай бұрын
Tatizo serikali, wanajenga majumba Mia mia wanasahau hawa watoto ndo taifa la kesho
@user-vo4gh1jl6v4 ай бұрын
😭😭😭😭 Kakweli Allah ndie hakimu wa yote haya.. Namuomba Allah ampe subrah mama huyu na amlipe kwa subrah yake.
@FettyMungenje-yg6xq3 ай бұрын
Mungu mkubwa Mama Angu kipenzi Yupo pamoja Nawe
@MuniraAme-pb7pg4 ай бұрын
Allah akutie nguvu akupe subra na akuondoshee matatzo haya na mengne😢
@J4UPro4 ай бұрын
Allah awape malipo mema AL Fatah TV
@user-rx1bu2it2t4 ай бұрын
daa inauma sana mungu atamjalia mungu ampe moyo huohu inaskitisha sana mungu amjaaliy
Asalam aleikum. Kama hajapata mahali Mimi Niko tayari kumlipie nyumba aketi kujiskiza
@aminapili29784 ай бұрын
Jaman mwanaume huyo nshetan wallah hataiman yawanawe hana
@user-to4jw7tm1j4 ай бұрын
Mtihani huu mungu atulinde
@user-eu4pk3eh5d4 ай бұрын
Na akitokea mfadhili kukupatia hifadhi huyo baba fanya kama humjui hakika ubinaadamu hanaa huyo hata kama kusamehe ni vizur samehe ila usimkunali kuwakaribu yakoo abadan
@anithawidambe75434 ай бұрын
Mama SAMIA TUNAOMBA MSAADA WAKO KWA HUYU MAMA NA WATOTO WAKE
@chikujuma184 ай бұрын
Zanzibar mko wap jaman hamuon mama anateseka na watoto hamna hata huruma
@princesaha32624 ай бұрын
Allah akupe subra na msimamo na dini
@KhelfuAbdallah4 ай бұрын
Pole sanaa mama etu
@salimkhalfan58054 ай бұрын
Location tukamtembelee
@CalmGlassRose-oy3qv4 ай бұрын
Buyu nguzo tatu ukishuka waambie boda wakupoleke banda la maturubai mashamba ya njugu ila kwa sasa ulizia kwa bi riziki ni mbele kidogo na alipokua anaishi
@user-xt3zz7uj4g3 ай бұрын
Me nauliza wanakiwanja tumsaidie kujenga ata vyumba viwil ama hakuna kiwanja...ili tujue tunamsaidia vip..
@FarhiyaThani-yc5et4 ай бұрын
Lailahailallah
@ahmadsayyeed79104 ай бұрын
Pole sana mama😢
@user-hn6kv6xe7m4 ай бұрын
😭😭😭😭inna lilahi wanna ilayhi rajiun
@omanoman20444 ай бұрын
Mzee kam huyu akizeeka ataangaliw na nan wallah mungu hato muacha
@hazardmjeshi52004 ай бұрын
Allah wafanyie wepesi kwa hili
@jenyyusuph49734 ай бұрын
Jamani kwanini bado hajasaidiwa? Daah bas tumchangieni
@abdulaisha41454 ай бұрын
Msiba mkubwa Sana
@user-ft2vq5on6l4 ай бұрын
Kweli sasa dunia imeharibika maana zanzibar watu wanalala nje zamani haikua hivi
@soamShs-cp4dl4 ай бұрын
Mama samia yupo busy kufutarisha wasanii
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Ni umbwa mwengine hana lolote na magoli ya Simba yanga na taifa star 😢😢😢😢
@abdulhajiahmed87354 ай бұрын
INNA LILAAHI WA INNA ILAYHI RAJIUNA
@bkkomesho92724 ай бұрын
Allah atafanya kitu kwa ajili yako, naamini
@caashamacalini38874 ай бұрын
Huku mama samia anafiturisha matajiri kumbe wenye shida wapo ila viongozi hawaoni hila wakina mo dewji kazi kupeleka hela kwenye mipira hata kusAidia maskini hawawezi viongozi matajiri wanajifuturisha wenyewe kwa wenyewe wenye hela wakati maskini wapo mungu anawaona hawa wenye fedha
@hajijabir86774 ай бұрын
Viongozi mnajukumu kubwa mbele ya Allah mnakula vizur waku wananchi wenu wanateseka
@user-hm5sl7jn3m4 ай бұрын
Walah, nimelia xn😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 pole momy, mwnyz MUNGU atakusaidia
Sio kama tunawadiscuss wenye Uwezo wenu Ila mkiona mnaweza kuwapa pesa na kuwalisha kwa mualiko wenye fahari , BASI TUNAWAOMBA MUWE MNAFUATILIA KAYA MASKINI MUZISAIDIE
@salassalas-eo6vo4 ай бұрын
Hee jamani serekali haipo ikamuangalia huyu mama alau akakodiwa japo nyumba ya kawaida Alfatah mwambieni bopar amsaidie huyu mama atapata fungu lake kwa Allah
@FelisterMunissy4 ай бұрын
Huyo awara auwawe anaukimwi yeye n huyo mwanaume mbwa nguruwe ww mwanaume
@DosianaLulakuze-bv7fg4 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭 huyu baba
@awaahassan9364 ай бұрын
Aya Allah 😢😢😢
@ZalhathamohdSaid-qn4jj4 ай бұрын
mbna namb za kutuma hamjaandik jina linakuja nani
@hemedjackson22614 ай бұрын
Sem huy jamaa nae mshenzi kw kweli
@user-zs4xz1vv4o4 ай бұрын
Goli moja1milioni moja
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Halafu kesho wakuja kuomba kura , watakuwa wamwagiwe kinyesi Cha nguruwe 😢😢😢😢
@Shafikimanga74 ай бұрын
Kila lifanywalo na mja litalipwa na mwenyezi hata kama ni kwa uzani mdogo mnoo. Na huo ndio mtihani