Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION. Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 340
@shanishamsi95763 жыл бұрын
Allah huakbar yarabi tujaalie subra katka maisha yetu utujaalie mioyo yenye huruma ktk maisha yetu na utujaalie mwisho mwem😢😭😭🤲🤲
@zainabyousof37424 жыл бұрын
YaaRabb mjaalie Sheikh Rashid kwa kazi hii anayoifanya umlipe mema ya Dunia na Akhira ALLAHUMMA AAMIIN
@Da-cr6ow4 жыл бұрын
Macho yanalia moyo unaumia ya Allah mwingi wa rehma wazidishie kila watoaji wallahi inaumiza inaumiza sana nashkuru nnachopa kicho hicho kidogo na kula na wenzangu Alhamdulilah natamani nipate niwasaidie kila wenye uhitaji ila sijakataa tamaa insha allah Allah nirazzak naumia mno
@mulhazinzibar69123 жыл бұрын
Pole mungu akufanyie wepesi allha atakulipa nawewe
@theroots27434 жыл бұрын
Waonesheni hao makumbaro wajue kama kutoa ni moyo sio mpaka zifike siku za karibu na uchaguzi wawatundike watu kwa tonge yao Alfatah ni mfano pekee hapo nyumbani na ishaallah mwenyezi mungu akuongozeni ktk njia aitakayo Amin
@khadijaali-gm4yw22 күн бұрын
Subhana Allah ,Alhamdulillah ,yatupasa tushkuru kwa neema tulizopewa na daima usimuangalie aliye juu ,Allah atupe wepes wa kusaidia wenzetu wenye maisha duni kma haya .
@ashaj84334 жыл бұрын
Yarab Yarab yarab
@user-qr5rv2eg8l4 ай бұрын
Wallahi mumevunja record.ulimwenguni tumeshuhudia wenyewe walimwengu na timetafakari .allahu Akbar God blessu
@ratiffahahmadi34344 жыл бұрын
JazakaAllah lkheir
@ummoislam48324 жыл бұрын
Mashaallah Alfatah Allah awazidishe imani muje muwajengee hawa wazee hizo nyumba zao
@fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 жыл бұрын
Allahu akbar Allahu Akbar tustiri yarabi utusamehe utufungulie riksi tuweze kuwasaidia wenzetu inshaallalla moyo unaniuma sana lakini sina chakuwasilisha kwa wenzangu shukran AlFatah TV
@fatmaaly30564 жыл бұрын
😭 wallah nigelikua na uwezo mimi binafsi chakwanza ningelijenga nyumba kwa ajili ya wazee hawa km gorofa 😭😭😭
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Fatma kwani uko wapi tuweze kutafuta mfadhili au Wazanzibar sote tukachangishana kila pembe tulipo tukishiriana tutawezeshwa na Allah tukaacha kufanya maarusi ya kifhari yalio hayana mpango wa faida yoyete
Wallah hata na mm pia ningekua mmoja wapo wakuchangia
@salmamansour37184 жыл бұрын
@@ukhtyalpha1344 ww uko wp
@khadhoujjojo3384 жыл бұрын
A'alaykoum akhawaty fii llah yaani hata tukaungana kidogo chetu tunaweza biidhnillah😭😭it's heart touching story.... Je, tunaweza patana vipi mm am from Kenya
Mtihani sana. Allah atufanyie wepesi duniani na akhera آمين يارب العالمين. اللهم ارزقنا رزقا واسعا حلالا طيب مباركاً فيه.
@maryammct39674 жыл бұрын
Amin
@mariamjuma38313 жыл бұрын
mnavofanya nivizuri namungu awabariq ila mnajisahau pale mungu alivosema mtowe kwamkono wakulia nawkushoto usijue jee?hamkuifaham nn maana yke?
@khamisfaki46404 жыл бұрын
Waallah mwil umesismka kuona hli allah walipe kila la kheri muliofikisha ujumbe huu AMIIN
@fatmaaly30564 жыл бұрын
😭😭😭y'rabby najikuta nalia tu na kushkuru alhamdulilah alhamdulilah allah ndio mueza watu wanakula na kutupa na kufanya kila aina ya starehe ukiwakumbusha wanasema tunaenda na wakat 😭😭😭😭😭😭
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
SubhanaAllah 😭😭😭😭 Alhamdulillah
@munatwalib28083 жыл бұрын
Ameen
@safiaothman10983 жыл бұрын
Allah Subhannahu Wata'ala awajaalie Alfatah kila la kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.
@sifajacky77792 жыл бұрын
Subhanah Allah Allah! Allah Akbarr! Allahuma Amina ya Raab ya Mujib duwah 🤲🏻
@abdallaabeid29514 жыл бұрын
Hongera Mkurugenzi wa Alfatah Allah akupe umri na afya njema kaka yng
@seifkhatib45124 жыл бұрын
Allahuakbar kaka Rashid allah atakulipa kutokana na juhudi zako katika uislam na waislam kwa jumla hakika nimfano wakuigwa kaka allah akujaze nguvu juu ya kuwasaidia waislam wengine amin ya rabbi
@seifkhatib45124 жыл бұрын
Wallah cna uwezo wakutoa ila kaka Rashid kama unahitaji msaidiz wakusabaza izo sadakat katika jamii wallah nipo mm nitakuja kukusaidia kwa ajili yaallah na din yetu sitohitaji lolote kutoka kwako ila nitatumia nguvu zangu alizo nipa allah kukisaidia insha allah allah akbar
@allishaibu12724 жыл бұрын
Seif Khatib Jamani wko wapi watoaji wale ambao wanajinasibu kuwa niwaislam mbona waislam wenzetu tunawaacha wanadhalilika tunaendeleza kutoa sehemu ambazo hazina manfa Jamani hebu tutafuteni radhi za Allah tupate mafanikio kwa allah
@miracleslike37754 жыл бұрын
alfatah hakika ni chaguo langu Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi na wafanya kazi wake
@alikurran1502 жыл бұрын
Inauma sana wallah.Shekh Hii inasaidia umetuhamasisha
@safiyaalrawahi75264 жыл бұрын
video hii imenigusa na nimetokwa n machozi kwa huzuni nliyoina ya wazee maskini. shkrn sana
@malikhabibali46513 жыл бұрын
Amiin
@agiraali76934 ай бұрын
Mashaallah Allah akubariki sheik 🙏🙏🙏
@maryamsalim32334 жыл бұрын
Shekh rashid twaombea mupate nguvu na uwezo muwajenge hizo nyumba zao yasikitisha sana cc letu ni kuwaombwa kwa allah 😭😭
@suleimanmohamed43673 жыл бұрын
Tuchangieni ili wape nyumba sisi tunaweza kwa Kila Atakae ona
@hawaamkubwa20203 жыл бұрын
alhamdulillah Allah awalipe kher inshaallah
@tajiriskitchenswahiliflavo17234 жыл бұрын
Alhamdhulilah. Allahumma Barik😭😭😭
@khalidderrossi8165 Жыл бұрын
Amiin yarabil alamiin
@misfatima89534 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭alfatah is the all foundation that inspared me nipo n imani nami siku itwayo moja atanijalie nami niwe mionginoni mwa kujitolea kwa ajili ya Allah kaka mungu akuzidishie kher n akuneemeshee nema kubwa n za kher ndani yake kila siku ninapotazama alfatah machozi unitoka usichoke kaka upo n makao mema kesho jasho n macho unayo yamwaga leo kesho mble ya Allah itakua nuru kwako ameen ameen ameen. Ya Allah nami nipee muongozo na huruma wa kujali wenzangu wa tabaka langu . Na uwape ufumbuzi wale walo navyo wajali wasokua navyo ameen
@abokrarshamsan79632 жыл бұрын
Amin inshallah
@runigangwamizungo76473 жыл бұрын
Allah tupe khidaya ummat Muhammad swalallahu alaihi wasalaam
@jasminali59214 жыл бұрын
Subhanallah nalia kwa uchungu yarabi mola wangu
@chefwakitaakaithar20394 жыл бұрын
Subhannallah, Namuomba Allah ajaalie kupatikana zaidi wasamaria wema na kuweza kuwapa (kutoa) michango kw familia (wazee w icho kijiji uko Pemba) inasikitisha sana wazee ni watu wazima sana na wengine wagonjwa hawawez tena hata kuenda shamban kulima na ukiangalia kama icho kipindi cha ramadhan na wanakwmbia hawajui hata watafutari nini manake hawana hata uwezo w kujinunulia chakula. Na nina swali kwa AL FATAH TV ONLINE kuusu izo namba za sim na majina ya watu waliokuwepo sehem tofauti kama UK, MAREKANI, CANADA, DUBAI, OMAN, N.K ni wasimamizi w kushughulikia michango/misaada ya watu watakaoguswa na kutaka kuchangia chochote walichojaalia, naomba mnijuze manake ss wengin tunataka kuchangia ila tuko mbali na nchi yetu tuliozaliwa Zanzibar na jee ninaweza kutumia njia ya Money Gram.?
@hashirsalim95703 жыл бұрын
Mashallah
@rossamengo72114 жыл бұрын
Nijambo la kuhuzunisha sana,ya ALLAH tupe mioyo yakutoa na utukinahishe na anasa za dunia,utuongoze tuweze kununua pepo yako kwa neema zako unazo tujalia IN SHA ALLAH Amiin
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Naam kabisa wanawake kuna Group la Wanawake wema kuna Group la aljanah hands kuna mengi tu jiungeni haba na haba tujaze kibaba kuna hao Alfath tuchaguweni wapi na hii isiwe Ramadhan tu 😰😰😰😰😰😰
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Allah tupe nguvu tuwasimamie hawa waja wako 😰😰
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Tunalia unatamani utowe pesa zako zote
@rossamengo72114 жыл бұрын
Mimi nikitoa naona bado haitoshi natamani nitoe tena na tena ila uwezo ndio kidogo, ALLAH atujalie tugawane hichi kidogo alicho tujalia na wenzetu ambao hawana,kwani kutoa nimoyo wallahi,hakika imenitoa machozi kabisa
@edenimmasianase75694 жыл бұрын
😭😭😭
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Natokwa na machozi😭😭Allah atawalip kwa kila hatua yenu.mashallah
@learnonline80334 жыл бұрын
Wahida Shabaz kama kweli una imani hasa na ndugu zako waislamu lazma machoz yatoke
@kwigayamitto1754 жыл бұрын
Mimi naomba namba zenu na wapi Unguja au Pemba mnapatikana
@abdullmalik78474 жыл бұрын
Subhanallah 🇰🇪
@zuhuraadinani88194 жыл бұрын
Allah azidi kukupa moyowaiman tuombee nass tupate tuwasaidie wasojiweza
@malikhabibali46513 жыл бұрын
Alhamdulillah
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Subhanallah
@alikurran1502 жыл бұрын
Allah akbar
@shadiahshadiahshadiahshadi40602 жыл бұрын
Allah awawekeye wepesi mwe woteeee
@user-uk8gr1im8b4 жыл бұрын
Allah awabarik alfath kwa jitihada yenu na wasiotoa allah awape moyo wa kutoa inshaallah
@abdoi57804 жыл бұрын
Dahh Allah azidi kuwatiya nuru na uwezo muzidi kufanya kazi kwa ajili ya Allah...na sisi Allah atuwe uwezo na nguvu wakusaidiya kwa kidog atakachotujaaliya 🙏🏻🙏🏻😥😥
@issandolilo42764 жыл бұрын
May Allah guide this channel in its daily endeavours insha'Allah.
@inabikorwaneema88154 жыл бұрын
Laa ilaha ilallah. Allah awalipe mema duniani na kesho Akhera
@salmaallysaid11874 жыл бұрын
Wallah Allah ndo anajua jinsi nnavoumia nawaza kama wanapata swadaka kwa ramadhan jee sku za kawaida wanaish vipi wawakilishi Madiwan wabunge wako wapi ?? Allah atawahukumu kwa kila chozi la mnyonge
@nurualamoody43054 жыл бұрын
Uongozi ni dhima kubwa Sana Kwa huu umasikini wa hawa wazee hakuna kiongozi kuona pepo
@omarsuleiman6039 Жыл бұрын
Allaha awalipe kheri kwa mazito mnayo pitia.
@AliAli-bt5db4 жыл бұрын
Subhana llah jamani matajiri wa kiislamu tutakwenda kuulizwa jamani wenzetu wana Hali mbaya na ngumu wanahitaji kusaidiwa
@mbarouksuleiman43514 ай бұрын
sio matajiri tu hata maskini aliejuu ya hawao anapaswa kusaidia alio chini yake
@bintsalimalbimany53404 жыл бұрын
Alhamdulillah alhamdulillah thumma alhamsulillah ndio mana mim sipend kumwaga chakula kikibakia naweka kwenye fridge sik yapil tunapasha moto tu. Jmn jmn mola wetu tufanyie wepes waj wako utuwezesh tuwez kutoa kwa ajil yako👐👐👐
@khadijaallyissa53404 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@user-nh9fl5tv9u3 ай бұрын
Mungu awalipe jama ni
@ummabood82684 жыл бұрын
SubhnaAllah. Imenitouch Sana Sana. Allah akulipeni kwa kila step. Na sie atupe moyo wakutoa
@williammsendo4992 жыл бұрын
Allah name anajakie kher Niya fanye haya
@rabiamussa32284 жыл бұрын
Allah tujaliye tuweze kuwasaidiya wenzetu
@teteshlbrahim37184 жыл бұрын
Amin,my Allah bless you
@Miynuh_014 жыл бұрын
Alhamdulillah alla kul neemah Yaa Allah sahal yaa rabb
@omanseeb86094 жыл бұрын
Mashaaallh
@hassansugha59354 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@faju4real8004 жыл бұрын
Allahuakbar kuna watu wapo chini sana kimaisha wanahitaj misaada kwakwl Allah tupe wepes
@wuwubdywiwiwisu64993 жыл бұрын
Ameen y bbi
@zeejaff29484 жыл бұрын
Subhanallah... Ya Allah
@mrbubaaside43883 жыл бұрын
mungu awazidishie alfatah
@mohdsururu33354 жыл бұрын
Allah akupeni nguvu kwa kuwakumbuka Waze wetu Amin
@faju4real8004 жыл бұрын
Allah tupe uwezo na iman yakutoa misaada kwa ajili yko
@aishasalim7516 Жыл бұрын
Allah awabariki
@user-es9qs9vs8y4 жыл бұрын
Baarakallah fiyk
@iddijumaali7192 Жыл бұрын
MASHALLAH
@rukiamohammed50314 жыл бұрын
Mtangazaji walia cc tufanye nn 😭😭😭wallh machoz yamenitoka kwa mm nasema Familiya yangu Ina shida kumbe Kuna watu wanashida kuliko Familiya yangu wallh 😭😭😭Daah ht cjui niseme nn kwa kweli ila mungu ndio anajua 😭😭
@mamimowayaliomo97493 жыл бұрын
ALLAH
@mamimowayaliomo97493 жыл бұрын
yaallah Allah Akbr
@zeinabathman496911 ай бұрын
Mashallah mungu akupe huohuo moyo inshallah na akufanyie wepesi inshallah katika kila hatua unayoifanya ameen inshallah mwenyezimngu akupe afya na umri na swiha njema inshallah ameen thuma ameen inshallah
Wallah mung akulipeni kheri kwa mnachokifanya awape moyo na wengne wa kuwasaidia inaskitisha sana
@mwanaishahussein26354 жыл бұрын
ALLAH TUPE WINGI WA IMANI KWA WENZETU WALIO WANYONGE🤲🤲🤲🇰🇪
@samiasalim83224 жыл бұрын
Jamani hawa jamani mpaka njia muwatengeze ndio.kuwe rahisi watu kuja fabzeni bidi njia barabara itengezwe ndio watu rahisi kuwafikia na misaada zao mungu awaonekanie yarabb
@allahinbendesi34643 жыл бұрын
ALLAHIM seni ozun komey ol butun mezlum qullarina.Amin
@salmasalim60554 жыл бұрын
😭😭😭😭🤲Alhamdullilah
@fatummsagat51774 жыл бұрын
Subhannallah! Allah amijaze kheri inshaalla,
@hcgghfgg66794 жыл бұрын
في ميزان حسناتك أخي كل هذا العمل عند الله غير غافل عنه يرحم الله موتاكم و يشفي مرضاكم وبارك الله فيك لنا زيارة أن شاء الله والله انك ابكيتا بما شاهدناه فنحن في عمان نشعر بكم ونسأل الله ان يسهل لنا المجئ ثانية لزنجبار عامة و بيمبا خاصة .
@mussachuo39104 жыл бұрын
Dahh kwa kweli nawapongeza sana Allah atawalipa natamn na ss wenye mioyo ya kuchangia tuchangie kupitia kwenu tunaimn na nyinyi sadaka zetu zitafika kwa walengwa
@issasaidiprince83543 жыл бұрын
Nimelia kweli 😭😭😭😭😭😭
@hawaally15194 жыл бұрын
Subhanallah allahakbar
@fammamourchy21642 жыл бұрын
Allah awazidishie kheri wana alfatah 😭😭😭😭 Subha Allah
@nassormziray55224 жыл бұрын
subhanallah
@firdaushamid8200 Жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishiye imani na azidi kukubariki na akulipe pepo
@kharithbinmasoud94294 жыл бұрын
IshaAllah mwenyezmungu atulipe heri kwa sote
@sulemohd48123 жыл бұрын
Wallah inaliza ukitowa unakuwa unafuraha
@georgegichinga814 жыл бұрын
Mungu akubari sana ndugu yangu
@kautharmbarak86673 жыл бұрын
Alfatah Allah awaajaalie kila kher wallahi inaumiza hasa sisi tunachopata tusemeni Alhamdulillah wazee wetu wanapata tabu .
@mwanakombopongwe82444 жыл бұрын
SUBHANAH LLAH ALLAH AKBAR😭😭😭😭
@yussufamani34374 жыл бұрын
yaallah wape imani iliyonzuri wenye kutowa katika njia ya allah ili kuingia ktika firdaus ya allah
@mtorosaidkassim95874 жыл бұрын
Alfatahi naomba na mm niwe miongoni mwa sapoto yenu na mm naomba niwe mkono Kwa mkono na nyinyi hata kama masikin ILA naamini kutoa ni moyo
@fatimaalhabsii1728 Жыл бұрын
Allah atuwekee wepesi wake
@badrumbarouk33774 жыл бұрын
Allah akuzidishien iman ya kutoa na cc pia roho zetu zenye kutu azisafishe tuwe na moyo wa kua insha Allah kuto ni moyo wala sio utajir wabilah taufq
@yussufamani34374 жыл бұрын
yallah walipe kheir na Baraka zaid kutowa sadaka zao katika njema iliyo nzuri
@khalfanmbarouk1124 жыл бұрын
Mashaallah allah awalipe kila lakher mana allah ndio mlipa wa yote allah awalipe ujira mwema amin waallah inauma sana mimi kama kijana allah atujalie rizki halal tuje kujumuika nanyi kwa kile tulicho kipata kwa uwezo wa allah