KWA HALI HII KILA MMOJA ATAULIZWA NA ALLAH.

  Рет қаралды 68,999

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

4 жыл бұрын

Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR

Пікірлер: 340
@shanishamsi9576
@shanishamsi9576 3 жыл бұрын
Allah huakbar yarabi tujaalie subra katka maisha yetu utujaalie mioyo yenye huruma ktk maisha yetu na utujaalie mwisho mwem😢😭😭🤲🤲
@zainabyousof3742
@zainabyousof3742 4 жыл бұрын
YaaRabb mjaalie Sheikh Rashid kwa kazi hii anayoifanya umlipe mema ya Dunia na Akhira ALLAHUMMA AAMIIN
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 4 жыл бұрын
Macho yanalia moyo unaumia ya Allah mwingi wa rehma wazidishie kila watoaji wallahi inaumiza inaumiza sana nashkuru nnachopa kicho hicho kidogo na kula na wenzangu Alhamdulilah natamani nipate niwasaidie kila wenye uhitaji ila sijakataa tamaa insha allah Allah nirazzak naumia mno
@mulhazinzibar6912
@mulhazinzibar6912 3 жыл бұрын
Pole mungu akufanyie wepesi allha atakulipa nawewe
@theroots2743
@theroots2743 4 жыл бұрын
Waonesheni hao makumbaro wajue kama kutoa ni moyo sio mpaka zifike siku za karibu na uchaguzi wawatundike watu kwa tonge yao Alfatah ni mfano pekee hapo nyumbani na ishaallah mwenyezi mungu akuongozeni ktk njia aitakayo Amin
@khadijaali-gm4yw
@khadijaali-gm4yw 22 күн бұрын
Subhana Allah ,Alhamdulillah ,yatupasa tushkuru kwa neema tulizopewa na daima usimuangalie aliye juu ,Allah atupe wepes wa kusaidia wenzetu wenye maisha duni kma haya .
@ashaj8433
@ashaj8433 4 жыл бұрын
Yarab Yarab yarab
@user-qr5rv2eg8l
@user-qr5rv2eg8l 4 ай бұрын
Wallahi mumevunja record.ulimwenguni tumeshuhudia wenyewe walimwengu na timetafakari .allahu Akbar God blessu
@ratiffahahmadi3434
@ratiffahahmadi3434 4 жыл бұрын
JazakaAllah lkheir
@ummoislam4832
@ummoislam4832 4 жыл бұрын
Mashaallah Alfatah Allah awazidishe imani muje muwajengee hawa wazee hizo nyumba zao
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 жыл бұрын
Allahu akbar Allahu Akbar tustiri yarabi utusamehe utufungulie riksi tuweze kuwasaidia wenzetu inshaallalla moyo unaniuma sana lakini sina chakuwasilisha kwa wenzangu shukran AlFatah TV
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 жыл бұрын
😭 wallah nigelikua na uwezo mimi binafsi chakwanza ningelijenga nyumba kwa ajili ya wazee hawa km gorofa 😭😭😭
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Fatma kwani uko wapi tuweze kutafuta mfadhili au Wazanzibar sote tukachangishana kila pembe tulipo tukishiriana tutawezeshwa na Allah tukaacha kufanya maarusi ya kifhari yalio hayana mpango wa faida yoyete
@sabahbille294
@sabahbille294 4 жыл бұрын
@@ukhtyalpha1344 tungekuwa na huruma walahi hakuna muislam angelipata shida,Bali tuko wabinafsi sana,walahi sijui tutajibu nini kesho.
@mtorosaidkassim9587
@mtorosaidkassim9587 4 жыл бұрын
Wallah hata na mm pia ningekua mmoja wapo wakuchangia
@salmamansour3718
@salmamansour3718 4 жыл бұрын
@@ukhtyalpha1344 ww uko wp
@khadhoujjojo338
@khadhoujjojo338 4 жыл бұрын
A'alaykoum akhawaty fii llah yaani hata tukaungana kidogo chetu tunaweza biidhnillah😭😭it's heart touching story.... Je, tunaweza patana vipi mm am from Kenya
@AbeidkhalfanAbdalla
@AbeidkhalfanAbdalla 4 ай бұрын
Allah akufanyien wepes alfatah
@nassorfarhat5045
@nassorfarhat5045 4 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah 🙏🙏🙏🙏
@issahassan8361
@issahassan8361 4 жыл бұрын
Mtihani sana. Allah atufanyie wepesi duniani na akhera آمين يارب العالمين. اللهم ارزقنا رزقا واسعا حلالا طيب مباركاً فيه.
@maryammct3967
@maryammct3967 4 жыл бұрын
Amin
@mariamjuma3831
@mariamjuma3831 3 жыл бұрын
mnavofanya nivizuri namungu awabariq ila mnajisahau pale mungu alivosema mtowe kwamkono wakulia nawkushoto usijue jee?hamkuifaham nn maana yke?
@khamisfaki4640
@khamisfaki4640 4 жыл бұрын
Waallah mwil umesismka kuona hli allah walipe kila la kheri muliofikisha ujumbe huu AMIIN
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 жыл бұрын
😭😭😭y'rabby najikuta nalia tu na kushkuru alhamdulilah alhamdulilah allah ndio mueza watu wanakula na kutupa na kufanya kila aina ya starehe ukiwakumbusha wanasema tunaenda na wakat 😭😭😭😭😭😭
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
SubhanaAllah 😭😭😭😭 Alhamdulillah
@munatwalib2808
@munatwalib2808 3 жыл бұрын
Ameen
@safiaothman1098
@safiaothman1098 3 жыл бұрын
Allah Subhannahu Wata'ala awajaalie Alfatah kila la kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.
@sifajacky7779
@sifajacky7779 2 жыл бұрын
Subhanah Allah Allah! Allah Akbarr! Allahuma Amina ya Raab ya Mujib duwah 🤲🏻
@abdallaabeid2951
@abdallaabeid2951 4 жыл бұрын
Hongera Mkurugenzi wa Alfatah Allah akupe umri na afya njema kaka yng
@seifkhatib4512
@seifkhatib4512 4 жыл бұрын
Allahuakbar kaka Rashid allah atakulipa kutokana na juhudi zako katika uislam na waislam kwa jumla hakika nimfano wakuigwa kaka allah akujaze nguvu juu ya kuwasaidia waislam wengine amin ya rabbi
@seifkhatib4512
@seifkhatib4512 4 жыл бұрын
Wallah cna uwezo wakutoa ila kaka Rashid kama unahitaji msaidiz wakusabaza izo sadakat katika jamii wallah nipo mm nitakuja kukusaidia kwa ajili yaallah na din yetu sitohitaji lolote kutoka kwako ila nitatumia nguvu zangu alizo nipa allah kukisaidia insha allah allah akbar
@allishaibu1272
@allishaibu1272 4 жыл бұрын
Seif Khatib Jamani wko wapi watoaji wale ambao wanajinasibu kuwa niwaislam mbona waislam wenzetu tunawaacha wanadhalilika tunaendeleza kutoa sehemu ambazo hazina manfa Jamani hebu tutafuteni radhi za Allah tupate mafanikio kwa allah
@miracleslike3775
@miracleslike3775 4 жыл бұрын
alfatah hakika ni chaguo langu Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi na wafanya kazi wake
@alikurran150
@alikurran150 2 жыл бұрын
Inauma sana wallah.Shekh Hii inasaidia umetuhamasisha
@safiyaalrawahi7526
@safiyaalrawahi7526 4 жыл бұрын
video hii imenigusa na nimetokwa n machozi kwa huzuni nliyoina ya wazee maskini. shkrn sana
@malikhabibali4651
@malikhabibali4651 3 жыл бұрын
Amiin
@agiraali7693
@agiraali7693 4 ай бұрын
Mashaallah Allah akubariki sheik 🙏🙏🙏
@maryamsalim3233
@maryamsalim3233 4 жыл бұрын
Shekh rashid twaombea mupate nguvu na uwezo muwajenge hizo nyumba zao yasikitisha sana cc letu ni kuwaombwa kwa allah 😭😭
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 жыл бұрын
Tuchangieni ili wape nyumba sisi tunaweza kwa Kila Atakae ona
@hawaamkubwa2020
@hawaamkubwa2020 3 жыл бұрын
alhamdulillah Allah awalipe kher inshaallah
@tajiriskitchenswahiliflavo1723
@tajiriskitchenswahiliflavo1723 4 жыл бұрын
Alhamdhulilah. Allahumma Barik😭😭😭
@khalidderrossi8165
@khalidderrossi8165 Жыл бұрын
Amiin yarabil alamiin
@misfatima8953
@misfatima8953 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭alfatah is the all foundation that inspared me nipo n imani nami siku itwayo moja atanijalie nami niwe mionginoni mwa kujitolea kwa ajili ya Allah kaka mungu akuzidishie kher n akuneemeshee nema kubwa n za kher ndani yake kila siku ninapotazama alfatah machozi unitoka usichoke kaka upo n makao mema kesho jasho n macho unayo yamwaga leo kesho mble ya Allah itakua nuru kwako ameen ameen ameen. Ya Allah nami nipee muongozo na huruma wa kujali wenzangu wa tabaka langu . Na uwape ufumbuzi wale walo navyo wajali wasokua navyo ameen
@abokrarshamsan7963
@abokrarshamsan7963 2 жыл бұрын
Amin inshallah
@runigangwamizungo7647
@runigangwamizungo7647 3 жыл бұрын
Allah tupe khidaya ummat Muhammad swalallahu alaihi wasalaam
@jasminali5921
@jasminali5921 4 жыл бұрын
Subhanallah nalia kwa uchungu yarabi mola wangu
@chefwakitaakaithar2039
@chefwakitaakaithar2039 4 жыл бұрын
Subhannallah, Namuomba Allah ajaalie kupatikana zaidi wasamaria wema na kuweza kuwapa (kutoa) michango kw familia (wazee w icho kijiji uko Pemba) inasikitisha sana wazee ni watu wazima sana na wengine wagonjwa hawawez tena hata kuenda shamban kulima na ukiangalia kama icho kipindi cha ramadhan na wanakwmbia hawajui hata watafutari nini manake hawana hata uwezo w kujinunulia chakula. Na nina swali kwa AL FATAH TV ONLINE kuusu izo namba za sim na majina ya watu waliokuwepo sehem tofauti kama UK, MAREKANI, CANADA, DUBAI, OMAN, N.K ni wasimamizi w kushughulikia michango/misaada ya watu watakaoguswa na kutaka kuchangia chochote walichojaalia, naomba mnijuze manake ss wengin tunataka kuchangia ila tuko mbali na nchi yetu tuliozaliwa Zanzibar na jee ninaweza kutumia njia ya Money Gram.?
@hashirsalim9570
@hashirsalim9570 3 жыл бұрын
Mashallah
@rossamengo7211
@rossamengo7211 4 жыл бұрын
Nijambo la kuhuzunisha sana,ya ALLAH tupe mioyo yakutoa na utukinahishe na anasa za dunia,utuongoze tuweze kununua pepo yako kwa neema zako unazo tujalia IN SHA ALLAH Amiin
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Naam kabisa wanawake kuna Group la Wanawake wema kuna Group la aljanah hands kuna mengi tu jiungeni haba na haba tujaze kibaba kuna hao Alfath tuchaguweni wapi na hii isiwe Ramadhan tu 😰😰😰😰😰😰
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Allah tupe nguvu tuwasimamie hawa waja wako 😰😰
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Tunalia unatamani utowe pesa zako zote
@rossamengo7211
@rossamengo7211 4 жыл бұрын
Mimi nikitoa naona bado haitoshi natamani nitoe tena na tena ila uwezo ndio kidogo, ALLAH atujalie tugawane hichi kidogo alicho tujalia na wenzetu ambao hawana,kwani kutoa nimoyo wallahi,hakika imenitoa machozi kabisa
@edenimmasianase7569
@edenimmasianase7569 4 жыл бұрын
😭😭😭
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Natokwa na machozi😭😭Allah atawalip kwa kila hatua yenu.mashallah
@learnonline8033
@learnonline8033 4 жыл бұрын
Wahida Shabaz kama kweli una imani hasa na ndugu zako waislamu lazma machoz yatoke
@kwigayamitto175
@kwigayamitto175 4 жыл бұрын
Mimi naomba namba zenu na wapi Unguja au Pemba mnapatikana
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 4 жыл бұрын
Subhanallah 🇰🇪
@zuhuraadinani8819
@zuhuraadinani8819 4 жыл бұрын
Allah azidi kukupa moyowaiman tuombee nass tupate tuwasaidie wasojiweza
@malikhabibali4651
@malikhabibali4651 3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 3 жыл бұрын
Subhanallah
@alikurran150
@alikurran150 2 жыл бұрын
Allah akbar
@shadiahshadiahshadiahshadi4060
@shadiahshadiahshadiahshadi4060 2 жыл бұрын
Allah awawekeye wepesi mwe woteeee
@user-uk8gr1im8b
@user-uk8gr1im8b 4 жыл бұрын
Allah awabarik alfath kwa jitihada yenu na wasiotoa allah awape moyo wa kutoa inshaallah
@abdoi5780
@abdoi5780 4 жыл бұрын
Dahh Allah azidi kuwatiya nuru na uwezo muzidi kufanya kazi kwa ajili ya Allah...na sisi Allah atuwe uwezo na nguvu wakusaidiya kwa kidog atakachotujaaliya 🙏🏻🙏🏻😥😥
@issandolilo4276
@issandolilo4276 4 жыл бұрын
May Allah guide this channel in its daily endeavours insha'Allah.
@inabikorwaneema8815
@inabikorwaneema8815 4 жыл бұрын
Laa ilaha ilallah. Allah awalipe mema duniani na kesho Akhera
@salmaallysaid1187
@salmaallysaid1187 4 жыл бұрын
Wallah Allah ndo anajua jinsi nnavoumia nawaza kama wanapata swadaka kwa ramadhan jee sku za kawaida wanaish vipi wawakilishi Madiwan wabunge wako wapi ?? Allah atawahukumu kwa kila chozi la mnyonge
@nurualamoody4305
@nurualamoody4305 4 жыл бұрын
Uongozi ni dhima kubwa Sana Kwa huu umasikini wa hawa wazee hakuna kiongozi kuona pepo
@omarsuleiman6039
@omarsuleiman6039 Жыл бұрын
Allaha awalipe kheri kwa mazito mnayo pitia.
@AliAli-bt5db
@AliAli-bt5db 4 жыл бұрын
Subhana llah jamani matajiri wa kiislamu tutakwenda kuulizwa jamani wenzetu wana Hali mbaya na ngumu wanahitaji kusaidiwa
@mbarouksuleiman4351
@mbarouksuleiman4351 4 ай бұрын
sio matajiri tu hata maskini aliejuu ya hawao anapaswa kusaidia alio chini yake
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 4 жыл бұрын
Alhamdulillah alhamdulillah thumma alhamsulillah ndio mana mim sipend kumwaga chakula kikibakia naweka kwenye fridge sik yapil tunapasha moto tu. Jmn jmn mola wetu tufanyie wepes waj wako utuwezesh tuwez kutoa kwa ajil yako👐👐👐
@khadijaallyissa5340
@khadijaallyissa5340 4 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@user-nh9fl5tv9u
@user-nh9fl5tv9u 3 ай бұрын
Mungu awalipe jama ni
@ummabood8268
@ummabood8268 4 жыл бұрын
SubhnaAllah. Imenitouch Sana Sana. Allah akulipeni kwa kila step. Na sie atupe moyo wakutoa
@williammsendo499
@williammsendo499 2 жыл бұрын
Allah name anajakie kher Niya fanye haya
@rabiamussa3228
@rabiamussa3228 4 жыл бұрын
Allah tujaliye tuweze kuwasaidiya wenzetu
@teteshlbrahim3718
@teteshlbrahim3718 4 жыл бұрын
Amin,my Allah bless you
@Miynuh_01
@Miynuh_01 4 жыл бұрын
Alhamdulillah alla kul neemah Yaa Allah sahal yaa rabb
@omanseeb8609
@omanseeb8609 4 жыл бұрын
Mashaaallh
@hassansugha5935
@hassansugha5935 4 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
@faju4real800
@faju4real800 4 жыл бұрын
Allahuakbar kuna watu wapo chini sana kimaisha wanahitaj misaada kwakwl Allah tupe wepes
@wuwubdywiwiwisu6499
@wuwubdywiwiwisu6499 3 жыл бұрын
Ameen y bbi
@zeejaff2948
@zeejaff2948 4 жыл бұрын
Subhanallah... Ya Allah
@mrbubaaside4388
@mrbubaaside4388 3 жыл бұрын
mungu awazidishie alfatah
@mohdsururu3335
@mohdsururu3335 4 жыл бұрын
Allah akupeni nguvu kwa kuwakumbuka Waze wetu Amin
@faju4real800
@faju4real800 4 жыл бұрын
Allah tupe uwezo na iman yakutoa misaada kwa ajili yko
@aishasalim7516
@aishasalim7516 Жыл бұрын
Allah awabariki
@user-es9qs9vs8y
@user-es9qs9vs8y 4 жыл бұрын
Baarakallah fiyk
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 Жыл бұрын
MASHALLAH
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 4 жыл бұрын
Mtangazaji walia cc tufanye nn 😭😭😭wallh machoz yamenitoka kwa mm nasema Familiya yangu Ina shida kumbe Kuna watu wanashida kuliko Familiya yangu wallh 😭😭😭Daah ht cjui niseme nn kwa kweli ila mungu ndio anajua 😭😭
@mamimowayaliomo9749
@mamimowayaliomo9749 3 жыл бұрын
ALLAH
@mamimowayaliomo9749
@mamimowayaliomo9749 3 жыл бұрын
yaallah Allah Akbr
@zeinabathman4969
@zeinabathman4969 11 ай бұрын
Mashallah mungu akupe huohuo moyo inshallah na akufanyie wepesi inshallah katika kila hatua unayoifanya ameen inshallah mwenyezimngu akupe afya na umri na swiha njema inshallah ameen thuma ameen inshallah
@omarramadhani767
@omarramadhani767 4 жыл бұрын
Dah noma
@salumhemed8516
@salumhemed8516 4 жыл бұрын
Subahaana llah allah awape kila kheri inshaallah
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 4 жыл бұрын
Shekh Rashid wewe mola kashakuona jitihada zako wewe nimtumish waumma sisi 😢😢😢😢ndo wakulia zaidi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@abdulshakur8425
@abdulshakur8425 4 жыл бұрын
Kweli
@zekhachimanga4484
@zekhachimanga4484 4 жыл бұрын
Wallah mung akulipeni kheri kwa mnachokifanya awape moyo na wengne wa kuwasaidia inaskitisha sana
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 4 жыл бұрын
ALLAH TUPE WINGI WA IMANI KWA WENZETU WALIO WANYONGE🤲🤲🤲🇰🇪
@samiasalim8322
@samiasalim8322 4 жыл бұрын
Jamani hawa jamani mpaka njia muwatengeze ndio.kuwe rahisi watu kuja fabzeni bidi njia barabara itengezwe ndio watu rahisi kuwafikia na misaada zao mungu awaonekanie yarabb
@allahinbendesi3464
@allahinbendesi3464 3 жыл бұрын
ALLAHIM seni ozun komey ol butun mezlum qullarina.Amin
@salmasalim6055
@salmasalim6055 4 жыл бұрын
😭😭😭😭🤲Alhamdullilah
@fatummsagat5177
@fatummsagat5177 4 жыл бұрын
Subhannallah! Allah amijaze kheri inshaalla,
@hcgghfgg6679
@hcgghfgg6679 4 жыл бұрын
في ميزان حسناتك أخي كل هذا العمل عند الله غير غافل عنه يرحم الله موتاكم و يشفي مرضاكم وبارك الله فيك لنا زيارة أن شاء الله والله انك ابكيتا بما شاهدناه فنحن في عمان نشعر بكم ونسأل الله ان يسهل لنا المجئ ثانية لزنجبار عامة و بيمبا خاصة .
@mussachuo3910
@mussachuo3910 4 жыл бұрын
Dahh kwa kweli nawapongeza sana Allah atawalipa natamn na ss wenye mioyo ya kuchangia tuchangie kupitia kwenu tunaimn na nyinyi sadaka zetu zitafika kwa walengwa
@issasaidiprince8354
@issasaidiprince8354 3 жыл бұрын
Nimelia kweli 😭😭😭😭😭😭
@hawaally1519
@hawaally1519 4 жыл бұрын
Subhanallah allahakbar
@fammamourchy2164
@fammamourchy2164 2 жыл бұрын
Allah awazidishie kheri wana alfatah 😭😭😭😭 Subha Allah
@nassormziray5522
@nassormziray5522 4 жыл бұрын
subhanallah
@firdaushamid8200
@firdaushamid8200 Жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishiye imani na azidi kukubariki na akulipe pepo
@kharithbinmasoud9429
@kharithbinmasoud9429 4 жыл бұрын
IshaAllah mwenyezmungu atulipe heri kwa sote
@sulemohd4812
@sulemohd4812 3 жыл бұрын
Wallah inaliza ukitowa unakuwa unafuraha
@georgegichinga81
@georgegichinga81 4 жыл бұрын
Mungu akubari sana ndugu yangu
@kautharmbarak8667
@kautharmbarak8667 3 жыл бұрын
Alfatah Allah awaajaalie kila kher wallahi inaumiza hasa sisi tunachopata tusemeni Alhamdulillah wazee wetu wanapata tabu .
@mwanakombopongwe8244
@mwanakombopongwe8244 4 жыл бұрын
SUBHANAH LLAH ALLAH AKBAR😭😭😭😭
@yussufamani3437
@yussufamani3437 4 жыл бұрын
yaallah wape imani iliyonzuri wenye kutowa katika njia ya allah ili kuingia ktika firdaus ya allah
@mtorosaidkassim9587
@mtorosaidkassim9587 4 жыл бұрын
Alfatahi naomba na mm niwe miongoni mwa sapoto yenu na mm naomba niwe mkono Kwa mkono na nyinyi hata kama masikin ILA naamini kutoa ni moyo
@fatimaalhabsii1728
@fatimaalhabsii1728 Жыл бұрын
Allah atuwekee wepesi wake
@badrumbarouk3377
@badrumbarouk3377 4 жыл бұрын
Allah akuzidishien iman ya kutoa na cc pia roho zetu zenye kutu azisafishe tuwe na moyo wa kua insha Allah kuto ni moyo wala sio utajir wabilah taufq
@yussufamani3437
@yussufamani3437 4 жыл бұрын
yallah walipe kheir na Baraka zaid kutowa sadaka zao katika njema iliyo nzuri
@khalfanmbarouk112
@khalfanmbarouk112 4 жыл бұрын
Mashaallah allah awalipe kila lakher mana allah ndio mlipa wa yote allah awalipe ujira mwema amin waallah inauma sana mimi kama kijana allah atujalie rizki halal tuje kujumuika nanyi kwa kile tulicho kipata kwa uwezo wa allah
@mariamsefukhamissi8809
@mariamsefukhamissi8809 2 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah ❤️ ❤️ ❤️
@abdiganimohamed6692
@abdiganimohamed6692 3 жыл бұрын
In shaa Allah al-fatah tv keep on
WAZEE WALIO POTEZA FURAHA KWA MIAKA SASA YAREJEA.
9:15
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 32 М.
HII NDIO SABABU WAISLAMU 25 KURITADI
10:19
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 14 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
NIOKOE, USINIACHE NITEKETEE
10:47
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 18 М.
HIZI NI DAKIKA 8 ZA MANJONZI KWA KILA MWENYE IMANII
8:11
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 9 М.
GARI NYUMBA LILILO NA SEBULE, JIKO NA CHOO CHA NDANI ZANZIBAR
19:34
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
KDF FRIDAY BULLETIN 2 AUG 2024
14:04
Kenya Defence Forces
Рет қаралды 3,8 М.
MAMA WA WATOTO NANE AONA MAAJABU MCHANA
6:43
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 31 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН