Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya.
Пікірлер: 544
@yasalaam5903 жыл бұрын
Sheykh unmkosoa mwenzio usimtukane heyh mwenzio usimwite mwenzio kosa lakutoto duniani katika wanaadam hakuna mkamilifu tumia kiswahili chenye.hekma unapomkosoa mwenzako
@aidhajamillah50423 жыл бұрын
Nimependa sana hii ni suala lililokuwa linanitatiza kuwa kuna watu maalum kwa dua ila mtu kama mimi Allah hawezi niskiza, shukran kuutoa khofu moyo wangu, Allah akulipe yenye kheri nawe na waislamu wote
@abdullyqadir14893 жыл бұрын
Mashaallah shehe muhhamad Allah akuhifadh
@ahmedrey11883 жыл бұрын
Sheikh Muhammad sisi wa kenya twapenda sana ufasaha wako Allah akuhifadhi
@Learn4TechTrainings3 жыл бұрын
Mimi namkubali Sheikh
@surealfredkabasa45183 жыл бұрын
Allah akuongoze na akuzidishie elimu zaidi na zaidi Insha-Allah
@seiflion63503 жыл бұрын
Izzudin ni maalim mzuri sana
@zuhuranasoro90063 жыл бұрын
Na hapa kukosoana mtandaoni ndio hujenga chuki
@faisaloaljabry6400 Жыл бұрын
@@zuhuranasoro9006 kwa mwenye Elmu ya sawa akikosolewa akakasirika ujue elmu yake haiko sawa bali anatakiwa amtake Allah amuongeze Elmu aliye mkosoa na awaambie waislamu nilichosema mimi si sawa na huyu aliye nikosoa kasema sawa. Allah ni msahamevu na hakuna aliye kamilika kukosea ila Allah peke yake
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
@@zuhuranasoro9006na kwann tukosoane mtu siaje tu atoe video na yeye ya kuzungumza mada kama hiyo kwa uelewa wake basi hivyo mtu atafata alichojaaliwa kukiona sahihi
@maalimjumabinmuhammad6128 Жыл бұрын
Jawabu kwa bachu kzbin.info/www/bejne/nYSsoa1oqbSmbKMsi=lVrl8rEgU_2xwLOJ
@mohammedkassim76513 жыл бұрын
Jazaka Allahu khaira sheikh muhammad Allah akuhifadhi endelea na daawa mashaAllah
@muslimmassoud26733 жыл бұрын
Mashallah sheikh Muhammad Allah akujaalie kila la kheir akuzidishie elimu zaid ya hii na ukiona jambo lolote LA bidaa usiwache kulizungumzia inshallah
@abdul_azeez_almaamir3 жыл бұрын
Allah akuhifadhini masheykh wetu
@saidalhabsi64853 жыл бұрын
Asalam alaikum shekh tunashukuru kwa haya mafafanuzi. Swali langu haya matatizo mlimwita au mlienda kwa masheikh wake wakubwa mkasema makosa anayoyafanya. Jaribu kuwa muungwana na masheikh wenzako sio kuwafedhehesha kama hawajuwi dini. Jaribu kupita katika channel nzuri ili masheikh wenzako wakupende. Samahani kama nimemkosea
@salimmapande46683 жыл бұрын
Usiwache kuzungumza haki ili ututowe ukungu machoni mwetu, ALLAH akuhifadhi
@kihozaramadhani18283 жыл бұрын
Hakika wajinga km yeye watasema mengi ila wapo walo mtangulia kielimu tuseme yeye ndo kashushiwa wahyi kua sahih ktk hayo au walo ona hy kua walikua hawana elimu ila yeye au kishataka Kusoma hayo akaona uharam wake ruqya imetok kwanan?
@abdulrahmanomar61893 жыл бұрын
@@kihozaramadhani1828 soma ewe ndugu yangu tafuta darsa ujifunze dini yako
@kihozaramadhani18283 жыл бұрын
@@abdulrahmanomar6189 hakika kabla hujaanz nambia mm ungalianza ww kisha ukamwambie n huyo sijui Muhammed kisha ukaja nambia mm afu sitaki kaz comment kw mtu Kama huyu
@abuusuleym36763 жыл бұрын
@@kihozaramadhani1828 kama ayo sio sahih muache alete yaliosahhi na hawez kuleta milele yaliosahih
@bellbell92943 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akuhifadhi jazakallah khaira
@muhidinally37533 жыл бұрын
Jazakullah kheir. Umetuwaidhi Allah akupe umri mrefu wa Daawa
@bobomuamarg385611 ай бұрын
Allah Akujaze kheri. Kwa Mada hiyi kabisa umepatiya . Lakini ndugu usiwe ukijibu ma Sheikh wenzako kwa Kejeli ! Hekima yapaswa kuzingatiwa haswa pale unajuwa walimwengu chungu mbovu ni wenye kufatiliya kwa karibu unayo yazungumza . Shukran kwa kuzingatiya ushauri huu .
Masheikh wa sikuizi Kila mmoja anajifanyaa mjuajii kukosoa wenziwao na kujiona wao wanaelimu kuliko wenziwao
@muhammadbarwani3321 Жыл бұрын
Imamu shaafii anasema : epukaa kunikosoa mbele za watu hakika kunikosoa mbele za watu ni kunifedheheshaa ,Sasa nakwambia wewe mtoto wa bachu unaejifanya unaelimuu ! Wenye elimu hawawi wajingaa Kama wewe kumfedhehesha mtu kutaka kujiona wewe Bora kuliko wengine hiyoo ni riyaaa Wala hatukuoni kuwa unaelimuu kwa sababu adabu hunaa ! Wala hatukusifu tunakuona ni mpumbavuu tu mmoja basi!
@nambizajuma Жыл бұрын
Asalaam almkum walhamtul wabarakatu eshima ya din ni kubwa kulikon mtu ivo shekhe anakosoa ni busara kulekebisha makosa yake Ili waumini wasipotoshwe
@aminayusuf3051 Жыл бұрын
The young breed of shuyukh muhammad bachu and team great work
@ramadhanikhamisramadhani73262 жыл бұрын
Nlikuwa stak ku comment Ila imebid to Mohammed masha allah allah akuzidishie hekmah
@omarsaid67443 жыл бұрын
Safi ustadhi imeeleweka hio tuacheni ubishi masufu ustadhi amenukuu vitabu.NA MUOMBA ALLAH DIRECT alhamdulilah Allah hunifungulia mambo yangu,na kunifayia wepesi.tuna subiri part3.
@samiumussatv85583 жыл бұрын
Dawa nzuri ni kufikisha ujumbe wa allaah kwa watu ili tupate radhi zake kuna makafiri wengi sana hebu tujitahidini kuwalingania ili waje kwenye haqqy inshaa llaah nao waione haqqy yangu ni hao
@muhammadmjara67763 жыл бұрын
jazaka llahu khera ukimaliza kumuweka saws Hugo geukia kwadokita sulle ambaye anaendelea kutepeli watu
@hussnasaad75033 жыл бұрын
A.aleykum mm maoni yng (afadhali tumuache shekh atuelimishe badala ya kuingilia ktk mzozano ambao tayari ulisha... ekewa vikao... yaani tunapenda anavo tuelimisha hatutaki apoteze mda kwa matapeli wakaidi... hata watu wenyewe washajua hilo wakienda kutapeliwa... hilo ni juu yao
@ahmadomar51143 жыл бұрын
Ww kijana wajishusha thamani usoliganiya watu ww kazi yako nikufwatiliya wenzako pole sana nakusitikiya sana
@salehrashid-fx9rq11 ай бұрын
MashaAllah, sheikh Muhammad endelea kuwapa elimu hao vifuu tundu
@AliSaid-il7ko2 жыл бұрын
Masha Allah elimu haina umri na unachofanya nikizur maana jamii ya kiislam inatakiwa kujua upotofu mkubwa unaofanywa na masheikh wengi tu
@awaznasor29132 жыл бұрын
barakallahu feek sheikh nimefaidika sana katika hii muhazara jazakallah khairah sheikh
@alisalim23843 жыл бұрын
ALLAH akupe umri mrefu,uzidi kutuelemisha inshaallah
@saadasaleh317710 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad
@salumsaid15452 жыл бұрын
UNATAKIWA USOME KWANZA KWA UMRI ULIOKUWA NAO, UTUKUFU HAUJI KWA KIJITUKUZA. SOMA MDOGO WANGU UMRI BADO SANA UNAKURUHUSU.
@asswiddiqwatamaaman9793 жыл бұрын
As'salam aleykum warahmatullah wabarakatuh, naam sheykh ama hapo ni kweli nimeafiki uko sahihi,lakini please jaribuni kuwa mnatumia maneno mazuri zaidi,Jazzak Llahu khair.
@salimmapande46683 жыл бұрын
حفظك الله يا أخي وبارد الله فيك
@KhamisMdzomba-w6h Жыл бұрын
Jazakallah kheir
@bennymochiwa4800 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azid kukufanyia wepesi Sheikh wetu uzid kutulingania
@officialmutrahlg2484 Жыл бұрын
Izzudin yuko vizur sana hapa ni kutaka umaarufu mitandaon tuu,,hii clip imekatwa katwa
@asnatiasmani8811 Жыл бұрын
Mhhh so kweli msiklze bachu vizuri ameikata kata ndio vile vipnde ambvyo havipo sawa sheikh bachu yuko vzur bhna
@AMI-ip1lx2 жыл бұрын
Allah Atujalie Tuwe Wenye Kuijuwa Dini Yetu Kiufaswaha Allah Akujaze Kheri
@hamisibakarimwahundu48613 жыл бұрын
Kumbusha hakika ukumbusho uwafaa walio waumini,Usichoke sheikhe bid'aa ni mbaya sana na mashukio yake ni motoni😭😭😭
@asraoman735 Жыл бұрын
Mashallah kofia umekupendeza shekh muhammed😊
@saidalhabsi6485 Жыл бұрын
Hatujuwi nani mkweli wewe bachu kila shekh anamakosa kwako hajuwi mawaidha mara hajuwi kiarabu acha bifu na masheikh inamaana wewe ndio upo 100% mashaallah mashekh wengi wanajitolea kufundisha dini
@mullestv26803 жыл бұрын
Asie kua na elimu ngalau kidogo vigumu kukuelewa bali allah alowajalia neema ya uelewa tumekufaham mashaallah
@kavumohemedi8713 жыл бұрын
Umesema kweli nduguyangu Allah anajibu dua za wajawake si lazma eti uende kwa mwengine akuombee
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Sio kila mtu anajuwa kusoma
@jumannengoffa7693 жыл бұрын
Kuomba ni taaluma bila shaka hakuna ubaya wowote kuombewa, sasa povu linakutoka la nini .
@Maalim_Samatta2 жыл бұрын
Je vipi na akina nabii yusuph walivyomwendea baba yao na kumtaka awaombee. Nyie vp
@sokomoko67572 жыл бұрын
Ufafanuzi mzuri, lakini la busara ni ungalimtafuta huyo sheikh na ukwamweleza hayo, kisha ungemwacha ajirekebishe mwenyewe Na kama angalikataa ungefanya kama ulivyo fanya bila ya kumkejeli... Bali ungemuombea na kumtafutia udhru kwa kusema kuwa amepitikiwa.. Hilo lazalisha upendo baina yenu,.... Naomba ujirekebishe kwa kupitikiwa na hili... Hakuna mkamilifu illa Allaah
@MohamedMfaume-f7j7 ай бұрын
Ukilesema kosa la dini ktk umma.lazima lirekebishwe kwa njia ile ile uliyotumia ili watu wasipotee.hivyo hana kosa bachu.shekhe angelifanya kwa siri,angelifuatwa kwa siri.
@allyathman95843 жыл бұрын
Allah akubariki shek wetu
@twahangenya48293 жыл бұрын
ماشاء اللة yaani sheikh unawamudu kwa kweli ukiendelea kuwakazia naa mini ndani ya miaka mitano ijayo Afrika mashariki hakutobakia mzembe yo
@sulesumry97663 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@mussamohamedmohamed70482 жыл бұрын
Swadakta,,shekh, Mohammed B heachu,,majibu yamejitosheleza,,ALLAH, BARIQ,,
@mussaudizi60133 жыл бұрын
Mashekh waongo wanafiki mazushi yaani bbidaaa ukweli sasa wamekithiri mnoooo . Shekh Abuu UBAIDA Muhammad nasour bachu ww nyooshatu tukopamoja Allah akuongoze ijapobaadhi wapo wasopenda hii .... Ilasolazima wao wasipende ww nyooshatu tandika radiizo
Planet of intellectual. Al ilm nuur. And the nuur is shining in the world let us continue to observing the challenges about ilm among ulamaa we learn thing from 🙏🏽 ( understandability competition is not a fault don't look bad our ulamaa they want to show us the reality of Quran and Sunnah ) i like much this system I learned more things and I continue to get a lot of knowledge which I did not know before. Mashaallah jazakat allahu kheir 🙏🏽
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
Rylan Melody@ nakuunga mkono kwa asilimia nyingi
@abdulhaleemsalim10593 жыл бұрын
Wacha ujinga ww bachu hujakosoa chochote huna unalo jua wacha ujinga na ilimu huna bachu sote waja wamungu ila kuna Bora zaidi kwa mungu kama wacha mungu huwezi kufananisha na wale wakumshirikisha mungu ila sote waja wake ww bachu kasome
@abdulrahmanngaluma37683 жыл бұрын
Mashaallah
@thedon8467 Жыл бұрын
A wise man never knows all only fool know everythings
@kosemraul34193 жыл бұрын
😂😂😂 ths video is a bomb💣. Allah akuhifadhi sheikh
@SWABRI18-yi6vx Жыл бұрын
Masha Allah.msema kweli na utabaki kua msema kweli,Allah hafidh
@maryamabdallah31403 жыл бұрын
Assalaamaleikum warahmatullah wabarakatuh, wacheni ushabiki...hapa tunaelimishwa ima kutoka kwa aliekosea na au aliyeteleza...tusipende kuwatukana wasomi wetu ktk elimu ya dini
@zuleikhamohd52393 жыл бұрын
Kweli kbs
@alihassan-gd5lc3 жыл бұрын
Sio kwa mfumo huu kaka kuelimishwa hapa nikudhalilishana tu.nakuonyesha tofauti zetu kwasio waislam haki mimi nachukia sana
@swafniesaid23312 жыл бұрын
@@alihassan-gd5lc unani matughu yakushishie usiwe hasidi ezudini alisoma akajuwa nawewe kasome ujuwe wacha uhasidi wako mawahabi nimahasidi ama kazi yakuighiza watu peponi namotoni allah alikupa wewe nakuona wajifurisha kho hakuna akutiyao akilini
@mwajitajunior76333 жыл бұрын
Nyooshaa mtu Bachu mdogo wanafkir kila anaeweza kuzungmza anaweza kulingania
@OmerHamdan-be1um4 ай бұрын
Safi bachu
@OmerHamdan-be1um4 ай бұрын
Ww wape TU ukumbusho katika njia ya sawa....maana anae achwa kupotea na mungu mbinguni haongoki Wala hakuna wakumuongoa
@eddy8627 Жыл бұрын
شكرا وجزاك الله خير يا شيخنا. العلم بحر
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Baaraka Allah fiyka Al Akhy Mo Bachu,. Hawa watu wanapindisha Aya za quruani maksudi sijui wana malengo gani?, Twamuomba Allah asiwakithirishe watu hawa wa matamanio.
@mohammedwedding65302 жыл бұрын
من هم عبادى و من هم السلام علينا وعلى عباد الله الصالحين نطلب السلامة لنا ولعباد الله الصالحين.
@allahakujazekheriwowww56943 жыл бұрын
Shekhe wetu kerebisha makosa mola atakuifazi kwasababu uko kwenye haki
@zuhuranasoro90063 жыл бұрын
Huku sio kurekebishana ni kutukanana
@alfaroukshabani41413 жыл бұрын
Sheikh usiache watu wapotezwe, Allah akuhifadhi
@allykhalfan95132 жыл бұрын
شكراً يا غالي بواضح الدرس
@albassambakili37573 жыл бұрын
Masha Allah nakufahamu sanna muhammadi Allah akuhifadhi
@hamisiselemanishekhmtupawa31763 жыл бұрын
Ww hunailimu kwakauli zako za zarau kwasa bab kuelekuelekeza niibada lakini sikwakuwazarau kwamtu mchamungu hawezi kukuacha kukuambia
@dullahmihuri3 жыл бұрын
Allah akuzidishie elimu na uzidi kuyafungua mafundo km haya
@addaalmedia3 жыл бұрын
بارك الله فيك
@kijanamwepesi6997 Жыл бұрын
Wallahi huyu shekhe ana fundisha vzr kabsa ila tatizo n moja unapo mrekebisha mtu ama kama mtu kakosea kuna lugha unayo pasa kumuongelea nayo na hata yy atajua kwl kuna sehemu alikosea akarekebisha ila akirekebisha kama Ana kashifu hio sio kufundishana ndugu wailam tusikalifishane ili tuonekane fulani ndio bora wakti njia za kurekebishana kw utaratibu zipo
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
NAMUONA HAPO MTOTO WA SHEIKH BACHU KTK URITHI WA NYAYO ZA BABA YAKE KAZI KAZI #
@adijaamur9622 жыл бұрын
Mwenyezimungu awanusuru mashehe wetu kabisa yani fataneni imbox kisha mtufikishiye ujumbe sa hihi mukono kwa mkono hadi pepon😘😘😘
@hamisali38263 жыл бұрын
Sheikh Muhammad maashallah elmu ulionayo itakua Bora kujiunga na shkh mazinge mukaleta wasio waislam katika dini ya Allah
@aboudsaidaboud76673 жыл бұрын
mashaalla sheikh.ALLAH akuzidishie .AMEEN
@fatmahamad21562 жыл бұрын
Mumepewa ilmu lakin hamukupewa hikma
@saidkhalifa342 жыл бұрын
Alkamalulilah azzawajallah
@abuuharuna88202 жыл бұрын
Shekhe umefafanua vyema sana
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun. Mtihani kwa mashehe WA bidaa Hawa kama hawajui sijui kwanini hawakai kimya wengine sijui waganga wanataka watu waende kwao kuombewa
@adanissak68103 жыл бұрын
Wale masheik wapotofo lazima wakolewe masha Allah sheik
Asslm Allkm Sheikh Wangu, kimaoni mimi naonelea ungefanya mawasiliano na mashekh unaowaona wamekosea, ili mupatianemawili matatu ya kusaidiana kiilmu , lakini kwa namna hii ni kudhalilishana.Waislamu hustiriana na kutakuwa na upendo baina ya nyinyi Mashekh na ss wasikilzaji hamtotugawanya.Maana ss wasikilizaji tukigawanyika tunavunja umoja.
@zuhuranasoro90063 жыл бұрын
Assalam aleikum nakupongeza sana... hili suala la kujirikodi na kumkosoa mtu mtandaoni skulipenda..hii yajenga chuki baina yao na cc wenye kuwatazama
@JK-um6op Жыл бұрын
Akiongeya na shehe aliye koseya sio suluhu.. huyo kesha poteza wengi tu, bora liwe mtandaoni ili walee walio msikiliza wapate ujumbe vile vile.. Wabillahi tawfiq.. shukran
@mansurabubakar3906 Жыл бұрын
Wakomemashekhezetu
@saiditara72353 жыл бұрын
أحسنت يا غالي
@riziqalli642 жыл бұрын
Ni kweli Muhammad bachu Allah amesema Kuna watu dua zao hazipokelewi
@asnatiasmani8811 Жыл бұрын
Sawa sawa sheikh bachu jr
@khadijasaid50653 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi shekhe Muhammad bacho akupe nguvu zaidi utufundishe kutoka Kenya khadija said Nahdi
@asiaghadija83333 жыл бұрын
SubhanaAllah
@saidpolish1988 Жыл бұрын
Vyote vya mungu
@Seremani-ll2yf4 ай бұрын
Wenzio wanataka maisha sio dini wanasemasema tu wale ubwabwa
@abuuhuzayl65493 жыл бұрын
Naam jazaakallahu khayran akhiy fillah. Nina nasaa kwako ndugu yngu penda Sana kutumia neno ALLAH badala ya Mwenyezi mungu Naam Baarakallahu fiika
@masoudmgongolwa16512 жыл бұрын
جزاك الله الخيرا
@nzeyimaamini32822 жыл бұрын
NASHUKURU SANA KWA UFAFANUZI WAKO SHEIKH ILA NINA KUOMBA WEWE PAMOJA NA MASHEIKH WENGINE MSI AIBISHANE LIKI TOKEA JAMBO LOLOTE KAENI CHINI MLIMALIZE KIMYAKIMYA
@badikithi53273 жыл бұрын
Masheikh pia nyinyi ni binadamu.hamujakamilika ila ukamilifu niwake Allah.Na mwenye kujuwa zaidi ni Allah.zipo njia zakufanya mjadala lkn sio kukashifiana hapa.Dini nyepesi Masha Allah.masheikh tafadhalini tafuteni njia yakuelezana Kwa uzuri sio Kwa njia hii.
@F.j842 жыл бұрын
Subhanallah hao wamezoa kudanganya watu kujipa vyeo ili wapate maslahi yao,, njaa tupu ukiona wamevaa mipete mikubwa mikubwa kujifanya wako katibu na mungu lkn wanawapoteza watu kw maslahi na hawaa nafs zao.
@adijaamur9622 жыл бұрын
Sana tu anatupoteza ila nihurumawake Allah
@mpongomwenda15993 жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakat. Enyi wanawazuon, uisalam ndivyo ulivokufundisheni katika kuelimishana kinamna Kama hii? Kueni na kustiriana napia kuvumiliana katika tofauti zenu. Nikweli muyasemayo! Siwapingi! Lakini busara! busara! busara jamanii.......... Elimu na hekima...ndio........zinakwenda sambamba jamani....Niwilieni radhi masheikh zengu Tafadhali!!!
@shaimahisham89483 жыл бұрын
Kweli kabisa kwa unayo sema.hivi sivo tunavo takiwa kuelimishana.kua kama alivo kua babako.waislam ni kustiriana.sio kujionesha kua eti ww ni mjuzi zaidi.mkamilifu ni Allah.ongea na mwenzio muelimoshane.sio hivi hadharani
@ab.a83533 жыл бұрын
Subhanallah! Kashfa kubwa salaaala, Allah atustiri.
@omarzeda31193 жыл бұрын
Shukran sheikh
@thedon8467 Жыл бұрын
HAIPENDEZI KUKOSOA MASHEIKH WENZAKE KAMA IVO NI HERI KWANZA UKAMTAFUTA PRIVATE UKAMUELEWESHA MAANA HII NI KAMA UNAMZALILISHA HAIPENDEZI
@amanichanzi18243 жыл бұрын
Tatizo hamtaki kukaa chini kusoma ila nyinyi kusoma kwenu kusikiliza masheikh tu hamjui kutofautisha yupi wa wakusikilizwa mpompo tu kama mabubusa kwahiyo hata kikielekezwa kitu kwa usahihi wake harafu wewe tayari ushakaririshwa
@ahmedaliahmedahmed30033 жыл бұрын
Sasa sawa kakosea kwann usimfate faragha musiba huu
@salumabdallah22113 жыл бұрын
Kweli kabisa upo sahihi shekhe wangu.ombi lako c lazima umfikishie binaadamu mwezako.hata ww waweza kuomba na ukajaaliwa ulicho kiomba.kwa kutoka kwa allah masaada wako.
@abuusuleym36763 жыл бұрын
ukimaliza huyu othman maalim mzee wa visa vya uongo
@anarduk64383 жыл бұрын
Hahahahahaha KM ULOKUWEPO WANGU
@muslimmassoud26733 жыл бұрын
Mhhhh kwel lkn
@abuusuleym36763 жыл бұрын
@@muslimmassoud2673 ndio
@ahmadiayoub13153 жыл бұрын
Hebu twambie je shkh othman katoa kisa gan cha uwongo?
@abuusuleym36763 жыл бұрын
@@ahmadiayoub1315 lete namba yako nikutumie kisha uwambie watu kama kwel
@adijaamur9622 жыл бұрын
Alichukuwa naam kabisa sheikh wetu
@swabreenaali64412 жыл бұрын
Aliyekamilika ni Allah pekee kwa ivo tuweni makini tunaporekebishana tusidhalilishaneni jameni
@adilhabib89883 жыл бұрын
Sawa sawa sawa
@mohamedally18683 жыл бұрын
hayo NI mambo ya kipumbavu na NI bidaa mbaya zaidi kukaa na na kutafutamakosa ya mashekh wenzenu muwakosoe ili muonekane mnajua acheni ujinga watu wanakufa bila iiiman.
@abaafarhat91913 жыл бұрын
Vipi na wewe msufi naona umechukia
@hilaldiwan96603 жыл бұрын
Yani Muhammad bachu ata sijui kasomeshwa na nani Mana kasoma lakini hajasomeshwa
@KaskasTHEfinderCLIP3 жыл бұрын
Akuna bidaa hpo,unajua ubaya wa kuificha helimu wewe,bayana lazima iwekwe wazi ..unatka watu wafiche elimu ili watu wajinga kma nyinyo mpotee
@KaskasTHEfinderCLIP3 жыл бұрын
Bayana ingekuwa infichwa kma unavyotka wewe baso leo ungekuwa ubaaliabudia jua tayari,wacheni mapenzi katika mambo ya msingi,kuweni kwenye ukweli msiishi kwa kukalili
@omarchaijefwa72911 ай бұрын
Wewe ndiwe mpuuuzi wa mwisho tena wa kuanzia chini kabisaaa hujui Qur'an inasema nini wewe! ALLAH ANASEMA HATA ELIMU YA DINI MTU INAWEZAMVIMBISHA KICHWA NA AKAWA SABABU YAKUPOTEA NA ELIMU YAKE,SASA ACHA IZZUDIN HATA ZAIDI YA IZUDIN AU HATA HUYO BACHU PIA AKIKOSEA AU KUTELEZA LAZIMA AREKEBISHWE,KWAHYO USISHABIKIE HAKUNA UTIMU KAIKA UISLAM NI HAKI NA BAATIL BAAAAS
@husseindiba216911 ай бұрын
Mohamed bachu ni msomi
@kihozaramadhani18283 жыл бұрын
Duh anae kufuatilia hakika atakua na upungufu kam yako duh soma kwanz bad elimu chin San
@anarduk64383 жыл бұрын
Sasa km ww humfatiliii mbona ume comment? Hahahaha