Maasha Allah.ALLAH awalinde wahadhir wetu vipenz.Niliwafikiria sana na kuwaombea duwaa kutokana na kinachoendelea Kenya....ALLAH KARIM
@salimdaawah1232 ай бұрын
Aameen ameen ameen alhamdulillah tuko salama shukuran kwa duaa
@bahsansheikh60422 ай бұрын
Alhamdulillah ala salama. Tumefurahi kuwaona tena Mashekhe wetu. Mungu Awahifadhi
@salimdaawah1232 ай бұрын
Aameen ameen ameen
@daawaonestreetassociation.57022 ай бұрын
Assalam alykum warramatullah wabarakatuh hali zenu MashaAllah Allah awafanyihe wepesi katika kazi ya daawah. Kijana MashaAllah anajitaidi sana
@salimdaawah1232 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh walimu wa kesho hawa inn shaa Allah yuko sawa sana
@twasckozedon92372 ай бұрын
Mashaallah hao wanaelewa ila majeuri to ! Mungu awalipe inshaallah
@loner_wolf2 ай бұрын
Maandamano yamekwisha au mmeingia viwanjani kibabe😅😅😅😅? Kwako Sheikh Salim
@salimdaawah1232 ай бұрын
Kumetulia kiasi alhamdulillah
@jasminmohamed61452 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@Adm94642 ай бұрын
I feel sorry for our Christian brothers and sisters. This are the kind of pastors they listen to and they themselves don’t know and understand the scripture. Very sad
@salimdaawah1232 ай бұрын
Yeah the pastor is also confused
@rizikiali3282 ай бұрын
Mashallah masheikh Allah awahifadhi na awalipe kila kheri sheikh Salim umesema kwel kuna wanao sema majiniwanaweza kukusaidia na ati wanajiita waislamu hasa watu wanaotumia falaki hawa wanauhdalilisha uislamu Allah awaongoze awaonyeshe haki
@MohamedAbdirahmanAhmed-s6u2 ай бұрын
Aslc.
@SaidMgeni2 ай бұрын
مشأ الله تبارك الله
@abdalaauame38632 ай бұрын
Mashalla ustaz salimo wanhugue
@zuenahassan8882Ай бұрын
Mashaallah baarakallah
@spinicahakama45002 ай бұрын
Welcome back our Sheikh asanti kwa elimu nzuri 🙏🙏🙏🙏
@salimdaawah1232 ай бұрын
Alhamdulillah tuko salama
@mifunga34142 ай бұрын
Alhamdulillah ❤ proud I'm a Muslim .
@salimdaawah1232 ай бұрын
Masha Allah
@mohagurey22142 ай бұрын
Mmegoma viwanjani siku hizi
@salimdaawah1232 ай бұрын
Kenya kulikuwa moto hatungeweza kuenda viwanjani
@bausifarouk17982 ай бұрын
Welcome dr salim ngugi without you KZbin imepoa doctor
@salimdaawah1232 ай бұрын
Alhamdulillah tuko tunashukuru
@MohamedAbdirahmanAhmed-s6u2 ай бұрын
Allaahu Akbar
@mohamednurmohamed88122 ай бұрын
Mash ALLAH alhamdulilah Neema❤❤❤
@abdiidaawah-yv9bg2 ай бұрын
Alhamdulillah kuliwaka moto kwenye viwanja vya daawah
@salimdaawah1232 ай бұрын
Yani mpaka kieleweke inn shaa Allah
@KhamisJuma-ni1vk2 ай бұрын
Assalam alahykum warahmatullah Wabarakatuh. Alhamdhulilah. Nafurai Kwa Kuwaona Tena
Allah ampe amani wakenya.nimefrai kuwaona tena alhamdulillah
@salimdaawah1232 ай бұрын
Aameen ameen ameen
@josemu8702 ай бұрын
Allahamdhulla barikiweni sana
@salimdaawah1232 ай бұрын
Aameen ameen ameen
@josemu8702 ай бұрын
To be a Muslim is a massive from Allah
@josemu8702 ай бұрын
Nasoma dini pole pole online nakuja kuslim Allah do anajua
@AlhajiSaidi-uo8zl2 ай бұрын
❤❤❤❤tz
@samxx4112 ай бұрын
Ikisha wakristo wengi mawazo yao yamefanana ya kumpinga yesu lkn huhisi kama wanampenda sana. Ikisha wabishiiii
@salimdaawah1232 ай бұрын
Wengi wao hawajui na hawajui kama hawajui
@samxx4112 ай бұрын
@@salimdaawah123 wallahi ni kweli ila Allah akupe taufiq, Wallah unafanya kazi kubwa hata baadhi ya mitume walishindwa. Inshallah akupe nguvu na akulipe firdaus ya daraja la juu kabisa.
@HamzaAkilimali2 ай бұрын
Huwa hakuna mwimbaji kwaya yeyote, aliye soma Biblia kwa makini. Kwani kila waimbacho, ni tofauti na kilichoandikwa ktk .Biblia. (Kupotea ni kupotea tu, jamani, tena ukiwa mbishi, hiyo ndiyo hatari kabisaa)
@Adm94642 ай бұрын
This pastor will never come back because he already knows he lost mjadala
@salimdaawah1232 ай бұрын
We will wait for him and see if he will come back
@samxx4112 ай бұрын
Maskini huyo mchungaji ndo anawafundisha watu hali hiyo.
@salimdaawah1232 ай бұрын
Yeah hawa ndio wachungaji kama hali yao iko ivi wafuasi watakua vipi
@abdirizakali62232 ай бұрын
Ma Sha Allah mashee wetu we miss you Hlfu kwa catholiki baba anaeza iita mwanawe baba kma mwanawe ni pastor uko😂 kidogo inachanganya akili😂 Al-Isra' 17:81 وَقُلْ جَآءَ ٱلْحَقُّ وَزَهَقَ ٱلْبَٰطِلُۚ إِنَّ ٱلْبَٰطِلَ كَانَ زَهُوقًا And say, "Truth has come, and falsehood has departed. Indeed is falsehood, [by nature], ever bound to depart."
@salimdaawah1232 ай бұрын
Ukweli ukifika uongo lazima utoweke
@loner_wolf2 ай бұрын
Salim , kunaneno "KAMA".... Anasema utukufu KAMA ule wa mwana ......... KAMA imetumika kufananisha UTUKUFU waliouona na ule wa yule mwana wanaosema😅😅😅😅
@salimdaawah1232 ай бұрын
Kabisa yani hiyo ni point
@Elybwayz2 ай бұрын
Jimefurah kuwaona tena ❤
@salimdaawah1232 ай бұрын
Masha Allah
@rizikiali3282 ай бұрын
Alhamdulillah nimeelimika
@salimdaawah1232 ай бұрын
Karibu sana Allah akuhifadhi
@HassanAli-wf2hm2 ай бұрын
Naomba Kujua Mtume Amosi ni mtume gani
@MrRavini2 ай бұрын
Wa kwenye bibulia
@nassirmwangi33512 ай бұрын
Ustadh ujaribu next time kubeba Panadol extra
@salimdaawah1232 ай бұрын
Hahaaaaaaa 😂🤣😂😂😂
@faridbashuu2 ай бұрын
Maskini Pastor 😂😂 Huyo sijui kama Atarudi tena... Maskini Biblia imewachanganya completely 😪
@salimdaawah1232 ай бұрын
Tena kabisa ila kitaeleweka tu
@faridbashuu2 ай бұрын
@@salimdaawah123 insha'Allah
@shabamuhidin6342 ай бұрын
ikiwa yeye Mkristo anajiita Muisrael sasa mtu wa Mataifa atakua nani? Wanajua wazi ila tu
@attainingallroundexcellenc69922 ай бұрын
Ali Muhsin Al-Barwani Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka. Sahih International Cursed were those who disbelieved among the Children of Israel by the tongue of David and of Jesus, the son of Mary. That was because they disobeyed and [habitually] transgressed. Ali Muhsin Al-Barwani Walikuwa hawakatazani maovu waliyo kuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu yalioje mambo waliyo kuwa wakiyafanya! Sahih International They used not to prevent one another from wrongdoing that they did. How wretched was that which they were doing. QURAN CHAPTER 5 VERSE 78 and 79.
@MrflashMobile2 ай бұрын
Nina swali Suleiman mazinge yuko wapi jamani ?🙏
@salimdaawah1232 ай бұрын
Yuko ako mzima wa afya
@zakirfeysal40252 ай бұрын
Sheikh ningependa. Kukija msikiti yenu iko karibu na wapi na inaitwaje? jazakallah
@salimdaawah1232 ай бұрын
Mkuru kwa Ruben kijijini karibu na police station ya mkuru kwa Ruben utatupata inn shaa Allah