Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akihutubia kwenye uzinduzi wa skuli Unguja.
Пікірлер: 10
@ZanItalyTours7 күн бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻
@KichinaHajiАй бұрын
Huyu jama hatari Bora upigwe na risasi unauwa haraka kuliko maneno ya mpemba huyu huyu Omo kiboko ya ya uchafu wote
@MshamAli-o4e29 күн бұрын
Waambie hap
@HajiMakame-f5f13 күн бұрын
Huyu jamaa Ubaya Ubwela Sana
@NassoroHaji-i8kАй бұрын
Waachambue chaambue hao mh omo
@BakariMakame-j5f24 күн бұрын
Omo ana mfumo mgumu sana kama wa yanga gusa achia twende kwenye mada,ni dawa ya presha anojua elimu yake atakwambia ( wende vizuri na mada yako) turudi kwenye mada inasemaje nimesahau kuisoma nimeharakia kwenye mada AA watoto wetu ndiyo walimu wetu
@ConfusedBalkhHound-on2mx27 күн бұрын
Omo waambie maana hawajitambui
@bongo3926 күн бұрын
Wewe omo sijui magadi baada ya kushirikiana na serikali iliyoko madarakani ili muipaishe zanzibar kimaendeleo kimapato huna ufanyalo zaidi ya mipasho tuu kili kukicha sii bora tujue moja tuu uingie kwenye taarab uimbe mipasho
@jumamohamed316826 күн бұрын
Watu hawahitaji kuuliwa kila kipindi cha uchaguzi binafsi linaniudhi jambo hilo na ccm ndio chanzo cha mauaji ili waendelee kubaki madarakani .tufanye uchaguzi bila hadaa na wala yasitokee mauaji kwa sababu chama fulani kibaki madarakani .
@jumamohamed316826 күн бұрын
Hayo maneno anayo zungumza yasikilize vizuri utaelewa nini anachokusudia ,au wewe watu wakipoteza maisha kwa sababu ya uchaguzi huumizwi na hilo ,kama unaumizwa basi ungemchukia anayefanya hadaa na dhulma katika chaguzi kwa sababu unajua kitakachotokea ikifanyika dhulma na hadaa.na huwezi kumchukia anayesisitiza haki itendeke na dhulma iondoke ili amani itamalaki.