MWANAHARAKATI AJITOA MUHANGA MBELE YA DKT MWINYI AFICHUA MADUDU HADHARANI "TUMEKAMATA TUPU"

  Рет қаралды 132,401

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

3 жыл бұрын

#Mapinduzi #Miaka57 #Zanzibar
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 434
@zaibonge7867
@zaibonge7867 3 жыл бұрын
Huyu mama apewe cheo kikubwa hapo Zanzibar wallah anaipambania mpaka raha wallah 😘 Allah amjaalie thawabu nyingi ...na amlinde na wabaya maana Tanzania ukisema ukweli unakuwa adui .😭
@it-vw4zj
@it-vw4zj 3 жыл бұрын
Fantastic dada etu, mchango wako ni mkubwa na Allah atakupa nguvu na mchango wako usipotee bure
@farajiyapesa8047
@farajiyapesa8047 3 жыл бұрын
allahuma amiin
@agnessmasanelo8476
@agnessmasanelo8476 3 жыл бұрын
uko vizuri dada
@afnanfromomanweloveyouraya808
@afnanfromomanweloveyouraya808 3 жыл бұрын
Pppòlpĺ
@hassanturky7511
@hassanturky7511 3 жыл бұрын
Serikali chukueni jukumu la kumhifadhi huyu mama. Akijikwaa tu hampo salama.
@ahmedkhamis9539
@ahmedkhamis9539 3 жыл бұрын
Hongera sana mama umeongea maneno mazito sanaaa allah atakulipa heri tupu inshaallah
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 3 жыл бұрын
Ameen
@fatmaabdalla8543
@fatmaabdalla8543 3 жыл бұрын
Aamin
@nassernajm5417
@nassernajm5417 3 жыл бұрын
Sub'hanaLlah!! Pole MH Mwinyi kwa majanga ulioyakuta..!! Allah akusaidie uyaweze maana kila kona kuna mapungufu mengi tu😐
@andresmartin6332
@andresmartin6332 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe Afya njema dada ama kwa hakika sauti yako itabaki milele na Mungu atakupa ulinzi wake juu ya maisha yako wewe ni mama haswa HONGERA SANA
@asfarsham9037
@asfarsham9037 3 жыл бұрын
Allah amjaalie kheri zote za duniani na akhera huyu mama na watu wake . Na ajaalie harakati zao zilete mafanikio ya hali ya juu.Ameen
@5ffGg-uy7mf
@5ffGg-uy7mf Жыл бұрын
Amina Yaarabbi
@fathiyasaid1506
@fathiyasaid1506 3 жыл бұрын
Ahsante sana ukhty Allah akulipe na akulinde
@asianfadhil4282
@asianfadhil4282 3 жыл бұрын
Mashaallah mama upo vizuri wanawake tu jiheshimu tuvae mavazi mazuri hasa mbele ya mkusanyiko wa watu ili tuheshimike
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 3 жыл бұрын
Wallah sina lakusema isipokua. HasbiyaAllah Wannima Alwakil. 😭😭😭. Serikali gani hio ilopita. Mungu atawaona kama walikua wanafanya haya kwakujua.
@ahlamharoub1130
@ahlamharoub1130 3 жыл бұрын
Love you mum angalau Zanzibar yetu itarudi back insha Allah 💓💓💓💓
@iliasaliogopen6505
@iliasaliogopen6505 3 жыл бұрын
Wallahi wallahi wallahi huyu nimama wakiislam mungu akulinde
@salimsasco8433
@salimsasco8433 3 жыл бұрын
Mashaaallah mama mungu akusimamiee
@iliasaliogopen6505
@iliasaliogopen6505 3 жыл бұрын
Ewe mola mpe mama huyu pepo pamoja nasi
@hadijasechui5611
@hadijasechui5611 3 жыл бұрын
Ameen
@farajiyapesa8047
@farajiyapesa8047 3 жыл бұрын
amiin ya rabbi
@fatmaabdalla8543
@fatmaabdalla8543 3 жыл бұрын
Aamin yaa rabbi
@baloz8974
@baloz8974 3 жыл бұрын
Amin inshaAllah
@daatyabdul652
@daatyabdul652 3 жыл бұрын
aaamiiin
@zainarashid1024
@zainarashid1024 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mama angu.M.Mungu atakuhifadhi na wasiomjua Allah .Umezungumza vizuri sana Ahsant😘
@babuadam7293
@babuadam7293 3 жыл бұрын
Inasikitisha sana.jamani kuna muumba ambaye ametuumba.tumuogopeni Mh.Rais fanya kazi kwa haki mungu akupe nguvu Mama hongera Allaj akupe.afya wepesi na.nguvu
@aliabeid6226
@aliabeid6226 3 жыл бұрын
Dada hongera sana hayo ndio mambo ya kusema Zanzibar inameharibika sana Allah atakulipa kwa moyo huo wazkujitolea
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 3 жыл бұрын
Machozi yananitoka siwezi kujizuia. Wallahi mama wewe ni mtu mwema na mtu mwema jaza yake ni pepo ya daraja la kwanza. Allah awe pamoja nawe na wote wanaokuunga mkono kwa namna moja na nyengine. Yaa Allah mlinde Amina na watu wake wema, mpe nguvu na busara zaidi ya alivyo, msimamishie ushindi katika dhamira zake njema. Amina🤲
@safiasaleh669
@safiasaleh669 3 жыл бұрын
Nakuomba Mh Raisi huyu mama mpe cheo cha ukuu wa wilaya ya mjini Maguarib ili tuende Sawa anafaaa saaaanaa maana aliwekwa Mh Ayub aliondoshwa watu walinyooka lkn Kwa sasa serekali yako ya wachapa kazi huyu mama anaweza . Ahsante Sana mama wewe ni mkombozi Mungu akupe ulinzi zidi ya maadui watakaokuzunguka ubaya uwarejee wale wote madhalim wa nchi na mahafighina 😘😘😘😘👍
@munasuleyman3159
@munasuleyman3159 3 жыл бұрын
Mashaalah mashaalah mashaalah Allah akujaalie kila kheri akupe ujasiria zaidi usirudi nyuma mamaaa
@mpondamedia2416
@mpondamedia2416 3 жыл бұрын
Jazaaka llahu khayra mama Allah akulipe firdausi na akulinde na maadui Aamin
@hassanturky7511
@hassanturky7511 3 жыл бұрын
Masha Allah alhamdulillah Allah ampe Nguvu mama yetu huyu na amhifadhi
@nassiralli9304
@nassiralli9304 3 жыл бұрын
Aamiin...aamiin
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
Na RC Ayub pia Allah ampe kila la heri inshallah
@zuwenasuleiman4277
@zuwenasuleiman4277 3 жыл бұрын
Sema dada Allah akuhifadhi, kwa vile unasikilizwa semaaa
@allymuhammad8956
@allymuhammad8956 3 жыл бұрын
Daaah allah amlipe huyu mama anasema kwa hisia kubwa na imaan kubwa kwa kweli na muheshimiwa nilivo muona yamemgusa sanna
@suleimanseif3290
@suleimanseif3290 3 жыл бұрын
Mama mashallah nakuomba usichoke natamani nikuletee binti yangu umlee
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 3 жыл бұрын
DUH ! MWENYEZI MUNGU AJA'LIE NUSRA 🤲!
@kautharsalim5025
@kautharsalim5025 3 жыл бұрын
Mashaa Allah mama kasema maneno mazito mtihani sana huu rais mwinyi tunakuomba utusaidie kuyaondoa haya na Allah ataleta wepes dr shein utakwenda kujibu kwa Allah uongoz wako uliutumia vip mambo machafu yote yamefanyika Katika serekal yako na wewe hukufanya lolote
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 3 жыл бұрын
Asante dada kwa kusema ukweli allah akuzidishie kila la kheir
@yunushamdan6079
@yunushamdan6079 3 жыл бұрын
Hongera cn Mam yng Allah akupe umr mrefu na ujasiri wa hal y juuu
@it-vw4zj
@it-vw4zj 3 жыл бұрын
Maneno ya maana sana na yenye kuskitisha sana aloyasema dada etu huyu. Msiba mkubwa uliopo kwani huyo alokaa pembeni mwa Dr Mwinyi (Simai) ni mmoja wa hao wanoimarisha biashara za mabaa, club za pombe pamoja na hayo matamasha yaitwayo Busara. Yuko mstari wa mbele katika uharibifu wa maadili yetu. Ama dada etu huyu ametuwakilisha vizuri sana na ametusemea yanotuumiza nyoyoni mwetu, mashaAllah huyu ni mtu wa kupigiwa mfano.
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
Kumbe Huyo IBLISI Mwenyewe Yupo Hapo🤣🤣🤣
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 3 жыл бұрын
M.mungu awashinde
@khushipyaar7770
@khushipyaar7770 3 жыл бұрын
yaani mpk nimehic baridi wallah
@mukrimkhamis678
@mukrimkhamis678 3 жыл бұрын
Apewe cheo uyu mama atasaidia sanaa##🙏🙏🙏
@habeebnayman6980
@habeebnayman6980 3 жыл бұрын
Hatimae amepatikana wa kumfunga paka kengere! Allaahu akbar! Allah akuhifadhi mama katika dunia na akhera!Kilichobaki tuone utendaji wa raisi tu!
@sheikhanasser9471
@sheikhanasser9471 3 жыл бұрын
Pepo iwe ndio maakazi yako ya milele na Allah akujalie husnil hatma jituhada yako Allah anaiona kwa kweli Allah akubarik akufungulie khr na barka Amin ya rabb
@jumasaid1619
@jumasaid1619 3 жыл бұрын
Umeongea point Allah akubariki kwa fursa ulio ipata
@alawialawi2192
@alawialawi2192 3 жыл бұрын
Bi Amina anaamini Allah yuko juu Alhamdulillah,1:50 -2:10 Kuliko jamaa flani hivi wanazunguka mjini mzima kupinga hili na hawatoweza
@ahmedmalick1898
@ahmedmalick1898 3 жыл бұрын
Allah akulipe kwan umeongea kwa niaba ya watu wengi Allah akupe ujasiri wa kufichua madudu..Allah akulipe kila la kheir na akupe mwisho mwema
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 3 жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa Zanzibar mambo ya liwati yameenea na wengi wao wanalindwa na watu wa juuu
@rahalee5479
@rahalee5479 3 жыл бұрын
Sawa sawa sasa pako pakukimbilia jiripue kwa ajiri ya Allah!
@shersaid7988
@shersaid7988 3 жыл бұрын
Hongera mama kusema kweli tunaomba raisi amuekee ulinzi kwa usalama wake na Allah atamuhifadhi na awahidi wanaodhalilisha watu .Zanzibar iwe salama na balaa hilo.
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 жыл бұрын
Maashallah Raisi MSIKIVU na WANANCHI wasemaji kero zao. Mungu awekwe TAWFEEQ ktk kupambana na HILI janga. Hali sio shuwari KWA kweli ya udhalilishaji.
@zubeidaukasha5094
@zubeidaukasha5094 3 жыл бұрын
Alhmdullah Yarrab mpenguvu huyu Dada🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌
@jumafaki1697
@jumafaki1697 3 жыл бұрын
Mashallah Furaha yangu kuona Ktv imepata nafasi kwenye list ya Trending mnatakiwa kuwa wabunifu
@abuuazhaar2617
@abuuazhaar2617 3 жыл бұрын
MashaaAllah mama angu Allah ndie mlipaji atakulipa naamin unasema kwa hisia kali pole mama yang. Tuombe dua Allah ampe moyo huyu kiongozi we2
@cadabra7402
@cadabra7402 3 жыл бұрын
Maasha Allah Mungu akulinde mama wangu.
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 3 жыл бұрын
Mhe. Rais kazi kubwa sanasana unayo na huyu mama wa kufikiriwa sana na aliyo eleza yafuatiliwe kikamilifu. Mungu akupe busara na hekima ktk kutekeleza majukumu yako. Pia tunaomba maelezo yetu tuliyatuma angalau yawe acknowledge bado tuna mengi ya kukueleza Mhe. Amina Mungu akuhifadhi akulipe ajra kubwa kwa kazi yako.
@bakarali3093
@bakarali3093 3 жыл бұрын
"Its logic". Allah atakulinda kwa kueleza ukweli na kuficha unafiki ambao wengi kati ya waislamu wengu tumejivesha. Allah akupe kila la kheri duniani na akhera. Never give up. Mama Amina allah akuzidishie afya, siha njema na akili timamu kwani Dk. Mwinyi anakuhitaji.
@humudimohd9065
@humudimohd9065 3 жыл бұрын
Asante mama kwa maneno yako mazima inshaallah Allah akupe msimamo mzuri
@mohdmata2043
@mohdmata2043 3 жыл бұрын
Ma shaa Allah Ma shaa Allah Ma shaa Allah .........Allah (sw) atakulinda na atakuepusha na Kila balaaa mana hapo wapo wanaoumizwa na ukweli uliousema na Kila kitu ulichokiongea ni sahihi kabisa Mama angu .....Hongera sanaa 🥰
@nassirmustafa27
@nassirmustafa27 3 жыл бұрын
Uhakika viongoz na ukweli viongoz wa awamu ya Saba imeongoza
@nassirmustafa27
@nassirmustafa27 3 жыл бұрын
Walimuondosha ayubu kwa kulinda ushoga
@ibramiddo4863
@ibramiddo4863 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akujaalie maisha maref yeny mafanikio ndani yke
@ibrahiym_khan7984
@ibrahiym_khan7984 3 жыл бұрын
Yes yes, nmependaaaa snaa comfidence ya mama mwanaharakat👍
@rayhanchunu7779
@rayhanchunu7779 3 жыл бұрын
Ma Sha Allah mumefanya kazi nzuri. Na shauri msiwapeleke polisi wasagaji na makhanisi bali wape daawa. Si kisa ao bali walifundishwa wakiwa wadogo. In Sha Allah Allah atasaidia.
@bakarrama6157
@bakarrama6157 3 жыл бұрын
Mamaa munguuu akupeee nguvuuuu yaaa uteeteee umaah ungujaaa yaa hiiii daaaah inalilah wainailah rajiiiunii
@aliy3303
@aliy3303 3 жыл бұрын
Allah muhifadhi huyu dada
@anahna6788
@anahna6788 3 жыл бұрын
Duuu kweli mwana harakati huyu kajiripua kiutu uzima
@mohamedomar7692
@mohamedomar7692 3 жыл бұрын
Mashallah Allah atupe nguvu dhidi ya udhalimu Amiin
@salmasaid1299
@salmasaid1299 3 жыл бұрын
MashaAllah mwanamke jasiri mungu akuzidishie kila kheri kusimamia haki
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri Ай бұрын
Ahsante sana,nashukuru Mungu kwa kazi yako njema.
@hajiussi3044
@hajiussi3044 3 жыл бұрын
Umeongea ukweli ambao siku za nyuma ulikuwa ukifichwa na kufunikwa. Ww ni jasiri. Hongera sana mama. ALLAH akulinde. Hongera pia kwa Rais wetu Dr Mwinyi kwa nia ya dhati ya kuhakikisha zanzibar yetu inapiga hatua za kimaendeleo na inakuwa salama kwa kila mmoja wetu.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 жыл бұрын
Allah atakulipa dada yetu. Umesema yote. Utalii na uwekezaji ndio sababu kubwa ya yote haya.
@tawakalmohammadsalum4252
@tawakalmohammadsalum4252 3 жыл бұрын
Shukran Sana bi Amina haya masuala yapo sawa sawa na tunamuomba . muheshimiwa RAIS ayafuatilie kwa makini na hususani mabaa mitaani, makaka poa na madada poa , pía hapo ccm maisara kunafanywa ukahaba dhahiri shahiri na pía madawa ya kulevya ndio kichocheo chá haya yote na wahusika wote wanajulikana na police ila wanawalinda kwa maslahi yao binafsi ya kinyume na maadili ya nchi
@aminakassim409
@aminakassim409 3 жыл бұрын
Mashaallah dada allah akulipe kheri ....allah azidi kuilinda zanzibar yetu
@binothman9284
@binothman9284 3 жыл бұрын
Subhana llah huu nimtihani kwahakika Allah atakulipa kila la kheri Inshaa Allah mama yetu
@aliarkam9548
@aliarkam9548 3 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akupe kila kher . Mashaa allah mama
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 3 жыл бұрын
Subhanallah inna lillah wainna ilayhi raajiun ya rabb stara
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah Akuhifadhi Yarabiy
@shangweyussuf640
@shangweyussuf640 3 жыл бұрын
Rais Hussein jamani ana kazi nzito ZNZ. Mfumo Dume pia ndani ya familia unaukandamizaji sana. Yaani ni kazi. Muhali sasa! Mtu mtoto wake anabakwa na mumewe eti.kesi tutaimaliza kifamilia mfyuuu! Wewe aunt Allah Subhannah Wataala akulipe na wanaharakati wote
@allymadad6625
@allymadad6625 3 жыл бұрын
Hongerani kwa kazi nzuri na endeleeni ivyo ivyo kuilinda jamii na hawa wasio wajali jamii .wanaharakati mnafanya kazi nzuri sana
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe hekima na Busara maishani mwako na hata kesho mbele za mwenyezi Mungu 🙏🏼 Uko parfect 🤲🏽
@jumatano242
@jumatano242 3 жыл бұрын
Kila mtu nimchunga na ataulizwa juu ya aliowachunga kwa nafas yake eshafanya kaz kuonesha uovu umebaki utekelezaji kwako mh Rais, prophet s.a.w amesema "ukiona uovu uondoshe kwa mkono km huwez usemee km huwez chukia ila utakuwa ni udhaifu wa imani"
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi dada yetu dunia na akhera aamiin
@nasrafita6909
@nasrafita6909 3 жыл бұрын
Hongera sana mama hakika mungu atakulipa ujira wako nikweli unguja ya jana sio unguja ya leo imebakia stori tu
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 3 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi na akuzidishie kupambana kwako.
@onlinetv2269
@onlinetv2269 3 жыл бұрын
Mama umejitahi vya kutosha inshaallah Allah atakulipa kwa ilo na namuomba Allah akuhifadhi na naahidi sito acha kukuombea dua inshallah
@nassourali8668
@nassourali8668 3 жыл бұрын
Assalaamugh-alaykum, pamoja na kazi kubwa ya wana harakati, pongezi kubwa kwa Rais Mwinyi kuweza kujiweka karibu na raia bila ya wasiwasi wakaongea mbele yake na wakiwa na uhakika na usalama wao MASHALAAH.
@EK-kp2np
@EK-kp2np 3 жыл бұрын
Mheshimiwa rais Mwinyi, tafadhali mlinde huyu mama, watoto ni Viongozi na raia wa kuijenga nchi kesho. Mungu asimamie yote 🤲
@zezezeze8408
@zezezeze8408 3 жыл бұрын
mashaAllah...wakitokea wanawake 2 km hawa tu bas znz itarud km mwanzo
@fatmamansour2369
@fatmamansour2369 3 жыл бұрын
Ayoub alipokuwa akikemea alipewa uhamisho kumbe kuna mkuu Wa serikali alichukiakazi alokuwa akifanya ayoub
@asianfadhil4282
@asianfadhil4282 3 жыл бұрын
Innalilah wainnailahi rajiun 😢 dah watoto wetu ndugu zetu Allah awalinde na balaa
@bakarrama6157
@bakarrama6157 3 жыл бұрын
Mueshiimiwaaaaa daaaah kazy kweliikweliiiii munguu ibarikiiii zanzibar
@laylayl5166
@laylayl5166 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭mungu awalaani wote wanao tetea maovu nakuwadhalilisha watoto piya mungu akulinde mama nakila shari yaarab
@umyshedafa330
@umyshedafa330 3 жыл бұрын
Duuh mie sio mzanzibar lakin nimelia kwa haya nilioyasikia subhanallah
@bableeyzabdalla531
@bableeyzabdalla531 3 жыл бұрын
Hawa ndio wakuwa viongozi lakni vile sio ccm wanaonekana maadui ukweli utabaki ukweli maccm ndio wachafuzi wa nchi yetu
@husseinali9760
@husseinali9760 3 жыл бұрын
Kbsa
@kabidowakabido9698
@kabidowakabido9698 3 жыл бұрын
Mh Rais mwangalie huyo mama kwa umakini pia MPE nguvu ya dola
@hkk2450
@hkk2450 3 жыл бұрын
Yarabi tulindie watoto wetu wote duniani
@umyusuphumyusuph5706
@umyusuphumyusuph5706 3 жыл бұрын
Asanta ndugu yangu mungu akupe maisha marefu ila
@francischubwa5562
@francischubwa5562 3 жыл бұрын
Wallah Zanzibar yeti imeharibika! Nakumbuka mawaidha ya maruhum shekhe Omari Bashiri
@shemsarawahy2672
@shemsarawahy2672 3 жыл бұрын
Allah atakufadhi mama yangu akulipe janna akuhifadhi duniani na akhera maneno ya ukweli kabisa hayo
@magellasaid28
@magellasaid28 3 жыл бұрын
Allah akulinde ktk hili nimekulia Znz naijua vzr sn bila kuipigania asili ya Znz inaenda kupotea, ongezeni mapambano inshaAllah tutashinda
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 5 ай бұрын
Ajabu mtu auza pombe kisha anakwambia inamadhara, kututezea shere tu.Dada Mungu akuweke akulinde athibitishe Imani yako hapa dunini na akhera akupe kauli thaabit
@yunushamdan6079
@yunushamdan6079 3 жыл бұрын
Allah tuhifadh wja wako tusameh wja wko hakika tunakukosea kla ck
@saidhomie3368
@saidhomie3368 3 жыл бұрын
Maashallah dada jasiri sana, sema ukweli nchi imehanikiza na uoza, watu wanastiriana Kwa uhalifu na kufichiana Siri. Alhamdulillah tuna Rais wa uhakika sasa.
@mohdaziz8868
@mohdaziz8868 3 жыл бұрын
Samahani dada usijitoe kimwili jitoe kihali mali
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@mohdaziz8868Kimwili kakusudia Yuko Tayari Hata Akiuliwa M.mungu Atamlinda.
@salmasalim3525
@salmasalim3525 Жыл бұрын
MashaAllah Allah atusaidie ktk hili
@arebdyjorginho8154
@arebdyjorginho8154 3 жыл бұрын
Dada mungu yupo p1 n ww na atakusaidia inshaallah
@zainabzainab2422
@zainabzainab2422 3 жыл бұрын
Pongezi kwa wanaharakati kuiokoa znz na kuwaokoa watoto wasio na hatia
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 3 жыл бұрын
Maa Shaa Allwah 🤲🤲🤲. Good hope for Mr: President.
@abalhassan5990
@abalhassan5990 3 жыл бұрын
hongera mama dooooooh umetishaaa wallah nitakutafuta in shaa Allah is
@AmneAlRiyami-zp4ri
@AmneAlRiyami-zp4ri 15 күн бұрын
Inasikitisha sana Yani Zanzibar imefikia hapa mueshimiwa raisi Mwinyi huyu mama apewe cheo kikubwa jasiri sana ana msimamo anaongea kwa UCHUNGU ALLAH AMUHIFADHI
@seifhabib5987
@seifhabib5987 3 жыл бұрын
Anafaa kuwa Mkuu wa Wilaya sio wana Siyasa kama Tawala za Sheni zilizopita
@tim5hos846
@tim5hos846 3 жыл бұрын
Ana fa mmama
@abdallahhassani6377
@abdallahhassani6377 3 жыл бұрын
Mashallah mungu akupe moyo sabit
@salmaabdallah8363
@salmaabdallah8363 3 жыл бұрын
Asante mama 😘
@jinaabdullah4107
@jinaabdullah4107 3 жыл бұрын
Mashaallah mama hongera sana Allah atakulinda zaidi
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Allah akulinde mama etu na mwisho mwema
@farajinyamanyika1996
@farajinyamanyika1996 3 жыл бұрын
Asee katka wanawakeee wanawake kna mwanamkee na mwanamke huyu ni mwanamke mh.rais mwinyi mpe kitengo huyu mama anajua sio kilaza anajuaa nmempenda buree
@abalhassan5990
@abalhassan5990 3 жыл бұрын
safi sanna mama yangu Bi Amina mapambano na in shaa Allah Allah ajaalie kheir kwa kila khat-wa uipigayo na tupo pa1 sannaa dhidi ya hilo
ALIEKUA KWENYE MAPENZI NA JINNI,AHADITHIA MWANZO MWISHO
26:03
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 1,2 МЛН
JE, UBARADHULI UNAFADHILIWA NA NANI ZANZIBAR?
16:37
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 22 М.
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 29 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 1,3 МЛН
Rais mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume "afunguka"
8:23
KUMEKUCHA HII NDIO KAULI YA DKT MWINYI
11:33
Tifu Tv
Рет қаралды 9 М.
#BINTI MDOGO NA MAAJABU MAKUBWA ZANZIBAR
7:10
IsleBlogTv
Рет қаралды 2 М.
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН