Kanisa Katoliki ni taasisi ya kale zaidi ulimwenguni.. imebeba ustaarabu na historia kubwa. Ni kwa neema tu nimelelewa katika imani ya Kikatoliki. Namshukuru Mungu
@ImeldaIsdory3 ай бұрын
Hongera sana Cardinal Rugambwa, "Mchungaji Mwema."
@matinyahaule7923 ай бұрын
Baba Askofu nzigilwa unajua kutoka mafundisho.Hongera baba
@ajoeus2 ай бұрын
Asante sana Baba Nzigilwa. Tunashukuru.
@mungholomakalanga89583 ай бұрын
Hakika wewe ni mwalimu
@FrolenceRogath-fv6ku3 ай бұрын
Mwenyez Mungu amjalie kadinari Rugambwa siku moja awe Baba mtakatifu