No video

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Aeleza Wazi Alivyoukosa Upadre, Wanamsingizia Mke Wangu, Maaskofu Wacheka

  Рет қаралды 87,432

Jugo Media

Jugo Media

Күн бұрын

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 65
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f 2 күн бұрын
Pole sana mh mkuu wetu wa majeshi mstaafu Mungu bado anavyokupenda sana na kazi yako ni nzuri sana hata kama wamekutoa huko Mungu alikuwa anasababu kukutoa huko wakati mwingine ungekwazwa huko mbeleni nafuu umetumika kwa Taifa lako. Hongera na Mungu akupatie umri mrefuu na afya njema sana.
@isayarozeck7512
@isayarozeck7512 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa Kiongozi huyu mkubwa mstaafu katika Jeshi. 2017-2022. Pamoja na kwamba wengi watumishi wa TPDF huwa na kiburi na majivuno lakini Yeye Bado alibaki katika Imani yake na kastaafu katika imani ileile. God bless Venance Mabeyo
@makaso1475
@makaso1475 Жыл бұрын
Hongela sana Bado Mungu anakutumia bado Kumtukuza na. Kuitangaza Neno la Mungu .❤
@niriacatering172
@niriacatering172 Жыл бұрын
Baba Mabeyo wewe ni mfano wa kuigwa asante Sana Kwa utume tunakukumbuka 2008 mwenyekiti Wa kamati ya ujenzi Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea Mungu azidi kukulinda pamoja na familia yako. Asanteni Sana Mababa Kwa utume Mungu awabariki Sana.
@danielekisinza537
@danielekisinza537 2 жыл бұрын
Ahsante sana CDF Mstaafu, speech yako nzuri sana. Hongera
@jimmymbella997
@jimmymbella997 Жыл бұрын
Ubarikiwe baba, mabeyo, mkuu wa majeshi msitaafu, una busara na hekima kubwa
@ngubwene
@ngubwene 2 жыл бұрын
Yaani Hekima ya Mungu imejaa hapa ... Retired General Mabeyo. Mungu aendelee kukupa utumishi mwema wa kiroho na wa kidunia
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Yani nampenda Sana uyu baba???🙏🙏🙏🙏 Mwenyezi mungu ampe maisha marefu tena yenye fraha🙏🙏
@daudimartine7364
@daudimartine7364 Жыл бұрын
Hongera saana kwa kupata tuzo hiyo Mungu akubariki sana na akuongezee maisha yenye baraka
@ibutilehyila9146
@ibutilehyila9146 2 жыл бұрын
Duh!!! Mstaafu General Mabeyo kila nikikuangalia kwa utumishi wako uliotukuka sikumalizi maana uzuri wako umetamalaki kila Mahali, MAY THE ALMIGHTY GOD BLESS U DADY, AMEN!!!!!
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Ndugu mabeo alijua Kuna maisha menginee baada ya kazi yake God blease too
@mlulamsiliwa7123
@mlulamsiliwa7123 Жыл бұрын
Mabeyo as a team sana Kwa uliyoyafanya Kwa nchi yako
@eddyjosephmagenge9446
@eddyjosephmagenge9446 2 жыл бұрын
Hongera sana baba V. Mabeyo kwa maneno yaliyojaa hekima ya kimungu
@MathiasMakiluly
@MathiasMakiluly Жыл бұрын
Nimara chache kupata watu kaliba ya Mabeo mungu ampe uhai mrefu
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana na upendo wa Mungu
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 2 жыл бұрын
Baba V. Mabeyo Mungu azidi kukubariki sana. Wewe kweli umekuwa mwanga na chumvi kwa watu wote.
@alexissebuhura8040
@alexissebuhura8040 5 ай бұрын
Kweli nampenda uyu baba. Mungu akulinde na akujalie.
@amanimwandele
@amanimwandele Жыл бұрын
Nimekupenda mabeyo
@salvatorymogesi6476
@salvatorymogesi6476 2 жыл бұрын
Hongera sana Baba kwa Utume wako kwenye Utume wa Walei. Mungu wetu aendelee kukubariki 🙏🙏🙏
@lusiuskinikuli2276
@lusiuskinikuli2276 Жыл бұрын
I love u mabeyo kama yule baba,
@HabakukiMajogoro-uf1cy
@HabakukiMajogoro-uf1cy Жыл бұрын
Kumbe hekima hizi na busara,ulizonazo ni roho mtakatifu juu Yako mabeyo,MUNGU akulinde sana.
@user-sn8jd3ub1l
@user-sn8jd3ub1l Жыл бұрын
Oooooh my dad God bless you ❤
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Жыл бұрын
Yaan huyu mstaafu sichoki kumwangalia na kumsikiliza. Mungu amtunze
@anordstephan611
@anordstephan611 Жыл бұрын
Amina Sana na mungu awabariki
@petronillamnyambi7607
@petronillamnyambi7607 2 жыл бұрын
Mungu wabariki wanasibginda wote popote mlilipo
@peterclavery9989
@peterclavery9989 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza.
@pietrusjumbe107
@pietrusjumbe107 2 жыл бұрын
Hongera mgeni rasmi
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn Жыл бұрын
Hongera na pongezi sana mkuu. Unatuheshimisha sana wastaafu pia unaendelea kuliheshimisha Taifa na JWTZ. Mungu akubariki sana.
@abdulazizmmbaga2570
@abdulazizmmbaga2570 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba mabeyo
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 2 жыл бұрын
Mungu azidi kumpa moyo huwo huwo mabeyo wetu
@victoriakiwanuka5428
@victoriakiwanuka5428 2 жыл бұрын
Thank you General for the word of Wisdom 🙏🙏
@esterkapfizi2723
@esterkapfizi2723 2 жыл бұрын
0⁰QQWA¹A1A1¹
@fridoliusrushunju9093
@fridoliusrushunju9093 2 жыл бұрын
Jembe sana huyu jamaa namkubali mno kama mwendazake Yan
@rwelamira
@rwelamira 2 жыл бұрын
Na awe Rais Wa Nchi yetu huyu
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Жыл бұрын
Bab mabeo wewunafaa kuongozahii nchi yetu Tanzania. Ikifikaa 2025 kachukuee Form y kugombea urais . Naamini utapat kwa kishindokikubwa. Unahof y Mungu. Naamini kila kitu utakachokiongea utamtanguliz Mung kama k ipenzi cha wanyonge jpm
@geraldeliona7657
@geraldeliona7657 2 жыл бұрын
General mtu makini sana
@alfredatembi6697
@alfredatembi6697 2 жыл бұрын
Wana Singinda hoyeee. Jamani Kuna is nini hapo Singinda? Nakumbuka hata Mhesimiwa Makhufuli katika uhai wake akiwasifu sana Wana Singinda.Na someone invite me. Kishwahili safi --Wadugu Watanzania.
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Жыл бұрын
Hata sisi tumekuelewa mzee mabeyo amani imekujaa moyoni mwako na amani imekutawala wewe ni mzalendo wa kweli hutopenda kanisa lako katoliki kutugawa
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 2 жыл бұрын
ASAASANTE MUNGU WETU ASANTE sana wanasingida. ASANTE SANA WAHASHAMU Maskofu WETU. MH.RAIS WA BARAZA NA NAIBU RAIS NA WAAMINI WOTE.MKUU WA MAJESHI MSTAAFU WALEI WA KIKE NA UGENI WOTE WA SERIKALI KARIBUNI SINGIDA.ASANTENI SANA KWA KUSHIRIKI MIAKA 50 JUBILEI YA DHAHABU:
@daudimazengo7772
@daudimazengo7772 2 жыл бұрын
Safi Sana. Ila Askofu kapitiwa kidogo hakuna dini ya Katokiki. Katokiki ni dhehebu ndani ya dini ya Kikristu
@danieltemba6700
@danieltemba6700 2 жыл бұрын
Hajapitiwa ndugu. Ndivyo ilivyo Dini Katoliki yaani dini ya watu wote. Askofu hajakosea. Ukisikiliza kiapo cha Askofu kukiri imani kabla ya kusimikwa utaelewa.
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Siyo katokiki ni katoliki. Maana yake ya wote.hii ndio dini ya wakristo wote. Wale wengine wamejitenga tu hao ndio madhehebu
@AshaBay-xg7wp
@AshaBay-xg7wp 4 ай бұрын
Wito wako ilikuwa ndoa
@rithaurassa
@rithaurassa 18 күн бұрын
Unasema ukweli hata mimi nimeshindwa ila hawatupat .umegusa. Maadiili nimekupenda bure inatakiwa ukachukue form ya uraisi haraka iwezekanavyo.Hii nchi hakuna anayehamasisha maaadili.Ndio uharibifu umezidi Taxania nahakuna anayekemea kama kiongoz.
@joeljoseph2360
@joeljoseph2360 9 ай бұрын
#👏👏👏
@oceanviewhillpark6491
@oceanviewhillpark6491 2 жыл бұрын
Dah! CDF mnyenyekevu sana.
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 Жыл бұрын
Nilikumisi sana
@isacknanyaro-tg2xh
@isacknanyaro-tg2xh Жыл бұрын
Kwann jamani watu kama hawa wasipewe kuwa rais wa nchi yetu?
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 4 күн бұрын
Kuiba au kutekwa kwa watoto wetu ndiyo muundo mazuri? Serikali pia inatakiwa kusaidia watoto wetu.
@cinterproductscinterproduc8606
@cinterproductscinterproduc8606 Жыл бұрын
🎉🎉
@saimalunde4002
@saimalunde4002 Жыл бұрын
Hata marehemu baba Yangu huwa anasema kipindi hicho kamaliza form six mkwawa high school alijaza form kuwa mwalimu Lkn alipopelekwa jkt msange kwa mujibu wa sheria habari ya kwenda vitani ilimkuta huko kwahyo ndoto yakuwa mwalimu iksishia pale akawa mwanajeshi na alistaafu akiwa canal nimeidikiliza hi nikacheka tyu 😀😀
@danielekisinza537
@danielekisinza537 2 жыл бұрын
Huu ni utume uliotukuka
@josephpetro2968
@josephpetro2968 3 ай бұрын
sasa mbona katika nafasi za ajira za jeshi la polisi wanataka shahada ya elimu ya kiisilam .sasa nchi yetu inataka kuwashitaki waisilam au kunanini pale serikali inaanza kuajiri kwa misingi ya dini je? Watanzania tunaelekea wapi.
@mohamedjoseph8542
@mohamedjoseph8542 2 жыл бұрын
👏👏
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 2 жыл бұрын
Natamani ungekuwepo mh Rais ajae
@kananipius2649
@kananipius2649 2 жыл бұрын
The next commander in chief 2030? I don't know.
@hoseakavubu2844
@hoseakavubu2844 2 жыл бұрын
2025
@mhifadhi797
@mhifadhi797 Жыл бұрын
Hapa Kuna mtu
@andrewdukho8795
@andrewdukho8795 2 жыл бұрын
Anaongea kama mwendazake
@jacquelinekahamba7872
@jacquelinekahamba7872 2 жыл бұрын
teh teh teh
@williammkenda5879
@williammkenda5879 2 жыл бұрын
Mh Mabeo Mungu akubariki kwa maneno ya baraka,,,,, kweli umetoka mbal mkuu
@teresiandimbo852
@teresiandimbo852 2 жыл бұрын
Mungu akuongezee miaka mingi Na Mungu ikikupendeza tunaomba awe Rais wa nchi yetu Mungu tusaidie tunamuombea kwa unynyekevu.
@stantonemgao3771
@stantonemgao3771 2 жыл бұрын
Lijenje jamani alikosa nini na yuko wapi?
@charlestembele7787
@charlestembele7787 Жыл бұрын
Sijawahi acha kukupendaaa Kwa kumbukumbu tu ili nisikusahau tamwita MWANANGU jina mabeyo yan ulifana sana kuitwa mkuu wa majeshi MUNGU amuongoze na aliye kurithi
@benswai8099
@benswai8099 2 жыл бұрын
Baba askofu hao viongozi wa Chama ni kina nani na ni chama gani? Hizi dini na siasa zinakwaza waumini kwa kweli
ON AIR: Mshahara wa kwanza wa Waziri January Makamba mwaka 94
26:39
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 3,8 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 22 МЛН
ALICHOZUNGUMZA PADRE AMIGU KATIKA KONGAMANO LA LITURUJIA,MAASKOFU WAFURAHISHWA NA HIKI..
1:07:10
MFAHAMU ASKOFU NZIGILWA "WALEI NIMEISHI NAO VIZURI,MPANDA WAJIANDAE NINA MIPANGO MINGI".
43:27
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00