Mungu atukuzwe kwa Kiongozi huyu mkubwa mstaafu katika Jeshi. 2017-2022. Pamoja na kwamba wengi watumishi wa TPDF huwa na kiburi na majivuno lakini Yeye Bado alibaki katika Imani yake na kastaafu katika imani ileile. God bless Venance Mabeyo
@makaso1475 Жыл бұрын
Hongela sana Bado Mungu anakutumia bado Kumtukuza na. Kuitangaza Neno la Mungu .❤
@AnjelicaBayyone5 ай бұрын
Pole sana mh mkuu wetu wa majeshi mstaafu Mungu bado anavyokupenda sana na kazi yako ni nzuri sana hata kama wamekutoa huko Mungu alikuwa anasababu kukutoa huko wakati mwingine ungekwazwa huko mbeleni nafuu umetumika kwa Taifa lako. Hongera na Mungu akupatie umri mrefuu na afya njema sana.
@danielekisinza5372 жыл бұрын
Ahsante sana CDF Mstaafu, speech yako nzuri sana. Hongera
@niriacatering1722 жыл бұрын
Baba Mabeyo wewe ni mfano wa kuigwa asante Sana Kwa utume tunakukumbuka 2008 mwenyekiti Wa kamati ya ujenzi Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea Mungu azidi kukulinda pamoja na familia yako. Asanteni Sana Mababa Kwa utume Mungu awabariki Sana.
@ibutilehyila91462 жыл бұрын
Duh!!! Mstaafu General Mabeyo kila nikikuangalia kwa utumishi wako uliotukuka sikumalizi maana uzuri wako umetamalaki kila Mahali, MAY THE ALMIGHTY GOD BLESS U DADY, AMEN!!!!!
@jimmymbella997 Жыл бұрын
Ubarikiwe baba, mabeyo, mkuu wa majeshi msitaafu, una busara na hekima kubwa
@ngubwene2 жыл бұрын
Yaani Hekima ya Mungu imejaa hapa ... Retired General Mabeyo. Mungu aendelee kukupa utumishi mwema wa kiroho na wa kidunia
@mlulamsiliwa7123 Жыл бұрын
Mabeyo as a team sana Kwa uliyoyafanya Kwa nchi yako
@daudimartine7364 Жыл бұрын
Hongera saana kwa kupata tuzo hiyo Mungu akubariki sana na akuongezee maisha yenye baraka
@shukranitv29712 жыл бұрын
Ndugu mabeo alijua Kuna maisha menginee baada ya kazi yake God blease too
@alexissebuhura804010 ай бұрын
Kweli nampenda uyu baba. Mungu akulinde na akujalie.
@MathiasMakiluly Жыл бұрын
Nimara chache kupata watu kaliba ya Mabeo mungu ampe uhai mrefu
@NehemiamalackMazingo5 ай бұрын
🎉mungu azid kukuweka uenderee kuinjilisha popote utakapo kuwa asante sanaa🎉
@ponsianamataka46072 жыл бұрын
Baba V. Mabeyo Mungu azidi kukubariki sana. Wewe kweli umekuwa mwanga na chumvi kwa watu wote.
@eddyjosephmagenge94462 жыл бұрын
Hongera sana baba V. Mabeyo kwa maneno yaliyojaa hekima ya kimungu
@amanimwandele Жыл бұрын
Nimekupenda mabeyo
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Yani nampenda Sana uyu baba???🙏🙏🙏🙏 Mwenyezi mungu ampe maisha marefu tena yenye fraha🙏🙏
@alexandermutakha882 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana na upendo wa Mungu
@RoseBwire Жыл бұрын
Oooooh my dad God bless you ❤
@lusiuskinikuli2276 Жыл бұрын
I love u mabeyo kama yule baba,
@hellendaniel38092 жыл бұрын
Yaan huyu mstaafu sichoki kumwangalia na kumsikiliza. Mungu amtunze
@peterclavery9989 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza.
@pietrusjumbe1072 жыл бұрын
Hongera mgeni rasmi
@stewartdyamvunye-wz6rn Жыл бұрын
Hongera na pongezi sana mkuu. Unatuheshimisha sana wastaafu pia unaendelea kuliheshimisha Taifa na JWTZ. Mungu akubariki sana.
@anordstephan6112 жыл бұрын
Amina Sana na mungu awabariki
@HabakukiMajogoro-uf1cy Жыл бұрын
Kumbe hekima hizi na busara,ulizonazo ni roho mtakatifu juu Yako mabeyo,MUNGU akulinde sana.
@salvatorymogesi64762 жыл бұрын
Hongera sana Baba kwa Utume wako kwenye Utume wa Walei. Mungu wetu aendelee kukubariki 🙏🙏🙏
@abdirizakibrahim1975 Жыл бұрын
Hata sisi tumekuelewa mzee mabeyo amani imekujaa moyoni mwako na amani imekutawala wewe ni mzalendo wa kweli hutopenda kanisa lako katoliki kutugawa
@petronillamnyambi76072 жыл бұрын
Mungu wabariki wanasibginda wote popote mlilipo
@victoriakiwanuka54282 жыл бұрын
Thank you General for the word of Wisdom 🙏🙏
@esterkapfizi27232 жыл бұрын
0⁰QQWA¹A1A1¹
@abdulazizmmbaga25702 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba mabeyo
@maprosokelly29862 жыл бұрын
Mungu azidi kumpa moyo huwo huwo mabeyo wetu
@fridoliusrushunju90932 жыл бұрын
Jembe sana huyu jamaa namkubali mno kama mwendazake Yan
@geraldeliona76572 жыл бұрын
General mtu makini sana
@ezekielmatondane714 Жыл бұрын
Nilikumisi sana
@joeljoseph2360 Жыл бұрын
#👏👏👏
@julianaswai7846 Жыл бұрын
Bab mabeo wewunafaa kuongozahii nchi yetu Tanzania. Ikifikaa 2025 kachukuee Form y kugombea urais . Naamini utapat kwa kishindokikubwa. Unahof y Mungu. Naamini kila kitu utakachokiongea utamtanguliz Mung kama k ipenzi cha wanyonge jpm
@cinterproductscinterproduc8606 Жыл бұрын
🎉🎉
@rwelamira2 жыл бұрын
Na awe Rais Wa Nchi yetu huyu
@sylvestrengwelu20122 жыл бұрын
ASAASANTE MUNGU WETU ASANTE sana wanasingida. ASANTE SANA WAHASHAMU Maskofu WETU. MH.RAIS WA BARAZA NA NAIBU RAIS NA WAAMINI WOTE.MKUU WA MAJESHI MSTAAFU WALEI WA KIKE NA UGENI WOTE WA SERIKALI KARIBUNI SINGIDA.ASANTENI SANA KWA KUSHIRIKI MIAKA 50 JUBILEI YA DHAHABU:
@alfredatembi66972 жыл бұрын
Wana Singinda hoyeee. Jamani Kuna is nini hapo Singinda? Nakumbuka hata Mhesimiwa Makhufuli katika uhai wake akiwasifu sana Wana Singinda.Na someone invite me. Kishwahili safi --Wadugu Watanzania.
@daudimazengo77722 жыл бұрын
Safi Sana. Ila Askofu kapitiwa kidogo hakuna dini ya Katokiki. Katokiki ni dhehebu ndani ya dini ya Kikristu
@danieltemba67002 жыл бұрын
Hajapitiwa ndugu. Ndivyo ilivyo Dini Katoliki yaani dini ya watu wote. Askofu hajakosea. Ukisikiliza kiapo cha Askofu kukiri imani kabla ya kusimikwa utaelewa.
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Siyo katokiki ni katoliki. Maana yake ya wote.hii ndio dini ya wakristo wote. Wale wengine wamejitenga tu hao ndio madhehebu
@AshaBay-xg7wp9 ай бұрын
Wito wako ilikuwa ndoa
@oceanviewhillpark64912 жыл бұрын
Dah! CDF mnyenyekevu sana.
@rithaurassa5 ай бұрын
Unasema ukweli hata mimi nimeshindwa ila hawatupat .umegusa. Maadiili nimekupenda bure inatakiwa ukachukue form ya uraisi haraka iwezekanavyo.Hii nchi hakuna anayehamasisha maaadili.Ndio uharibifu umezidi Taxania nahakuna anayekemea kama kiongoz.
@saimalunde40022 жыл бұрын
Hata marehemu baba Yangu huwa anasema kipindi hicho kamaliza form six mkwawa high school alijaza form kuwa mwalimu Lkn alipopelekwa jkt msange kwa mujibu wa sheria habari ya kwenda vitani ilimkuta huko kwahyo ndoto yakuwa mwalimu iksishia pale akawa mwanajeshi na alistaafu akiwa canal nimeidikiliza hi nikacheka tyu 😀😀
@mohamedjoseph85422 жыл бұрын
👏👏
@isacknanyaro-tg2xh Жыл бұрын
Kwann jamani watu kama hawa wasipewe kuwa rais wa nchi yetu?
@christinenyagiro66625 ай бұрын
Kuiba au kutekwa kwa watoto wetu ndiyo muundo mazuri? Serikali pia inatakiwa kusaidia watoto wetu.
sasa mbona katika nafasi za ajira za jeshi la polisi wanataka shahada ya elimu ya kiisilam .sasa nchi yetu inataka kuwashitaki waisilam au kunanini pale serikali inaanza kuajiri kwa misingi ya dini je? Watanzania tunaelekea wapi.
@andrewdukho87952 жыл бұрын
Anaongea kama mwendazake
@jacquelinekahamba78722 жыл бұрын
teh teh teh
@williammkenda58792 жыл бұрын
Mh Mabeo Mungu akubariki kwa maneno ya baraka,,,,, kweli umetoka mbal mkuu
@teresiandimbo8522 жыл бұрын
Mungu akuongezee miaka mingi Na Mungu ikikupendeza tunaomba awe Rais wa nchi yetu Mungu tusaidie tunamuombea kwa unynyekevu.
@stantonemgao37712 жыл бұрын
Lijenje jamani alikosa nini na yuko wapi?
@charlestembele77872 жыл бұрын
Sijawahi acha kukupendaaa Kwa kumbukumbu tu ili nisikusahau tamwita MWANANGU jina mabeyo yan ulifana sana kuitwa mkuu wa majeshi MUNGU amuongoze na aliye kurithi
@benswai80992 жыл бұрын
Baba askofu hao viongozi wa Chama ni kina nani na ni chama gani? Hizi dini na siasa zinakwaza waumini kwa kweli