No video

MAKJUICE: KAANZA NA MTAJI WA ELFU 7 MPAKA DALADALA YA KUUZA JUICE MTAANI

  Рет қаралды 108,624

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mjasiriamali Mak maarufu kama Mak Juice amezungumza jinsi alivyoanza biashara yake kwa mtaji mdogo lakini sasa imemsadia kuajiri vijana wengine na hata kubadili maisha yake kiuchumi, pamoja na hilo ameelezea jinsi alivyojipanga kuanza kusambaza juice yake mtaa kwa mtaa kwa bei hiyo hiyo ya elfu mbili.

Пікірлер: 198
@aloycempandana1336
@aloycempandana1336 6 жыл бұрын
story kama izi hazina views kabisa kama video za diamond na ally kiba pia hata izi views zilizopo zipo negative then usipoona maendeleo unaisema ccm...jamaa kaongea points nyingi nzuri kuliko hiyo ishu ya 7000.. God have a mercy on Tanzania
@lingamakuna5945
@lingamakuna5945 5 жыл бұрын
kabisa,hapa nimejifunza kitu
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nakubali brother!!!
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 2 жыл бұрын
Watu hawataki kufanya kazi
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 жыл бұрын
Uthubutu na juhudi ndio vitu muhimu zaidi katika ujasiriamali...Kuna Dada anauza uji anaitwa Porridge point amethubutu na ameweza ,kwanini sisi tushindwe....Vijana tuache kulalamika tupige kazi...
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 6 жыл бұрын
Hakuna Mambo Magumu Kama Unajitumaaaa.. I like it
@jumaelias1019
@jumaelias1019 6 жыл бұрын
Yuko bomba sana huyu jamaa,maamuz magumu na yenye busara
@leoniakalimanzira5090
@leoniakalimanzira5090 6 жыл бұрын
Tatzo hana sehem za watu kukaa ,,,kazdiwa Kingdom juice pale kuna pakukaa projector inaonesha mzik mkubwa Yan unaenjoy
@allyathumani119
@allyathumani119 5 жыл бұрын
Jamani!!! Ndiyo mwanzo, hata hao walianza kama yeye...
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 6 жыл бұрын
Jamani amesema mtaji wa kwanza kwenda nao sokoni ni 7000 hajasemea vifaa🙄🙄 mnakua wagumu kuelewa jmn, hiyo fridge na blender si pengine alikua navyo tangu zaman kwa matumizi yake ya nyumbani??
@francemlwilo1586
@francemlwilo1586 5 жыл бұрын
husnat gamaah safiiii unauelewaaa sanaaaa
@keddlynebonny6462
@keddlynebonny6462 2 жыл бұрын
Kwa uelewa wangu mtaji nikuanzia banda, blendar na matunda hivyo bhac ameeleza kitu kidogo sana
@GovernorNkhulu
@GovernorNkhulu 6 жыл бұрын
👊He is doing something with his life,It's inspiring
@petromtakati2975
@petromtakati2975 6 жыл бұрын
Comment zotw zimepingana na kaul ya mtaji wa 7000, mm naona kweli, kwasababu huenda Alivo kuwa ataanza labda hakuanza hivo hivo alianzia chini kabisa mpaka Sasa yupo hapo alipo
@annawinstone9426
@annawinstone9426 6 жыл бұрын
zanana aliongea kwa uwazi, but mskikaji aficha kidogo mtaji.....but still ameninspire sanaa
@suzanlyamuya4442
@suzanlyamuya4442 6 жыл бұрын
Safi sana kaka!!! MUNGU akazidi kukuongoza ktk kazi yako na sisi utuombee tufikie salama malengo yetu.
@mosongatz4534
@mosongatz4534 5 жыл бұрын
👍
@suleimansaid769
@suleimansaid769 5 жыл бұрын
Fun juice soon In Sha Allh ndn ya tz more delicious
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 6 жыл бұрын
Nakuamini kwa kuanza na mtaji wa 7000 watu wanazani biashara lazima uanzie milioni no, tena mtaji mdogo ndio unakufanya uwe milionea well done 👍🏾
@sakarimomoi7040
@sakarimomoi7040 6 жыл бұрын
He is fuc**ing genius! Im inspired big up bro 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@andrewmalisa1893
@andrewmalisa1893 6 жыл бұрын
daah jamaa anarekodi nzito sana juice glass 11 mteja wakwanza alikua mdada 😂😂😂 big up bro
@iddatysupergirl6581
@iddatysupergirl6581 6 жыл бұрын
Hongera sana wengi watajifunza ila kwa mtaji wa 7000 binafsi siamin ila kiukwel juice inalipa sana kma ukiithamin
@tcbthemarket9317
@tcbthemarket9317 5 жыл бұрын
Elfu saba alienda nunulia matunda
@dianamgani69
@dianamgani69 Жыл бұрын
Ni kweli mana apo hajaongelea gharama za kununua Brenda cjui ma fridge hzo glass za take away, ujenzi wa kibanda sawa hajatumia mtaji mkubwa ila sio 7000 mana hzo gharama zote za awali zinahesabika kama mtaji pia
@angelamhina3010
@angelamhina3010 6 жыл бұрын
nimejifunza kitu hongera sana MAKJUICE
@hudsson75
@hudsson75 6 жыл бұрын
angela mhina sasa ashakufundisha kununua, blender, fridge, matunda, glass, na kujenga kibanda kwa elfu saba
@CatherineMrema-st8iq
@CatherineMrema-st8iq Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akakuinue viwango na viwango..nimejifunza kitu ahsante 🙏
@BarakaSanane
@BarakaSanane 6 жыл бұрын
hongeraa watu wanatokwa mapovu biashara ni ubunifu ni kitu mhimu hyo 7000 kaitaja general pengine hzo juice kumi na moja ndo ziligharimu 7000 me nakupa hongeraa kwanza kwa uamuzi mgumu wa kuacha ajira sio kila mtu anaweza move foward
@willyjulius7740
@willyjulius7740 6 жыл бұрын
mtaji wa elfu 7000 sio kweli,afu umeanza ndani ya banda zuri.
@aloycempandana1336
@aloycempandana1336 6 жыл бұрын
Willy Julius ni mitaji wa kununua matunda ajaweka mtaji wa ofisi ambayo ni zaid ya iyo 7000
@raphaelnkwabi9676
@raphaelnkwabi9676 6 жыл бұрын
Katudanganya hapo hahahaahaha
@shaabanmusa5127
@shaabanmusa5127 6 жыл бұрын
Willy Julius Hakuanza hapo hujamfatilia hapo Awwal nvp alianzaa Amini hilo
@theresiathomas3917
@theresiathomas3917 6 жыл бұрын
Willy Julius K
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 5 жыл бұрын
Willy Julius huo n mtaji alioenda nao sokon sheh
@33-synchronized
@33-synchronized 6 жыл бұрын
Sio mwenzako auze juice na ww uuze juice fkiria tafta chako
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 6 жыл бұрын
Tatizo watanzania wako na Complement sana....kusema mtaji wa 7000 mimi naamini....natambua mazingira ya kuajiriwa wengi hatuna desturi ya kuweka akiba na ndio mana kila ikifika mwisho wa mwezi kila mtu analia mshahara....Kujiajir kunakufanya mtu usibweteke...Hongera sana kaka
@erickmsallenge3724
@erickmsallenge3724 6 жыл бұрын
Julius URONU ni kweli aisee watanzania kila kitu tupo negative sana bila kuangalia kipi tujifunze
@hudsson75
@hudsson75 6 жыл бұрын
Bro ebu jaribu kuichanganua iyo elfu mpaka kuanza biashara
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 6 жыл бұрын
Yeye alimaanisha katumia 7000 kununua material za kutengenezea juice yani matunda, sukari na vitu vingine muhimu kwenye juice..kuweni makini kwenye kusikiliza jambo alisema banda alishatengeneza Before
@alhabibunjuu715
@alhabibunjuu715 6 жыл бұрын
Julius URONU elfu 7 unaeza anza biashara ila huyo muongo
@manernest5902
@manernest5902 5 жыл бұрын
nmependa ushaur wako
@williumhelbert6644
@williumhelbert6644 6 жыл бұрын
mac nakubali sana mzazi nakumbuka kazi yako yakwanza ya chps lakini umekoma salul broo
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 6 жыл бұрын
MTU kafanya kazi benk unasema mtaji buku 7000
@nyotaamadi8389
@nyotaamadi8389 6 жыл бұрын
Armani Frey ww unahonekana una wivu
@zanubaahmed49
@zanubaahmed49 6 жыл бұрын
Mtaji sio pesa alonunulia matunda tu, gharama zote alizotumia biashara ikaanza ndio mtaji, sio kweli 7,000
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 6 жыл бұрын
hapo nimewaelewa
@iviejustified8109
@iviejustified8109 6 жыл бұрын
Armani Frey What a Lie... ila labda anaongelea mali ghafi alizonunua kwa mara ya kwanza.. labda hivyo
@verenabenjamin2495
@verenabenjamin2495 6 жыл бұрын
Mie mwenyewe aijaniingia kichwani
@kitimethegreat52
@kitimethegreat52 6 жыл бұрын
Yaani kote nimekuelewa ila umenichefua kwenye mark kondom
@kassimpashua5020
@kassimpashua5020 5 жыл бұрын
Jamani tuwe waelewa Siku ya kwanza aliuza glasi kumi na moja kwa mtaji wa sh.7000/=inawezekana Siku hiyo hakuwa na vifungashio/glass zinazoonekana.Mtanzania thubutu utaweza.
@jenivavedasto636
@jenivavedasto636 6 жыл бұрын
hongera sana bro! big up
@raphaelnkwabi9676
@raphaelnkwabi9676 6 жыл бұрын
Sawa makoye upo sawa brother lakini please kuwa open bwana achakupindisha ukweli... Unasema ulianza mtaji wa 7000 na Hapo hapo unasema ulianza na banda Moja kwa moja je Banda ulijenga kwa shingapi... Au Mimi sijaelewa.... Pia hyo kutembelea wateja ebu naomba tupe strategic ways ili tuamin maaana daaaah nikweli umefanikiwa lakin it seems Kama unaficha ukweli flani ivi.....but anyways sawa huenda ndo Siri zako... Hongera bhna boss
@abra2620
@abra2620 6 жыл бұрын
Amesema aleinda sokoni kwa 7000 hyo inamaanisha ni ile variable cost sio fixed cost maana ukiangalia kiivo kuna blender za kusaga, glass,mirija, fridge, kodi na vingne
@bone102
@bone102 6 жыл бұрын
abra 26 safi kijana angu
@abra2620
@abra2620 6 жыл бұрын
bone pamoja sana kaka
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 5 жыл бұрын
Raphael Nkwabi amesema buku Saba ndo alienda nayo sokon afu unawez ukaaanzisha biashara watu wakawekeza biashara ikakuwa
@rickyshabudin4066
@rickyshabudin4066 4 жыл бұрын
Uwongo 7000 sio kweli
@anzakuishi9469
@anzakuishi9469 5 жыл бұрын
Hatukuelewi....unaposema mtaji buku7 wakati ushatengeneza banda..na kununua vifaa..kwani hilo nanda hukutumia gharama za kulitengeneza??kwani hyo hela uliyotengenezea banda cyo mtaji??au mtaji maana yake nn??tueleweshane...insipired story ila muwe wakweli mnapotoa success story zenu....
@ibengweboaz4327
@ibengweboaz4327 5 жыл бұрын
chacha itinde hapo kweli kazuga, ila muuliza maswali nae hajashtuka, maana haiwezekani gharama za kutengeneza banda usizijumuishe kwenye mtaji, never!
@vincentrajjat8890
@vincentrajjat8890 5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/iHern5SAistosM0
@daudm1558
@daudm1558 6 жыл бұрын
Hizo mak juice Hazifiki mikoani...
@hosseamelikioli9410
@hosseamelikioli9410 5 жыл бұрын
Hhhhh mark condom tena kaka umetisha saana mzee . God bless you 💪💪
@real_a0794
@real_a0794 6 жыл бұрын
Ume plan gud and still u have gud plan and also from ur talk u have also gud system But 4 pple around he can't explain wat u want to hear means he is growing in business... kama umeelewa
@ahmadchuma190
@ahmadchuma190 5 жыл бұрын
Hyo elf 7 ndio alijenga na hcho kibanda alicho anza nacho au kibanda sio mtaji
@abasiomary9609
@abasiomary9609 5 жыл бұрын
Jifunze yenye maana,kijana mbali tazama,kusanya mawazo ya jana,pambana japo yanabana
@franbar4913
@franbar4913 6 жыл бұрын
Nice!!! You are smart!
@irenesisamo2184
@irenesisamo2184 5 жыл бұрын
Hongera Mark though nlikuwa sijaonaga upo wapi nimezoea kingdom juice
@yusuphjaphari154
@yusuphjaphari154 6 жыл бұрын
Siku zijazo namimi nitakuwa mtu Mkubwa Sana
@erickmsallenge3724
@erickmsallenge3724 6 жыл бұрын
Yusuph Japhari ni vizuri kujiambia utakuwa mkubwa lkn uwe unachukua HATUA kwa haraka
@ZawadiZawadi-if2sv
@ZawadiZawadi-if2sv 6 жыл бұрын
Yusuph Japhari 👏 mungu. Akufanyee. wepesi
@yusuphjaphari154
@yusuphjaphari154 6 жыл бұрын
+erick Msallenge asante Kaka na Nimekuelewa Sana
@yusuphjaphari154
@yusuphjaphari154 6 жыл бұрын
+Zawadi Zawadi 92575167 Nashkuru Sana
@bajukul6952
@bajukul6952 6 жыл бұрын
Yusuph Japhari wewe ni mtu mkubwa teari
@musanjama2211
@musanjama2211 6 жыл бұрын
Suala la mtaji wa elfu saba sio kweli
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 true boy
@franciscaaugustino1733
@franciscaaugustino1733 6 жыл бұрын
Hongera ila jitahid na huku mkoan tuzipate
@saidysaleh7421
@saidysaleh7421 5 жыл бұрын
Hahahaaaaa buaaana weee ,embu fanya wewe ushike huko kwenu naimani umejifunza kitu hapo ko watakiwa kuitumia fursa hyo kufungua yako hapo mkoani kwako
@heavenlypatric4822
@heavenlypatric4822 5 жыл бұрын
I like it
@ramadhanwiliam6477
@ramadhanwiliam6477 5 жыл бұрын
pendeni kuongea ukweli maaana hamjikubaligi kwann
@inallahitrust1888
@inallahitrust1888 6 жыл бұрын
Nice na inatia moyo kila kitu kinawezekana nikujipanga tu nakutokubali kukata tamaaa
@shabanmohamed1545
@shabanmohamed1545 5 жыл бұрын
Kila kitu kinawezekana ,kikubwa ni subira tu na uvumilivu .
@harrymakongwa1147
@harrymakongwa1147 6 жыл бұрын
Umeniinspire upo creative sanaa bro..ntakucheki kwa email.
@stanleyjacob6744
@stanleyjacob6744 5 жыл бұрын
Sukari kilo 1800/= Matunda assuming 2000/=take away glass 5000/= 😎
@juhudihardware3883
@juhudihardware3883 5 жыл бұрын
Hahah
@murtazantimba4270
@murtazantimba4270 Жыл бұрын
Machine ya kusagia bei gani wabogo walishatuonaga kama watu wengi hatuna akili au hatujui kufikilia vzr
@alhabibunjuu715
@alhabibunjuu715 6 жыл бұрын
Kwani ukitaja kiasi sahihi cha mtaji utaharibu nini mtaji wa elfu 7 ni uongo bhn implicit cost + explicit cost ndo iwe elfu 7 ...???
@aljerkanfilltrust1943
@aljerkanfilltrust1943 5 жыл бұрын
Ongera bro
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 6 жыл бұрын
njoo uchukue million tuone kama utaweza kufikia hapo, kesho wakiitwa na makonda mnasema wwanaonewa
@najmabajun1739
@najmabajun1739 6 жыл бұрын
una onekana una ongea sana alafu vyoooooooooooooote pumba tu
@najmabajun1739
@najmabajun1739 6 жыл бұрын
sio kila mtu ana weza kuamin ulilazimishayo kukiaminisha
@inodeculture2759
@inodeculture2759 6 жыл бұрын
uyu dada kama alikataliwa na uyu jamaa
@najmabajun1739
@najmabajun1739 6 жыл бұрын
+INO DE CULTURE inavo onesha au kashezea alafu kutoka kapa tofauti alivo tarajia ndio maan ana mkandiiiia ana miasila yake ila nn siku zote ukiwa una plan una ishi ishi tu lazima udondokee pua kwa sisi tunao jitambua na nita pambanaji wala atushangai iki alicho kifanya jamaa kufanya kaz benk sio kua tajili ila watu wengi wana jitoa tu ufaham ndio madem wengi mwisho wa picha kutoa povu mtandaon 😂😂😂😂😂😂😂😂
@inodeculture2759
@inodeculture2759 6 жыл бұрын
+Najma Bajun kweli Najma Bajun alaf cc watanzania wengi tunaanzia Story ya hapo hapo mtu alipo ila autaki kujua ya nyuma zaid uyu jamaa mm nimeanza kumfwatiliaga ckunyingi na anani inspire kuzid kusonga mbele bila kukata tamaa japo wengine wanamponda
@ramseyrmsy3366
@ramseyrmsy3366 5 жыл бұрын
Elfu saba sio kweli ila mtaji sema ulikua mdogo ila nimependa kua umethubutu kila kijana anatakiwa kuthubutu
@minaziparasu8748
@minaziparasu8748 6 жыл бұрын
Jee TRA unalipialakiniiii
@eliadaabel8991
@eliadaabel8991 6 жыл бұрын
hahaha
@wakafilm3051
@wakafilm3051 5 жыл бұрын
2inches has a chance
@majaliwa_tz5004
@majaliwa_tz5004 Жыл бұрын
Uwe Na Mtaji Mkubwa Au Mdogo Kufanikiwa Ni Kujituma Na Kujiwekea Malengo Ila Tofauti Na Ivyo Ata Uanzie Na Mamilion Yanaisha Tu
@marypartson8409
@marypartson8409 Жыл бұрын
Hongera mtoto wa Sayuna Shekalaghe
@godcompeter9844
@godcompeter9844 6 жыл бұрын
Broo mm ndo mmliki wa G juice sasa unavy sema mtaji wa elfu saba yan brenda elfu mbili chumba elfu na mia tano yan kila mwez mia tano na matunda bado frig na hiz cup unaz uzia juice be serious wakt una encourage vijana wafany biashara
@hudsson75
@hudsson75 6 жыл бұрын
Godcom peter asante
@jac9495
@jac9495 6 жыл бұрын
Godcom peter no hajaamanisha hivo amesema kwamba mtaji wake wa kwenda sokoni kununua matunda ni matunda ya elfu 7 sidhani kama amemaanisha gharama za ofisi na vitendea kazi
@manselectorgway8580
@manselectorgway8580 6 жыл бұрын
Kasema alienda sokoni na mtaji wa 7000 ina mana alienda kununua matunda kwa mtaji huo
@theresiathomas3917
@theresiathomas3917 6 жыл бұрын
Godcom peter 6
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 5 жыл бұрын
Bro daaah sikiliza tena upya
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Hongera xana brother ###
@iviejustified8109
@iviejustified8109 6 жыл бұрын
Mie napenda kufahamu ingridients za juice zako boss
@juliusshaban2443
@juliusshaban2443 6 жыл бұрын
watu mnashindwa kuelewa yeye kasema alienda sokoni Na elfu 7 sio mtaji elfu saba
@safaritourstv1909
@safaritourstv1909 5 жыл бұрын
7000 contena kanunua bei gani, na bado kuna friji na brenda ya kusagia matunda ebu acha uongo au jaribu kufafanua kati ya pesa ya kununuria matunda na ya kuanzishia biashara
@HusseinYusuph-sz8lu
@HusseinYusuph-sz8lu 4 ай бұрын
Nakubal
@user-dk6rc9kb3f
@user-dk6rc9kb3f 8 ай бұрын
Brother naomba kuwa supplier wako
@chriskalega3855
@chriskalega3855 6 жыл бұрын
wanatuchoresha hawa
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongera sana
@marypartson8409
@marypartson8409 Жыл бұрын
Yaan nmefunga ofc yangu y juice sbabu ya usimamizi.
@kizaabwe726
@kizaabwe726 6 жыл бұрын
Safi sana bro God bless u
@mkingasana400
@mkingasana400 4 жыл бұрын
hongera man kaza
@salehgoldberg7237
@salehgoldberg7237 5 жыл бұрын
Lipa hayo mafriji ya jamaa aliekupa hapo mana hku hongkong anahangaika kila siku unamgaia elf50 tu ...
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 жыл бұрын
We pumbavu unatoa siri za watu.yanakuhusu? Atalipa tu mdogo mdogo. Makjuice tuwasiliane nikusupply sambusa
@roi2554
@roi2554 5 жыл бұрын
Big up sanaaa bro una zaid ya kipaji
@foteliberty4080
@foteliberty4080 6 жыл бұрын
Gracius Makoi
@gg-fq4mf
@gg-fq4mf 5 жыл бұрын
Hongera sana, ila kweny buku 7 umetudanganya
@simontamba1285
@simontamba1285 5 жыл бұрын
Jina langu wewe la nini blenda tu bei Ni zaidi ya laki
@mohammadmpinga7404
@mohammadmpinga7404 6 жыл бұрын
Mtaj Wa 7000 Mhh😎😎
@josephtula5525
@josephtula5525 6 жыл бұрын
Mohammad Mpinga hiyo ni hela aliyonunulia matunda kwa siku ya kwanza, alikuwa anajaribu
@mohammadmpinga7404
@mohammadmpinga7404 6 жыл бұрын
Joseph Tula Boy Kumbuka Alishaajiriw Then Angalia Hyo Location Analipa Tsh Ngap Hzo Resources Anazotumia Tshngap Zote Hzo Ni Mtaj...
@issashomary8711
@issashomary8711 5 жыл бұрын
Aache kupotosha watu bhana mtaji wa 7000 sio kweli
@finahenly64
@finahenly64 5 жыл бұрын
Aliqnza kujenga kibanda kwa elfu 7 au kununua blenda au alikua akisaga na meno 😂
@chwabizobk8160
@chwabizobk8160 5 жыл бұрын
Ila kwel.. maelezo Co kwel hayajajitoshelezaaA
@endruhussen4425
@endruhussen4425 5 жыл бұрын
kuusumtajiwash 7000 kiukweliamedanganya
@fibolychifunda6639
@fibolychifunda6639 6 жыл бұрын
Acha uongo wewe,huwezi kusema ushafanya kazi benki na kampuni ya simu halafu useme umeanza na mtaji wa 7000,kwa hiyo walikuwa wakikulipa mshahara 7000,UMEWEZEZESHWA or there's something behind the gam3
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 5 жыл бұрын
Fiboly Chifunda mtaji alienda kununulia matunda .......elewa alienda kununulia matunda ya buku sab Hilo swala la office hajataja gharama ya office n sh ngap
@imagepower3641
@imagepower3641 5 жыл бұрын
hongera
@vailetjoseph6438
@vailetjoseph6438 6 жыл бұрын
Hongeraa saaanaa
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 6 жыл бұрын
huyu alitimuliwa bank kwa wizi wa pesa
@nyotaamadi8389
@nyotaamadi8389 6 жыл бұрын
Armani Frey acha wivu ww
@GovernorNkhulu
@GovernorNkhulu 6 жыл бұрын
Armani Frey 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@KhadijaKhadija-mk6jf
@KhadijaKhadija-mk6jf 6 жыл бұрын
jaman we dad kila coment yko unamponda huyo kaka kwann?wivu unakusumbua ww alfu humtakii mema Allaaaa
@danielmtui139
@danielmtui139 6 жыл бұрын
ww, hujinyaki ww
@mariamunightiness4776
@mariamunightiness4776 5 жыл бұрын
Armani Chicandow ila sa hz kapiga bingo
@adyaa8922
@adyaa8922 6 жыл бұрын
Mmmmmh, huyu muhongo sana adi macho
@aishaaisha2957
@aishaaisha2957 6 жыл бұрын
Hongera kaka
@africangirls482
@africangirls482 5 жыл бұрын
Elf 7 sio kweli ase
@ambaryahayapopo6729
@ambaryahayapopo6729 6 жыл бұрын
ongera sn maisha kujituma
@yusuphikaku6728
@yusuphikaku6728 5 жыл бұрын
pumbavu wapo wengine so huyo mpaka kuajiriwa kwenye makampuni
@sharifunyengedi6322
@sharifunyengedi6322 5 жыл бұрын
Aliacha kazi bank akaanzisha biashara ya sh 7,000? Hmmmm hii ndio Tanzania ya Viwanda 😁😁🤣🤣😃😄😄
@fredyjohnwaifakaratz2473
@fredyjohnwaifakaratz2473 6 жыл бұрын
WABONGO BWANA SO SO SO SO SO KIBAAAAAAAAAO... PUMBAVU
@stephenmateo8677
@stephenmateo8677 4 жыл бұрын
Safi
@stellahmosha9517
@stellahmosha9517 5 жыл бұрын
Nimekuelewa
@bashirikimamula6643
@bashirikimamula6643 6 жыл бұрын
Safi boy
@davidone4705
@davidone4705 6 жыл бұрын
Ongela
@user-dk6rc9kb3f
@user-dk6rc9kb3f 8 ай бұрын
Mikoani
@lulumahungo6442
@lulumahungo6442 6 жыл бұрын
Sasa hakuanza na elfu Saba
@calenmichael6853
@calenmichael6853 Жыл бұрын
✨🔥
@deevon3364
@deevon3364 5 жыл бұрын
7000 uo ndo mtaji wa matunda
@patrickemmanuelemmanuel9354
@patrickemmanuelemmanuel9354 5 жыл бұрын
nzur
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
hatari
@selemanjuma1595
@selemanjuma1595 5 жыл бұрын
Kwenye mtaji umedanganya
@joycejohn7754
@joycejohn7754 6 жыл бұрын
waongo wakubwa wanadanganya watu hawa
@suzanmangi9316
@suzanmangi9316 6 жыл бұрын
unaonekana unaubinafisi ww hutaki wengine wapate
@bone102
@bone102 6 жыл бұрын
Suzan Mangi kwan lazima upate kupitia mgongo wake pambana na hali yako
@armanichicandow1225
@armanichicandow1225 6 жыл бұрын
ndo wanavyoongea kumbe unga ndo biashara
@entertainmentplace3460
@entertainmentplace3460 6 жыл бұрын
Armani Frey if yua lazy husizingizie unga na ww uza unga ufike hapo kwanini binadamu tunakuwa wapesi wa kuukumu wenzetu haraka wakifanikiwa na kua na fikra ovyooooo!!!we jipige kando wacha wenye bidii wapambane watafikia malengo yao ww unaonekana mtu ambae huwezi endelea juu umejawa na negativity in yu my dear husiwe ivo na unafunza nn wadogo zetu wamelemewa kweli aeza kua ni unga but kumbuka kuna vijana wadogo wanatamani kua kama yy so ukisema ivo unawavunja moyo wacha kua mtu mbinafsi
@erickmsallenge3724
@erickmsallenge3724 6 жыл бұрын
Negativity mind....kamwe huwezi kusonga mbele kwa kuamini kila aliefanikiwa anafanya mambo haramu.....change ur mindset......
@entertainmentplace3460
@entertainmentplace3460 6 жыл бұрын
erick Msallenge i support you 100%but cant blame her koz africans we r full of negativity minded kuamini uchawi n bla bla ukisikia uchawi ni pale mtu ataki mwenzake afanikiwe surely wen will we come out from this negativity !!mostly tunajifikiria wenyewe tunakua wabinafsi fikirieni na kizazi kinachotufuata!!
@pancrasmassawe3416
@pancrasmassawe3416 6 жыл бұрын
Armani Frey aimaniisha kwamba hakuwa na pesa nyingine alikuwa nazo but si unajua uwezi ukaanza kutengeneza labda juice nyingine wakati ujajua unawateja wangapi au itapokelewa vizuri
@kbjuomaly8466
@kbjuomaly8466 5 жыл бұрын
Dah:inavutia mno
@daudm1558
@daudm1558 6 жыл бұрын
Tunazikosa hafanye utaratibu
@josephngasa3727
@josephngasa3727 5 жыл бұрын
nmekuelewa"brother umepambna kwel kwel
@ramadhanwiliam6477
@ramadhanwiliam6477 5 жыл бұрын
wewee acha uongo maaana hilo banda lakwako ama
@daudm1558
@daudm1558 6 жыл бұрын
Kama mwanza
@paulokilenga8025
@paulokilenga8025 6 жыл бұрын
wacha ujinga millard na wewe umelpwa
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 4 жыл бұрын
mbona mak condom it's coming soon
@justinemutahaba5431
@justinemutahaba5431 6 жыл бұрын
daah!...
@remmykuyava3834
@remmykuyava3834 6 жыл бұрын
daaaaah gud inspiration!!!!!!¡
@mcluciana4554
@mcluciana4554 6 жыл бұрын
Hongera sana Mac ofisi yako ipo wapi?
@muktartz7314
@muktartz7314 6 жыл бұрын
V I D O ❌
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 4,8 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 33 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 33 МЛН
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 44 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 4,8 МЛН