KIJANA ANAEMILIKI MGAHAWA CHINA, 'SIKUTAKA WATANZANIA WALE NYOKA, NIMEKUJA KUSOMA'

  Рет қаралды 307,818

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

#KilimanjaroRestaurant #YiwuChina
Kilimanjaro Restaurant ni mgahawa ulipewa jina la mlima uliopo Tanzania na ndio sehemu pekee inayopika chakula cha Kitanzania kwenye mji wa Yiwu China

Пікірлер: 612
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 4 жыл бұрын
Sijui ni mm tu? Kila nikimuona mTanzania mwenzangu amefanya jambo nje ya mipaka nafurahi sana...Mungu akufanyie wepesi usonge mbele zaidi uwe na migahawa kama hiyo China nzima
@lupahmwakabenga7559
@lupahmwakabenga7559 4 жыл бұрын
Kwa niaba ya wenzangu tulioko nje ya mipaka nasema asante sana karibu Zambia
@dullybrown3635
@dullybrown3635 4 жыл бұрын
Mimi nafurahi sana ila hua nahisi wivu sana nami kutaka kufanya kitu zaidi ya hicho siku moja.
@sofiasofia7557
@sofiasofia7557 4 жыл бұрын
Karibuni mi nipo omani
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 4 жыл бұрын
@@sofiasofia7557 asante
@sofiasofia7557
@sofiasofia7557 4 жыл бұрын
Khery tupo Pa1 kaka
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 жыл бұрын
Cha kwanza nikumpongeza AYO tv kupenya Hadi China,give him hi five,afu tumpongeze kijana wenzetu
@pastorbaharia598
@pastorbaharia598 4 жыл бұрын
YESU NI NJIA YA KWENDA MBINGUN,KAMA UNAAMINI LIKE ZA KUTOSHA.
@godiegodie1336
@godiegodie1336 4 жыл бұрын
Unatafuta likes kupitia jina la Mungu? kweli ushafilisika
@pastorbaharia598
@pastorbaharia598 4 жыл бұрын
@@godiegodie1336 ahsante
@mohamedAli-vf8hp
@mohamedAli-vf8hp 4 жыл бұрын
Ni njia yakwenda mbinguni kwa wana wa izrail cio ww
@Andy_tz
@Andy_tz 4 жыл бұрын
Ko ulitaka atafute like kwa jina la bibi ako?😅
@user-nf9cc1hi1t
@user-nf9cc1hi1t 4 жыл бұрын
@@Andy_tz muha una roho mbaya kwel, hilo jibu, hahaaaaa
@hajivuai3454
@hajivuai3454 4 жыл бұрын
na hapa Dubai ipo moja inaitwa ZANZIBAR RESTAURANT , katika mji wa Deira,yaani very nice vyakula vyote vya Kitz vipo hapo hadi raha,yaani watu wanaweza wakiamua.
@abdullahrashid6297
@abdullahrashid6297 4 жыл бұрын
Ndugu yangu ile ya deira inaitwa Daresalaam restaurant ya zanzibar restaurant iko AL aweer... Ya al aweer ndio chakula cha kila aina vya kibongo wako vizuri kwa mapishi
@mligosandrah7851
@mligosandrah7851 4 жыл бұрын
@@abdullahrashid6297 🤣🤣🤣 nimecheka mm nakulaga moja iko deira bufee dirham25
@abdullahrashid6297
@abdullahrashid6297 4 жыл бұрын
@@mligosandrah7851 Deira kuna moja iko hotel iitwayo phonecia ni balaa misosi ya kila aina buffet la kiafrica
@rosemaganga3901
@rosemaganga3901 4 жыл бұрын
@Rugamba Shabani plz nielekeze kaka namm nipo Dubai lakin mgen
@rahmaathman7431
@rahmaathman7431 4 жыл бұрын
Rose Maganga rose rose nipe contact zako tuwasiliane
@hurumasilasmwamwezi4351
@hurumasilasmwamwezi4351 3 жыл бұрын
Dafi sana nimependa umeajiri wachina. I love Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@bone102
@bone102 4 жыл бұрын
Millard huyu jamaa aongezewe mshahara anajua kutangaza sanaa
@saadajumanne8656
@saadajumanne8656 4 жыл бұрын
Umeonaa eeeh
@bone102
@bone102 4 жыл бұрын
@@saadajumanne8656 jamaa hatari huyu
@maidammaka8164
@maidammaka8164 4 жыл бұрын
Anajua mpk anakera yaan yupo vizur
@matingatwaha1439
@matingatwaha1439 4 жыл бұрын
Kabisa mkuu unajuwa kuwaza mbali san
@sophiakasim5153
@sophiakasim5153 4 жыл бұрын
Namkubali sanaaa na sauti yake ina ujazo
@azzaalmaamry76
@azzaalmaamry76 4 жыл бұрын
MaashaaAllah nafurah kusikia mtanzania akifungua mgahawa nje ya nchi mungu akupe afya na umri kaka kwa kazi hii
@niyonkurusaidi6157
@niyonkurusaidi6157 4 жыл бұрын
Daaah jama wako vizuri sana, chakula cawo kitamu sana. Thank you kilamanjaro restaurant
@zuhurandauka4166
@zuhurandauka4166 4 жыл бұрын
saf
@sabrahally3797
@sabrahally3797 3 жыл бұрын
Mnipeleke nikale na mim😂😂😂
@kingcobra9238
@kingcobra9238 4 жыл бұрын
Salute kwako ndg kutoka china maana vyakula vya wenzetu ni balaa nawapata kutoka U.A.E, ABU DHABI gonga like zako zote kama na wewe unapenda african food pindi ukiwa nje ya nchi yako
@lucylucy2404
@lucylucy2404 3 жыл бұрын
Nimegonga like ila naomb n Mimi nifike hapo ulipo kama utojali
@AllaNetWork
@AllaNetWork 4 жыл бұрын
Safi sana my Brother. Songa mbele. As your fellow small business owner abroad, we understand exactly what it takes and what you went thru to get there. Hongera sana na kwa wenzetu wengine walioko abroad na hata nyumbani, tusizime hizo njozi za kuanzisha business. “It can be done my brothers and sisters, it can be done.” Usisikilize kelele za nje. Listen to your heart and thrust forward with your dream.
@mankamasawe1106
@mankamasawe1106 3 жыл бұрын
Nice
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 4 жыл бұрын
Safi Sana.NAOMBA MAWASILIANO YAHUYU KAKA MWENYE HII RESTAURANT NZURI YA KIAFRIKA NCHINI CHINA
@d.a.t3383
@d.a.t3383 4 жыл бұрын
Google KILIMANJARO restaurant china
@DianaMabaija-bv3ql
@DianaMabaija-bv3ql 27 күн бұрын
Naomba namba
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
Safi sana My Bro it's So Encouraging 👏👏👏
@sangaTv_
@sangaTv_ 4 жыл бұрын
Uuuwiiiii this is soo lovely!!!!
@richardgaya3965
@richardgaya3965 3 жыл бұрын
Hongera Ndugu....I have noticed a Kenyan customer ..by his wrist band... enjoying his "tilapia" dinner!
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 3 жыл бұрын
Kaka anasigda mashallah m.mungu akujaalie ivyo ivyo
@Pandumasoftware
@Pandumasoftware 4 жыл бұрын
Mi huwa napenda combination/uhusiano mnaounyesha, nikiona Watanzania au Waafrica mnaishi ivi uko nje najiskia Raha sana. Sijui kwenye Media tu au ni Real lkn mi huwa napenda sana hii kitu Mungu awabariki wote...
@d.a.t3383
@d.a.t3383 4 жыл бұрын
Ni balaaa huko nje ngoja utaona competition majungu yataanza
@Tv-rh5mv
@Tv-rh5mv 4 жыл бұрын
Lakini mzee baba sheria za service ufti
@daprince7545
@daprince7545 4 жыл бұрын
Congratulations bro big up for such ideas 👌👌
@georgekasim8534
@georgekasim8534 3 жыл бұрын
Hongera sana mtanzania mwezetu, godbles you
@mariammgaya7566
@mariammgaya7566 4 жыл бұрын
Nice .....Hongera sana 💪
@hamedamahamd1222
@hamedamahamd1222 4 жыл бұрын
Asante sana ayo tv upo vizuri hujawahi niangusha unavija wapo vizuri katika utangazaji
@mathayowilson1525
@mathayowilson1525 4 жыл бұрын
HONGERA KUJANA SHUJAA WA KITANZANIA, TUNAFURAHI KUONA MTU UNAKUWA NA WAZO KUBWA KAMA HILO, KUTOKA KIMARA DAR NIMEANGALIA, HONGERA SAAANA MDOGO WETU...WAAFRIKA TUMEUMBWA KWAAJILI YA MAKUBWA, KEEP ON GROWING TO HIGHER AS MOUNT KILIMANJARO..
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Maa shaa Allah hongera sana kijana
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 4 жыл бұрын
Salam. Nduguyagu kazimzuri message from USA 🇺🇸👍birian.sisi.wa. zanzibar kwa.biriani.
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 alykum.asalam. nduguyagu salamu.nimezipata. sitakuvunja.moyo. zanzibar beautiful a.m miss so.much home 👍🇺🇸
@representativevox2660
@representativevox2660 2 жыл бұрын
Jamani zeno tumesoma wote chinese language ♡♡♡
@idrisslewis7753
@idrisslewis7753 4 жыл бұрын
Daah very nice ma bro I like something like that vijana tukiamua kujiwekeza tunaweza aise safi sana
@claysonjulius6520
@claysonjulius6520 3 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anajua kazi!! He really knows what he does!
@paschalwilbroad1762
@paschalwilbroad1762 4 жыл бұрын
Ongera kaka safiii sanaa Mungu akuongozee unaonekana unaupeo wa kuona mbali nitakujutafuata
@coletashirima2193
@coletashirima2193 4 жыл бұрын
nlichopenda mimi anaongea kiswahili vzur sio wale u know you know ,,, hongera kaka umefanya jambo la muhimu
@issarashid8280
@issarashid8280 3 жыл бұрын
Daa kweli kabisa sio awa uk mtu teja lakini abaongea luga za watu
@zubedarichard2311
@zubedarichard2311 3 жыл бұрын
Umenikumbusha magufuli you know
@thurayyaomar655
@thurayyaomar655 4 жыл бұрын
mashllah hongera kaka , niajiri nitafute 🙏
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 4 жыл бұрын
maa shaa Allah nimeipenda sana sijuu wanaweza kunipa kazi ya kupia 😍😍😍😀😀😀
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllah kijana yupo Sawa, hongera kwake
@samilaayomba4203
@samilaayomba4203 3 жыл бұрын
Kaka mmnahitai kazinimpishi mzuli sana namba ajila nim tazaniya ilakwasasa nipo oman
@omarymohamedy7414
@omarymohamedy7414 4 жыл бұрын
Hongera sanaaa kaka mungu azidiii kukuinuaaa
@mkundemsuya2504
@mkundemsuya2504 4 жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu kwakua na fikra pevu na yakinifu Mungu azidi kukufanikisha
@queenwinnie256
@queenwinnie256 3 жыл бұрын
Safi sana Milady Ayo na hongera sana kaka kwa kazi nzuri, mm niko vizuri niajiri tu kaka nami nienjoy mtanzania mwenzangu,
@mtoimohamed6701
@mtoimohamed6701 3 жыл бұрын
Yani umeni inspire sanaa Masha Allah,Allah azidi kukupa nguvu na kupanda kiuchumi.
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 4 жыл бұрын
Haki vinaonekana ni vitamu sana,Hongera sana broo
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
Masha allah congratulations brother kaz iedelee 🔥🔥🔥🔥🔥
@matthewben2146
@matthewben2146 4 жыл бұрын
Huyu Dulla TZA,VIDO VIDOX hawa jamaa Millard ujakosea kuwapa mchongo
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 4 жыл бұрын
Kwel kbsaaa
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
Matthew Ben yaani hawa ni shiiidaaa.
@janesabore2965
@janesabore2965 4 жыл бұрын
kilimanhanjaro wana chakula kazuri sana 👏👏👏 napenda
@beatraceketto3880
@beatraceketto3880 4 жыл бұрын
Milad uko juu napenda kuangalia ki tv chako kwanza hunauongo kitu ukweli milad juu mpaka china najua utatoa ndugu zetu wengi kuwapa kaz Mungu akutunze Ar moja iyo
@selemanmuhomba497
@selemanmuhomba497 4 жыл бұрын
Mungu akujalie kwa kazi nzuri na mawazo mazuri ila tafadhali naomba sana usisahau nyumbani Tanzania
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 4 жыл бұрын
Masha Allah kazi nzuri 👍
@nicemuba4990
@nicemuba4990 4 жыл бұрын
Anaongea kiswahili ila lafudhi ishakua ya kichinaa ... Amaizng xana congrats💗
@na0m1fes51
@na0m1fes51 4 жыл бұрын
😂😆😆 kweli lafudhi isha change
@stevenbenard6603
@stevenbenard6603 2 жыл бұрын
Mimi rai yangu kwa serikali za Kiafrika, hakuna haja ya kulazimishana kukaa humu kama naona hali ya nchi yangu haziridhishi DUNIA KIJIJI POPOTE KAMBI. ILA SALUTE BROO FROM CHINA
@carlosmkindi2807
@carlosmkindi2807 3 жыл бұрын
Prezoo @bmss aminia sana bro pamoja
@nesielias317
@nesielias317 3 жыл бұрын
Ukipenda mafanikio ya mwenzako Mungu anakupa yako hongera sana
@talibally8743
@talibally8743 4 жыл бұрын
Big up restaurant nikiend ten nitatfuta... Kikwel tunpt tbu... Like 😘😘😘😘😘
@djkash466
@djkash466 4 жыл бұрын
Mashaallah...safi sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 жыл бұрын
Pesa hiyo, hapa nilipo waafrika wachache sana pasua kichwa , dah ningeanzisha na mimi huwo mchongo big up sn mwana from Taipei in Taiwan
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 4 жыл бұрын
Hongera sana sana,,,mungu akuongezee maarifa na nguvu zaidi
@chiticollemans
@chiticollemans 4 жыл бұрын
Wooooooooow! Woooow! BIG UP
@feiirfan306
@feiirfan306 4 жыл бұрын
Baraka Allah kheir
@masikasaidi8805
@masikasaidi8805 10 ай бұрын
Mungu Akubariki Kazi Yako hongera sana
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 4 жыл бұрын
JAMAA ANACHAKULA KIZURI SANA,,, UWA NAKULA SANA HAPO ,, KWANZA HUDUMA ZAO NIPOA THEN UNAKUTANA NA WATANZANIA WENGI MPAKA UNAFURAHI
@froliangrevigian9213
@froliangrevigian9213 4 жыл бұрын
Ahaaaaaaaa,, Nimekukumbuka Boss,,kuna siku nilikupa hai Pale Mlangoni tulipishana ukanikaushia kibingwa.... Ila hongera sana kwa kumuunga mkono Mwana...
@giftkaisy3061
@giftkaisy3061 4 жыл бұрын
HahHahhahahHahah
@sintasmarty4974
@sintasmarty4974 4 жыл бұрын
He umeshaenda mwenzangu
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 4 жыл бұрын
@@sintasmarty4974 umebaki wew tu!!!
@sintasmarty4974
@sintasmarty4974 4 жыл бұрын
@@hisanmwakijungu10 nipe ofa hiyo niende na mm
@joyceglam4612
@joyceglam4612 4 жыл бұрын
Great idea 👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
@catherinemmbando6949
@catherinemmbando6949 3 жыл бұрын
Ongera sn zeno kutoka mawanda holili mpaka China uko poa sn,good my friend
@lakiabalozi6600
@lakiabalozi6600 4 жыл бұрын
Wow Hongeraa aisee good ur so creative
@khadijaathumani5686
@khadijaathumani5686 4 жыл бұрын
Faheem mwanangu...Allah akupe hitaji lako
@user-dx5lz6du4y
@user-dx5lz6du4y 4 жыл бұрын
I love mtangazaji upo vizur kikazi
@shifumponda666
@shifumponda666 4 жыл бұрын
Hongera sana broo mungu akuongoze sana na biashara yako
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Bro anaongea na yy kama wachina😅😅ila hongera kwake.safi sanaaa 💯💪kaitumia fursa ipasavyo..
@jcomplext.v4409
@jcomplext.v4409 4 жыл бұрын
Wawoooooooooo unaniftia brthr uko vizuri mpka nataman ningekuwa hapo
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
BIG UP BROTHER KWA KAZI NZURI
@perpetuagodfrey7050
@perpetuagodfrey7050 4 жыл бұрын
Hongera kaka umethubutu ,,na Mungu akupe wepesi zaidi,,,, na sisi unatupa hamasa kwamba ukithubutu inawezekana
@isayasway8633
@isayasway8633 3 жыл бұрын
Dahh yan Millard ayo nawamini asilimia buku kwa tarifa zenu ni tofauti na Chanel nyingine
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 жыл бұрын
Big and well idea. I wish to work with you my friend
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Nimependa sana kaka mashallah
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 4 жыл бұрын
Hongera sana naomba kazi kaka
@josephchala4483
@josephchala4483 4 жыл бұрын
Big upp sana vijana wa ayo tv kwakutupeleka mpaka china na kumjua mwafrika mwenzetu kuwa ame ivestement huko ase
@glorylimo8695
@glorylimo8695 4 жыл бұрын
Safi Sana Kaka me too nataka kufungua mgahawa nje Mana Tanzania ndio country yenye chakula kitaam duniani ....na ivi wewe mtu unae unlike sikuelewi una Mana gani
@ms_caramel2688
@ms_caramel2688 4 жыл бұрын
MashaAllah
@michelletv5648
@michelletv5648 3 жыл бұрын
Woow l like it ongera Sana kaka mpaka unanitamanisha na mm kuja china
@alexshauri4899
@alexshauri4899 4 жыл бұрын
Nikiwa usa 🇺🇸 Ongera sana brother wangu Na mimi nimepata wazo Kiukweli brother wangu,ongera mno.
@muniradaudi440
@muniradaudi440 4 жыл бұрын
Sn
@hjklhjkl4108
@hjklhjkl4108 4 жыл бұрын
Mashallah
@sadajuma9894
@sadajuma9894 4 жыл бұрын
Wow nice na wish sana kwenda china kufanya kazi ya kupika
@leoniakimati3434
@leoniakimati3434 Жыл бұрын
Congrats Zeno,kila la kheri
@partohmsee5992
@partohmsee5992 4 жыл бұрын
Nakuombea sana kaka Maulana akujalie Baraka tele ili Uweze kustahimili na kuwaelimisha watanzania na watu wote kwa jumla Inshallah
@romanambelle6356
@romanambelle6356 4 жыл бұрын
Kweli umebarikiwa na upo juu. Hongera sana kaka
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 4 жыл бұрын
Hongera brother..
@salmaiddy6059
@salmaiddy6059 4 жыл бұрын
Hongera kaka
@jozeecharles782
@jozeecharles782 4 жыл бұрын
Hongera bro
@mamarafiki283
@mamarafiki283 4 жыл бұрын
Hongera zake mungu amzidishie maarifa.
@dioskorimtalo2348
@dioskorimtalo2348 4 жыл бұрын
Huyo Samaki mmmh , nadondosha mate hapa Kama teja 😋😋😋
@sayunibange8997
@sayunibange8997 3 жыл бұрын
mh nimecheka
@samsungoman5626
@samsungoman5626 3 жыл бұрын
Maashallah 😍😍😍😍
@rjjosephat8075
@rjjosephat8075 4 жыл бұрын
Hakikisha unakaa vizur katika IMANI yako wqla usiruhusu mafanikio ya kiMungu kwa wengine yakakukatisha tamaa Wengine wamejikwaa katika maombi yao ...Badala ya kuomba Mungu awabaliki na wao ..Wamebaki wanamnung'unikia Mungu kwa kuwabariki wengine Pia baadhi ya Wakrsto wameanzisha vita juu ya wenzao walio kumbukwa na Mungu katika maeneo mbalimbali ya Maisha yao ya Rohoni na maisha yao yakawaida bibilia inasema kaini akamwinukia Habili na kumwua Ngoja niseme kidogo hapo .... Mafanikio yako hayategemei mafanikio ya mwingine wala sio kanuni ya lazima kwamba ufanikiwe kwanza ww ndipo wengine wafanikiwe.Tambua kuwa hatima yako ni Tofaut na hatima ya mwingine sasa haina sababu yeyote kukasilika sababu ya mwingine kabla yako Maana utakuwa unadhindqna na Mungu alive MPA KIBALI chat.whatsapp.com/C8tApyLwFhN9A2cstIPCBU
@veronicachamle467
@veronicachamle467 Жыл бұрын
Hongera sanaa bro... Imeniispire sanaaaa
@zakayomusa9933
@zakayomusa9933 4 жыл бұрын
Hongereni sana
@misanamohamedi8438
@misanamohamedi8438 3 жыл бұрын
Vizuri ndugu yngu endelea kupambana Sana mungu akupe nguvu,Mana najua changa Moto ni nyingi kwnye nchi za watu.tz oyee
@bintialfan2143
@bintialfan2143 4 жыл бұрын
Nisingeweza kula chochote china dah sio kwa nyoka zile bonge moja la idea big up bro
@ojasoojaso9479
@ojasoojaso9479 4 жыл бұрын
China bara kubwa ndugu yangu usidhani ukienda huko utamuona huyu jamaa kwani unaweza kwa mfano kuwa Sudan na huyu yuko msumbiji . Omba utembelee mji aliyopo.Ama cy mh kobe ni wako
@bintialfan2143
@bintialfan2143 4 жыл бұрын
@@ojasoojaso9479 hahaha kobe tena mie sikuwezi uko bora nijilie zangu dagaa
@ojasoojaso9479
@ojasoojaso9479 4 жыл бұрын
@@bintialfan2143 ukisafiri chona usisahau dagaa zako kwenye begi nd yangu
@mamuismaily5504
@mamuismaily5504 4 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vizuri
@gracesamwel1338
@gracesamwel1338 3 жыл бұрын
Fireeeee🔥🔥🔥🔥
@teddyewaldmboya5200
@teddyewaldmboya5200 2 жыл бұрын
Zenooo hongeraaaa sana jaman kutuwakilisha China kwa misosi mitamu
@sofiakalinga1100
@sofiakalinga1100 3 жыл бұрын
Hongeraaa sana
@michaelkasogela370
@michaelkasogela370 3 жыл бұрын
Respect to you blazaaa
@maryanaambrocy8976
@maryanaambrocy8976 2 жыл бұрын
Congratulations bro keep going
@agnesmwau3051
@agnesmwau3051 4 жыл бұрын
Thanks ayo tv
@hipolozo4639
@hipolozo4639 4 жыл бұрын
aseee mungu akubariki aana kaka nimefurahi sana kuona mtanzaniya mwenzangu unafanya maendeleo
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 3 жыл бұрын
This has been my wish fr so long hope to do it one day so God help me 😘
@hawaamkubwa2020
@hawaamkubwa2020 4 жыл бұрын
Hongera kaka pka vitumbua
@emanuelmurumbi6946
@emanuelmurumbi6946 3 жыл бұрын
Safi Sana man nafurahi kusikia mtanzania mwenzetu anatangaza NCHI YETU BONGO
WACHINA WANAVYOKULA CHURA, NYOKA, KONOKONO, MENDE, NG'E NA MAMBA
7:29
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,2 МЛН
MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA BIASHARA YA MGAHAWA
14:45
Ustawi Wetu
Рет қаралды 322
UBAYA UBWELA KUZINDULIWA  MBUGA YA MIKUMI,AHMED ALLY(@Katalina691
3:19
KUAJIRIWA HAKUWEZI KUNITIMIZIA NDOTO ZANGU NIMEJIONGEZA
4:54
DJTee 255
Рет қаралды 137 М.
TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA
9:00
Millard Ayo
Рет қаралды 140 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН