MAKONDA AFANYA UKAGUZI WA JENGO LA HOSPITAL YA WLAYA KARATU NA KUSIKILIZA KERO

  Рет қаралды 20,837

JAMBO TV

JAMBO TV

Ай бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 31
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Ай бұрын
Kama vile Arusha Haikuwahi Kujulikana sana kama sasa!😂😂MAKONDA WA Waaa waaaaah!❤
@jacksonvalerian
@jacksonvalerian 23 күн бұрын
Makonda mungu akupe nguvu unapiga kazi sana
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Wakuu wa mikoa wote igeni mfano huu jamani kwa makonda msaidieni Rais Samia kazi mengine hayajui nyinyi viongozi Ndiy wa kumsaidia Rais Samia. Hongera sana Mh Makonda kazi nzuri Mungu akusimamie
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw Ай бұрын
Hii arusha nilikua nasikia kwa waty kuwawa tu Lakini sasa mashall ah ❤❤❤❤
@alexpuwale9653
@alexpuwale9653 Ай бұрын
Hii Nchi ina madudu mengi sana,ubinadamu umeisha sana,sijui kwanin watu tumekuwa katili sana Mpaka viongozi wafike wafike hivi ni nini???
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 27 күн бұрын
Duh..! Makonda Barikiwa sana
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 Ай бұрын
Makonda kazi nzuri
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 29 күн бұрын
Shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe, maneno ya mwenda zake raise Moi. Yaani mwafrika mwenzako amesomeshwa na kodi unayolipa anakuwa daktari halafu anakuwa ndiyo anakuwa shinda kwa wanaichi. Roho ya utu ulienda wapi
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 Ай бұрын
Mama Samia laisi wetu mungu alikuongoza kumuona makonda asante
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 27 күн бұрын
Kwa nnavyo wajua Wanasiasa Basi watamfiini MAKONDA hadi basi
@AgathaSahani
@AgathaSahani Ай бұрын
Ngoja niende mazingira bora nikamsikilize my brother ......
@barakamtotothomas4657
@barakamtotothomas4657 Ай бұрын
Kweli makonda hama ulaya ya simanjiro
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Ай бұрын
Kwa matatizo na kero kama hizi kweli watu weusi tunamatatizo sana sasa mtu ukija saa moja kumuona mgonjwa shida iko wapi? Mambo mengine hayana mashiko kabisa
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x Ай бұрын
Haipendezi madaktari kuwa hivyo ni aibu sana
@juliasmolellmolell4815
@juliasmolellmolell4815 Ай бұрын
Arusha bana hospital hamunaga dawa
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Ай бұрын
Mike zenu muwe mnaweka karibu na Makonda tumsikie vizuri ndo tunataka kumsikia
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 29 күн бұрын
Safi makonda
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 29 күн бұрын
Bro kazi ya kupeana chakula ni kwa nasi.
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui Ай бұрын
Dawa mahospitalini hakuna.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Ай бұрын
Ijengwe hospitali nyingine Endabash au karibu
@marcobulili4341
@marcobulili4341 Ай бұрын
Kazi ya kulisha wagonjwa ni ya wauguzi ndugu wanachangua kuleta chakula. Iwapo ndugu wamechelewa, muuguzi anasimama badala yake
@maharagendondo
@maharagendondo 28 күн бұрын
HONGERA, SS MASIKINI DAWA TUNANUNUA INCHI ZIMA
@theresiacostantine132
@theresiacostantine132 24 күн бұрын
Hakika rais wa Arusha fanya kazi mioyo ya watu itulie
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 28 күн бұрын
Umeme unaakosaje ?
@JoramJoseph-im6qb
@JoramJoseph-im6qb 28 күн бұрын
Tunahitaji rais kama makonda
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw Ай бұрын
Camera zimuoneshe makonda tu 😂😂😂😂
@irenembise541
@irenembise541 Ай бұрын
😄😄
@sangaweoswald6258
@sangaweoswald6258 Ай бұрын
KAZI YA DAKITARI ISIINGILIWE KABISA
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn Ай бұрын
🙄🙄🤔🤔🤔
@abdulshabani6663
@abdulshabani6663 29 күн бұрын
Makonda kipi kaingilia hapo? Yeye amesikiliza kero na ametoa ushauri wewe ndio hujui kitu kabisaaa kaa kimya
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc 29 күн бұрын
Kwanini asingilie
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 45 МЛН
ТАМАЕВ vs ВЕНГАЛБИ. ФИНАЛЬНАЯ ГОНКА! BMW M5 против CLS
47:36
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 4 МЛН
Waziri mkuu achafukwa mauaji ya mtoto mwenye Ualbino, atoa maagizo mazito
30:02
MAKONDA ALIVYOIBUA MADUDU MRADI WA ZAHANATI LEREMETA LONGIDO
36:38