MAKONDA AKATAA MAELEZO YA WAZIRI UMMY KWENYE SIMU "MIMI HUO UTARATIBU SIUJUI, NATAKA X RAY CHATO"

  Рет қаралды 155,597

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MAKONDA AKATAA MAELEZO YA WAZIRI UMMY KWENYE SIMU "MIMI HUO UTARATIBU SIUJUI, NATAKA X RAY CHATO"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 224
@RichardDaud-c6i
@RichardDaud-c6i 11 ай бұрын
Jamaa washa juaga wanaongoza maiti zinazo tembea wanabadili sizoni tu Shikamooo Tanzania
@JosephMilinga-nl4zh
@JosephMilinga-nl4zh 11 ай бұрын
Nikikukamata nitakupiga😂😂
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 11 ай бұрын
Mungu akubaliki makonda wengi watakuchukia lakini Mungu akuinue sana
@eliudkapinga9799
@eliudkapinga9799 10 ай бұрын
Mnashangilia mtu anavunja sheria za kiuongozi na kiutawala akimaliza hilo atafamya LA kuwaumiza
@ludovickanthony3156
@ludovickanthony3156 11 ай бұрын
Mungu amrehemu magu, pacha wakekaridi big up Mh, Makonda uko vizuri
@sebastiankatalle2732
@sebastiankatalle2732 11 ай бұрын
Nashukuru sana mungu kunipa elimu najielewa sana
@gulalakitinya7615
@gulalakitinya7615 11 ай бұрын
Sanaa za huyu mwehu pamoja na ccm itawamaliza watanzania.
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 11 ай бұрын
Fikra mbovu
@ezraochora8495
@ezraochora8495 11 ай бұрын
Makonda.hayo.maswali.yanaulizwa.bungeni.kilasiku.na.majibu.nihayohayo.makonda.acha.sanaa
@hamishassan6784
@hamishassan6784 10 ай бұрын
Nampenda sana Mama samia na timu yake kuthamini mchango wako katika Taifa hili na kukuamini tena Hakika watanzania wengi Tunaimaninawe sana tena sana, Madhaifu kwa mwanadamu huwa hayakosekani lakini sio ya kukudhofisha dhamira njema mtu alo nayo huwa nakuombea sana Makonda kabla Sasa na hata Baadae. Mungu akuongoze
@fakhichapozoyusuph295
@fakhichapozoyusuph295 11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mnoo
@justinpeter5172
@justinpeter5172 11 ай бұрын
Mweneziiiiiiii
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 11 ай бұрын
Makonda ww nijembe la magufuri 🙏🙏🙏🙏😭😭
@angelambondelo2836
@angelambondelo2836 11 ай бұрын
Izo ni vampeni nyinyi wwanajuwana wote hao
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 11 ай бұрын
@@angelambondelo2836 mtazamo unaweza ukawa uko sahihi tunacho angalia watu wanatatuliwa kazi zao kama wanatatuliwa hakuna shaka
@ochubrand
@ochubrand 11 ай бұрын
Makondaaa anamsafisha mama😂😂😂 Ccm Akili Nyingi Sana Aya Ngoja Tuone
@ericksonmuhulo1570
@ericksonmuhulo1570 11 ай бұрын
😂😂😂 watu wangekuwa wanajua daaah
@oyay2821
@oyay2821 11 ай бұрын
Yatakuja warudia hivi punde
@sponsor7882
@sponsor7882 11 ай бұрын
true
@mashakalonka7767
@mashakalonka7767 11 ай бұрын
Makonda congratulations 👏👏 to you,Chama kinahitaji wasemaji wa aina yako,wanaoweza kusimamia na kumhoji mtoto wao(serikali)na kukumbushwa majukumu yake,bravo bravo Makonda, Kwa mbaali ni kama namwona JPM ndani yako Paul Makonda!.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 11 ай бұрын
Mwenye macho haambiwi tizama. Hapa kuna jambo limejificha.
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 11 ай бұрын
Halituhusu hilo jambo
@dikakimishawasumbwahalisit7596
@dikakimishawasumbwahalisit7596 11 ай бұрын
​@@stellamsokwa67852025 utaelewa inakuhusu au la hakuna kitu ninachokichukia katika Manisha yangu kama siasa utapeli wa akili yaani mtu anasomea kuchezea akili za watu
@goodluckswai7496
@goodluckswai7496 11 ай бұрын
Hiyo ni sanaa ya siasa akuna jipya
@Muda27
@Muda27 11 ай бұрын
Unatakaje bro ?
@Jitu_Lisilofikirika.
@Jitu_Lisilofikirika. 8 ай бұрын
Maigizo hayo
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl 11 ай бұрын
Uko vizuri kaka kama magu vile
@sofiaamosi
@sofiaamosi 10 ай бұрын
Mungu akulinde baba wa taifa magu wa pili
@JoyceSarufu
@JoyceSarufu 7 ай бұрын
Kumbe umeona eeeeh
@mohammedimpeme
@mohammedimpeme 11 ай бұрын
Good performance makonda under Samia SULUU
@charlesmanga7362
@charlesmanga7362 11 ай бұрын
Hongera sana kk.........
@AminielMbise-cl3fq
@AminielMbise-cl3fq 10 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda ni mzuri lakini ajitahidi kuwa na lugha nzuri ya kiongozi. Apelekwe chuo cha uongozi ili afanye vizuri zaidi.
@grobwairo791
@grobwairo791 10 ай бұрын
Anaropoka Sana Hana break kwa wenzie😂
@eliyanorobeth8567
@eliyanorobeth8567 11 ай бұрын
Hiii move nimeipenda
@RichardMluma-oe2vs
@RichardMluma-oe2vs 9 ай бұрын
Atawavuga sana makonda
@aminamkumba3549
@aminamkumba3549 11 ай бұрын
Mr misifa, Hongera lakini
@khadijashaban3218
@khadijashaban3218 11 ай бұрын
mmmh
@justinbosco8151
@justinbosco8151 10 ай бұрын
Hingera sana kwa kazi zuli unayo fanya makoda tunakuomba kingoma viongozi hujifanya miungu watu umbanguzi wa wanaichi wa kingoma kuonekana silaia niuongozi tunaomba uje utuulizie viongozi wetu sisi wanaichi wa kigoma tunazabingani kuambiwa naviongozi sisi siraia
@noelahmartine6625
@noelahmartine6625 11 ай бұрын
Daaaah😭😭
@nancymakenya917
@nancymakenya917 9 ай бұрын
Makonda sina cha kukula ila na wewe kama sio siasa basi big up
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 11 ай бұрын
Makonda kweli kama siyo mnatuegitia kazi nzuri
@fikiriniabiyudi3552
@fikiriniabiyudi3552 11 ай бұрын
Fumbo mfumbie mjinga. Haya ni maigizo na trick ya kutafuta kura wanamtumia huyo. Wameshapangana hakuna lolote
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 11 ай бұрын
Macho yako yanaona mbali
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 11 ай бұрын
Wana akili sana viini macho hivi wakishapata kura tutafurahi na roho zetu
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 11 ай бұрын
Na washangaa hawa wapuuz wanaomsifia huyu jamaa 😢
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 11 ай бұрын
Bajeti ilishapita 😂watawadanganya maboya amna kitu
@joezeno8
@joezeno8 11 ай бұрын
@@ibrahimkibira9943Makonda ni Jembe
@davidmakundi531
@davidmakundi531 11 ай бұрын
Hapo katibu mkuu angekua Pole Pole hii combination ingekua nomà sana
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 11 ай бұрын
Ze Jembe at Work🎉🎉
@judyngowi391
@judyngowi391 11 ай бұрын
Yetu macho, nisijenikaongea hapa sina hela ya kumlipa wakili
@Zuberimaruma
@Zuberimaruma 11 ай бұрын
Hakika wenye Akili tunajua kinachoendelea
@johngibson3089
@johngibson3089 11 ай бұрын
Nakubaliana nanyi. Lakini huyu mtu ni katibu mkuu au ndio uenezi wenyewe?
@judyngowi391
@judyngowi391 11 ай бұрын
Ndio anaeneza hapo
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 11 ай бұрын
@@johngibson3089 Hahahaha,,,,hakuna uenezi kama huo
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 11 ай бұрын
JAMAA WAJANJA SANA WANAJUA KUTAFUTA KURA ZA WAPUMBAVU 😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 11 ай бұрын
Fikra mbovu
@angelambondelo2836
@angelambondelo2836 11 ай бұрын
Kabisa unachoongea
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 11 ай бұрын
saaaaaana
@yakoboilomo5566
@yakoboilomo5566 11 ай бұрын
Kweli kabisa wanacheza na akili za wajinga wengi
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 11 ай бұрын
Saaana
@fidemgonja1966
@fidemgonja1966 11 ай бұрын
Tumetenga tutatenga tutafanya fakofi tafadhali 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@IBRAHIMALIMWAFUJO
@IBRAHIMALIMWAFUJO 11 ай бұрын
Wabongo mnachekesha yan waziri anaongeleshwa km mtoto utadhani makonda n raisi
@leahngerageza
@leahngerageza 11 ай бұрын
Hii inadhalilisha. Sio sahihi!
@magwinahimself7316
@magwinahimself7316 11 ай бұрын
Unajua kazi ya mwenezi Waziri yupo chama gani? Kadhalilishwa kuuliziwa X Ray wabongo wengi akili kisoda
@seahnchimani4711
@seahnchimani4711 11 ай бұрын
Makonda ni boss wa mawaziri wote mzee acha kukariri eti kadhalilishwa waziri anatoka na chama tawala ambacho ni ccm huyu ni mwenezi na yule ni waziri alietokana na chama hata sasa hivi chama kikimkataa hawezi kuwa mbunge wala waziri
@zanzibarkwanzaola2862
@zanzibarkwanzaola2862 10 ай бұрын
Separation of power
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 11 ай бұрын
Godbless tzd
@elianzenge9500
@elianzenge9500 11 ай бұрын
Yan jamaa ananikumbusha magufuli daah😭😭
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 11 ай бұрын
Nampenda anavo jamn
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 11 ай бұрын
Kauli hapa ilikuwa ya chini na kiurafiki kwa maswali yake -Umy safi
@MCD_Tv_ce7ig
@MCD_Tv_ce7ig 11 ай бұрын
Gd
@rashidyusuph2645
@rashidyusuph2645 10 ай бұрын
Kama kuna aina fulani ya maigizo hivi m/mungu tusimamie iwe kweli inshallah 😅
@NoelaMushi-r6y
@NoelaMushi-r6y 10 ай бұрын
Chama cha Maig au basi😂😂😂
@joachimlorri2484
@joachimlorri2484 10 ай бұрын
😮😮
@Werema3760
@Werema3760 11 ай бұрын
Maigizo. Time will tell. Mungu yupo kazini. Makonda ni mzuri lakin kawa chambo tu chin ya misingi mibovu
@julianmsele3880
@julianmsele3880 11 ай бұрын
hii nchi ndo inataka watu watu wa aina hii watu wawajibishwe laivu
@josephdogani3419
@josephdogani3419 10 ай бұрын
Hembu ndg jaribu kidogo kutumia akili yabkuzaliwa,makonda no katibu mwenezi,mamlKa ya kuwapigia simi mawaziri na watendaji wa wizara kayapata wapi? Je hayo ncio majukumu ya mwenezi? Unawezaje kumwajibisha kumpa maelekezo mtu ambaye hikumteua na kimpA majukumu? Maelekezo ya chama yanatolewa mabarabarani ? Inamaana hayo maelekezo salina umi hawayajui ila mskonda anayajua kwa hiyo hawa watendaji wa serikali baada ya mskonda kuchzguliwa inabidi sasa waache maelekezo ya zamani wafuate maelekezo mspya? HV huh upumbzv utaendeleabmpaka lin? HV hawa watu wataendelea kutuona hamnazo mpaks lini
@ngoshawaboma6180
@ngoshawaboma6180 11 ай бұрын
maigizo tu ayooo uhalisia amnaa apooi
@octavianbujiku7853
@octavianbujiku7853 11 ай бұрын
Mh,makonda MUNGU akubariki na akujarie afya njema hakika umeongeza chachu ktk chama chetu CCM. Ubarikiwe sana wewe na aliye thubutu kukupa nafasihii ana upeo mkubwa saaaaana.mungu apewesifa.
@williamsunday-yg2bz
@williamsunday-yg2bz 11 ай бұрын
Mwenezi.....😂😂😂
@zanzibarkwanzaola2862
@zanzibarkwanzaola2862 10 ай бұрын
Symbol natioal constitution Judiciary Palime Legislture
@iamdjgunz1414
@iamdjgunz1414 11 ай бұрын
Whaaat a comeback mamaeh🙌😂😂😂.. Hapa badooo
@flova7022
@flova7022 11 ай бұрын
Mngefanya hayo kupunguza gharama ya bidhaa mngekuaa safi
@fahadkhamis1562
@fahadkhamis1562 11 ай бұрын
Magufuli kazaliwa tena ❤
@flova7022
@flova7022 11 ай бұрын
Dar to Lagos by Steve kanumba director mtitu😂😂😂😂😂
@erickjastine1439
@erickjastine1439 11 ай бұрын
Few will understand you 😅
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 10 ай бұрын
Siasa ni mchezo mchafu sana. Kama hujitambui unaweza ukaingia mkenge mzima mzima
@vamitv873
@vamitv873 11 ай бұрын
Tanzania tunawajinga wengi sana sasa mnashangilia Nini.?
@flova7022
@flova7022 11 ай бұрын
Wapumbavu wengiiii xn
@abasmwika3432
@abasmwika3432 11 ай бұрын
Nchi hii Mungu atuhurumie tu maana kuna viazi wakutosha
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 11 ай бұрын
Ukiwemo wewe mjinga kwani we mzimbambwe😏,tofauti yetu ni sisi tumeshangalia we hujashangilia, 😏utafikili ukipewa nchi utaweza basi kuendesha kama unavyokosoa wengine 😏
@GiftMadaraka
@GiftMadaraka 10 ай бұрын
Watumishi walikuwa wamejisahau heshima iliyokuwa imeachwa na mheshimiwa jonh ilitoweka ilejeshe maskini nae asaminike
@jumamathias8903
@jumamathias8903 10 ай бұрын
Uchaguzi umekaribia aisee ..
@ngamanyajoshua839
@ngamanyajoshua839 11 ай бұрын
Ukute ile nchi ya Cuba ina Mawaziri wakuu 3 halafu wananchi wake hawajui
@zanzibarkwanzaola2862
@zanzibarkwanzaola2862 10 ай бұрын
Haiwezekani waziri kuhoji ovyo Palement ndo lenye haki lakujadili matatizo
@mwl.frankmadembo7472
@mwl.frankmadembo7472 11 ай бұрын
Muda utasema
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 11 ай бұрын
Exactly!!
@antonychristian1369
@antonychristian1369 11 ай бұрын
Yaani kiongozi wa chama anamuamuru kiongozi wa serikari. Hakuna mipaka Kati ya chama na serikari
@Satier47
@Satier47 11 ай бұрын
😮😊 kura hizo
@billgussy6099
@billgussy6099 10 ай бұрын
Kwa jinsi makonda anavyo dhalilisha mawaziri ni wazi wananchi wanapata ujumbe kuwa serikali ya mama Samia ni ya mafisadi na wapiga dili nadhani hii ni faida kubwa kwa wapinzani kuekea 2025. Upinzani unapaswa kufurahi maana jamaa anafanya kazi yao ya kuivua serikali nguo tena kwa ufanisi mkubwa.
@mausonmlondwa1745
@mausonmlondwa1745 11 ай бұрын
Hapo unaona kabisa odds ya 20 inatick alo kasoma quba ataelewa nini namaanisha
@AminielMbise-cl3fq
@AminielMbise-cl3fq 10 ай бұрын
Kwa namna hii taifa litakosa muelekeo. Viongozi wastaafu wapewe heshima zao
@martinlema7328
@martinlema7328 10 ай бұрын
Si vibaya kujifunza, JITAHIDI UONGEZE ELIMU YA HEKIMA.
@ObeckSimkwai-gh2rn
@ObeckSimkwai-gh2rn 10 ай бұрын
Makonda na Ummy ni watani sana hahahaha
@samwa9496
@samwa9496 11 ай бұрын
Mmmh pesa ingekuwa rahisi ivyo tungekuwa mbali
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 ай бұрын
Kumrudisha Ummy kakosea angemuacha Gwajima tu hapo hamna kitu siyo mfuatiliaji Mahospitalini kuangalia kero za wananchi wanapokwenda Mahospitalini
@zanzibarkwanzaola2862
@zanzibarkwanzaola2862 10 ай бұрын
Sina digirii wala diplama lakini najua nguvu za katiba na bunge Siokiongozi wa siasa
@Paplick9
@Paplick9 11 ай бұрын
Wanafki hawaishi duniani
@dostovan5142
@dostovan5142 11 ай бұрын
Bongo movies party 1,spelling zimekosewa makusudi kusistiza uhalisia
@MartinMorisDuyaDuya
@MartinMorisDuyaDuya 10 ай бұрын
Makonda umekuja naupepo wa sunami Mimi mpizani lkn ww nijembe kuliko maelezo
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 11 ай бұрын
Kauli zako Makonda, kauli zako jilinde ongea kma kiongozi bora, usiongee kibabe japo kuwa unafanya kazi vizur ila ulimi usiteleze sana hao hao viongozi ama mawazir wanaweza wakakuzunguka
@josephmasenga3517
@josephmasenga3517 11 ай бұрын
Kweli. Hizo ni kauli za kuelekea uchaguzi mkuu. Baada ya hapo hamna kitu.
@EvaKiswaga-j2o
@EvaKiswaga-j2o 9 ай бұрын
Inaonesha kabisa ni usanii. Mnatuona watanzania mabwege Fulani!
@erickmuli1030
@erickmuli1030 11 ай бұрын
Hii ndiyo bongo eakipiga na wew piga hakuna cha kusubir hiz zote n jot na mpoki.
@chibudenga8977
@chibudenga8977 11 ай бұрын
Bongo movie 😂😂
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 11 ай бұрын
Tuwe na Imani tuone kwa hayo walioyasema tuwape muda kama hawajafanya tutakutana kwenye Box lakini tuwape muda na tusikejeli tuwe na Imani kama wanavyoahidi watafanya chini ya Serikali ya Mama na Chama Tawala ila waache wizi tu kwa kweli inakatisha tamaa kwa wizi
@rucaserasto8154
@rucaserasto8154 11 ай бұрын
mutawadangaya makanjanja mana tushazoea maneno yenu
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 11 ай бұрын
Vina mda basi😂😂😂😂😂 makonda anataka kumtawala kila mt2😅😅😅😅
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 11 ай бұрын
Ulitaka afanyaje
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 11 ай бұрын
Akili za watu bhana
@sefuehango5231
@sefuehango5231 11 ай бұрын
Ndiyo kazi aliyopewa mbona hawapingi?
@suleimansuleiman2436
@suleimansuleiman2436 11 ай бұрын
Yaleyale
@nancylaizer9281
@nancylaizer9281 11 ай бұрын
Ila kiukweli nilikuwa nampenda polepole hatari
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 ай бұрын
huyu akijaga kuwa President atakuwa hataki mchezo..Magufuli paste
@francissgodlove
@francissgodlove 11 ай бұрын
Comedy tym
@zanzibarkwanzaola2862
@zanzibarkwanzaola2862 10 ай бұрын
Kwanza chombo cha dola kiachiwe na mkondowake
@HajiHija-x2d
@HajiHija-x2d 11 ай бұрын
Sasa nyinyi mnataka nn ? Mtu akitekeleza majukumu yake mnamponda mnasema ataka sifa sasa hizi changamoto nendeni nyinyi bas mkatatuwe , wapuuzi kabisa, mwacheni achangamshe taifa banaaa.
@veronicabwamukuru1265
@veronicabwamukuru1265 11 ай бұрын
Tena hatujitambui kabisa tumezoea mwenye nacho tumsujudie, dar ilikua safi enzi zake nenda Sasa ivi utafikiri mji mzima ni dampo la taka taka.
@AbelMwanshinga
@AbelMwanshinga 11 ай бұрын
Bongo movie mliosomea acheni kutufanya watanzania mazuzu
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 11 ай бұрын
Siasa ni utapeli wa hali ya juu😂😂😂
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 11 ай бұрын
NAONA SASAHIV RAIA MPO UPANDE WA BASHITE....SAW BHN
@zanzibarkwanzaola2862
@zanzibarkwanzaola2862 10 ай бұрын
Police kuhojiwa nikiongozi wa chama si sheria
@mirajintandu9787
@mirajintandu9787 10 ай бұрын
Huu ujinga utaisha lini? Wtz tunapumbazwa sana kila kukicha.. watu wanajuana alafu wanajifanya kupigiana cm
@adammtimali4071
@adammtimali4071 11 ай бұрын
Nadhani ni maelekezo ya kutuhadaa inawezekanaje Katibu mwenezi amkoromee waziri hapana
@MapeKhamis
@MapeKhamis 11 ай бұрын
Naomba kuuliza cheo chake kikubwa kupita mawazir hao?
@benedictkipkemoi-kd5tg
@benedictkipkemoi-kd5tg 11 ай бұрын
Maigizo
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 8 ай бұрын
Toa hela wanunue mpya usituzuge
@kajentanmjeuri104
@kajentanmjeuri104 11 ай бұрын
Tuliolipiwa ada na wazazi wetu tukae wapi.
@jacksonlucas9322
@jacksonlucas9322 11 ай бұрын
Hapa CCM wamecheza maana siasa Ni karata nahisi wako sawa.
@nesielias9493
@nesielias9493 11 ай бұрын
😏😏😏
@EntrancerCharles
@EntrancerCharles 10 ай бұрын
Huyu mwamba siku akija kuwa Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania hii nchi ita pelekwa mchaka mchaka
@mauleenkiwia6022
@mauleenkiwia6022 11 ай бұрын
Siku zote sikuwahi kujua kazi ya katibu nwenezi WA chama kumbe kazi yake ndio hii basi hapo Iko kazi duh
@Chileysol
@Chileysol 11 ай бұрын
Kumbe chama kina nguvu hivi😅😅
@RichardMluma-oe2vs
@RichardMluma-oe2vs 9 ай бұрын
Hajelewi
@kulwastima3993
@kulwastima3993 11 ай бұрын
Unavyopenda sifa wamekuweza aisee
@sponsor7882
@sponsor7882 11 ай бұрын
watanzania mnachezewa akili tu
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 6 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 25 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,9 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
The Chanzo
Рет қаралды 103 М.
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 25 МЛН