"UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....

  Рет қаралды 320,341

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

"UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 638
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@deodatusbasheka2699
@deodatusbasheka2699 2 ай бұрын
Kwa Ta Mali Ta Rutara .
@DORCUSSAZIA
@DORCUSSAZIA 2 ай бұрын
Timu Makonda like zifike 500 hapa
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 2 ай бұрын
Kusikiliza bunge na makonda Bora kumsikiliza makonda
@user-kz1rx3rk1b
@user-kz1rx3rk1b 2 ай бұрын
Uhakika yaani umesema kweli
@user-lv1ki7nn7t
@user-lv1ki7nn7t 2 ай бұрын
😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉.sahihi kabisa uyu jamaa ata wamfiche wapi anajua tu tofauti na vibwengo wengine wa ccm
@paulsibu5770
@paulsibu5770 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa Mungu amlinde huyu Mkuu wa Mkoa
@paulntalima6998
@paulntalima6998 2 ай бұрын
Umesema kweri kabsa
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 ай бұрын
Bira5Makonda na ALL HAPI
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 2 ай бұрын
Ukitaka kuangalia mabaya ya mtu hakika hutapenda mazuri yake! So mazuri ya Makonda yanazika yale mabaya ambayo hua wanayasema kwake. Team Makonda mpaka fainali kombe la dunia 🎉🎉
@albertmbise2670
@albertmbise2670 2 ай бұрын
Ila ile ya kudhurumu haki ya kuishi watu hyo haiwezi futika
@DanfordSimon
@DanfordSimon 2 ай бұрын
Woyooooooo mwamba uyu Apa
@J_Pabloescobar0806
@J_Pabloescobar0806 2 ай бұрын
🎉❤makonda jeshi🫡
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 2 ай бұрын
Watanzania tujitambue watu Kama makonda ni wachache,na Kuna watu pia hawapendi uchapaji kazi wa makonda. Leo sisi wote hatuujari kumaliza bandle juu ya kuangalia maana ni utatuzi wa kelo Ila ukisema naangalia hii ya mwisho inakuja nyingine Tena inahudhunisha zaid ya Ile . Tuombe uzima mungu baba amjalie afya mengi yatakwisha.
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 ай бұрын
​@@albertmbise2670huwezi ridhisha kila mtu na hakuna alie kamili sasa soma vizuri then ujibu
@chandekaamiri3153
@chandekaamiri3153 Ай бұрын
Kweli kuliko kusikiliza bunge linalojadili maroboti bora umsikilize makonda team makonda tunaomba like
@ChrisNini-ot3bl
@ChrisNini-ot3bl Ай бұрын
Kabsa😊
@BoisDonkoil-rk8lr
@BoisDonkoil-rk8lr Ай бұрын
Asante
@deniskimune5232
@deniskimune5232 2 ай бұрын
ongera, sana mr makonda, hii nchi inahiyaji people kama wewe..Mungu akulinde
@petroyohana1126
@petroyohana1126 2 ай бұрын
Naunga mkono hoja, ni bora kusikiliza makonda kuliko kusikiliza Bunge la Tanzania
@ChegeMsemakweli-cv4qb
@ChegeMsemakweli-cv4qb 2 ай бұрын
Aise umeongea point sana ndugu
@asunigohagi5177
@asunigohagi5177 2 ай бұрын
Bora makonda
@isayashayo4777
@isayashayo4777 2 ай бұрын
Na leo Kuna mgeni alikua nje ya bunge anaitwa mdoli bora nimpongeze Raisi kwa kutuletea makonda arusha
@DM.2200
@DM.2200 2 ай бұрын
Bungen kuna futuhi na ze comed sa iv 😂😂
@mohamedkindem843
@mohamedkindem843 2 ай бұрын
Good
@ombendaud5938
@ombendaud5938 2 ай бұрын
Makonda Mungu akupe maisha marefu kumbe Mungu bado anawatuwake ambao wanapande haki
@PacohMedia
@PacohMedia 2 ай бұрын
Gonga like kwa Makonda wakeee.....
@davidkimani4391
@davidkimani4391 2 ай бұрын
Chapa kazi makonda..viva viva
@samirshabani-yu4xu
@samirshabani-yu4xu 2 ай бұрын
Jigongee mwenyewe kwani hauna vidole
@user-xi9qn1yk2s
@user-xi9qn1yk2s 2 ай бұрын
Inapendeza
@theresiajames994
@theresiajames994 Ай бұрын
Mungu mwepushe Makonda na kilalilo baya endelea kumpa Afya njema azidi kuwasaidia Wa Tz Hongera tena Baba unafaaaa. Kuwa Rais baada ya mama yetu Samia
@PendoPatrick-eo5ej
@PendoPatrick-eo5ej 2 ай бұрын
Ukipata kiongozi mwenyewe hofu ya mungu ni raha sana hongera mh makonda na mungu azidi kukuongoza Tz tunakuamini sana❤️
@user-tm3dx2ey7j
@user-tm3dx2ey7j 2 ай бұрын
Mama Samia Kwa uteuzi wa makonda mungu amekuongoza Arusha wanabahati kumpata
@user-fo9cn6kx1s
@user-fo9cn6kx1s 2 ай бұрын
Mungu baba tunakuomba Mlinde kiongozi wetu paul makonda,,,
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 2 ай бұрын
Bora kusikiliza MAKONDA siyo bunge
@SaraMbuya-hr2nj
@SaraMbuya-hr2nj 2 ай бұрын
😂😂kabisaaaa
@TusanieIkonyole
@TusanieIkonyole 2 ай бұрын
Yaani akili yako ni kama yangu namkumbuka JPM
@bogate156
@bogate156 Ай бұрын
Kuna Bunge lenye picha za Wabunge....
@edwinmanji74
@edwinmanji74 2 ай бұрын
Arusha Mmebarikiwa sana kumpata huyu Jamaa mtumieni vizuri na kumpa ushirikiano ni kiongozi wa pekee sana ambaye yupo tayari kuthubutu hata kuutoa uhai wake kwa kutetea wanyonge
@khalifmohamed7303
@khalifmohamed7303 2 ай бұрын
I really enjoy how the region commissioner of Arusha Tanzania is dealing with domestic issues bonkezi bwana mkuu, I also congratulate the president suluhu Hassan to have such a competent provincial commisser, I wish we Kenyans learn from this
@shavasjohnkay-cw8lg
@shavasjohnkay-cw8lg 2 ай бұрын
Tatizo sio kwa mwanasheria liko Kwa walochelewesha kujibu barua, mwanasheria ametekeleza wajibu wake. Lakini pia hapewi nafasi ya kujieleza
@edmundmmuniedmund1623
@edmundmmuniedmund1623 Ай бұрын
truth.. ukimsikiliza vizuri mwanasheria ingawa hapewi mda wa kutosha kujieleza, tatizo la msingi lipo kwenye utaratibu wa ukataji huo wa rufaa, wala sio Mwanasheria..
@NEEMAJOHN-r7j
@NEEMAJOHN-r7j 22 күн бұрын
mwanashelia angepewa nafasi basi naye anayo yalio msibu ndipo tuone kama hafai
@neemareuben311
@neemareuben311 2 ай бұрын
Kuogo au kumskiliza makonda .....kwa mm bora nimskilize makondaaaaaaaa❤❤❤❤
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 2 ай бұрын
Mh Makonda, Mh Jerry Silaa, Mh Anthony Mtaka na wengine kama hawa, mara nyingi wako field, wanashuka kwa wananchi na kutatua kero za wananchi haswa wa chini, imekaa vyema kama kiongozi kiwasukiriza na kutatua kero za wananchi
@beatrice4780
@beatrice4780 2 ай бұрын
Naam. Hii ni orodha ya Matumaini kwa CCM, na ndiyo ingetakiwa kusaidia kumshauri Mhe. Rais masuala ya siasa, maendeleo ya nchi na wananchi pamoja na siasa ya uchumi.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 2 ай бұрын
Siyo kila mkuu wa mkoa anaweza kufanya kama makonda.makonda anavitu vingi sana,anajua sheria,anaakil kubwa,anahofu ya mungu,hamwogopi mtu,anajiamini,hanarushwa,hababaishwi na mtu au kitu.anajua anacho kifanya,anajua cheo chake na mamlaka na zaidi.
@banguha
@banguha 2 ай бұрын
Mungu akiwa upande wake hakuna aliye juu yake
@egonemmanuelkudaba4945
@egonemmanuelkudaba4945 2 ай бұрын
Makonda anatambua majukumu yake wengine wanawaza rushwa so kuiona haki ya mtu ni ngumu
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 2 ай бұрын
@@egonemmanuelkudaba4945 nikwel
@chriseskibet718
@chriseskibet718 2 ай бұрын
Kwa kweli mungu ni mkubwa sana,baada ya mwalimu Nyerere,sokoine na Dr magufuli wote kuondoka sasa mungu ameleta marejesho ndani ya taifa la Tanzania.... mungu akulinde ndugu makonda RC Arusha.
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 ай бұрын
Jamaa anendesha Kwa mabadiliko ya wakati uwazi na ukweli Moja ya misingi ya utawala bora
@DaudKoroso
@DaudKoroso Ай бұрын
Vizuri kabisa. Gonganisha magari boss tuone ajali
@user-rn4ue9kg9d
@user-rn4ue9kg9d 2 ай бұрын
Kiukweli sisi binadamu tunafurahia sana mtu kupata matatizo😢
@dorotheamethod347
@dorotheamethod347 2 ай бұрын
Mungu Akubariki Sana Mhe. Nchi hii inahitaji watendaji kama wewe. Mungu Akubariki nasi atusaidie kuendelea kutumikia wananchi. Huwa natazana video zako namtukuza Mungu ❤
@SaedyAhmed
@SaedyAhmed 2 ай бұрын
Kwenye hii nchi TUNGEPATA MAKONDA 10 TU INGEKUA vizuri
@shalizybety9320
@shalizybety9320 2 ай бұрын
Yeye ndo mkuu wa mkoa kila kitu kiko chini yake... Yaan ndo raisi wa hapo... Hongera sana mkuuu
@ramadhanmussa1309
@ramadhanmussa1309 2 ай бұрын
Yeye Makonda ndiye Bos wa mkoa anashindwaje kukaa na hao watendaje wa halmashauli wote wapo chini yako unashindwaje kutafuta namna ya kulipa haya malipo yaliyo amĺiwa na mahakama.
@consesaphelician9266
@consesaphelician9266 2 ай бұрын
Dah Makonda Mungu akulinde Daima
@aaronswai3092
@aaronswai3092 2 ай бұрын
Mungu asaidie! Watumishi wa umma (Viongozi) wengi hawajiamini kabisa ma wana hofu kubwa wazungumzapo mbele ya Wanasiasa. Sijui shidani!
@ankotemba7369
@ankotemba7369 Ай бұрын
Apate tuu cheo cha mkuu wa wakuu wa mikoa wote😂😂😂😂❤❤
@mbaralifinest6235
@mbaralifinest6235 2 ай бұрын
Tunakuombea kwa mungu makonda mungu azidi kukulinda juu ya wabaya wote wasikufikie. Nipo mkoa wa mbeya wilaya mbarali ninakupenda sana kwa kazi unayo wafanyia wanyonge mungu atakulipia zaidi na zaidi
@deusmgema8612
@deusmgema8612 2 ай бұрын
Ahsante mh makonda hiki kinachoendelea Arusha kwa mtazamo wangu kinawaamusha wanasheria wote Halmashauri zote nchini kutimiza wajibu wake
@alfredmwamodo1508
@alfredmwamodo1508 2 ай бұрын
Sawa mzee mm niko kenya na ni mkenya lakini MUNGU akubariki sana. Kwa haki unayoitetea kwa wanyonge na wanoonewa ...
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k 2 ай бұрын
Yafaa ma Rc na ma Dc wengine wangemuiga makonda mambo yangenoga,kujifunza kwa mwengine haina ubaya.
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 2 ай бұрын
Hata Hayati JPM aliwahi kusema wakuu wa mikoa wengine wajifunze kwa Makonda
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 2 ай бұрын
Kwa roho zao mbaya hawawezi kumuiga huyu mwamba
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 2 ай бұрын
Mimi nimesha jifunza mengi kwa makonda.mimi ni kiongozi mdogo kwenye kikundi flani,nitatumia mtindo wa makonda kutatua.
@babuukimario6146
@babuukimario6146 2 ай бұрын
Hizo akili wanazo?
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 2 ай бұрын
Yawezekana mishahara ya wakuu wa mikoa wengine nimidogo
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 2 ай бұрын
Magufuri huyoooooooo 2030
@maswamills3161
@maswamills3161 2 ай бұрын
Pamenogaaaasss🎉!!!!
@aminashayo9263
@aminashayo9263 2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Paul Makondo huko Arusha ukifikisha mwaka mmoja utakua umezeeka, yani umechokaa mwili na roho mana kesi ya mtu mmoja tu ina songombingo za kutosha, ila tunakuombea endelea kumuwakilisha Mheshimiwa mama kipenzi cha wengi Samia bint Suluhu wa Hassan, pambana kitaeleweka na Bwana Yesu hatakuacha atakuatia nguvu, endelea kuwa karibu na Mungu maana mkoa kama huo bila Roho wa Mungu huwezi chochote,
@Avit_khan
@Avit_khan 2 ай бұрын
Wewe Samia hamna kitu hapo
@staralive9260
@staralive9260 2 ай бұрын
Katika Yesu hawezi kuzeeka hasa ukiwasaidia wananchi wa hali ya chini
@annamwalongo1554
@annamwalongo1554 2 ай бұрын
Ukiangalia vile mikoa mingine ilivyo na utulivu viongozi wanaonekana kweny picha hawaendi mitaani utasema Kuna usalama kumbe wananchi hawana pa kusemea...Na Mh Makonda akikanyaga tu mahali unasikia matukio ya ajabu yamekaa miaka bila utatuzi swali la kujiuliza waliokuwepo kabla walikuwa wanafanya nini?hawakuyaona hayo??MUNGU akulinde MH MAKONDA
@AsaDotcom
@AsaDotcom Ай бұрын
Day by day I starting to understand this guy how he does right things.
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 2 ай бұрын
Mungu mlinde Paul makonda
@juliusdonard933
@juliusdonard933 2 ай бұрын
Makonda akiitawara hii nchi , atafanana na jpm m namwombea mungu amupe uongoz na amlinde na wabaya
@yonnamgonde3044
@yonnamgonde3044 2 ай бұрын
Makonda unanipa Raha sana namuona magufuli yupo hai kwa kazi unayo ifanya Mzee
@TishaniUlanga-bj3nx
@TishaniUlanga-bj3nx 2 ай бұрын
Ivi viongozi wengine wanashindwa kujifunza kwa huyu kwamba??
@CathyMathias-bx4ft
@CathyMathias-bx4ft 2 ай бұрын
Mungu ni mwema kwakweli ccm nitaipenda sasa kwakweli viongoz wengi fisaidi hawatendi haki ,,, mungu ampe umri mrefu makonda ❤❤
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 2 ай бұрын
Akika makonda katika teuzi za mama ih ndo namba moja Asante mama
@leosoga8049
@leosoga8049 2 ай бұрын
May almighty God shower you with blessing Mr Makonda.
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 2 ай бұрын
Mimi viongozi wangu, (1) mama yangu mdogo samia suluhu hasani(2)zito kabwe(3)makonda(mkuu wa mkoa),jeli silaa (wazili) (4)Allyi hapi,❤❤❤❤❤
@GodfreySanga-fp3yi
@GodfreySanga-fp3yi 2 ай бұрын
Mtoe zitto ndugu
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 2 ай бұрын
@@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 2 ай бұрын
@@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 2 ай бұрын
Siko salama nikitoka hapa nisikilize ,nani kaona hilo bango like tujue
@jacklinemsechu221
@jacklinemsechu221 2 ай бұрын
Nmeona
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 2 ай бұрын
Good leader your blessed sir
@user-uw1fs5mj9l
@user-uw1fs5mj9l 2 ай бұрын
Namshauri mama samia avunje bunge ,lingine lianze la Makonda tuu,na wananchi
@barakaabel482
@barakaabel482 2 ай бұрын
Nimeona role ya Tanganyika Law Society katika kutetea Wananchi Wanyonge.....Congratulations pia kwako Makonda
@Globalpeace123
@Globalpeace123 2 ай бұрын
Yaani hawa wafanyakazi wa serikali ni majambazi sugu ni kwamba tu hawatumii bunduki wanaudhi sana na waniabisha nchi yetu nzuri ni majizi sana hawamwogopi hata Mungu Tunaomba wakutane na nguvu za Mungu wanawates sana wananchi
@GodfreySanga-fp3yi
@GodfreySanga-fp3yi 2 ай бұрын
Na huo ndio msiba mkubwa nchini Kuna kamoja kigoma pale halimashauri dogo hata hajui kujichamba hovyo sana anapenda rushwa kuliko kupenda wazazi wake we acha tu
@maswamills3161
@maswamills3161 2 ай бұрын
Kweli kabisa,Hapa kazi tu❤❤❤❤❤❤❤❤❤.
@maxmiliangunze8931
@maxmiliangunze8931 2 ай бұрын
Hawa ndio viongozi tunawataka nchi hii,,, lakin wanapigwa majungu balaaa Mungu tu anawasimamia
@reveliusmuchruza7952
@reveliusmuchruza7952 2 ай бұрын
Kesi ikiwa na personal interest inaharibika .
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
Mimi nalia na samia kukuondoa usemaji wa chama wangeyooka nchi mzima mabazirifu wa masikini 😂😂😂
@josephmasele9016
@josephmasele9016 2 ай бұрын
Ilibidi nikwaajili ya hili na hapo atahamishwa atapelekwa kwenye mikoa mingine yenye utata
@awadhally1052
@awadhally1052 2 ай бұрын
Kwel kabisaa
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 2 ай бұрын
Makonda Mungu wa mbinguni akulinde daima
@ezekielmwasenga4640
@ezekielmwasenga4640 2 ай бұрын
wWana Arusha mmepata bahati kumpata huyu jamaa,,Makonda M/Mungu azidi kukupandisha viwango vya juu
@VictoraloyceIsaya
@VictoraloyceIsaya 2 ай бұрын
Sheria inasema endapo utachelewa kukata rufaa nje ya mda utatoa sababu ya kwanin ulichelewa makonda jaribu kumsikiliza huyo mwanasheria wew haujui sheria
@abdulkarimubashiri4800
@abdulkarimubashiri4800 2 ай бұрын
Upo sahihi msomi naona hakupewa nafasi ya kutosha kujieleza
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 2 ай бұрын
thanks so much
@annamwalongo1554
@annamwalongo1554 2 ай бұрын
Wakuu wa mikoa yote na viongozi wa halmashauri nchini wangefanya kazi kama Mh Makonda tungekua mbali sana na viongozi wa juu wangekuwa na kazi nyepesi ktk utekelezaji wa majukumu.Mungu ibariki Tanzania!!!
@luganokitangalala1757
@luganokitangalala1757 2 ай бұрын
Siasa mbaya sanaa.. uyu dada anakuwa humiliated kwa sababu za kisiasa... Mwanasheria wa harmashauri hana locus mahakamani yeye anapeleka suala kwa Mwanasheria mkuu wa Serikali sasa yeye kosa lake nini?
@sandpardegera7246
@sandpardegera7246 2 ай бұрын
Ila kwa nn hajapenda kumsikiliza mwanasheria wa halmashauri
@yohanasport5929
@yohanasport5929 2 ай бұрын
Aeleweki ndomana hatumsikilizi mwanasheria
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 2 ай бұрын
Mungu Naomba Mlinde sn Paul Makonda,Ananifurahisha sn Kwa Utendaji wk wa Kazi,Mama Samia Mungu Amekuonyesha kuwa Paul Makonda ni Kiongozi Bora na Mcha Mungu.
@agnessslaa1897
@agnessslaa1897 2 ай бұрын
Arusha mambo ni🔥🔥🔥sahii msinishawishi kurudi huko😚
@JemaElia-np6yi
@JemaElia-np6yi 2 ай бұрын
mungu mjaalie afya njema makonda
@annavinkumbu1954
@annavinkumbu1954 2 ай бұрын
Dar kiongozi hii nchi jamani tungekuwa na viongozi wa namna hii Raisi asingekuwa na kazi kubwa endapo watenda kazi wake wangaekuwa kama hivi na chama chetu tawala CCM kingependwa na watu wote watu hawakichukii chama Bali wanachukiwa viongozi ambao hawajali Haki ndo wanaopelekea kukichukia chama hii ndivyo inavyohitajika Ili Haki ipatikane. Uonezi umezidi mno na UMUNGU MTU.
@lukasmaro4280
@lukasmaro4280 2 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu kutupatia Magufuli na badae kumchukua nakumrejesha mavumbini nakutuachia Mama Samia kiongozi Mkuu wa Tanzania Nakumuona Makonda anafaa kurudi kuwa kiongozi na Wazir Slaa Mungu mpe Mama Samia maisha marefu na asishauriwe vibaya juu ya Makonda na Slaa
@alfambeya5379
@alfambeya5379 2 ай бұрын
Sema makonda unafanya KAZI nzuri....lakini hapo hujampa huyo dada kumsikiliza vizuri maamuzi ya haki zaidi inabidi angesikilizwa hyo dada Hadi mwisho na sio kumkatisha katisha...japo watendaji wanazingua sana
@abdallahbashiru1152
@abdallahbashiru1152 2 ай бұрын
Mungu akulinde sana Makonda wakuu wa mikoa wengine wafunguke kutetea haki za wanyonge
@JanetAlex-yw2hc
@JanetAlex-yw2hc 2 ай бұрын
Napenda kusikiliza makonda kuliko mbunge
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 2 ай бұрын
Anagonganisha magari halafu tuangalie ajali iko wapi tunyooshe magari yaliyo pinda kazi iendelee safi sana makonda
@sallynakey_tz
@sallynakey_tz 2 ай бұрын
MAKONDA MUNGU AKUWEKE SANA DUNIANI
@antonmataba106
@antonmataba106 2 ай бұрын
Piga kazi kaka wapiganie wanyonge mungu atakulipa hakika
@misifaskills745
@misifaskills745 2 ай бұрын
Namuona mbali sana huyu Mh makonda ana mazuri mengi arusha hongereni kupata kiongozi mweny msimamo na maamzi hajali kuhusu kazi yake kuwa rehani anacho jali ni haki kutendeka bila kujali ni upande wa serkal au wananchi mradi tu kuna haki wapo viongozi wetu wengi serkalini hawawezi kuwa na maamzi na msimamo na ndo waliotufikisha hapa hata wananchi kuichukia serkali wapo kwa ajili ya kuwaonea wanachi wanyonge.
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 2 ай бұрын
Makonda wewe ni jembe la mama kanda ya KASKAZINI mama hajakosea kukupereka ubalikiwe sana Uinuliwe sana
@DanielPhilemon-pd6wg
@DanielPhilemon-pd6wg 2 ай бұрын
Daaahh. Mh DC hongela sana .. mim nakupongeza sana makuuu..
@YamunguMuha
@YamunguMuha 2 ай бұрын
RC
@ritamaro5444
@ritamaro5444 Ай бұрын
Mungu akubariki Mkuu
@jolitabukabengwe3070
@jolitabukabengwe3070 2 ай бұрын
Lema Bado unamashaka na mheshimiwa MAKONDA??? Lema tuliza boli!! Huyu mheshimiwa siyo saizi Yako kabisa
@SelestineJeromeMfoi
@SelestineJeromeMfoi 2 ай бұрын
Hongera kiongoz chapa kazi mtangulize mungu mbele
@theresiajames994
@theresiajames994 Ай бұрын
Mh: Mungu akubariki na kukulinda hakika unafanya kazi pongezi kwako Bab.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 2 ай бұрын
Waliozaliwa miaka 1982 sisi uwaga ni hatari kinauma mtu boya gonga like kama unamkubari kijana Makonda
@pastoryussuphhussen3162
@pastoryussuphhussen3162 2 ай бұрын
Mh Makonda uko vizuri, nakuombea
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 2 ай бұрын
Magufuli amekufa lakini matendo yake yanaishi ,roho yake inaishi ,waaina kama makonda wapo wengi tu kama kina mpina nawengine
@waltermachange7300
@waltermachange7300 2 ай бұрын
Mheshimiwa Rais bado Sabaya ,kazi iendelee
@WilfredChomo
@WilfredChomo 2 ай бұрын
Thank you so much ,Mpenda haki Dr.Paul Makonda. USIOGOPE. Asema Bwana.
@alexrwezaula8857
@alexrwezaula8857 2 ай бұрын
Ma DC na Rc wasione aibu igeni ayo mambo mtasaidia mambo mengi wananchi
@JAMESALBANO-uv5kt
@JAMESALBANO-uv5kt 2 ай бұрын
Ma DC na RC wengine ni waoga
@emmanuelakutulaga9756
@emmanuelakutulaga9756 2 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA....live long.
@alexmottielitetv361
@alexmottielitetv361 2 ай бұрын
Arusha wanaenjoy
@joycekalago532
@joycekalago532 2 ай бұрын
Ukishaulizwa umesoma chuo gani bas umeshaaibishwa funika uso😂😂😂
@beatricedavie1827
@beatricedavie1827 3 күн бұрын
😂😂😂
@user-ze8dy1bk7p
@user-ze8dy1bk7p 2 ай бұрын
Barikiwa sana kaka.
@grammsonbakaza9092
@grammsonbakaza9092 2 ай бұрын
Makonda awabananisha sana , piga kaz bro
@juliethmziray
@juliethmziray 2 ай бұрын
Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo jambo hongera comred Makonda❤❤🎉🎉😂😂😂😂😂😂
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 2 ай бұрын
Mb zangu nilikua nikimalizia Kwa mzee magufuli😢😢 lakini sasa nazimalizia Kwa makonda
@mrmisosiliuma9366
@mrmisosiliuma9366 2 ай бұрын
Adi mimi
@joachimnguma6812
@joachimnguma6812 2 ай бұрын
Tupo wengi hukuu
@jacksonkamgisha9443
@jacksonkamgisha9443 2 ай бұрын
Namm ivoivo namfatilia sana na namuelew makonda
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
saaafi sana Makonda kwa kweli unajitahidi sana kutetea wanyonge kwa wewe ni Magufuli mdogo
@SanareLaizer-en5it
@SanareLaizer-en5it 2 ай бұрын
Yani huyu hatari kama kafufuka magufuli
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@HappynessJapheth
@HappynessJapheth 2 ай бұрын
Kweri
@hassanimzungu765
@hassanimzungu765 2 ай бұрын
Dah makonda🔥🔥 mungu mlinde kijana huyu ni msaada mkubwa xn kwa wanyonge
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Jamani Watu wa Morogoro wana Bahati mbaya gani na hii dunia. Wana shida ya sugu ya migogoro ya Ardhi lakini dunia imetutengaaa. Mkundi kwa Masister kuna shidaaa
@adventinalingiza
@adventinalingiza Ай бұрын
.mungu m bariki makonda
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 ай бұрын
Yaani mkuu Wa mkoa arusha wanaajiriana kinduguu tembelea halmashauri zote utagundua hili tatizo
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 29 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 3,1 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 29 МЛН